Wasaalam wakuu,
Nimeona kisa kimoja Cha Analyse akizungumzia mambo ya utapeli nikakumbuka balaa ambalo limewahi kunikuta, aisee tukizungumzia matapeli sio Hawa sijui wa Mr kuku, sijui kalynda...
Tatizo ni kuwa wabongo tutamtupilia mbali kwa maana haimbi nyimbo zile "paka yangu imeloa, sijui kugonoka, gonokaa"
She is a very a talented girl kiukweli. Sauti yake, idea yake ya muziki, na...
"In English, we say: “I miss you.”
But in poetry, we say:
“I trace the shape of your absence in the spaces where your laughter used to linger,
and let the echoes of you fill the hollow hours.”
In...
1. Major Lazer ft Wyclef Jean- Reach to the stars
2. David Guetta ft James Young & Birdy- I'll keep loving you
3. Naughty Boy ft Beyonce & Arrow Benjamin- Runnin(Lose it all)
4. Calvin...
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums.
Ndugu zangu watanzania;
Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali...
ALBAMU ya reggae ya mfalme wa muziki wa reggae, hayati Bob Marley, ‘One Love’, imetunukiwa Tuzo ya Albamu Bora ya Reggae katika Tuzo za Grammy za 67, zilizofanyika usiku wa jana huko Los Angeles...
KISA CHA 'ALPHA BLONDY' KUANDIKA NGOMA YA "SWEET FANTA DIALLO."
--------------------------------------------------
Katika kitabu chenye list ya wanamuziki bora wa muda wote wa rege barani Africa...
▪️Kura 8.3 IMDb
▪️Kuachiliwa: 2024
▪️Maudhui: Family/Adventure
_________________________
Baada ya Roz kudondoka duniani na kujikuta katikati ya maskani ya viumbe tofauti na vile alivyovizoea...
Ethan na mpenzi wake Nola ni wafanyakazi Airport Ethan kazi yake ilikuwa kuwapokea wageni na kuwaelekeza nini Cha kufanya. Lakini mpenzi wake Nora yeye alikuwa kitengo chenye hadhi na mshahara...
Katika mambo yanayozua mijadala sana hivi karibuni hasa ndani ya jamii ya watu weupe ndani ya nchi ya marekani ni jinsi ambavyo wanaitizama jamii ya weusi.
Jamii ya watu weusi imekuwa kila...
MATRIX SIO TU FILAMU, NI UTANGULIZI WA UJUMBE WA KISIRI
"Ulimwengu tunaouona ni udanganyifu tu, gereza la kiakili linalotuzuia kugundua uwezo wetu wa kweli."
Filamu hii ni kioo cha ubinadamu...
Episode 1: Safari ya Maisha (Safari of Life)
Nilifika mjini nikiwa na ndoto kubwa mfukoni na shilingi chache mkononi. Nilikuwa nimekimbia maisha magumu kijijini, nikiamini mjini ndio mahali penye...
Black Star 01
Mtunzi: Tariq H Haji
Mawasiliano: 0624065911
Watu waliendelea kushangilia kwa nguvu baada vishindo kadhaa kusikika. "Mshkaji hajui kupiga kidogo, anabutuwa kisawasawa" alisikika mtu...
hivi karibuni nimetokea kuupenda sana huu music. ningependa kuujua zaidi kutoka kwa wapenzi wa hizi ngoma za kina Calvin Harris, David Guetta, Tiesto, Dash Berlin etc.
ni dj gani unamkubali zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.