WCB waiteka kinyerezi

WCB waiteka kinyerezi

Baba jayaron

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2015
Posts
4,629
Reaction score
6,365
Nice weekend kwa wala bata,

Bata la leo ni batani Tabata kinyerezi yaani WCB wanajaza watu hatari na bonge la stange aisey.....

Tuacheni team Dimond ni muha alisi anaejua namna ya kutafuta hela kwakuongeza thamani ya biashara.

Leo nimeahughudia uwezo mkubwa wa wasanii wetu kujiamini na wakafikia lengo maana hii show ni kama kuna msanii mkubwa ana pafomu.

Kiba akubali ajifunze kwa Mond how can he make his business worth.

Sina Team.

Mimi ni mzalendo.!!
 
Nice weekend kwa wala bata,

Bata la leo ni batani Tabata kinyerezi yaani WCB wanajaza watu hatari na bonge la stange aisey.....

Tuacheni team Dimond ni muha alisi anaejua namna ya kutafuta hela kwakuongeza thamani ya biashara.

Leo nimeahughudia uwezo mkubwa wa wasanii wetu kujiamini na wakafikia lengo maana hii show ni kama kuna msanii mkubwa ana pafomu.

Kiba akubali ajifunze kwa Mond how can he make his business worth.

Sina Team.

Mimi ni mzalendo.!!
Ngoja waje
 
Acha uongo wewe watu tuko Watsap Hapa tunakula bia uko kuiteka kinyerezi kumetoka wapi,kwa taarifa yako kama wewe Ni mgeni mji huu,watu Wa kinyerezi hatunaga shobo mdundo,kama wamejaza,wamejaa wakuja tu.
 
Acha uongo wewe watu tuko Watsap Hapa tunakula via uko kuiteka kinyerezi kumetoka wapi,kwa taarifa yako kama wewe Ni mgeni mji huu,watu Wa kinyerezi hatunaga shobo mdundo,kama wamejaza,wamejaa wakuja tu.
Team kibamia Poleni.
 
Nice weekend kwa wala bata,

Bata la leo ni batani Tabata kinyerezi yaani WCB wanajaza watu hatari na bonge la stange aisey.....

Tuacheni team Dimond ni muha alisi anaejua namna ya kutafuta hela kwakuongeza thamani ya biashara.

Leo nimeahughudia uwezo mkubwa wa wasanii wetu kujiamini na wakafikia lengo maana hii show ni kama kuna msanii mkubwa ana pafomu.

Kiba akubali ajifunze kwa Mond how can he make his business worth.

Sina Team.

Mimi ni mzalendo.!!
Mnanikera sana nyie mnaetumia mgongo wa Mondi kumtaja Kiba.

Hivi hicho kikiba chenu hakiwezi kusimama mpaka atajwe diamond?
 
Acha uongo wewe watu tuko Watsap Hapa tunakula bia uko kuiteka kinyerezi kumetoka wapi,kwa taarifa yako kama wewe Ni mgeni mji huu,watu Wa kinyerezi hatunaga shobo mdundo,kama wamejaza,wamejaa wakuja tu.
Eti na wewe unajikuta mjanja.

Aisee mji umevamiwa.

Kwanza tangu lini wajanja wa mji wakakaa huko kinyerezi?
 
Acha uongo wewe watu tuko Watsap Hapa tunakula bia uko kuiteka kinyerezi kumetoka wapi,kwa taarifa yako kama wewe Ni mgeni mji huu,watu Wa kinyerezi hatunaga shobo mdundo,kama wamejaza,wamejaa wakuja tu.
We mjini umekuja ushakomaa na ndevu zako unataka ushandane na si tuliozalia Agha khan mijengo kila kona ya mji unasema mie wakuja ??? Usinpimie weweee
 
Back
Top Bottom