Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jana nikiwa naangalia kipindi cha Friday night Live niliwaona young killer na Young D mmoja akionyesha ukomavu na utu uzima huku mwingine akiendelea kuishi kwenye ulimwengu uliopita. Nitakuwa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wanawake wazuri wazuri wameolewa yamebaki madung'a iembe yanahangaika....... Ni track ya zamani sana kibongo flava.. Naomba kwa yeyote mwenye nayo aipandishe hapa Asanten sana
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu! Kama kichwa cha habari kisemavyo, endapo msanii Diamond Platnums asingekuwapo basi bongo flava kimataifa isingevuka boda. Mpaka sasa kimataifa ni yeye ndio amekuwa kama nembo ya bongo...
8 Reactions
54 Replies
10K Views
Wakuu naomba kuuliza swali la fasta, nimesikia wimbo flani ukiimbwa kwa sauti ya aslay...KWELI NAWATONGOZAGAAA, WANANIKUBALIAGAA........... Naomba kujua ni wimbo gani huu tafadhali?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Huyu ndio msanii wangu bora wa kike kwa sasa,ana sauti nzuri,melody inanoga, na producer wake anatoa audio njema kabisa.Pambana dada muziki wako mtamu.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Believe me
1 Reactions
4 Replies
922 Views
Hunijali kwa chumvi (hunijali kwa sukari taabu nyingi ninapata na watotoooo). Napata shida na watoto Hunijali kwa mavazi hunijali kwa chochote aaaa aaa napata shida Unataka kuoa mke wapili ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hata sana
0 Reactions
0 Replies
643 Views
  • Poll Poll
Weka kura yako hapo juu na matokeo yanaonekana live: Hatua 1.Chagua ngoma unayoikubali 2. "Cast your Vote" kuweka kura yako
2 Reactions
118 Replies
18K Views
Diamond Platnumz, Rayvanny, Harmonize,Mbosso, Lavalava, Queen Darleen, R.mavoko Wamepasua au Wamezingua?.
18 Reactions
761 Replies
92K Views
Zamani kidogo kipaji cha kurap ulikuwa ni uhuni ila kadri muda unavyoenda dhana hii inatokomea, Vijana wanafanya mambo mazito na vipaji vyao ogopa mtu wa elimu yake sisemi wasio na elimu wanafanya...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Sijaelewa kinachoendelea kwa fuvu la binadamu kukutwa uwanja wa taifa wakati nyasi za bandia zikitolewa na kuwekewa nyasi asili Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanahiphop maarufu nchini Tanzania, Roma na Stamina wanaounda kundi la ROSTAM. Ikiwa na maana ROma na STAMina, mapema leo waliuLIzwa na Perfect crispin kupitia 255 ya XXL inayorushwa na kituo cha...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
mambo vipi wakuu embu leo kwenye huu uzi tujuzane kidogo kuhusu hili shindano mwaka huu lipo?? na je kwa tanzania wameshaanza usahili? na ni vigezo vipi unatakiwa uwe navyo ili uweze kufanya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Msanii Selementally ambaye ameachia kazi yake mpya inayoitwa 'Nataka kununua Dar' aliyomshirikisha msanii Belle 9, amesema anakusudia kulinunua jiji la Dar es Salaam ili arekebisha baadhi ya vitu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Karibu mwana- JF mwenzangu, Leo nimekuletea nyimbo zinazokufanya usiwe na mawazo ,
2 Reactions
13 Replies
2K Views
" Hallelujah" Kijana wa tandale kaleta nyingine akiwa na Morgan Heritage chini ya director Moe Mussa. Kamaliza au kazingua? Diamond Platnumz "Hallelujah" (ft Morgan Heritage) Verse 1 - Diamond...
22 Reactions
411 Replies
72K Views
Nimeusikiliza huu wimbo clouds sasa hivi, sijaona hata mstari mmoja Wa maana nnaoweza kuuweka kichwani, una flow tongue twister, unang'ata maneno!+ quote za kimombo!, rudi enzi za MWANZA MWANZA...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
** Mdada mmoja alitaka kujua kiasi gani anapendwa na mume wake, hivyo akataka kujua mumewe atafanya nini endapo ataamua kuondoka na kumuacha! Mwanamke huyo akaamua kuandika barua inayosema...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiukweli kwa sasa mayoung wanaotamba mjini wamebaki wawili tu kwa hii game ya hiphop, hapo awali dogo janja alijumuishwa pia lakini kwa sasa ametupwa nje na hawa madogo wanaotamba Young dee...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Back
Top Bottom