Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe amesema amepiga marufuku mashindano ya miss Tanzania na Tuzo za muziki
Amesema mashindano ya Miss Tanzania yamegubikwa na ubabaishaji...
Habari wadau, hivi nawezaje kuwapata Azam TV Call Center au Huduma kwa wateja? Nimeuliza hivyo kwa maana kila ninapo jaribu kuwapigia kwa namba zao zilizowekwa inachukua muda mrefu sana kusubiria...
Nyota wa mpira wa vikapu nchini Marekani LeBron James amewapongeza wachezaji wa ligi ya soka ya Marekani NFL ambao wamefanya mgomo dhidi ya rais Donald Trump na kumtuhumu rais huyo wa Marekani kwa...
Wanajamvi,
Bila kupoteza muda, mimi sio mtazamaji wa movie. Tangu nimezaliwa hadi sasa, takribani miaka thelathini na kenda, sijawahi kuangalia movie hata moja mpaka ikaisha. Mara nyingi hua...
[9/16, 11:27] [emoji146]: NICE GUY OF CENTURY
SEHEMU YA 01
Ni katika supermarket moja alionekana Baba akiwa mke wake pamoja na mtoto wao mdogo wa mwisho katika uzao wao,mke alikuwa...
Are you Ready for Accepting the Challenge?
The long-wanted Collab feature is available in Singplus app! We’re so glad to tell you the latest version of Sing+ comes with a brand-new “Collab” mode...
Mimi binafsi ni mpenzi mkubwa wa miziki ya rumba hasa ya Kongo. Na kati ya wanamziki ambao kila siku ni sharti nisikilize na kufuatilia habari zao mpya ni: 1. Koffi Olomide
2. JB Mpiana...
Ndege Aina Ya Boeng 737 ya Nchin Ujerumani ilio Tekwa Ka Miaka 40 Na Kundi La Kigaidi Lililo Julikana Kana RAF -Red Army Fraction Likidhaniwa n La Palestina.. Ndege Hio Imerejeshwa Jana Baada Ya...
wadau habari.....
hebu nipeni maujuzi nipate epsode zote za ISIDINGO ambazo zipo kati ya ile inayooneshwa na ITV na ile inayooneshwa na SABC3 ili niendelee na hiyo ya SABC3 maana ratiba ya ITV ni...
Mke wangu alianza tabia ya kuimba moyo sukuma damu... kila tukiwa na argument. Nikipiga simu yake inaimba same melody hadi ikanikera... Nikakumbuka kitabu cha walukaga the blacksmith pale...
NICE GUY OF CENTURY
SEHEMU YA 01
Ni katika supermarket moja alionekana Baba akiwa mke wake pamoja na mtoto wao mdogo wa mwisho katika uzao wao,mke alikuwa alilalamika kuwa hela hawana...
Habari za jumapili wakuu
Naomba tupeane album tamu za riddim wengine wanaita sweet reggae
kwangu mimi hizi hapa naziskza mara kwa mara
1/ Collie Buddz
2/Country bus riddim
Tupieni nyingine basi...
WIMBO: YESU WEWE
Na Ev Mhugo Hantish (The sound of worship)
Autro
Mmmmh! X2
PREACHES
"Ndugu yangu, jiulize wewe mwenzangu bila Yesu ungekuwa wapi leo hii. Bila shaka hujui, hata mimi sijui"...
Nimeona ni vyema tukakumbuka zile ngoma za miaka ile ya 2005 kushuka chini mpaka 1990s kwa kushare mambo haya ya kitambo.
Tafadhari dondoshea vibao ulivyo navyo vya miaka hiyo makundi mbalimbali...
WIMBO: YESU WEWE
Na Ev Mhugo Hantish (The sound of worship)
Autro
Mmmmh! X2
PREACHES
"Ndugu yangu, jiulize wewe mwenzangu bila Yesu ungekuwa wapi leo hii. Bila shaka hujui, hata mimi sijui"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.