Mimi: Abby Chams (Me too)
https://youtu.be/qCOsfkUKMfI?si=2qhgmsoc67lOGxGK
Wadau, tushare nyimbo mbalimbali hapa chini unazodhani zimehit sana mwaka huu. Tuone nani ana taste kali ya mziki! 🎵
Sehemu 1
Naitwa Mamujee, ni mzaliwa wa Musoma. Sijabahatika kusoma sana, niliishia kidato cha pili sababu ya kukosa mtu wa kunisomesha pindi tu nilipofiwa na baba yangu. Mama yangu alifariki...
Nadhani sijaeleweka!! ila ukimtoa kanumba (ME),gabo(ME),monalisa(KE) na riyama(KE) huyu ndio actor wangu wa bongo movie kwa sasa mpaka 2030....."DUNIA Anaitwa hellena aka cindy kakolanya(ke)
Nawakaribisha wapenzi wa Singeli,Wanazuoni wa sanaa ,watoto wa kitaa ,Ma itteligentsia wote na wataalamu wa codes.
Hebu tuambieni hizi namba zinazotajwa kwenye muziki wa singeli zina maana...
Kitumbua cha buku sehemu ya kwanza
STORY NA: Mbogo Edgar
Kijana Prosper alikuwa amejilaza kwenye mkeka, askipunga upepo wa na kufaidi kimvuri cha mti wa mwembe dodo mkubwa sana, uliopo pembeni...
Wakuu Habari za Uzima, Naombeni Mnisaidie Audio za Nyimbo hizi, Hizi Nyimbo Nilikuwa Napenda Kuzisikiliza Kabla Sijapata Hearing Loss "Usikivu Hafifu" Najua Kwasasa Nitafaidi Midundo tuu ila...
Kwa mara ya Kwanza toka 2009 nilipoanza kuchek series za 24 na prison break nilishamaliza kufananisha na series yeyote duniani nakumbuka mwaka 2010 nilichek pia series moja tamu Sana inatwa...
Mtayarishaji nguli wa muziki hapa nchini Master J amemuomba msamaha Mfalme wa Bongo Fleva, Alikiba baada ya mahojiano yake aliyoyafanya na Simulizi na Sauti huku akisema kuwa hajawahi kuwa na...
Kuna tetesi nzito mitandaoni kuhusu ukaribu wa msanii Harmonize na Abby Chams. Watu wanajiuliza, je, hii ni collabo ya kimuziki au kuna kitu zaidi?
Baada ya Harmonize kuonekana akimposti Abby...
NYOTA wa Bongo Fleva, Harmonize a.k.a Konde Boy amemuomba msamaha Diamond Platnumz kwa tofauti zilizowahi kutokea kati yao, ikiwamo cha siku ya karibuni wakiwa visiwani Zanzibar.
Kupitia Insta...
Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, ametangaza kuwa atamalizia ujenzi wa msikiti ambao Diamond Platnumz aliuanzisha kijijini kwao Mtwara mwaka 2018. Kupitia Insta Story yake, Harmonize amesema kuwa...
Kuimba live sio kurukaruka juu ya jukwaa.
Wasanii wabongo mnarukaruka sana kwenye jukwaa.
Ushauri mchungu mkifika kwenye jukwaa tulizeni akili connect akili yako na wasikilizaji.
Imba...
Legendary actor Gene Hackman and his wife has sadly passed away at the age of 95. Rest in peace Gene Hackman.
Oscar-winning US actor Gene Hackman, his wife Betsy Arakawa and their dog have been...
Trachtenberg was found dead Wednesday in her New York City apartment by her mother.
It was reported the actress recently underwent a liver transplant after battling alcohol issues and 'may have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.