Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari ndugu zangu wapenda muziki wa dansi! Ninatafuta wimbo wa zamani wa bendi ya dansi, uliosikika sana miaka ya 2002/2003 kwenye redio. Sikumbuki jina la wimbo wala bendi, lakini mashairi yake...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
msikilize hapa akiwa na Sholo Mwamba.
0 Reactions
3 Replies
309 Views
Ni wimbo wa alikiba anaimba kwenye kiitikio ' paraapilaa paraapila papaaa papipaap sijui unaitwaje jina lake msaada tafadhali
8 Reactions
17 Replies
980 Views
Huuu wimbo wa miaka mingi sana. miaka ile ya 90 ilikuwa maarufu sana "Sunday eeeeh....pole sana sunday eeeeh......." Kuna sehemu wanaimba wana sema alivaa viatu huyo mdada vinalia kooh kooh...
2 Reactions
17 Replies
654 Views
Kitabu hiki kinapatikana BURE ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo playstore. Somo la kwanza Kisa cha Vimbwenelehi Nilipokuwa bado mdogo nilipata kusikia habari za vijitu vya kutisha, vyenye...
1 Reactions
7 Replies
690 Views
Na: Mwalimu Makoba Tazama nikamuita mwanangu mpendwa, naye nikamtuma aende mjini akalete vitumbua ili tupate kushtua matumbo. Nilimwelekeza aende kwa Mama Abdul, mama muungwana, mtenda haki na...
0 Reactions
1 Replies
362 Views
Nilikuwa kwenye daladala jioni moja kutoka kwenye pirika zangu mara ndani ya gari Kuna wimbo ukawa unapigwa nakumbuka kiitikio tu " Wivu mama" ulinivutia sana ule wimbo hasa sauti ya mwimbaji na...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwimbaji hodari kutoka nchini Kenya Bien-Aime Baraza amesema, Wasanii wa Tanzania wangeweka nguvu na bidii kwenye muziki wa Singeli kama ambavyo waliweka bidii kwenye Amapiano, basi muziki wa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Filamu ya katuni (uhuishaji) ya Kichina "Nezha 2", ambayo ni muendelezo wa "Nezha 1: Kuzaliwa kwa Mtoto wa Shetani" hivi karibuni imefuatiliwa sana kote duniani. Baada ya kuingia kwenye nafasi ya...
1 Reactions
0 Replies
708 Views
Kwa upande wangu mimi muvi za animation nilizokubali kuna: 1. How to Train ze Dragon 2. The Monsters 3. The Croods 4. Aladdin. Mimi nimeanza na hizo na wewe kama mdau wa animation ongezea basi...
2 Reactions
530 Replies
69K Views
Nimejikuta natokwa na chozi baada ya kucheki huu mzigo aiseee Wakuu acha kabisa.. All in all now nimepata katoto ka 2000 mi na mashangazi ndo basi
17 Reactions
125 Replies
3K Views
Nipo nafwatilia all stars comedy ni mbaya mpaka sasa hakuna cha maana ni wanalia watu pesa zao comedy hawana new things or thoughts 💭 ambazo zina washawishi watu wanaanza kuleta mambo ya mitano...
7 Reactions
60 Replies
2K Views
https://youtu.be/e2PsmMlSP5s?si=9kcGRMlCdNEIXk6A Asantee sana kwa kutupa album kalii ya hurry up tomorrow hapa tunasubiria movie yetu sasa ya hurry up tomorrow happy birthday Ethiopia finest...
2 Reactions
5 Replies
440 Views
Story ndiyo itakayobaki Mkombozi Anaitwa Roma
2 Reactions
4 Replies
490 Views
Sikiliza kibao kizuri cha isha mashauzi.
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Kwa wakongwe, mnamkumbuka huyu dada enzi akikipiga na Marquiz du Zaire? Yuko wapi kwa sasa?
0 Reactions
3 Replies
937 Views
Wakuu hili ni swali la ufahamu tu maana nimesikia vibao kadhaa wa kadhaa huko tena baadhi ni vya wanamuziki wa hapahapa bongo. Je wanalipwa hawa au ndo mambo ya uzalendo kwanza?
3 Reactions
22 Replies
499 Views
Mwenye hii ngoma naomba aweke hapa, naipenda sana hii ngoma,tafadhali sana.
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa RAP CAVIAR na Spotify hizi ndio ngoma 50 zenye Beats kali kuwahi kufanywa. Una maoni gani hapa? 1. Still Dre - Dr. Dre & Snoop Dogg 2. Shook Ones Pt. II - Mobb Deep 3. Grindin' -...
16 Reactions
145 Replies
10K Views
Acha tamaa mwangu yo Amenikanya Mama alienizaa Jichuuunge yeye amesema yeye yeyee Tukitafuta pesa eti tutaigaaa tabia mbaya Hakuna aliezaliwa ni mwizi Saviè Kandoro Papa Hakuna aliezaliwa ni...
2 Reactions
0 Replies
403 Views
Back
Top Bottom