Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,010
- 74,654
Hakika kila mpenda nchi Wa zama zetu aliupenda wimbo huu Wa Atomic Jazz, lakini kwa sasa, hasa baada ya awamu hii ya tano kuingia madarakani umepoteza maana umepoteza maana. Kwa nini lakini?
Hivi tufanyeje kurudisha mioyo ile tuliyokuwa nayo kuhusu hali hiyo?