denis eliah
Member
- Aug 14, 2017
- 49
- 68
Ndege Aina Ya Boeng 737 ya Nchin Ujerumani ilio Tekwa Ka Miaka 40 Na Kundi La Kigaidi Lililo Julikana Kana RAF -Red Army Fraction Likidhaniwa n La Palestina.. Ndege Hio Imerejeshwa Jana Baada Ya Kuachiwa Huru.. Huku Ikibebwa Na Ndege Shirika La Boeng AN 124 and AN IL 76.....