tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 114
Haijalishi ulisoma enzi za mwalimu, mzee ruksa, ben au braza jk sote tumesoma vitabu vya riwaya/tamthiliya mbalimbali za waandishi wetu wa nyumbani.
katika kusoma huko naamini ipo riwaya/tamthiliya iliyokugusa zaidi ambayo hadi leo unaikumbuka zaidi hasa kwa kuangalia dhamira ya mwandishi (mfano:-umaskini, rushwa, haki, mapenzi, ulevi nk) ukihusianisha yanayotendeka sasa katika maisha yako ya kila siku, kwa mantiki hiyo tutajie ni riwaya/tamthiliya ipi iliyokugusa zaidi.
kwa kuanzia mimi mwenyewe riwaya ya "watoto wa mama ntilie" ilinigusa sana hasa ninapopita dampo na kuwakuta watoto wa wazalendo wakiokota vitu, inanikubusha zitta na peter watoto wa yule mama ntilie wa manzese, wewe je.....
katika kusoma huko naamini ipo riwaya/tamthiliya iliyokugusa zaidi ambayo hadi leo unaikumbuka zaidi hasa kwa kuangalia dhamira ya mwandishi (mfano:-umaskini, rushwa, haki, mapenzi, ulevi nk) ukihusianisha yanayotendeka sasa katika maisha yako ya kila siku, kwa mantiki hiyo tutajie ni riwaya/tamthiliya ipi iliyokugusa zaidi.
kwa kuanzia mimi mwenyewe riwaya ya "watoto wa mama ntilie" ilinigusa sana hasa ninapopita dampo na kuwakuta watoto wa wazalendo wakiokota vitu, inanikubusha zitta na peter watoto wa yule mama ntilie wa manzese, wewe je.....