Dedication to my Ex

Dedication to my Ex

Hujaalikwa?
Pole sana. Ila uzuri kadri Wanaume tunavyoongezeka umri na thamani yetu inapanda.
Ni kama mvinyo/wine, kadri unavyokaa muda mrefu ukali/thamani yake inapanda!

(najifariji tu) Waache waoane
 
Hujaalikwa?
Pole sana. Ila uzuri kadri Wanaume tunavyoongezeka umri na thamani yetu inapanda.
Ni kama mvinyo/wine, kadri unavyokaa muda mrefu ukali/thamani yake inapanda!

(najifariji tu) Waache waoane
Nimealikwa na nimetoa mchango.
 
Hujaalikwa?
Pole sana. Ila uzuri kadri Wanaume tunavyoongezeka umri na thamani yetu inapanda.
Ni kama mvinyo/wine, kadri unavyokaa muda mrefu ukali/thamani yake inapanda!

(najifariji tu) Waache waoane
ni kweli hata mwanafunzi wa primary anatamani kupata libaba .hataki wenzake
 
Nimealikwa na nimetoa mchango.

Duh!! Hapo ndipo utakapowashangaa Wanawake. Unaweza kuwepo ukumbini na akakukonyeza.
Waoaji wana moyo. Just imagine ngono ya siku hizi ilivyo 'rough'. Ameshapitia mahusiano
matano. Kote huko alikuwa anagaragazwa, kulamba 'koni' nk. Halafu siku ya harusi Bwana harusi
uko mbele unamwaga smile la nguvu ukifurahia tunda lako, huku pembeni wamekaa ma-x wa
Mkeo wakigonga cheers na kukumbuka 'good memory'!! Salaaaleh.

Disclaimer: Sijasema tu/msioe, ni mawazo tu nimetoa
 
Duh!! Hapo ndipo utakapowashangaa Wanawake. Unaweza kuwepo ukumbini na akakukonyeza.
Waoaji wana moyo. Just imagine ngono ya siku hizi ilivyo 'rough'. Ameshapitia mahusiano
matano. Kote huko alikuwa anagaragazwa, kulamba 'koni' nk. Halafu siku ya harusi Bwana harusi
uko mbele unamwaga smile la nguvu ukifurahia tunda lako, huku pembeni wamekaa ma-x wa
Mkeo wakigonga cheers na kukumbuka 'good memory'!! Salaaaleh.

Disclaimer: Sijasema tu/msioe, ni mawazo tu nimetoa
Ndio uzuri wa kuachana kwa mutual consent.
 
Mwanaume kama ni mti wa matunda basi mwembe(mango tree) unaweza vuna matunda mpaka miaka 200, but 4u girls MIPAPAI tu matunda ndani ya miezi 6 ila sasa miaka mitatu kwisha habari yenu..!

Yupo mdada mmoja aliniacha kwa tambo kisa sina kazi kambilia kwa jamaa ametumika haswa jamaa hamtaki anabembeleza kuwa mwanaume wake wa kwanza ananimiss sana turudiane nikamwambia na mimi kwa sasa niko na msichana wangu wa kwanza...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom