bongo movie walificha majeraha ya jambazi waliogopa watu wasije kuitisha press conference ya kuchangishana bule. HahahaaaaKwa kweli hizi movie za kibongo...zinaboa jamani kha!
Eti jambazi kapigwa #mawe* kama mwizi alafu hata hatujaonyeshwa [HASHTAG]#majeraha[/HASHTAG]...
U
Eti bonge la [HASHTAG]#superstar[/HASHTAG]...lkn anamiliki nyumba ya mil 3.5.
Nimeivunjilia mbali Cd yenyewe..
Nimeona bola nitazame......
"Escape from Sobibo"
Angalau hawa [HASHTAG]#uwongo[/HASHTAG] wao una tija kidogo Ebo!
Akijua tuhh kutumia video recoder, bas yeye tayari anajiita Director.Mbona wengine hata 3 kuziangalia hazifiki.. kwa kumuenzi Kanumba tulilazimika kuangalia.. zaidi ya hapo eeeeh ni vitukooooo hata hao washiriki wa kutengeneza sijui walisoma wapi ha ha haaa. Ubunifu anyau kabisaaaa...
Mkuu umeua sana hahahahahaaUliisoma vizur suitability ya hiyo movie?.. Isije kuwa msanii alilenga watoto wa chekechea
Duuuh hii ni hatari sanahaaaa eti demu alikua na nywele kichwani kaingia ndani katoka kanyoa
Jini linaangalia kushoto na kulia kaɓla ya kuvuka baraɓaraJambazi anaingia ndani kuvamia anavua viatu mlangoni,ni uwongo ulio tukuka