Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mwenye vibao kama hivyo vyenye ujumbe pamoja na melodies kali naziomba
1 Reactions
2 Replies
253 Views
Hii haikustahili kuwa hapa lakini kabla matokeo ya Big Brother Africa ambapo Mtanzania mwenzetu Richard amefanikiwa kuingia Fainali nadhani tujaribu kutoa mawazo kabla matokeo rasmi hayajatolewa...
2 Reactions
102 Replies
18K Views
Kwanza shikamoni wakubwa waliochini ya hapo habari zenu ndugu. Kwa majina naitwa Aman Ibrahim mimi ni msanii na mwandishi pia wa nyimbo. Kiukweli nina kipaji cha muziki japo naelewa kuwa wapo...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello, JF Members, Kama wewe ni shabiki mkubwa na number one die hard fan wa Hilary Swank na Alan Ritchson basi hii movie ya Ordinary Angels (Malaika wa Kawaida) sio ya kukosa. Ordinary Angels...
8 Reactions
18 Replies
859 Views
inaitwa hurry up tomorrow kuanzia hii wake me up na Sao Paulo kamshirikisha bidada kutoka Brazil anaitwa Anita Album kalii sana.
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Wazee, mnakumbuka Horror moja ya kitambo 2002 inaitwa "28 Days Later" inamuhusu mwana mmoja ameamka hospital alikua kwenye coma karibia mwezi mzima anakuta Hospital hakuna ata mtu mmoja. Sio...
1 Reactions
1 Replies
412 Views
Kina sinza pazuri na genge lake. Hawa hapa chini.....
0 Reactions
0 Replies
331 Views
Wakuu, Tafadhari sana usilike wala ku reply chochote katika uzi huu kwani ukireply au kulike utanikosesha milioni 10 niliyobeti kuwa uzi wangu ukikaa miaka mitatu hakuna aliyereply wala ku like...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio...
21 Reactions
73 Replies
49K Views
Muda si mrefu wasanii wa Bongofleva watasitisha utaratibu wa kuwaruhusu wasanii wa singeli kufanya singeli versions za nyimbo zao kwa sababu kila wakifanya, singeli version zinakuwa hit kuliko...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Wajuzi Roga Roga, Tonydigital na wengineo naomba kueleweshwa tofauti ya hawa wapiga gitaa wawili ni yapi ( solo vs lead guitar)
0 Reactions
2 Replies
340 Views
Hello Wana JF. Naombeni mniongezee list ya series Nzuri kulingana na series nilizobahatika kuangalia. Series nilizowahi kuangalia ni Kama ifuatavyo 1.Tyrant 2.Ozark 3. 24 4. Queen of the south...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Sitaisahau hii siku ni miaka mingi 1988 , pale Drive inn Cinema zilipo ofisi za Zantel,Msasani. Tumetoka mtoko wa jioni na mzee wetu kuangalia filamu ambayo siikumbuki ila ninachoku.buka kabla...
29 Reactions
150 Replies
5K Views
La kayote, Le Baron, za, Heritiel wata, Assoccie, MH, traveling love za Fally ipupa, Kama kuna mtu ana ngoma Kali kama hizi, tushindane,
0 Reactions
1 Replies
288 Views
Baada ya ile ajali tuliopata siku kadhaa zilizopita hii ndiyo nyimbo inayonibariki zaidi, hakika Mungu ni mwema nitamshukuru siku zote👇👇
1 Reactions
8 Replies
932 Views
Ni Wimbo wa Roman Catholic unaanza na mtu anaongea maneno harafu wanaanza kuimba wimbo unaitwa Kwa ajili ya mateso makali ya Yesu utuhurumie sisi na Dunia nzima Ntaweza kuupakua wapi!? msaada...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Anaitwa James Cameron kazaliwa Agosti 16,1954(70) nchini Canada sehem iitwayo Ontario. Kwenye sanaa ambayo alianza kuifanya mwaka 1978 yeye ni mhariri, mwandishi na muongozaji wa filam na tamthlia...
2 Reactions
0 Replies
364 Views
Nilikuwa youtube hapa nasikiliza ngoma mbalimbali zilizopendwa. Ukaingia wimbo wa Hunifahamu ulioimbwa na Dully Sykes, mwishoni Dully anataja mwaka 2005 ambao ametoa wimbo huo . Nikashtuka leo...
9 Reactions
13 Replies
854 Views
JINA LA SIMULIZI.......................LISA WHATSAPP.....................0628924768 SPONSORED BY.. SIMULIZI ZA DULLY SURA YA .......................................1&2 SURA YA 1 “Paah!” Kofi...
8 Reactions
1K Replies
412K Views
Jina langu ninaitwa Soka (sio jina halisi) na kwetu ni huko Moshi uchagani. Nilisoma kwa shida na kufanikiwa kupata elimu ya Sekondari na kisha kujiunga na mafunzo ya ualimu katika chuo cha...
58 Reactions
807 Replies
173K Views
Back
Top Bottom