Swalama,
Miaka nenda miaka rudi nje ya jengo la Simba lililopo msimbazi kariakoo halikosi vigenge vikijadili Simba yao ilokosa makombe asubuhi asubuhi,Niwaulize wana simba hamna kazi za kufanya...
Nimevutiwa na siasa za Kenya japo kwa hili...mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya CECAFA yanayoanza leo nchini Kenya ni bwana Odinga mpinzani wa Kenyatta katika uchaguzi uliopita!je...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa...
Binafsi nimefurahi sana Mohamed Dweji (MO) kukabidhiwa klabu ya Simba. Hakika hii ni habari njema kwa wana Msimbazi.
Natumaini umoja na mshikamano wa viongozi wa...
Lugha za kigeni wenyewe mnaita 'Branding' lakini kumbe hizi Brand pia zina gharama zake kuzi-mantain kama ambavyo huyu kijana wa 'Shilawadu' Soudy Brown anavyohakikisha brand yake haiteteleki...
TBC 2 LIVE:
Tamasha linaendelea, kwa kweli limefanikiwa kwa kiwango kikubwa sana japo idara ya usalama imepwaya kiasi hasa katika uthibiti wa wapi wasimame na wapi wasisimame:
21:00 Update..
Paul...
Wiki ijayo nitarajia kuwa na safari kwenda nyumbani Musoma mkoani Mara.Kutoka Dar hadi Musoma si mchezo na nitalazimika kupumzika Mwanza kwa siku moja.Kwa wakazi wa Mwanza ni sehemu gani nzuri kwa...
Natumai mkoa poa.naomba kujulishwa kwa anaefahamu,Kama mtu anataka kutoa singo anatakiwa kuwa na pesa kiasi gani? Pili studio ipi hapa dar ambayo ni Bora kabisa ambayo inaweza kumtoa underground...
Habarini za mapumziko wadau.
Kabla sijaenda mbali napenda kumpongeza darassa kwa ngoma kali..a hit song ambayo alitoa kipindi kama mwaka mmoja ivi ambao umepita lakini adi saiv mtu akisikiliza...
Salamareko..!
Its true kama umeusikiliza huu wimbo wa Kala Jeremiah basi utakubaliana na mm kua ndo wimbo bora wa mwisho wa mwaka..!
Production ya Beat ipo vizuri sana pia Melody iko nzuri sana...
Natumaini hamjambo wadau wa mashairi na fasihi kwa ujumla.
Baada ya kumaliza kuandika kitabu changu cha ushairi kwa lugha ya kiingereza kinachoitwa 'SONGS OF AFRICAN FATHERS'
kitabu hiki...
Habarini Wadau,
Ninajiuliza sana kuwa Tanzania ina mpango gani wa kuwaendeleza hawa waigizaji wa Tasnia ya filamu?
Lah kama si Tanzania basi je viongozi au mameneja wa Tasnia hii wana mpango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.