" Kutokana na kuwepo Kwa malalamiko mbalimbali Kwa wasanii Wa muziki na filamu nchini juu ya kuibiwa Kwa kazi zao.je wanauelewa juu ya sheria ya hakimiliki?"
Nimekuwa nikivutiwa sana na uimbaji wa hawa jamaa kwny huu wimbo na video yake ambayo sichoki kuitazama.mwenye lyrics za huu wimbo aweke hapa tafadhal maana nmetafuta sana ktk source nyingi bila...
kma wewe unapenda mziki wa richmavoko karibu tujumuike pamoja kwenye group ambayo ipo kwa ajili yakusapport mziki wa richmavoko pia utawez kupata updates exclussive kabisa make mavoko tupo nae...
Wakuu, hasa wale tunaopenda michezo ya kubeti almaarufu kuweka mikeka.
Kuna kampuni nyingi za kubet ila M-Bet ni pasua kichwa.
Kuna mkeka nimeshinda kihalali kabisa, ila system yao inasema...
Mbuzi wakipigana vibega wakati wakitimua mbio kutafuta mshindi wa shindano lililopewa jina la 'The Southen Sun Fillies Frolic' lililodhaminiwa na Hoteli ya Southen Sun, wakati wa mashindano ya...
Hello [emoji112] Ndugu yangu.
Nimekuwekea Video hapo.
Naamini hutabaki kama ulivyo kuwa mara baada ya KUUTAZAMA wimbo huu. Natamani Mungu akuhudumie kwa namna yake na kisha umtaarifu na mwingine...
A very nice and sensational song. Tell me,
Have you ever had that someone ukampenda, you do everything for him/her na unahangaika everyday kuhakikisha tu mambo yanakaa sawa lakini mwenzio bado...
WAKUU,
KWA WENYE NAFASI YA KUPATA SIFT COPY YA RIWAYA MATATA KAMA VILE;
-KASRI YA MWINYI FUAD (Shaaban Robert)
-KULI (Shafi Adam Shafi)
-WASIFU WA SITI BINTI SAAD (Shaaban Robert)
-ADILI NA...
*RE: CHELSEA vs ARSENAL EPL MATCH*
_Kindly, refer to the heading above._
_On Sunday, Sept. 17, 2017, we will face Chelsea at Stamford Bridge. It is our hope that we can translate our Wembley...
nani anawakumbuka hawa wana mama wawili wa kiafrica wenye asili ya kongo. Tshala Muana ambayue aliogopwa sana na wanawake hasa kwa namna ambavyo alikuwa akicheza bila kuvaa chupi na wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.