Habari ndugu zangu wapenda muziki wa dansi!
Ninatafuta wimbo wa zamani wa bendi ya dansi, uliosikika sana miaka ya 2002/2003 kwenye redio. Sikumbuki jina la wimbo wala bendi, lakini mashairi yake...
Huuu wimbo wa miaka mingi sana. miaka ile ya 90 ilikuwa maarufu sana
"Sunday eeeeh....pole sana sunday eeeeh......."
Kuna sehemu wanaimba wana sema alivaa viatu huyo mdada vinalia kooh kooh...
Kitabu hiki kinapatikana BURE ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo playstore.
Somo la kwanza
Kisa cha Vimbwenelehi
Nilipokuwa bado mdogo nilipata kusikia habari za vijitu vya kutisha, vyenye...
Na: Mwalimu Makoba
Tazama nikamuita mwanangu mpendwa, naye nikamtuma aende mjini akalete vitumbua ili tupate kushtua matumbo. Nilimwelekeza aende kwa Mama Abdul, mama muungwana, mtenda haki na...
Nilikuwa kwenye daladala jioni moja kutoka kwenye pirika zangu mara ndani ya gari Kuna wimbo ukawa unapigwa nakumbuka kiitikio tu " Wivu mama" ulinivutia sana ule wimbo hasa sauti ya mwimbaji na...
Mwimbaji hodari kutoka nchini Kenya Bien-Aime Baraza amesema, Wasanii wa Tanzania wangeweka nguvu na bidii kwenye muziki wa Singeli kama ambavyo waliweka bidii kwenye Amapiano, basi muziki wa...
Filamu ya katuni (uhuishaji) ya Kichina "Nezha 2", ambayo ni muendelezo wa "Nezha 1: Kuzaliwa kwa Mtoto wa Shetani" hivi karibuni imefuatiliwa sana kote duniani. Baada ya kuingia kwenye nafasi ya...
Kwa upande wangu mimi muvi za animation nilizokubali kuna:
1. How to Train ze Dragon
2. The Monsters
3. The Croods
4. Aladdin.
Mimi nimeanza na hizo na wewe kama mdau wa animation ongezea basi...
Nipo nafwatilia all stars comedy ni mbaya mpaka sasa hakuna cha maana ni wanalia watu pesa zao comedy hawana new things or thoughts 💭 ambazo zina washawishi watu wanaanza kuleta mambo ya mitano...
https://youtu.be/e2PsmMlSP5s?si=9kcGRMlCdNEIXk6A
Asantee sana kwa kutupa album kalii ya hurry up tomorrow hapa tunasubiria movie yetu sasa ya hurry up tomorrow happy birthday Ethiopia finest...
Wakuu hili ni swali la ufahamu tu maana nimesikia vibao kadhaa wa kadhaa huko tena baadhi ni vya wanamuziki wa hapahapa bongo.
Je wanalipwa hawa au ndo mambo ya uzalendo kwanza?
Kwa mujibu wa RAP CAVIAR na Spotify hizi ndio ngoma 50 zenye Beats kali kuwahi kufanywa.
Una maoni gani hapa?
1. Still Dre - Dr. Dre & Snoop Dogg
2. Shook Ones Pt. II - Mobb Deep
3. Grindin' -...
Acha tamaa mwangu yo
Amenikanya Mama alienizaa
Jichuuunge yeye amesema yeye yeyee
Tukitafuta pesa eti tutaigaaa tabia mbaya
Hakuna aliezaliwa ni mwizi
Saviè Kandoro Papa
Hakuna aliezaliwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.