Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wasaalam wakuu, Nimeona kisa kimoja Cha Analyse akizungumzia mambo ya utapeli nikakumbuka balaa ambalo limewahi kunikuta, aisee tukizungumzia matapeli sio Hawa sijui wa Mr kuku, sijui kalynda...
132 Reactions
436 Replies
79K Views
daaahhh.. huu wimbo unanikumbusha mbali sana..
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Singeli muziki wa Taifa utake usitake. Msikilize kwa makini msanii huyu aliyeenda bila ubilionea ila kazi yake itatukuka milele.
1 Reactions
7 Replies
732 Views
Tatizo ni kuwa wabongo tutamtupilia mbali kwa maana haimbi nyimbo zile "paka yangu imeloa, sijui kugonoka, gonokaa" She is a very a talented girl kiukweli. Sauti yake, idea yake ya muziki, na...
4 Reactions
3 Replies
454 Views
"In English, we say: “I miss you.” But in poetry, we say: “I trace the shape of your absence in the spaces where your laughter used to linger, and let the echoes of you fill the hollow hours.” In...
10 Reactions
23 Replies
2K Views
1. Major Lazer ft Wyclef Jean- Reach to the stars 2. David Guetta ft James Young & Birdy- I'll keep loving you 3. Naughty Boy ft Beyonce & Arrow Benjamin- Runnin(Lose it all) 4. Calvin...
6 Reactions
305 Replies
30K Views
Uzi tayari
1 Reactions
22 Replies
793 Views
Casting The Predator. Cause why not. Who's your favourite. 1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. NB: My take is number 9 Danny Trejo 😃
2 Reactions
6 Replies
460 Views
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums. Ndugu zangu watanzania; Muziki kutoka nchini Zaire (sasa ni D.R.C) uliwezaje kutamalaki na kupendwa sana hapa Tanzania ilhali...
14 Reactions
523 Replies
43K Views
ALBAMU ya reggae ya mfalme wa muziki wa reggae, hayati Bob Marley, ‘One Love’, imetunukiwa Tuzo ya Albamu Bora ya Reggae katika Tuzo za Grammy za 67, zilizofanyika usiku wa jana huko Los Angeles...
1 Reactions
8 Replies
965 Views
KISA CHA 'ALPHA BLONDY' KUANDIKA NGOMA YA "SWEET FANTA DIALLO." -------------------------------------------------- Katika kitabu chenye list ya wanamuziki bora wa muda wote wa rege barani Africa...
42 Reactions
57 Replies
5K Views
▪️Kura 8.3 IMDb ▪️Kuachiliwa: 2024 ▪️Maudhui: Family/Adventure _________________________ Baada ya Roz kudondoka duniani na kujikuta katikati ya maskani ya viumbe tofauti na vile alivyovizoea...
0 Reactions
6 Replies
483 Views
Ethan na mpenzi wake Nola ni wafanyakazi Airport Ethan kazi yake ilikuwa kuwapokea wageni na kuwaelekeza nini Cha kufanya. Lakini mpenzi wake Nora yeye alikuwa kitengo chenye hadhi na mshahara...
1 Reactions
3 Replies
412 Views
Katika mambo yanayozua mijadala sana hivi karibuni hasa ndani ya jamii ya watu weupe ndani ya nchi ya marekani ni jinsi ambavyo wanaitizama jamii ya weusi. Jamii ya watu weusi imekuwa kila...
3 Reactions
1 Replies
290 Views
Mara ya kwanza uliniomba tucheze wote Muziki wa kwetu siwezi kukataa ....... Mimi ni mke wa mtu ooo mama eeh NImeshaolewa
0 Reactions
3 Replies
389 Views
MATRIX SIO TU FILAMU, NI UTANGULIZI WA UJUMBE WA KISIRI "Ulimwengu tunaouona ni udanganyifu tu, gereza la kiakili linalotuzuia kugundua uwezo wetu wa kweli." Filamu hii ni kioo cha ubinadamu...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Episode 1: Safari ya Maisha (Safari of Life) Nilifika mjini nikiwa na ndoto kubwa mfukoni na shilingi chache mkononi. Nilikuwa nimekimbia maisha magumu kijijini, nikiamini mjini ndio mahali penye...
8 Reactions
8 Replies
3K Views
Black Star 01 Mtunzi: Tariq H Haji Mawasiliano: 0624065911 Watu waliendelea kushangilia kwa nguvu baada vishindo kadhaa kusikika. "Mshkaji hajui kupiga kidogo, anabutuwa kisawasawa" alisikika mtu...
4 Reactions
244 Replies
51K Views
hivi karibuni nimetokea kuupenda sana huu music. ningependa kuujua zaidi kutoka kwa wapenzi wa hizi ngoma za kina Calvin Harris, David Guetta, Tiesto, Dash Berlin etc. ni dj gani unamkubali zaidi...
2 Reactions
74 Replies
11K Views
Back
Top Bottom