Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mimi: Abby Chams (Me too) https://youtu.be/qCOsfkUKMfI?si=2qhgmsoc67lOGxGK Wadau, tushare nyimbo mbalimbali hapa chini unazodhani zimehit sana mwaka huu. Tuone nani ana taste kali ya mziki! 🎵
0 Reactions
2 Replies
447 Views
Sehemu 1 Naitwa Mamujee, ni mzaliwa wa Musoma. Sijabahatika kusoma sana, niliishia kidato cha pili sababu ya kukosa mtu wa kunisomesha pindi tu nilipofiwa na baba yangu. Mama yangu alifariki...
11 Reactions
71 Replies
6K Views
Habarin ndugu zangu ...mwenye riwaya ya mkimbizi soft copy naomba anisaidie
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Nadhani sijaeleweka!! ila ukimtoa kanumba (ME),gabo(ME),monalisa(KE) na riyama(KE) huyu ndio actor wangu wa bongo movie kwa sasa mpaka 2030....."DUNIA Anaitwa hellena aka cindy kakolanya(ke)
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes. Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana...
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Tupia nawewe yako ngoma kali unayoikubali ya mmakonde
4 Reactions
56 Replies
3K Views
Kitumbua cha buku sehemu ya kwanza STORY NA: Mbogo Edgar Kijana Prosper alikuwa amejilaza kwenye mkeka, askipunga upepo wa na kufaidi kimvuri cha mti wa mwembe dodo mkubwa sana, uliopo pembeni...
0 Reactions
75 Replies
69K Views
Wakuu Habari za Uzima, Naombeni Mnisaidie Audio za Nyimbo hizi, Hizi Nyimbo Nilikuwa Napenda Kuzisikiliza Kabla Sijapata Hearing Loss "Usikivu Hafifu" Najua Kwasasa Nitafaidi Midundo tuu ila...
1 Reactions
1 Replies
356 Views
Kwa mara ya Kwanza toka 2009 nilipoanza kuchek series za 24 na prison break nilishamaliza kufananisha na series yeyote duniani nakumbuka mwaka 2010 nilichek pia series moja tamu Sana inatwa...
49 Reactions
160 Replies
24K Views
Mtayarishaji nguli wa muziki hapa nchini Master J amemuomba msamaha Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba baada ya mahojiano yake aliyoyafanya na Simulizi na Sauti huku akisema kuwa hajawahi kuwa na...
2 Reactions
6 Replies
781 Views
Rapa Darassa amekerwa na tabia ya Billnass na G Nako kumuita studio na kurekodi nae kisha nyimbo hazito, awachana kwa roho zao za kukunja.
1 Reactions
1 Replies
331 Views
Kila nikiziangalia Interviews zake baada ya Kutangazwa Mshindi ninaona ni kama vile labda Soda yake haina Gesi kabisa.
1 Reactions
27 Replies
1K Views
Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi? Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby...
1 Reactions
50 Replies
3K Views
NYOTA wa Bongo Fleva, Harmonize a.k.a Konde Boy amemuomba msamaha Diamond Platnumz kwa tofauti zilizowahi kutokea kati yao, ikiwamo cha siku ya karibuni wakiwa visiwani Zanzibar. Kupitia Insta...
1 Reactions
0 Replies
571 Views
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, ametangaza kuwa atamalizia ujenzi wa msikiti ambao Diamond Platnumz aliuanzisha kijijini kwao Mtwara mwaka 2018. Kupitia Insta Story yake, Harmonize amesema kuwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuimba live sio kurukaruka juu ya jukwaa. Wasanii wabongo mnarukaruka sana kwenye jukwaa. Ushauri mchungu mkifika kwenye jukwaa tulizeni akili connect akili yako na wasikilizaji. Imba...
1 Reactions
18 Replies
804 Views
Legendary actor Gene Hackman and his wife has sadly passed away at the age of 95. Rest in peace Gene Hackman. Oscar-winning US actor Gene Hackman, his wife Betsy Arakawa and their dog have been...
2 Reactions
6 Replies
618 Views
Hebu sikiliza hiyo sauti aiseee
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Trachtenberg was found dead Wednesday in her New York City apartment by her mother. It was reported the actress recently underwent a liver transplant after battling alcohol issues and 'may have...
2 Reactions
2 Replies
562 Views
Back
Top Bottom