Chombezo : Majanga Mbona Majanga

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,439
260731bf90c89d51d02f95cfc2e95bf7.jpg

SEHEMU YA 01:
Eddy ameamua kuondoka nyumbani kwa wazazi wake na kwenda kupanga, kwa bahati nzuri anapata chumba katika nyumba moja yenye vyumba sita maeneo ya Mwananyamala kwa Kopa.
Nyumba hiyo imekaa Kiswahiliswahili kutokana na wapangaji wanaoishi ndani ya nyumba hiyo.
Kila chumba kimoja kilikuwa na mpangaji mmoja aliyekuwa akiishi na familia yake.
Pia katika nyumba hiyo iliyokuwa na mabanda ya uani, waliishi wapangaji ambao hawakuwa na wake wala waume.
Kati yao walikuwepo wasichana wazuri wenye maumbile ya kupigiwa methali, ambao wengi wao hawakuwa na shughuli maalumu za kuwapatia kipato.
Baba na mama mwenye nyumba nao walikuwa wakiishi ndani ya nyumba hiyohiyo.
Siku ya kwanza Eddy alipokuwa akihamia hakuwa na vitu vingi zaidi ya kitanda kidogo, kabati la nguo na vikombe sita vya chai.
Pia alikuwa na sahani mbili za chakula na jiko moja la Mchina. Kijana huyo aliamua kuanza maisha hayo ya usela japokuwa wazazi wake walikuwa na uwezo mkubwa sana.
Baba na mama yake walimsihi sana kuendelea kukaa nao maeneo ya Kinondoni lakini wala hakutaka kusikiliza ushawishi huo.
Kikubwa alichokuwa akikitaka Eddy ni uhuru, kwani alijiona ameshakua mkubwa, hakutaka kufanya mambo ya uhuni ndani ya nyumba ya wazazi wake.
Mbali na hivyo wazazi wake walikuwa wakimdhibiti sana kijana wao kuingia katika maisha ya kupenda wanawake, hawakutaka ajiingize huko mapema.
Eddy alivumilia ucha Mungu wa wazazi wake kwa kipindi kirefu lakini alipomaliza shule tu hata kabla majibu ya kidato cha nne hayajatoka, akaamua kuhama.
Ushawishi huo aliupata kwa marafiki zake, Salim Raha na John Tupatupa ambao walikuwa na uhuru mkubwa wa kuingiza vyumbani mwao kila aina ya warembo.
Naye alitamani uhuru huo, akaamua kuwaaga wazazi wake na kuondoka katika nyumba ya familia.
Lakini kabla ya kuhama, mara kadhaa kijana huyo alikoswakoswa kunaswa na wazazi wake pale alipoingiza msichana chumbani kwake.
Siku ya kwanza alipoingia katika makazi mapya alikutana na Rehema, msichana wa Kizaramo aliyekuwa ameumbika vyema.
Eddy alishtuka kiasi hata Rehema mwenyewe kuhisi mgeni huyo alikuwa amepagawa kisawasawa. Siku hiyo mrembo huyo alikuwa akisugua miguu yake katika jiwe maalumu lililopo karibu na mlango wa kuingilia msalani.
Rehema alikua ametoka kuoga, akiwa amevaa kanga moja tu iliyokuwa imelowana na maji na kumfanya maungo yake ya ndani yaonekane.
Ndiyo, kanga ilikuwa imeshikana na mwili na kila Rehema alipokuwa akisugua kisigino chake, ndivyo alivyokuwa akimpagawisha Eddy kutokana na kuzalisha mtetemeko wa haja katika mlima aliokuwa ameufungashia nyuma ya mgongo wake.
Kijana huyo alibaki ameduwaa kwa kitambo kirefu akimwangalia Rehema huku akiwa ameshika sahani mikononi mwake lakini Rehema ndiyo kwanza akajifanya kama vile hakuwa amemuona.
Binti huyo akaendelea kufanya kile alichokuwa akikifanya, mara alishtuka aliposikia mlio wa vyombo vikipasuka.
Ndiyo, Eddy alikuwa ameziachia sahani alizokuwa amezishika mikononi mwake bila ya kutarajia.
Kufuatia mlio uliotokana na sahani kuvunjika, Rehema alimgeukia Eddy na kumuuliza kulikoni ndipo kijana huyo alimwambia zilimteleza kwa bahati mbaya.
“Vipi kaka…?” Rehema alimuuliza Eddy.
“Aaah, sahani zimeniteleza kwa bahati mbaya…”
“Pole sana…,” alisema Rehema na kisha kuendelea kusugua visigino vyake huku akitingisha wowowo lake katika staili ile ya hamsini hamsini mia.
“Majangaaa…!” Eddy alisema kwa sauti ya upole na kujilazimisha kuingia ndani ya chumba alichokuwa amepanga.
Kichwani mwake alikuwa akimfikiria Rehema, akawa anajiuliza kama anaweza kuachana na wanawake wote ili awe na huyo.
“Sasa hapa nitamletaje Amina, nitamletaje Anita?” alijiuliza na kuwa na wasiwasi na mwonekano wa Rehema kwa kuwa alikuwa akionekana kama ni mkorofi fulani hivi.
“Anaonekana mshari-mshari sana, sijui kama nitamuweza,” alizidi kufikiria Eddy na kujitupa katika kitanda kilichokuwa kimemaliziwa kufungwa muda mchache na watu waliofika kumsadia.
Ghafla akiwa hapo, alisikia sauti nyingine ya msichana ikimwita Rehema.
“Dada mkubwa… dada mkubwa…”
“Abee,” Rehema aliitikia kwa kuwa ni yeye ndiye aliyekuwa akifahamika kama dada mkubwa ndani ya nyumba hiyo iliyokuwa wakiishi wasichana wengi.
Wengi wao walikuwa wakimheshimu Rehema kutokana na umri wake na uzoefu wake katika masuala ya mapenzi, pia ndiye aliyekuwa mshauri mkuu wa kila jambo kwa mabinti wengine mtaani hapo.
“Njoo uone mambo huku…,” alisema msichana aliyekuwa akimwita Rehema.
“Kuna nini jamani?”
“Patra kafumaniwa huku…,” alisema msemaji huyo na miguu yake kusikika akitoka nje kwa mlango mkubwa wa upande wa barazani.
“Patra…!” alishangaa Rehema na kufanya binti yule kurudia kusema kwa msisitizo.
“Ndiye yeye kwani mtaani kuna Patra wangapi?”
Eddy alikuwa akitaka sana kumuona huyo binti mwingine ambaye alikuwa na sauti nzuri kama kinanda, akili yake ilimtuma kama angemuona angeweza kufanya uchaguzi bora kati ya Rehema na huyo binti.
Ingawaje moyoni Eddy alikuwa amekufa kwa Rehema lakini wasiwasi wake ulikuwa ni jinsi alivyokuwa amekaa kimtoto wa mjinimjini sana.
Hata hivyo hakuweza kutoka kumwangalia msichana aliyekuwa akimwita Rehema, hakutaka kuonekana kama vile ni mmbeya kwa kufuatilia mambo ya watu, akauchuna kwa kuendelea kulala kitandani pake huku akitafakari jinsi atakavyoendesha maisha yake katika makazi hayo mapya.
Mara miguu ya Rehema nayo ikapita katika chumba chake kwa kasi na kutoka nje kupitia mlango wa barazani.
“Daaa huyu mtoto mkali sana lakini…,” alijisemea moyoni Eddy.
****
Siku hiyo Eddy hakutoka nje, kwa kuwa ilikuwa ni jioni hakuona umuhimu wa kufanya hivyo, alikuwa ameshakula na hakujisikia kuoga. Akaamua kuendelea kulala.
Asubuhi siku ya pili, mapema sana Eddy alikuwa ni mtu wa kwanza kutoka nje, akakutana na baba mwenye nyumba na kusalimiana naye.
“Za asubuhi baba?”
“Nzuri tu, umeamkaje?
“Sijambo, shikamoo.”
“Marhaba… tena afadhali umewahi kwenda kuoga ukichelewa hapa… utajuta,” baba mwenye nyumba alisema na kumpongeza Eddy aliyebaki na maswali kibao baada ya kusikia kauli hiyo.
Huku akishindwa kupata jibu, Eddy moja kwa moja akaingia msalani na kumaliza haja zake muhimu na kisha kuelekea bafuni.
Lilikuwa ni bafu la kiswazi ambalo ungeweza kuchungulia na kumuona mtu wa nje kwa kupitia pachipachi za mlango na sehemu za kidirisha kidogo.
Akaanza kujimwagia maji. Hazikuchukua hata dakika tano akasikia milango ikigongana, akaacha kujimwagia maji na kuchungulia nje.
Walikuwa ni wasichana watatu, mmoja alikuwa ni mrefu na mwembamba lakini pamoja na wembemba wake, alikuwa amejengeka vyema katika kiuno kwani alikuwa amekatika na kuwa na kiuno kama cha nyigu.
Mwingine alikuwa ni mnene, mfupi kiasi lakini alikuwa na mvuto wake kutokana na rangi ya mwili wake ambayo ilikuwa iking’aa kwa weusi wake.
Wa tatu alikuwa ni msichana mrefu na mnene ambaye kwa harakaharaka Eddy aliweza kumbaini kuwa ni yule aliyekuwa akimwita Rehema jana yake na kumwambia kwamba Patra kafumaniwa.
Wote watatu walikuwa wakigombania kuingia msalani lakini kwa kuwa yule msichana mrefu na mnene alikuwa na nguvu zaidi yao, akawawahi na kwenda kuingia msalani.
Alipofanikiwa kuingia msalani, wala hakuchelewa kwa kuwa alikuwa amevaa khanga, aliweza kujiachia na kuanza kumwaga haja ndogo kama kuachia bomba la maji huku akisema maneno ya kuwananga wenzake aliokuwa amewashinda.
Kujiachia kwake bomba la maji litiririke bila ya mpangilio, Eddy akajua kuwa huyo binti hakuwa amepata mafunzo ya kutosha.
Eddy alikumbuka siku moja aliwahi kuambiwa na jimama moja kwamba anayekwenda haja ndogo kwa staha ni yule anayejua kujibana na kujiachia taratibu bila ya kusikika sauti kama vile mbwa au ng’ombe.
Hata hivyo, Eddy alikuwa amempenda msichana huyo, ingawaje moyo wake ulikuwa pia umedondokea kwa Rehema. Akawa anasisimka kwa jinsi alivyokuwa akiiachia bomba lake kwa fujo.
“Daaa! Huyu naye sijui ni mtoto wa mwenye nyumba?” alijiuliza.
Hadi alipokuwa akitoka, Eddy aliendelea kumwangalia kupita upenyo, badala ya huyo wakaendelea wasichana wengine waliokuwa wakigombea naye kuingia msalani.
Baada ya hapo, wakafuatia wengine wengi ambao kwa jumla yao wangeweza hata kufikia timu ya mpira wa miguu.
Eddy alishangaa wote hao walikuwa wakiishi vipi katika nyumba hiyo, kama vile haitoshi akajiuliza mbona jana yake wakati alipokuwa akifika, hakuwaona.
“Majangaaa, jamani mbona Majangaaa!,” alisema Eddy kimoyomoyo wakati alipotoka nje na kukutana na wasichana hao kibao wakiwa wamejipanga uwani kwa ajili ya kwenda kuoga.
“Samahani kaka naomba sabuni…” alisema yule msichana wa kwanza aliyewawahi wenzake kwenda msalani akimwambia Eddy.
“Bila wasiwasi,” Eddy alisema na kumkabidhi binti huyo sabuni yake ya kuogea.
“Daa! Unaanza kujipendekeza kwa mgeni,” alisema msichana mwingine na kuwafanya wengine nao waongeze maneno yao kedekede ambayo hata hivyo binti yule hakuyajali.
Baada ya muda binti yule alitoka bafuni na kwenda moja kwa moja kumrudishia Eddy sabuni yake, alipofika usawa wa chumba cha kijana huyo, Irene alikuwa na kusudio moja tu, kutaka kumshawishi ili awe wake hata kabla msichana yeyote anayeishi ndani ya nyumba hiyo hajamnasa.
Alitaka kutumia ushawishi wake kumnasa mwanaume huyo ambaye alikuwa amemvutia kutokana na urefu wake na umbile lake la kimazoezi.
Aliamini kabisa kwamba yeye ndiye aliyekuwa akiendana na mwanaume huyo tofauti na msichana mwingine aliyepanga pamoja na watoto wa baba mwenye nyumba.
Tangu akiwa anamuomba sabuni, msichana huyo alikuwa ameshajua jinsi alivyoutega mtego wake wa kumnasa kijana huyo.
Alitoka msalani akiwa amevaa kanga moja iliyokuwa ameilowanisha maji na kujaribu kujitingisha kwa mwendo wake wa madaha, moja kwa moja akawapita wasichana wengine waliokuwa wakigombea nafasi ya kwenda kuoga baada ya yeye kutoka.
Alitembea kwa mwendo huo uliojaa uchokozi na kisha kuusogelea mlango wa chumba cha Eddy, bila ya kubisha hodi akaufungua kidogo na kuchungulia, wakati huo macho yake alikuwa ameyaachia kwa kuyalegeza na kuyafanya kama yatake kudondoka.
“Kaka samahani sabuni yako hii…” alisema akiwa ameuingiza uso wake ndani ya chumba cha Eddy aliyekuwa akivaa kwa ajili ya kujiandaa kutoka.
Eddy alishtuka na kumfanya binti huyo naye kujidai kumuomba radhi kwa kitendo alichokuwa amekifanya lakini wakati akifanya hivyo, tayari mwili wake wote ulishakuwa ndani ya chumba cha kijana huyo.
“Naitwa Irene…” alisema huku akionekana kukikagua chumba kile kama vile alikuwa ametumwa kwa ajili ya kufanya kazi ya ukaguzi.
Eddy alikohoa kidogo kutoa kikohozi kikavu kisha akamjibu:
“Miye naitwa Eddy au Eddyson Manyara,” wakati huo kijana huyo alikuwa akichomekea shati lake.
“Oooh oooh jina zuri sana… naona ndiyo unaanza maisha?” alisema Irene akiwa anamwangalia Eddy baada ya kukagua chumba hicho na kukiona kila kilichokuwemo ndani yake.
“Eeehe, nimeamua kuondoka kwa wazazi na kuishi peke yangu ili kujipanga zaidi,” Eddy alisema kwa aibu.
“Kwa hiyo umekuja kwa walimu tukufunze maisha?”
“Sijakuelewa…?” alihoji Eddy.
“ Siku zote Waswahili husema anayeshindwa na wazazi hufunzwa na walimwengu, siye ndiyo walimwengu wenyewe… karibu sana na jisikie kama uko nyumbani kwa wazazi wako.”
“Aaah aaah…” Eddy alicheka na kuendelea kuvaa shati lake tayari kwa kutoka nje ya chumba chake na kwenda kwenye mihangaiko yake.
“Unafanya kazi?” Irene alimuuliza Eddy.
“Yaa, nafanya kazi…”
“Sawasawa karibu sana…” alisema Irene huku akifungua mlango na kutoka nje kwa madaha, akijitahidi kuutingisha mwili wake.
Wakati Irene akitoa mguu wake nje ya chumba hicho ghafla alipoinua uso wake kuangalia mbele akakutana uso kwa uso na Rehema akiwa anapita kwa ajili ya kwenda uwani.
Rehema hakuonekana kumchangamkia Irene ambaye ndiyo kwanza walikuwa wakionana tangu kulipopambazuka siku hiyo.
“Za asubuhi dada?” alisema Irene kumwamkia Rehema kwa haraka huku akichekacheka lakini salamu yake haikuitikiwa, akabaki ameduwaa.
Rehema alimpiga jicho kali Irene kwa kumshusha na kumpandisha kisha akaenda zake uwani hali iliyomfanya Irene kufadhaika, moja kwa moja akajua kuwa ameingia kwenye vita na malkia wa nyumba hiyo.
Irene alijaribu kufikiria ni nini kimetokea kati yake na Rehema lakini hakuambua kitu. Alifikiria labda jana yake alikuwa amemkosea, pia hakukumbuka kutokea kitu kama hicho.
“Hivi huyu brother men anaweza kuwa chanzo?” alijiuliza akimfikiria Eddy.
Irene akiwa katika mawazo hayo akasema kama kweli chanzo ni huyo kijana, basi atahakikisha kwamba anakula naye sahani moja ili kuzidi kumvimbisha mashavu Rehema.
“Malkia malkia… wala sitajali kama ni malkia wa nini, watu tumewaona mamalkia wa maana atakuwa yeye malkia wa vichochoroni,” alisema Irene na kisha akaachia msonyo wa nguvu uliosikika hadi nyumba ya pili.
Wakati huo alikuwa ameshaingia chumbani kwake na kuanza kujikwatua kwa kuupara uso wake kwa mapambo ya kila aina ambayo yalipaswa kuingia usoni pake.
Wakati akiendelea kujipamba kila dakika ilivyokatika ndivyo alivyokuwa akikikumbuka kitendo alichofanyiwa na Rehema.
Alikasirika sana kuona anamsalimia halafu anamvimbishia mashavu bila ya kujua sababu, kila alivyokumbuka kitendo hicho aliachia msonyo na kuendelea na shughuli zake.
“Asubuhi asubuhi mtu anakuharibia siku,” alijisemea peke yake Irene wakati akijiangalia kwenye kioo kisha akaachia msonyo mwingine.
****
Kwa upande wake, Rehema roho yake ilikuwa imemchafuka, ikimchonyota kwa kumuona Irene akitoka chumbani kwa Eddy, moja kwa moja akajua kuwa wawili hao watakuwa wamelimenya tunda la mwituni asubuhiasubuhi.
“Haiwezekani lazima watakuwa wamepeana kile kitu roho inapenda, iweje atoke chumbani kwake asubuhi yote hii?” alijihoji na kukosa jibu la uhakika.
Rehema alikuwa amechukia kwelikweli na moyo wake ulimuuma kwa kuona kwamba Irene anaanza kuwa na uhusiano na mwanamme huyo mgeni kabla yake.
“Atakuwa ameingia asubuhi ileile au atakuwa amelala chumbani kwake?” alijiuliza tena Rehema huku donge likiwa limemnasa rohoni mwake.
“Yaani atakuwa ameshanizidi kete?” aliwaza Rehema ambaye aliamini kabisa kwamba mitego aliyomtega Eddy siku ya kwanza ilikuwa ni lazima amnase kwanza kabla ya kinyangaratika kingine ndani ya nyumba yao.
****
Kwa upande wake Eddy ambaye alitoka baada ya kujipulizia utuli uliouteka ukumbi wa nyumba hiyo, alikwenda moja kwa moja kwenye shughuli zake kubaingiza, kwa kuwa bado hakuwa na kazi ya kufanya.
Alikuwa akifanya kazi yoyote ambayo aliamini kuwa ingeweza kumwingizia kipato.
Siku hiyo alikwenda moja kwa moja hadi kijiweni kwake maeneo ya Kariakoo ambako vijana wengi hukutana na kuuza maneno kwa watu wengine ili wapate chochote kitu.
Moyoni mwake Eddy hakuwa salama hata kidogo, kwa kuwa vitendo viwili vilikuwa vikimchanganya akili yake kwani moyo wake ulikuwa ukiripuka kila alipokuwa akikumbuka jinsi alivyomuona Rehema akisugua kisigino chake ilhali amevaa khanga moja iliyokuwa imelowana sehemu za makalioni.
Moyo ukitulia unaripuka tena kwa kitendo cha Irene kuingia chumbani kwake akiwa na khanga moja ambayo nayo ikiwa imelowana, Eddy alivuta taswira za mabinti hao wawili na kubaki akiwa hana la kufanya.
“Kila mmoja ana uzuri wake…” Eddy aliambia nafsi yake na kubaki na dukuduku moyoni mwake. Mpaka wakati huo hakuwa akijua kama amesababisha songombingo kati ya wasichana wawili hao.
Hilo hakulijua kwa kuwa hakuliona wakati likitokea, kwa sababu alikuwa chumbani kwake, laiti kama angeliona angejua cha kufanya, asingekuwa na budi kuchagua upande mmoja.
Lakini moyo wa Eddy ni kama wa wanaume wengine, haukulidhika na mmoja, unataka kumi na moja kwa kutaka kuonja kila sehemu ili kujua radha yake.
Eddy alikuwa akitaka kujua utamu wa Rehema lakini pia alikuwa akitaka kujua utamu wa Irene kwa kuwa damu yake ilikuwa ikichemka, kikubwa alikuwa akijiuliza itawezekanaje ndani ya nyumba moja!
Hilo ndilo lililokuwa likimitia mashaka, vinginevyo alikuwa akiwataka mpaka wengine waliokuwa wakiishi ndani ya nyumba ile kwani aliamini kuwa kila mti una tunda lake na kila tunda lina utamu wake.
Eddy alikwenda mjini na kuzugazuga kwa jamaa zake maeneo ya Shule ya Uhuru Karikooo, huko alikutana na marafiki zake Spider au Raha na John Tupatupa na kuongea nao kile kilichomkuta katika nyumba ile aliyohamia.
“Hapo lazima ucheze kama Pele lakini kwa jinsi unavyonihadithia kitu hapo ni Rehema…” alisema Raha.
“Mmmh mwana usipepese macho wala kuuma meno, hapo kitu ni Irene…” aliongeza John Tupatupa ambaye alimlaumu Eddy kwa nini hakumaliza mchezo wakati mzigo ulipoingia chumbani.
“Washikaji sasa mnanichanganya… niacheni nitumie akili yangu,” Eddy aliwaambia baada ya kuona kila mmoja akiwa na mtazamo wake kuhusiana na mabinti hao.
****
Rehema hakuwa ameridhika, alipofika uwani alipishwa kwenda msalani na mabinti waliokuwa katika foleni kwa kuwa yeye ni malkia wa nyumba hiyo.
Akaoga na kumaliza haja zake muhimu, kama kawaida alipotoka alisugua miguu yake huku akiwa na hamu ya kutaka kujua Irene aliingiaje chumbani kwa Eddy.
Alipomaliza shughuli zake akamchukua mmoja wa mabinti waliokuwa wakisubiri kwenda kuoga na kumwambia amfuate chumbani kwake.
Binti akajua labda ametafutiwa mtu wa kuduu naye, akawa na wasiwasi wakati alipokuwa akiambiwa kuingia chumbani kwa malkia.
“Usiogope kaa hapo kwenye sofa…” alisema na binti akiwa na wasiwasi akaketi.
“Ulimuona Irene leo?”
“Ndi… ndi- yoooo, nilimuona dada…”
“Ulimuona wakati gani?”
“Alipokuwa akitoka kuoga…”
“Hukumuona alipoingia chumbani kwa yule mgeni…?”
“Wala sikumuona lakini kama aliingia atakuwa alikwenda kumrudishia sabuni yake…”
“Kwani alichukua sabuni kwake?”
“Eeeh wakati akiwa anatoka kuoga yule mkaka, dada Irene akamuomba sabuni ya kuogea…” alisema binti yule na kuifanya roho ya Rehema kuanza kupona kidonda cha wivu kilichokuwa kikimkereketa.
“Oke nenda, usimwambie yeyote nilichokuuliza.”
“Sawa.”
Baada ya binti yule kutoka nje, Rehema alifurahi sana, akajua kuwa Irene hakuwa ameambulia kitu. Akafurahi na kujitupa kitandani na kukumbatia mito.
Baada ya muda kidogo Kijana Eddy alirudi kutoka kwenye mihangaiko yake
koridoni alikutana na Baba mwenye nyumba na kuanza kusalimiana,,,,,wakati wanaendelea kuongea umbe rehema alisikia na kutoka nje wakati huo Baba mwenye nyumba alikuwa ameshaingia chumbani kwake
"rehema alipomuona eddy akaaanza kutembea kwa madoido
Kisha akajitingisha mwili wake kuonesha kwamba alikuwa mpana na kuifanya khanga aliyoivaa kutikisika kutokana na mtikisiko uliosababishwa na ‘boksi’ lake lililokuwa limetanuka kisawasawa nyuma ya mgongo wake.
Wakati Eddy alipokuwa akikaribia kumfikia akajikohoza ili kuweka sauti yake katika ile hali aliyokuwa akiitaka yeye.
Alikuwa amedhamiria kutoa sauti ile yenye mvuto ambayo ingeweza hata kumtoa nyoka pangoni.
“Mambo?”
“Powa,” alijibu Eddy akiwa ameshtushwa sambamba na kupigwa na mshangao kutokana na bashasha alizokuwa ameoneshwa na Rehema.
“Pole na mihangaiko…” Rehema alimwambia tena Eddy aliyekuwa bado akili yake haijakaa sawasawa kujua ni kitu gani kilichokuwa kikiendelea.
“Asa… Asante,” alijibu bila ya kujiamini.
Muda wote huo Rehema alikuwa akiitumia siraha yake ya macho, pamoja na kwamba giza lilikuwa limeshaanza kuingia lakini machao yake makubwa na meupe ‘pee’ yalikuwa yaking’aa kama nyota ang’avu.
Ghafla, Rehema akalipokea gazeti lililokuwa limeshikwa na Eddy, wakati kijana huyo akiendelea kushangazwa na ukarimu huo, alijikuta akishikwa mkono na kukaribishwa ndani.
Baada ya kufika ukumbini, moja kwa moja Rehema ambaye alikuwa ametangulia mbele, akabadilisha mwendo, akawa anatembea kwa kulitingisha boksi lake kama vile alikuwa akitaka kuliangusha.
Mbaya zaidi kuna wakati alikuwa akisimama ghafla na kumgusa Eddy kwa makalio yake na kumchanganya.
Eddy alikuwa kama nyoka wa kibisa hakuwa na sumu kabisaaa, makali yake yote yalikuwa yamekwisha na ujanja wake ulikuwa umetiwa mfukoni kwani kama ni shambulio basi lilikuwa la ghafla sana kumkumba, hivyo hakulitegemea.
Hakuweza kujihami kwa njia yoyote ile, alibaki akipelekwa kama gari bovu lililokuwa limekatika breki.
Bila ya kutarajia akajikuta akiingizwa chumbani kwa Rehema badala ya kuelekea chumbani kwake.
“Karibu…” alisema Rehema kwa sauti laini ya kuweza kumpagawisha mwanaume yeyote rijali.
Eddy hakuamini kile alichokiona chumbani humo, kilikuwa chumba kikubwa kilichokuwa katika mwanga hafifu wa rangi nyekundu na kumfanya ashindwe kukiona kila kitu katika uhalisia wake.
Alijaribu kuzungusha macho yake ndani ya chumba hicho kila pembe, alipomaliza akaanza kumwangalia mwanamke huyo ingawaje kwa kumwibia.
Eddy mbele yake kila kitu kilikuwa kizuri, alivutiwa na kila kitu, alivutiwa na macho ya Rehema yaliyokuwa yaking’aa, alivutiwa na rangi ya mwanamke huyo, akavutiwa na umbile lake.
Eddy alishangazwa na uzuri wa Rehema ambaye kwa wakati huo aliuona uzuri wake ulikuwa umezidi maradufu ya siku alipomuona kwa mara ya kwanza mchana.
“Karibu sana....” sauti laini iliyakatisha mawazo ya Eddy na kuyafanya arejee chumbani humo.
Pamoja na usiku huo kutaliwa na kibaridi cha haja lakini kijasho chembamba kilianza kumtoka nyuma ya mgongo wake kutokana na uti wa mgongo wake kupatwa na mshtuko.
“Utakunywa nini…?” Wakati Rehema akiuliza swali hilo tayari alikuwa ameshafika kwenye kochi alilokuwa amekaa Eddy na kuinama kwa heshima akiwa amepiga magoti akimwangalia kwa macho yake makali ambayo yalikuwa na uwezo wa kuyaona hata mapigo ya moyo ya mwanaume huyo yalivyokuwa yakienda kwa kasi.
“Nitakunywa chochote…” alisema Eddy akiwa amejiinua kidogo katika kochi na kisha kujirudisha tena chini.
“Usijali, nitakupa juisi ya ndimu…” alisema Rehema na kusimama kisha akainuka na kukifuata kijokofu kidogo kilichokuwa katika kona ya chumba hicho.
Pamoja na utoto wake wa mjini, Eddy hakujua kama duniani kulikuwa na juisi ya ndimu, hakuamini alipoambiwa kwamba analetewa juisi hiyo.
Kama kawa Rehema hakuacha kulitingisha boski lake pale alipokuwa akimpa mgongo kijana huyo na kufuata kile alichokuwa akikifuata, hali iliyokuwa ikimweka katika wakati mgumu sana Eddy.
***
Awali ‘paka’ wa Eddy alikuwa akishindwa ‘kulia nyau’ lakini kadiri muda ulivyokuwa ukisonga mbele ndivyo alivyoyazoea mazingira na paka wake akaanza kututumka na kuvimba huku akilia nyau baada ya kuona kwamba kulikuwa na kila dalili za kula ‘samaki’.
Rehema alirudi na juisi iliyokuwa ndani ya glasi, ambayo hakutaka kuiweka juu ya stuli wala hakutaka kuiweka juu ya meza iliyokuwa hatua chache kutoka alipokuwa amekaa Eddy.
Akakaa katika kochi sehemu ya kuwekea mikono na kuishika vyema glasi hiyo na kuipeleka kinywani kwa kijana huyo.
Eddy hakuwa na ujanja, akaachia mhemo wa nguvu na kisha akatanua kinywa chake na kuipokea juisi hiyo na akanywa funda moja.
Hakutegemea utamu wa juisi hiyo, akiwa anatafakari akapewa tena, naye hakijivunga akapiga funda lingine, hakutarajia kuipata radha aliyoipata, ilikuwa ni juisi nzuri iliyochangamsha mdomo na mwili wake kwa jumla.
Hali iliendelea hivyo mpaka juisi ilipoisha, mpaka hapo akawa ameshaelewa kwamba alikuwa ametekwa kimapenzi na Rehema.
Akajiuliza maswali mengi, hakuamini kama alistahili kufanyiwa yote aliyokuwa akifanyiwa lakini hakuwa na budi kukubali kila alichokuwa akifanyiwa na binti huyo mwenye umbile matata.
“Unaitwa nani vile…?” Rehema alijifanya hamjui vyema Eddy.
“Eddy… Eddy Manyara… mtoto wa pili kwa mzee Manyara…” kijana huyo alijikuta akishusha historia yake kwa ufupi. Kutokana na hali aliyokuwa nayo angeweza kusema kila kitu alichokifanya alikuwa amepagwa na mambo machache aliyokuwa amefanyiwa kwa muda mchache.
Eddy akaamini yale yote aliyokuwa akiyasikia mitaani kwamba wanawake wa Kitanga ni noma katika mahaba, akajua amepatikana ingawaje hakuwa akijua Rehema ni kabila gani.
***
Wakati yote hayo yakitendeka Irene alikuwa amelala chumbani mwake fikra zake zikipanga mikakati ya kumnasa Eddy ili kumdhihirishia Rehema kwamba yeye ni kiboko yake .
Akiwa amejilaza kitandani, ghafla mlango wake ulifunguliwa, akaingia mdogo wake aitwaye Patricia akionekana kama kuwa na ujumbe mahususi kwa ajili yake.
“Vipi?”
“Dada nimekuja…”
“Kwa heri au kwa shari…”
“Kwa kweli sijui kama ni kwa heri au kwa shari.”
“Kwa nini?”
“Nataka nikwambie kitu cha ajabu nilichokiona…”
“Kitu gani?”
“Ni kuhusu dada Rehema na yule mgeni wa chumba…” Patricia aliposema hivyo tu, kwa kasi ya ajabu Irene aliinuka kutoka katika kitanda na kujikuta amekaa katika tendegu la kitanda.
“Wamefanya nini?”
“Tulia nikupe habari…” alisema Patricia baada ya kugundua dada yake ameshtushwa na kauli yake kuhusu Eddy na Rehema.
“Wamefanya nini?”
Patricia akaanza kumpa mkanda mzima, kwanza alianza kumwambia eneo alilokuwa amekaa.
“Nilikuwa nimekaa nyumba ya jirani pamoja na akina Edna, Jack na Amina…” alianza kuhadithia Patricia.
Kisha Patricia akamwambia dada yake jinsi Eddy alivyopokelewa na Rehema kisha akamwambia kwamba na wenzake wakaamua kuufuatilia mchezo mzima ulivyokuwa ukiendelea.
Kama vile haitoshi akasema wenzake walivyoshindwa kuendelea, yeye alifuatilia na kushuhudia vituko vyote alivyokuwa akifanyiwa Eddy na Rehema hadi akashuhudia wawili hao walipokuwa wakiingia katika chumba cha Rehema.
Hivyo, akatumia fursa hiyo kumwabarisha dada yake kila kitu alichokishuhudia.
“Unasema kweli?”
“Kweli dada…”
“Haiwezekani…” alisema Irene na kuinuka, akachukua khanga yake na kujifunga kiunoni na kutoka chumbani humo kama mshale huku Patricia au Pat akimfuata kwa nyuma.
“Unaenda wapi dada?” Pat alimuuliza.
“Nifuate huku…” alisema Irene huku akielekea upande wa uwani, kitu ambacho kilimshangaza Pat kwa kuwa alijua dada yake angeweza kwenda kugonga mlango wa Rehema na kumuulizia kama Eddy alikuwa chumbani humo.
Moja kwa moja Irene alitokea uwani, Pat hakuwa na budi kumfuata, Irene alipofika uwani akakata kulia na baada ya mwendo mbele kidogo akakata tena kulia, akawa analifuata dirisha la Rehema.
Hapo ndipo Pat alipofunguka kimawazo kwa kujua kuwa dada yake alikuwa akienda kuchungulia dirishani ili kuthibitisha kama kweli yule mgeni alikuwa mle chumbani.
Baada ya kuhisi hivyo, Pat alipunguza mwendo kwa kuamini kuwa dada yake atashuhudia mwenyewe kile alichomwambia, alihisi dada yake hakuwa akiamini maneno ya kuambiwa bali alikuwa akitaka kushuhudia mwenyewe.
Wakati Pat akiwaza hivyo, Irene alishachukua kijiti kilichokuwa pembeni na kuanza kupekenyua dirisha la Rehema kwa kulisogeza pazia pembeni, akaruhusu mboni zake zipenye na kuchungulia ndani.
“Ah!” aliachia mshtuko mdogo baada ya kushuhudia kile kilichokuwa kikiendelea ndani. Aliwaona kwa macho yake Rehema na Eddy wakiwa katika mazingira tata.
Eddy alikuwa amekaa kwenye kochi, Rehema alikuwa ameinama mbele yake akiwa amepiga magoti, hilo halikumshtua Irene bali alishangazwa na kitendo kile kilichokuwa kikiendelea kati ya wawili hao.
Mbali na Rehema kupiga magoti mbele ya Eddy lakini kitendo kilichokuwa kikiendelea ndicho kilichomshtua na kumfanya mapigo yake ya moyo yaongeze kasi, Rehema hakuwa ameinama bure bali alikuwa akiumenya ‘mua’ wa Eddy kwa mdomo.
Irene akaganda pale dirishani akitumbua macho kama mjusi aliyebanwa na mlango huku akimshuhudia mwenzake alivyokuwa akionesha ufundi wa kuumenya mua kwa mdomo.
Akiwa dirishani, mate yakamjaa mdomoni akayameza funda moja kama mtu aliyekuwa akitafuta kitu cha kufanya lakini hakuweza kufanya chochote, ndani ya nafsi yake akakiri kwamba anatakiwa kujipanga vyema ili kushindana na Rehema.
Alikiri uwezo wa mwanamke mwenzake huyo ulikuwa mkubwa katika kumpagawisha mwanaume baada ya kushuhudia tukio lile, wakati Irene akiendelea kuchungulia, Pat naye akapiga hatua kumfuata pale dirishani.
Irene alihamisha macho na kumwangalia kisha akamuonya kwa ishara ya kuweka kidole cha shahada mdomoni mwake akimtaka kuchukua tahadhari kutokana na hatua zake ili asipige kelele.
IRENE aliporudisha macho kuangalia chumbani akakuta zoezi limebadilika, safari hii ilikuwa ni zamu ya Eddy kufanya kitendo kile alichokuwa akikifanya Irene.
Kijana huyo alikuwa amempisha Rehema kwenye kochi na msichana huyo akaulaza mgongo wake kwenye kochi hilo na kuachia vimbwanga vyake vyote hadharani.
Eddy alikuwa amepiga magoti mbele yake na kufanya kama alivyokuwa akifanya Rehema, alikuwa anakula kitu roho inapenda, ulimi wake ulikuwa ukifanya kazi ya kupita na kusafisha kila pembe ya kile kitu ambacho kilimfanya Rehema apewe jina la Rehema na katu si jina la jinsi nyingine.
Ulimi wa Eddy ulikuwa kama una ufagio wenye msasa ambao ulikuwa ukipita kila kona na kusafisha uchafu wa aina zote.
Hali hiyo ilimfanya Rehema kuanza kulalamika kwa kupiga kelele ambazo zilimfanya Irene kusisimka na kutaka kujua hisia za Rehema.
Alitamani katika nafasi ile angekuwa yeye ili aweze kuona kile kilichokuwa kikimfanya alalamike kwa kupiga kelele.
Mbali na Irene, kelele zile pia zilimsisimua Pat ambaye kwa wakati huo alikuwa akishuhudia vitu adimu katika maisha yake.
Kitendo hicho hakikuwa kipya kwa Irene ambaye alikuwa ameshawahi kukisikia kwa watu ingawaje hakuwahi kuona kikifanyika.
Msichana huyo alishawahi kusikia baadhi ya wasichana wenzake wakizungumzia jambo hilo. Siku moja akiwa na wasichana hao walikuwa wakipiga stori zao za chumbani.
Kila msichana alikuwa akieleza uzoefu wake jinsi alivyokutana na mwenza wake na kumfikisha pale kwenye kilele cha mlima mrefu kuliko yote Afrika kama siyo duniani.
Hapo, ndipo Irene aliposikia kwamba kuna kitu kama hicho ambacho kila mmoja alikiita kwa jina lake, mmoja wa marafiki zake alikibatiza kwa jina la ‘special menu’.
“Yaani ukiliwa special menu unaweza kupagawa na kuwa mwendawazimu…” alisema rafiki huyo kumwambia Irene ambaye hakuwa akielewa vyema maana ya kitu hicho.
Hata alipoeleweshwa hakuamini kama kilikuwa kikiwezekana kwa kuwa ilikuwa ni vigumu kwake kuweza kumwachia mtu wa jinsi nyingine aingie kwenye himaya yake na kufanya kitu kama kile.
Siyo kitendo hicho tu, Irene wa kipindi hicho alikuwa hawezi hata kumwachia mwanaume aiangalie ikulu yake, nini kuila kama peremende.
Hivyo siku hiyo ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kuona special menu ikiliwa.
Kwa upande wake Pat, hakuwa amesikia popote kama kulikuwa na kitu kama hicho, alikuwa mchanga sana katika fani ya mahaba. Ndiyo kwanza alikuwa akipevuka na kutaka kuingia katika dunia hiyo.
Mbali na kutojua kitu hicho kwa siku hiyo, alikuwa akishuhudia kwa mara ya kwanza kwa macho yake. Pat alishangaa sana na kujiuliza maswali mengi ambayo kichwa chake kilishindwa kuyajibu.
“Anamuuma?” alijiuliza.
“Anamla…?” lilikuwa swali lingine tena ambalo nalo halikupata jibu.
***
Ghafla mchezo ulibadilika tena na kuingia kwenye hatua nyingine, hali hiyo iliwapa wakati mgumu sana Irene na mdogo wake Pat.
Kwanza Irene alishangazwa na ‘chachandu’ za Rehema ambazo zilikuwa zimefunika sehemu kubwa ya mwili wake.
Yeye hakuwa nayo hata moja, hapohapo aliapa kwamba lazima kabla jua la kesho yake halizajama aende Kariakoo na kutafuta zake.
Hakutaka mjadala katika hilo, aliamini kuwa amejifunza kitu na kwa kuwa alishaamua kuingia katika vita na Rehema, basi hakuwa na budi kujipanga ili kumkabili adui kwa nguvu zote.
Roho ilimuuma sana Irene, alitamani kulisimamisha pambano hilo lakini hakuwa na uwezo huo, ilimbidi kuangalia pambano hilo huku roho ikimuuma.
Rehema na Eddy wakaingia kwenye hatua nyingine ya kusaula viwalo vyao katika maungo na kuingia uwanjani kusakata kabumbu, hata hivyo uwanja uliotumika haukuwa ule wa kawaida.
Rehema na Eddy walikuwa wameamua kupiga shoo kwenye uwanja wa chandimu, hawakutaka kuingia kwenye dimba kubwa, waliamua kucheza gemu hilo kwenye uwanja mdogo wa fundi seremala yaani kwenye kochi huku wakiliacha dimba kubwa katika hali ya usalama.
Rehema na Eddy ni kama vile walikuwa wamepaniana, kila mmoja kama alikuwa akitaka kumuonesha mwenzake ufundi wa jinsi anavyojua kusakata kabumbu.
Nini kiliendelea? Usikonde mtu wangu
 
Sehemu Ya Pili (2)
Rehema na Eddy wakaingia kwenye hatua nyingine ya kusaula viwalo vyao katika maungo na kuingia uwanjani kusakata kabumbu. Hata hivyo, uwanja uliotumika haukuwa ule wa kawaida.
Rehema na Eddy walikuwa wameamua kupiga shoo kwenye uwanja wa chandimu, hawakutaka kuingia kwenye dimba kubwa, waliamua kucheza gemu hilo kwenye uwanja mdogo wa fundi seremala yaani kwenye kochi huku wakiliacha dimba kubwa katika hali ya usalama.
Rehema na Eddy ni kama vile walikuwa wamepaniana kila mmoja alitaka kumuonesha mwenzake ufundi wa jinsi anavyojua kusakata kabumbu
Kukamiana huku kuliwafanya kuhangaika na kubadili mitindo ndani ya muda mchache hali iliyowashangaza sana watazamaji ambao hawakuwa rasmi, Irene na Pat.
Safari hii walikuwa wakipiga shoo kwa mtindo maarufu uitwao Funika Kombe Mwanaharamu Apite, kweli ilikuwa ni balaa ndani ya balaa kwani kila mmoja alikuwa akihemea juu kwa kwa juu.
Jasho lilikuwa likiwavuja pamoja na hali ya hewa kuwa tulivu huku upepo mwanana ukivujisha hewa iliyojaa ubaridi mithili ya kiyoyozi.
Kama vile haitoshi pangaboi lililokuwa chumbani kwa Rehema lilikuwa likifanya kazi kwa namba ndogo lakini iliyotosha kutawanya hewa ndani ya chumba hicho.
Waliendelea ‘kuseguasegua’ kwa mtindo wa Funika Kombe ambao kwa hakika ilikuwa ni vigumu kujua kama walikuwa wakila ‘wali kwa kuku’ au walikuwa wanakula ‘ugali kwa bata’ kutokana na mchezo wenyewe uliowalazimisha wawili hao kutazama upande mmoja.
Wote walikuwa wamekaa katika mwelekeo mmoja huku kila mmoja akiwajibika kwa kuonesha ufundi wake kutokana na mtindo huo. Irene alivuta pumzi ndefu kisha akazishusha kwa nguvu, hata hivyo wahusika hawakuweza kuzisikia.
Msichana huyo alikuwa amepagawa kutokana na shoo iliyokuwa ikipigwa na Eddy na Rehema, pamoja na kwamba alikuwa nje ya mchezo lakini alijikuta akichafua ‘kufuli’ yake.
Ghafla, akiwa katika hali hiyo, kitu cha ajabu kikatokea, Pat alishindwa kuvumilia kutokana na kasi iliyokuwa ikioneshwa na wawili hao.
Msichana huyo akajikuta akipiga kelele ambayo iliwashtua Rehema na Eddy pamoja na Irene.
Hali hiyo iliwafanya Eddy na Rehema kusitisha shoo yao kwa kuwa sauti ile ilisikika karibu yao kabisa. Licha ya kushtuka, Irene kwa upande wake alifanya kitendo bila ya kuchelewa alichomoka kama mshale na kukimbilia uani.
Alipofika huko akaingia msalani ili kupoteza malengo kumhofia Rehema kama angetoka mle ndani asiweze kumuona wala kumhusisha na tukio alilolifanya Pat.
Pat naye baada ya kupagawa akazinduka na kuamua kutoka mbio kuondoka eneo lile. Hakuwa akijua ni wapi alipokuwa akikimbilia.
Baada ya Rehema na Eddy kusimamisha pambano lao wakawa wanajiuliza cha kufanya, wakasikilizia kama kelele ingejirudia tena lakini haikuwa hivyo.
Wakaangalia dirishani hawakumuona mtu, Rehema ambaye alikuwa kama nyota wa mchezo huo aliinuka na kuvuta vizuri pazia.
Mara alipomaliza kufanya hivyo akazima taa na kuachia bonge la msonyo huku akimlaani kwa maneno yote mabaya yule aliyeikatisha starehe yake.
Kwa kuwa hakuwa amefika katika kilele cha mlima, iliwabidi wavute tena hisia kwa ajili ya kufurahisha miili yao.
Akarudi pale alipokuwa amemuacha Eddy na kumtaka wahamie kwenye dimba kubwa ili waweze kuendelea na mchakato wa kukata kiu zao.
Huko wakawa na jukumu kubwa la kurudisha hisia zao zilizokuwa zimetibuliwa, kwa kuwa walikuwa wameshapoteza ari na morali, wakaanza upya kusaka hisia zao.
Kwanza iliwabidi kuondoa hisia kama vile kulikuwa na mtu aliyekuwa akiwapiga chabo, wakajipanga upya ili kuweza kumaliza ngwe waliyokuwa wamebakiza.
Bila ya kutarajia ndani ya dakika kumi wakasahau kilichotokea, wakawa hawakumbuki kama kuna mtu alikuwa akiwachungulia.
Wakawa bize na starehe yao, hatimaye wote kwa pamoja wakajikuta wakiongeza kasi ya viungo vyao kufanya kazi, jasho likawavuja, mihemo yao ikaongezeka.
Kilichofuata ‘itv’ ilikuwa ni kila mmoja kuanza kupiga kelele kivyakevyake, huku akilalamikia kule na mwingine naye akifanya hivyo kwa upande wake.
Mwishowe wote wakashindwa ‘kuikontroo’ miili yao, kwa pamoja wakaanza kutetemeka kama wamepigwa na shoti ya umeme.
Baada ya kumaliza ngwe hiyo, hisia za Rehema zikarudi katika kitendo kile kilichotokea, akataka kujua ni nani aliyemvurugia starehe yake.
Hasira zikarudi upya, akamwambia Eddy kwamba lazima atamkomesha aliyefanya kitendo kile.
Rehema akainuka na kutoka katika uwanja mkubwa wa fundi seremala, akawasha taa yenye mwanga hafifu na kuchukua kitaulo kidogo kilichokuwa pembeni, akaifuata chupa ya chai na kuifungua.
Ndani ya chupa hiyo kulikuwa na maji ya uvuguvugu, Rehema akayamimina kwenye kitaulo kile, kisha akamfuata Eddy pale alipokuwa amelala kwa uchovu na kuanza kumfuta ‘mzee’ wake.
Hali hiyo ilimrudisha Eddy katika uhai wake, alihisi akipata nguvu mpya kutokana na joto alilolipata kupitia maji yale.
Mwanaume huyo akawa anagugumia chini kwa chini kutokana na kupigwa deki ‘ikulu’ yake.
Kilikuwa kitendo ambacho hakuwahi kufanyiwa katika maisha yake, ndiyo kwanza alikuwa akikiona, akachanganyikiwa.
“Pole,” alisema Rehema kwa sauti nyembamba ambayo ilikuwa imelegezwa kwa makusudi ili kumfanya Eddy ajue kuwa alikuwa na mwanamke wa kweli aliyekwenda unyagoni na kufundwa kisha akafundika.
Kama vile haitoshi, baada ya kumaliza zoezi hilo, Rehema alilifuata jokofu na kutoa matunda fulani hivi, hayakuwa mengine zaidi ya zabibu.
Rehema akayachukua na kuyaweka kwenye kisaani cha chai kisha akapanda uwanjani ambako Eddy alikuwa amelala akiwa amechoka kutokana na safari ya kufikia kwenye kilele cha starehe.
“Pole,” alisema tena Rehema kwa sauti ileile huku akizichukua zabibu mojamoja na kuanza kumlisha Eddy. Mpaka kufikia hapo Eddy akawa amezidiwa na kujiona kwamba amepatikana kwa kuingia sehemu ambayo hakuwa na uwezo nayo.
Moyoni mwake akakiri kabisa kwamba alikuwa amepatikana, hakujua kama angeweza kujichoropoa katika mtego ule aliouingia, aliamini kwamba hakuwa na fedha za kuweza kumpa Rehema.
Alijiuliza ni kiasi gani ambacho angeweza kumpa msichana huyo kwa ajili ya kumshukuru kwa huduma zote hizo.
Matendo aliyokuwa akifanyiwa yakamfanya ajipe moyo wa kutafuta kibarua kwa nguvu zake zote ili aweze kulipia gharama hizo.
Eddy alimini kwamba aliyokuwa akifanyiwa hayakuwa ya bure lazima kuna siku angetakiwa kuyalipia tena kwa gharama kubwa.
“Sidhani kama nitaendelea kufanywa mwanaume suruali, iko siku nitapigwa mzinga wa maana, nikisema sina si nitakuwa nimezikosa hizi huduma?” aliwaza.
Hata kabla hajapata hiyo kazi wala hajazitia mfukoni fedha anazotarajia kuzipata kutokana na kibarua kisichokuwepo, Eddy akafikiria ni kiasi gani ambacho kingeweza kumtosha Rehema, kila alichokifikiria alikiona ni kidogo.
“Kwa nini ananifanyia hivi?” aliendelea kujiuliza wakati akiwaza hayo, Rehema alikuwa kama ameyasoma mawazo yake na kuhisi kile alichokuwa akikiwaza mwanaume huyo, akamwita kwa kulitaja jina lake:
“Eddy.”
“Naam,” Eddy aliitikia huku akitafuna kipande cha zabibu.
“Nakupenda sana, tangu siku ile ya kwanza niliyokuona, ulinichanganya sana, sijawahi kuona mwanaume mwenye umbile kama lako, urefu wako, umejaa kifuani…” alisema Rehema huku akiizungusha mikono yake kwenye kifua cha Eddy kugusagusa bustani ndogo iliyokuwa ikianza kumea.
Hali hiyo kwa kweli ilikuwa ikizidi kumfanya kijana wa watu ajione kama vile ni mfalme na kusahau shida zake zote za duniani, alihisi kama vile alikuwa katika jumba la kifahari na Rehema alikuwa kama malkia pembeni yake.
“Hata mimi…” Eddy alijikuta naye akisema kulikubali penzi la Rehema.
“Sema kweli?” alidadisi Rehema.
“Kweli vile…”
“Kwa hiyo leo utalala hapa au…?”
“Hapana, niache tu nikalale kwangu kwa kuwa unajua miye ni mgeni…sijazo…”
“Unamwogopa nani?” Rehema alimkatisha na kumfanya Eddy apatwe na kigugumizi cha ukubwa.
“Si… si… simwogopi mtu…”
“Ila…”
“Basi tu…”
“Najua unamtaka yule mwanamke wako…” alisema Rehema na kujifanya kukasirika.
“Nani?”
“Irene.”
“Ndiyo nani huyo?”
Unajifanya humjui wakati leo umempa sabuni ya kuogea?”
“Aaah yule msichana ndiye anaitwa Irene?” Eddy naye alihoji.
“Unajifanya humjui eeeh?”
“Simjui miye… aliniomba….”
“Basi ishia hapohapo, huwa sitaki kusikia habari za vinuka mkojo…” alisema Rehema na kujidai kususa ili kumpima Eddy kama atakubali kulala au atakataa na kuondoka kwenda kulala chumbani kwake.
Rehema akageukia upande mwingine na kumuacha Eddy akiwa amekaa bila kuelewa kilichokuwa kikiendelea, hali hiyo ilizidi kumchanganya kwa kuwa Rehema alionekana kususa.
Kabla hata mwanaume huyo hajachukua uamuzi wowote, akamsikia msichana huyo akiangusha kilio cha kwikwi huku akitoa sauti yake ndogo.
Kutahamaki, Eddy akachanganyikiwa na kumwinua huku akianza zoezi la kumbembeleza, tayari mashavu ya Rehema yalishajaa machozi ya uongo na kweli ili kulifanya zoezi lake lionekane kuwa la kweli.
“Nyamaza Rey wangu…” Eddy alilitohoa na kuliita kwa mbwembwe jina hilo la mpenzi wake kiasi cha kumfanya Rehema kuhisi faraja.
***
Wakati Eddy akiendelea kumbembeleza Rehema, Irene alikuwa akirandaranda nje kama fisi aliyekuwa akisubiri mzoga uachiwe na simba ili aweze kuambulia chochote.
Mara kwa mara alikuwa akikatiza katika mlango wa Rehema na kujaribu kusikiliza kile kilichokuwa kikiendelea ndani.
Kwa bahati nzuri au mbaya hakumsikia Rehema wakati akimponda. Akaendelea kupiga misele huku hasira zikimpanda kwa kuona mwanamke mwenzake akimzidi kete, aliamini kuwa akipata nafasi ndogo tu anaweza kuyabadilisha mawazo ya Eddy.
Aliamini Rehema alikuwa akitumia nguvu nyingi kumng’ang’ania mwanaume huyo ili asiweze kumchoropoka mikononi mwake lakini alijua kuna nafasi moja tu angeweza kuitumia vyema.
Mara ya mwisho Irene akapitiliza hadi barazani na kukaa huko huku akihakikisha anasikia kila kilichokuwa kikiendelea ukumbini.
Muda ulikuwa umekwenda kwelikweli, ilikuwa ni saa nane usiku, bado nyumba ilikuwa wazi na watu wengine walikuwa wakifanya shughuli zao katika kitongoji hicho.
Kati ya hao waliokuwa wakipitapita hakukuwa na aliyewahi kuamka asubuhi na kwenda kazini, kila mmoja alikuwa akilala pale alipoamua na kuamka pale anapoona kulikuwa na haja ya kufanya hivyo.
Usiku mwingi baba mwenye nyumba akiwa ameambatana na mama mwenye nyumba walikuwa wakirudi nyumbani kwao wakiwa bwiii.
Kila mmoja alikuwa akiimba wimbo wake, huku wakiwa wameshikana mikono, wakafika na kuukuta mlango wa mbele ukiwa wazi.
Wakaanza kumwaga segere kwa kucheza bila ya kujali kama walikuwa wakiwapigia kelele majirani zao, hata hivyo baadhi ya majirani waliokuwa wamelala wakaanza kufungua mapazia yao ili kuweza kuona kitu cha kuhadithia kesho yake.
Walipoacha kulisakata segere wakawageukia waliowakuta barazani, wakawauliza kwa nini walikuwa wakiangalia ngoma ya bure na kushindwa hata kuwatunza.
“Kwa nini hamtutunzi?” alidakia mama mwenye nyumba kwa sauti ya juu.
Vicheko vya walioulizwa swali hilo vilimfanya baba mwenye nyumba kukasirika na kuwaambia wote hawana adabu kwa kuwa walikuwa wakimcheka mama yao.
“Haya kuanzia sasa naharibu starehe za watu, kila mmoja kwenda kulala…” alisema baba mwenye nyumba huyo huku akionesha kwamba hatanii.
“Nahesabu mpaka tatu kila mmoja aingie chumbani kwake akalale…” alisisitiza huku akirandaranda kama vile alikuwa akitaka kuanzisha vita.
“Mojaaaa… Mbiliiiii…” kabla ya kumalizia tatu akaanza tena na kuwataka hata wale wapangaji wake waliokuwa nyumba ya jirani waitwe ili waingie ndani kwani akishafunga mlango hautafunguliwa tena, alikuwa amedhamiria kulala na ufunguo mchagoni kwake.
Kutokana na kauli ya baba mwenye nyumba, Irene hakuwa na ujanja wa kuendelea kukaa nje, akaingia ndani pamoja na wasichana wengine waliokuwa wamekaa barazani katika nyumba ya jirani.
Hata baada ya kuingia ndani, Irene hakuweza kupata hata lepe la usingizi, muda mwingi alikuwa macho akijigeuzageuza huku na kule kuusaka usingizi huo bila ya mafanikio.
Akiwa anahangaika hivyo, mdogo wake, Pat alikuwa akimwangalia na kumuonea huruma, kisha akamuuliza.
“Dada hauko sawa?”
“Aaah kawaida tu,” alijibu Irene.
“Usinifiche, inaonekana hukupenda dada Rehema amchukue yule mgeni…?”
“Sitaki maongezi yako, hebu niache nilale,” alisema Irene na kujifunika shuka gubigubi, pamoja na kujifunika hivyo bado hakuweza kupata hata lepe la usingizi.
Pat akaamua kumuacha na kujigeuza upande wake na baada ya muda kidogo akapitiwa na usingizi.
Usiku mwingi, Irene akasikia mlango wa Rehema ukifunguliwa, akainuka na kujivuta mlangoni kwake, akafungua mlango huo taratibu na kuchungulia ukumbini.
Akamwona Eddy akiwa anatoka chumbani kwa Rehema na kuelekea mlangoni kwake. Alipohakikisha kwamba Rehema ameshaingia ndani, akachomoka na kutoka.
Akacheza na akili za Eddy aliyekuwa ametangulia mbele yake, naye akajifanya kama vile anakwenda msalani, Eddy akiwa mbele na yeye nyuma.
Eddy alifungua mlango wake kwa funguo na Irene akawa anazuga kama vile alikuwa akienda uwani, kwa kuwa chumba hicho kilikuwa ni cha mwisho mkono wa kushoto kabla ya kufika uwani alifanikiwa kuweza kuzuga na kumsubiri Eddy afungue mlango wake.
Alipofika karibu yake, Irene akapunguza mwendo na kusubiri afungue, alipofungua na kuingia ndani kabla hata Eddy hajafunga mlango nyuma yake, Irene akauzuia na kisha akazama chumbani humo.
“Aaah!” Eddy akashtuka.
“Shiii!” akasema Irene huku akiweka kidole chake cha shahada mdomoni mwake kumtaka asipige kelele kuwashtua watu wengine ndani ya nyumba hiyo.
“Unataka nini?” Eddy aliuliza kwa sauti ya chini akionekana kutii amri ya Irene ya kutopiga kelele.
“Moyo wako…” akasema mwanamke huyo na kumwashiria Eddy asogee kwenye uwanjwa wa futi tano kwa nne.
“Lakini…” alijaribu kusema tena Eddy lakini Irene hakumpa nafasi akamziba mdomo kwa kutumia kiganja chake na kumtaka asizungumze chochote.
Mkono wa Irene ukiwa mdomoni kwa Eddy ukimzuia kusema chochote, mkono mwingine ukawa na kazi ya kutembea na kuusanifu na kuusisimua mwili wa kijana huyo.
“Eddy kwa nini umenisaliti?” alisema Irene kwa sauti ndogo karibu kabisa na sikio la kijana huyo kiasi cha mawimbi ya sauti yake kuutekenya moyo wa Eddy.
Mbali na kusema maneno hayo, machozi yalionekana kutiririka katika mashavu ya mwanamke huyo huku akionesha kuguswa na kitendo alichokifanya Eddy.
“Eeeh unalia!” Eddy alisema kwa mshangao.
“Ulitegemea ningeweza kufurahi?”
Eddy hakutegemea kitu hicho, akaendelea kupigwa na butwaa. Akawaza siku hiyo ilikuwa ikimaanisha nini katika maisha yake.
Maana usiku wakati ukiingia alivamiwa na Rehema akamteka na kumwingiza chumbani kwake, hawakuishia hapo akapigishwa shoo ya nguvu.
Kabla hata hakujapambazuka anavamiwa chumbani na mwanamke mwingine, naye anaonekana ana lengo lilelile la utekaji kama wa Rehema.
Kinachomshangaza ni kumuona mwanamke huyo mzuri akimwaga machozi kwa ajili yake, akawa anashindwa kuelewa kama ni bahati au ni balaa linamwandama.
“Kwa nini wanichukue kama mateka?”
Alijiuliza katika nafsi yake, akiwa katika hali hiyo nywele zilimsimama na kukumbwa na kigugumizi cha ukubwani kila alipokuwa akiulizwa kitu na Irene.
“Kwa nini umenisaliti?” aliuliza Irene huku akibadili mwelekeo na kuitembeza mikono yake miwili kwenye kifua cha Eddy.
“Nimekusaliti vipi, mbona sikuelewi?” Eddy aliipaza sauti yake na kusema maneno hayo huku akizungusha macho yake kumwangalia kwa umakini Irene.
“Unakumbuka miye ndiye niliyekuwa wa kwanza… kukutaka, kwa nini umekwenda kulala na Rehema?” Swali hilo lilikuwa gumu kwa Eddy, hakuweza kulijibu akabaki ametoa macho kama mjusi aliyekuwa amebanwa na mlango.
Kijana huyo hakutegemea kama kwa wakati huo, Irene angekuwa na taarifa za yeye kutembea na Rehema, akashusha pumzi ndefu.
“Unanidharau au?”
“Sina kawaida ya kumdharau mtu,” alijibu Eddy.
“Sasa kwa nini hukunipa nafasi ya kwanza?”
“Kwani tulishaongea na wewe awali?”
“Hapana ila visa vyangu viliongea, vilitosha kuonesha kwamba nilikuwa namaanisha nini kwako.”
“Visa gani?”
“Kama vile kukuomba sabuni na kukurudishia sabuni chumbani kwako, hukunielewa?”
Eddy hakuwa na la kujibu kwa kuwa alishagundua tangu mapema kuhusu kile alichokuwa akikisema Irene.
Kwa sauti iliyojaa mahaba na mihemo ya kuvutia Irene akamwambia Eddy:
“Okey najua haikuwa dhamira yako, ulichukuliwa kama mateka… najua kila kitu lakini kuanzia sasa nataka uelewe kuwa miye ndiye mtu wako… umesikia?”
Eddy hakuweza kujibu kwa sauti yake akatikisa kichwa kuitikia kuonesha kwamba amekubaliana na hilo.
“Achana na yule mwanamke kwanza si saizi yako miye ndiye saizi yako,” Irene alimwambia Eddy kwa sauti yake ya kunong’ona iliyojaa kila aina ya mvuto.
Wakati huo Irene alipokuwa akisema maneno hayo hakuacha kusaula viwalo vyake, alishaona mwelekeo wa mafanikio katika zoezi lake la kumteka kijana huyo.
Lengo lake lilikuwa ni kumkomoa Rehema na kuushusha umalkia wake katika nyumba hiyo.
Kwa kuwa alikuwa akiziona nguo zake zikileta bughudha mwilini mwake, aliondoa moja baada ya nyingine na alipomaliza akamgeukia na Eddy.
Akawa anafanya kama vile alivyokuwa akifanya, akaiondoa fulana aliyokuwa ameivaa, ndani ya fulana akakutana na singlendi nayo ikapigwa chini.
Kifua kikawa cheupe, mtoto wa kike akashuka chini na kuanza kufungua mlango wa ikulu huku Eddy akiwa hana la kufanya wala hatoi kipingamizi chochote.
Alipofanikiwa hakutaka kusubiri kitu kingine akafanya kama vile alivyokuwa akifanya Rehema, akamshika askari wa Eddy na kumwingiza kwenye njia ya kupitishia chakula.
Mambo yakabadilika, Eddy akachanganyikiwa zaidi, joto lilikuwa kali kupita kiasi, utadhani alikuwa ameingizwa kwenye tanuri la kuokea mikate.
Macho ya Eddy yalizunguka katika mwili wa Irene na kushuhudia mabonde na milima ambayo kwa njia moja ama nyingine yalimpandisha mzuka zaidi.
Awali hakuwa akiamini kama angeweza kupiga shoo nyingine kwa usiku huo kutoka na ‘kupafomu’ kwa uhakika akiwa na Rehema, alijua kuwa nguvu zake zilikuwa zimekwisha kabisa.
Lakini kadiri alivyokuwa akiangalia ramani ya mwili wa Irene, mawazo yake yakajenga picha ya kuvutia na kujikuta akipata nguvu nyingine mpya ambazo hakujua zilitokea wapi.
Picha iliyojengeka akili mwake ni kwamba Irene alikuwa na ngozi nyororo kuliko Rehema, pia akagundua kwamba alikuwa na rangi adimu ambayo hata kama Rehema angetumia mikorogo yote inayotengenezwa Tandale na Manzese, Buguruni na Vingunguti yake asingeweza kuifikia.
Aidha, akagundua kwamba joto la Irene lilikuwa na nguvu ya kusisimua kuliko lile la Rehema, kwa fikra hizo akajikuta akisisimka zaidi na kupandisha mori kama Mmasai aliyeibiwa ng’ombe wake akiwa machungani.
Alishuhudia embe sindano zilizokuwa zimekaa kifuani mwa Irene, Eddy akawa hajiwezi, akajiuliza alikuwa na ngekewa gani ya kupendwa na mabinti warembo kama wale!
Wakati Irene akiwa anaendelea na zoezi lake, Eddy akawa anasema maneno yasiyoeleweka, ghafla akawa anapayuka maneno, akasema:
“Re… he… maaa…” Hali hiyo ilimfanya Irene kuacha kile alichokuwa anakifanya baada ya kulisikia jina la hasimu wake likitajwa.
“Unaniiita nani?
“Samahani… lakini… jina… lako… sili..jui…” alisema Eddy akiwa kama zezeta, akiwa anataka Irene afanye kile alichokuwa akikifanya.
“Naitwa Irene Smart… au ukipenda niite Queen,” alisema Irene na kumfanya Eddy achague jina hilo la mwisho kwa kuwa hata akilini mwake aliamini kabisa kwamba msichana huyo alipaswa kuitwa Queen.
Moyoni mwake Eddy alikiri kwamba Queen alikuwa mzuri sana lakini hata ungemuuliza kati ya msichana huyo na Rehema nani alikuwa zaidi, asingeweza kutoa jibu mwafaka.
Alikuwa amebaki katikati na kuwa na kisebusebu na kiroho papo, huku anataka na kule anataka.
“Tafadhali usiniite jina la Mala… wako.”
“Samahani… nilighafirika.”
“Kwa hiyo utaniita jina gani?”
“Queen,” alisema Eddy huku akionekana kuwa mnyonge. Jina hilo lilimfurahisha sana Irene akawa anatabasamu na kufungua matuta yalioyokuwa yametanda kwenye sura yake.
“Asante baby…” alisema na kurudia zoezi alilokuwa amelianza.
Queen kama alivyomwita Eddy aliporudia safari hii alikuwa na mzuka mpya, akahakikisha kuwa anampagawisha Eddy kwa ujanja wake wote.
Kweli hali hiyo ilizidisha mzuka wa Eddy akawa anahamasika na kupandwa na munkari kwa askari wake kuonesha dalili zote za kutaka kuingia vitani.
Eddy hakujua hata nguvu alizipata wapi, akamgeuzia kibao Queen na kuanza kumshambulia kwa kufanya kujibu mashambulizi ya nguvu… akahakikisha haonekani bwege mbele ya Queen.
Akapitisha ulimi wake katika kila kiungo cha Queen. Akaanzia shingoni kisha akapanda hadi kwenye mdomo hapo wakabadilishana ‘kinywaji’ na Queen.
Eddy alipotosheka akarudi kwenye viwambo vya kusikilizia sauti, yote hiyo ilikuwa ni kumsaka shetani wa Queen. Kila kipengele ambacho Eddy alichokigusa kilikuwa kikimtia wazimu Queen.
Alipotosheka kumpagawisha sehemu moja akahamia nyingine hata pale alipoona viwalo vya Queen vinamwondoa mchezoni alihakikisha anaviondoa.
Baada ya kuviondoa vyote akawa anashuka chini kwa kupitia shingoni na kuuacha ulimi wake utalii katika maungo ya ‘bintani’ huyo.
Akawa anashuka chini hadi kwenye embe sindano za Queen, akawa anazinyonya embe hizo na kumpandisha mori kiasi cha kumfanya akose uvumilivu na kuanza kulia.
Hata hivyo, kilio chake kilikuwa ni tofauti na kile kilio cha kawaida, alikuwa akilia kwa furaha, kilio adimu kutokea kwa binadamu.
Kilio chake kilikuwa kikiongeza hamasa moyoni mwa Eddy ambaye alimini kuwa alikuwa amemuweza. Aliamini kuwa kiwango chake cha kupagawisha kilikuwa kimeongezeka.
Pamoja na kilio hicho cha Queen, Eddy hakuacha kufanya kile alichokuwa akikifanya, ndiyo kwanza akawa anazidisha majonjo, alipoona amempatia vyema msichana huyo, akazidisha makeke kwa kuweka vikorombwezo vingine vingi tu.
Alipotosheka akashuka tena chini, akafikia kwenye tumbo jembamba la Queen, tumbo ambalo lilikuwa vigumu kwa mtu kujua kama msichana huyo alikuwa ameshiba au alikuwa na njaa.
Hapo hakuchukua muda mrefu sana kupiga deki kama siyo kupiga msasa kwa kutumia ulimi wake, akashuka tena chini, akafika kwenye kiuno, hata hapo hakuchukua muda mrefu.
Akashuka chini zaidi, zaidi na zaidi, akafika sehemu adimu kufikika, sehemu yenye ulinzi mkali lakini Eddy aliweza kuwapangua walinzi wote na kuweka ulimi wake.
Queen alichanganyikiwa, akajihisi kama alikuwa yuko katika pepo ya Firdausi akiwa amezungukwa na malaika kibao.
Sauti yake ilibadilika na kuwa ndogo, macho yake yakabonyea na kuingia ndani na kuwa madogo kama ya Mchina, akawa anapumua juu kwa juu.
Pamoja na hivyo, akahisi kama vile alikuwa akitaka kukata roho. Kabla ya kufikia hatua hiyo alijihisi kama alikuwa akiishiwa nguvu, kisha akahisi kama alikuwa akitaka kuzimia.
Maskini Queen hakuwahi kushuhudia kile alichokuwa akikishuhudia kwa wakati huo, raha zilikuwa zimemzidia, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kufanyiwa alichokuwa akifanyiwa, akachanganyikiwa mara elfu moja.
Wazimu ukampanda, akawa anajikuta anaingiza mipira golini kwake mfululizo bila ya kutegemea, akahisi raha kupita kiasi, raha ambazo kamwe hakuweza kuzielezea ladha yake.
Kila goli alilojifunga alikuwa akipiga kelele za kushangilia.
****
Ni wakati huo ndipo Rehema alipokuwa akitoka chumbani kwake na kwenda msalani. Nyumba ilikuwa imetulia kwa ukimya huku sauti pekee zilizosikika zikiwa ni zile za watu waliokuwa wakikoroma ambazo zilitokana na watu kulala vibaya au kutokana na uchovu wa mihangaiko yao ya mchana kutwa.
Kelele nyingine zilikuwa ni zile za mlango na miguu yake wakati akitoka chumbani kwake.
Rehema alishika uelekeo wa kwenda uwani.
Alipofika kwenye mlango wa mwisho, alihisi kusikia kitu kisichokuwa cha kawaida, kitu adimu katika masikio ya watu wengi lakini akapuuza.
Kupuuza kwake kulitokana na kutoka kwenye usingizi ambao bado ulikuwa ukimwelemea, akaendelea na safari yake hadi akafika msalani lakini wakati akiwa huko akameza mate ya akili na kutafakari kile alichokuwa amekisikia.
Akajiuliza kilikuwa ni kitu gani, sauti ile ikajirudia katika akili yake, akahisi ni sauti ya msichana aliyekuwa amechanganywa na mtu anayejua mambo
Akajaribu kukumbuka kama katika nyumba hiyo kulikuwa na msichana au mwanamke anayelala na mwanaume lakini hakuambulia kumkumbuka mwingine zaidi ya baba mwenye nyumba na mkewe.
Akameza tena mate ya akili, akakumbuka kuwa mwanaume mwingine aliyekuwemo katika nyumba hiyo ni Eddy tu ambaye alishamchukulia dhamana kwamba hawezi kuwa na msichana kwa kipindi hicho kutokana na dozi walizopeana.
“Hapana atakuwa siyo Eddy, kama akiwa yeye lazima nirudi kwa kungwi wangu upya na kumtaka anifunde upya,” alijiapia.
Haikuchukua muda mrefu akatoka msalani na kurudi chumbani kwake, alipofika tena katika eneo lilelile akasikia vile vilio adimu vikiwa vinaendelea.
Safari hii vilikuwa vikisikika kwa nguvu zaidi lakini kutokana na upepo uliokuwa ukivuma usiku huo, Rehema hakuweza kujua ni chumba gani hasa kilikuwa kikihusika.
Kutokana na kile alichokisikia aliamini kuwa kuna msichana humo ndani ameingiza mwanaume chumbani kwake, akawa anataka kujua ni chumba gani.
Wasiwasi ukamuongezeka kwa kuwa alikuwa akijua kuwa wasichana wengi wanaoshi katika nyumba hiyo wanalala wawiliwawili na wengine ni zaidi.
Ni yeye tu anayelala chumba kizima peke yake ndiyo maana akapewa hadhi ya kuitwa malkia wa nyumba hiyo. Tena chumba chake ni kizuri na kina hadhi kubwa kuliko chumba kingine katika nyumba hiyo.
Aidha, Rehema akafikiria labda kulikuwa na wasichana katika nyumba hiyo wakifanya kitendo kibaya cha kustareheshana wenyewe kwa wenyewe.
“Inawezekana kweli?” alijiuliza bila ya kupata jibu la uhakika wa kile alichokuwa akikifikiria.
“Dunia siku hizi imeharibika, unaweza kuwachukulia dhamana hawa wasichana kisha wakakuangusha,” akawaza tena Rehema na kumfanya wasiwasi wake uongezeke kwa kuhisi kwamba kulikuwa na kitu.
Alifikia hatua ya kutaka kupuuza lakini kutokana na hisia hizo, akataka kujua ukweli ili kesho yake apate mada ya kusimulia kwa wenzake.
Alijua stori tamu ni ile ya usiku wa manane kama huo ambao siku zote hushuhudiwa na watu wachache, pia inakuwa na raha kama itasimuliwa na malkia wa nyumba.
Rehema akasogea hadi kwenye chumba cha jirani kabisa na kile cha Eddy akategesha sikio lake la kulia ili kusikiliza lakini hakuambulia kitu.
Mawazo kwamba kitendo kile kinaweza kuendelea katika chumba cha Eddy alishayafuta, akasogea kwenye mlango mwingine wa chumba kinachotazamana na kile cha Eddy, akafanya kama vilevile alivyofanya katika chumba cha kwanza, napo hakuambulia kitu.
Hakutaka kufuatilia katika vyumba vingine kwa kuwa vilikuwa mbali na alipokuwa amesimama kwa kuwa sauti ilikuwa haitoki mbali na sehemu hiyo.
Kelele zilikuwa zikiendelea kusikika, akasogea katika chumba cha Eddy, alipotegesha sikio lake, nywele zilimsisimka na kuinua mdomo wake kama mtu aliyekuwa ameona au kusikia kitu cha ajabu.
Miguu ikamtetemeka na kumfanya akose nguvu, akajitahidi na kuuegemea mlango huo. Akachanganyikiwa kabisa kwani alijua kulikuwa na shoo ya siri iliyokuwa ikipigwa chumbani humo.
Wapiga shoo walikuwa wamejisahau na kufungulia spika zao kwa nguvu zao zote, aidha kwa kuzidiwa na furaha au kwa kujisahau.
Nini kiliendelea?
 
SEHEMU YA 03




Chombezo : Majangaaa Mbona Majangaaa !
Sehemu Ya Tatu (3)
Miguu ikamtetemeka na kumfanya akose nguvu, akajitahidi na kuuegemea mlango huo. Akachanganyikiwa kabisa kwani alijua kulikuwa na shoo ya siri iliyokuwa ikipigwa chumbani humo.
Wapiga shoo walikuwa wamejisahau na kufungulia spika zao kwa nguvu zao zote, aidha kwa kuzidiwa na furaha au kwa kujisahau.
alitaka kuvamia chumbani kwa eddy lakini akaona ngoja aangalie mchezo hadi mwisho wakishamaliza ndio awafumanie
alisubiri nusu saa bila Irene wala Eddy kutoka chumbani
akaamua kusubiri mlangoni ili irene atoke amfanyie fujo
"ngoja nijilaze hapa mlangoni wakifungua tu nitasikia"
"yaani irene ni wakunifanyia hivi mimi malkia wa nyumba hii hata siamini" aliongea, alisononeka sana rehema akaamua kulala mlangoni kwa Eddy na kusubiri watoke hatimae akapitiwa na usingizi
BAba mwenye nyumba alitoka chumbani kwake kwenda kujisaidia alipotoka kufika mlangoni kwa Eddy akamkuta rehema amelala huku mzigo ukiwa umebaki nje
Baba mwenye nyumba kuona hivyoMidomo ikawa inamcheza na mate kumdongondoka kama fisi aliyekuwa ameona fupa lisilokuwa na mwenyewe.
“Kama ningejua kama usiku mzima alikuwa amelala hapa si ningekuja kujiwahia mapema hapahapa, najua asingenishinda nguvu kwa kuwa anaonekana alikuwa amelewa sana,”aliendelea kuwaza mzee huyo huku akiupitisha mkono wake kuume kwenye mwili wa Rehema.
Wakati mzee huyo akiendelea kufanya hivyo, ghafla alishtuka kusikia mlango wa chumbani kwake ukifungulia, kwa kawaida mlango wa chumbani kwake na mkewe ndiyo pekee unaopiga kelele wakati wa kufunguliwa.
Mwili ukamsisimka, akawa kama vile mtu aliyekuwa amenasa kwenye nyaya za umeme, akawa amebaki vilevile bila ya kuutoa mkono wake ndani ya maungo ya Rehema.
Maana alijua aliyekuwa akitoka ndani ya chumba hicho hakuwa mwingine zaidi ya mkewe.
Masikio yakamsimama mzee Chuma akajua amefumaniwa na hakuwa akijua cha kufanya, mkewe alitoka na kusogea karibu yake kabisa.
Hatimaye alifanikiwa kuutoa mkono wake na kujidai kuuhamisha kutoka sehemu mbaya ulikokuwa ameuelekeza awali na kuupeleka sehemu nyingine yenye usalama.
Moja kwa moja akaupeleka na kuuweka kwenye kichwa cha Rehema akijidai kumpima homa.
Bila ya kugeuka akaendelea kujifanya mganga na kuanza kumpima mapigo ya moyo kama vile alikuwa akitaka kujua kama msichana huyo alikuwa hai au ameaga dunia.
“Mzee Chumaaa!” sauti kavu ya mkewe iliita, mzee huyo aligeuka na kumwangalia mkewe.
“Unasemaje?” alijibu kwa ukali na kujifanya kuwa bize akitoa huduma ya kwanza kwa Rehema.
“Unafanya nini hapo?”
“Nampa huduma ya kwanza huyu msichana, sijui kapatwa na masahibu gani?”
“Tangu lini ukawa daktari? Kwa nini usiwaamshe wanawake wenzake wakamsaidia, kwanza huduma gani ya kwanza unamshika…?”
Kusikia hivyo, mzee Chuma akasimama, akamwangalia mkewe bila ya kusema kitu akawa anaelekea zake msalani, alishajua kwamba hukukuwa na dogo tena, kama bwawa tayari lilishachafuka.
Ile haja ndogo iliyokuwa imepotea baada ya kuuona mwili wa Rehema na udenda kumtoka, sasa ndiyo aliisikia na kuhisi kama vile anataka kulimwaga kojo palepale ukumbini.
“Hebu subiri, unakwenda wapi?” alisema kwa ukali mkewe na kuwafanya hata watu wengine waliokuwa vyumbani kwao kushtuka na kujua kuwa nje kulikuwa na kasheshe.
“Niache, niache mamaaa nanihii… niache oooh ooooh,” alisema mzee Chuma huku akiwa ameishika vyema nguo yake ya kulalia.
“Sikuachi…, nakwambia sikuachi, fanya unachotaka kukifanya…” zogo likawa kubwa na milango mingine ikaanza kufunguliwa kutaka kujua kilichotokea nje.
Wakubwa kwa watoto wakatoka nje na kuwakuta baba na mama mwenye nyumba wakiwa wameshikana huku Rehema akiwa bado amelala palepale chini ya kigoda akiwa hajui kinachoendelea.
“Kuna nini jamani…?” aliuliza Mwanvita.
“Huyu mzee mzima nimemkuta akitaka kufanya mambo ya hovyo na huyu binti hapa…” alisema mama mwenye nyumba huku akitengeneza mazingira ya tukio.
“Wee mwanamke… we mwanamke…?”
“Kama ungejua miye ni mwanamke kwa nini uliniacha chumbani na kuja kufanya ujinga wako huku nje?” alisema mama mwenye nyumba.
Wakati zogo likiwa limechanganya kwa mama na baba mwenye nyumba kugombana na huku watu wengine wakipiga kelele za kushangalia, Rehema akazinduka na kushangazwa na mazingila aliyokuwepo.
Akashangaa kuwaona watu walivyokuwa wengi huku kukiwa kumepambazuka. Kwa haraka akavuta kumbukumbu na kufikiria kilichomtokea hadi kuwa katika hali ile.
Akajiangalia nguo yake aliyokuwa amevaa kwa mila na desturi za Kitanzania hakutakiwa kuwa katika eneo lile akiwa amevaa mavazi yale lakini hakuwa na budi, kwani ndani ya nyumba hiyo kuvaa kwake hivyo ni tukio la kawaida.
Ghafla akakumbuka kuwa alikuwa hapo kwa ajili ya kumsubiri msichana aliyekuwa chumbani kwa Eddy, nini kilitokea hadi watu kujaa hapo, hakuweza kukumbuka kwa haraka.
“Haya malaya wako ameshaamka, endeleeni sasa?” alisema mama mwenye nyumba na kumfanya Rehema kushangaa.
“Mama tuendelee nini?”
“Mama tueendelee nini?” mama mwenye nyumba alisema huku akiwa amebana pua.
“Ama kweli tenda wema nenda zako, chumba nikupangishe miye, ubinaadamu nikufanyie, mume wangu unichukulie…” alisema mama mwenye nyumba.
**************
*********************
******************************
“Kwani ni lazima uingie?” Eddy alihoji huku akimshangaa msichana huyo ambaye walishakubaliana uhusiano wao waufanye kuwa siri.
Hata hivyo, Eddy alikuwa anakijua kile ambacho Rehema angekutana nacho chumbani kwake, akamwachia ili aingie.
Alipoachiwa bila ya aibu, akazama chumbani huku shari ikiwa imemjaa, kwa kukidhamiria vibaya kile ambacho angekutana nacho chumbani humo.
Moja kwa moja macho yake yakatua kitandani, akakikuta kitanda kikiwa cheupe, hakukuwa na mtu zaidi ya shuka zilizovurugika.
Watu waliokuwa ukumbini wakazidi kuchanganyikiwa na kujiuliza maswali kibao yaliyokosa majibu, kwani Rehema alikuwa amekumbwa na kitu gani mpaka avamie chumbani kwa watu.
Wengi walihisi kulikuwa na kitu kinachoendelea kati ya wawili hao, walimuonea huruma kaka wa watu ambaye ni mgeni ndani ya nyumba hiyo kwa kitendo cha kufanyiwa vurugu na msichana huyo.
Ni mtu mmoja tu aliyekuwepo katika ukumbi huo ambaye alikuwa akijua ni nini kilichokuwa kikiendelea.
Mtu huyo si mwingine bali ni mdogo wake na Queen, Pat ndiye aliyekuwa akiujua mchezo mzima.
Pat alikuwa akijua ni kwa nini Rehema alikuwa ameingia chumbani kwa Eddy, pia, alikuwa akijua kile ambacho msichana huyo angekutana nacho chumbani humo.
Kwa kuona hivyo, mama mwenye nyumba naye akapunguza mashambulizi yake kwa Rehema, hali kadhalika baba mwenye nyumba, wote wakabaki na mshangao na kujiuliza kulikoni!
Rehema hakuridhika na kile alichokutana nacho chumbani, akaangaza kila kona, akafungua kabati, akahamia uvunguni mwa kitanda, kote hakuambulia kitu.
Akabaki ameshangaa, hata hivyo hakutaka kuyaamini macho yake, akaendelea kufunua hata ndoo za maji, akili yake ilikuwa imempaa na aibu ilikuwa ikiutafuna uso wake.
Alitegemea angefumania, lakini sasa kibao kilikuwa kimemgeukia, hakujua cha kusema mbele ya kadamnasi akiamini kuwa amechezewa shere, uso wake ukawa mdogo kama kidonge cha piltoni.
***
Upande wa pili, Queen alifungua mlango wake na kutoka nje, akakutana na vicheko, watu wote walikuwa wakimcheka Rehema ambaye alikuwa kama mtu aliyekuwa amechanganyikiwa.
Rehema alishindwa hata kumuomba radhi Eddy, alikuwa amenyong’onyea kama vile kunguru aliyekuwa amemwagiwa maji.
“Shoga umelikoroga… utalinywa!” alisema Mwamvita kisha akawahamasisha watu kwa kikolombwezo maarufu ambacho kimezoewa na wanawake wengi, akasema:
“Halooo halooo…!”
“Halooo!” wengine wakaitikia na kumfanya Rehema kuzidi kuchanganyikiwa na kujikongoja kwenda chumbani kwake akijihisi kama vile amejichafua kwa haja kubwa.
Kabla ya kuingia chumbani kwake, Queen akambetulia macho na kujishebedua mbele yake… kisha akamshusha na kumpandisha kiuchokozi kama vile kuku aliyekuwa akiangalia ndege ipitayo angani:
“Shoga kimekusibu kipi?” alimuuliza na kumfanya Rehema ashindwe kujibu.
“Mbona miye sielewi?” alihoji mama mwenye nyumba na kutaka kujua kwa nini Rehema alikuwa akifanya vituko siku ile.
“Hata siye hatuelewi…” msichana aitwaye Tabu naye alijibu kwa niaba ya wenzake. Kila mtu ndani ya nyumba hiyo akawa anataka kujua ni nini kilikuwa kimetokea siku hiyo hadi malkia wa nyumba hiyo akaikwaa aibu.
Queen aliachia kicheko baada ya kupitwa na Rehema, kisha akasema:
“Mlaji ni mla leo mla jana kala nini?” alisema na kumfanya Rehema kujua kuwa hicho kilikuwa kijembe chake. Akaamini kuwa Queen ndiye aliyekuwa chumbani kwa Eddy.
“Ametokaje,” akajiuliza na kukosa jibu.
Ukweli ni kwamba Queen alitoka chumbani humo wakati Rehema akiwa amelala amepitiwa na usingizi ukumbini, alipomuona alishangaa sana.
Queen alijua kuwa Rehema alihisi kuwa chumbani kwa Eddy kulikuwa na msichana hivyo akaamua kukaa ukumbini ili amshuhudie msichana huyo wakati akitoka.
Pia alijua kuwa mpaka wakati huo Rehema hakuwa akijua ni msichana gani aliyekuwa chumbani kwa mvulana huyo kwa kuwa wakati akitoka hakumuona.
“Atakufa nacho kijiba cha roho,” alisema Queen na kuahidi kuendeleza penzi lake na Eddy.
***
Moja kwa moja Rehema aliingia chumbani kwake na kujitupa kitandani, akaanza kulia kilio cha kwikwi, akajuta kumfahamu Eddy.
“Yaani mwanaume nimempa raha zote lakini anakuja kunifanyia hivi, kweli wanaume hawaaminiki,” aliwaza na kufikiria cha kufanya.
Bado katika nafsi yake alikuwa akitaka kujua nini kilichomfanya Eddy akamsaliti usiku mmoja tu baada ya kukutana naye.
Alikuwa chumbani kwake akifikiria hatua ya kufanya.
Hakutaka kumpoteza Eddy lakini bado alitaka kujua ni msichana gani aliyekuwa chumbani kwa mvulana huyo.
Mawazo yake yakaangukia kwa Queen, akahisi kwamba anahusika kwa njia moja ama nyingine.
KICHWA
cha Rehema hakikuwa sawa, akili yake ilikuwa haijatulia, mawazo yalikuwa mengi kiasi cha kushindwa kuamua cha kufanya.
Aliendelea kujilazimisha kulala huku machozi yakimchuruzika, hakutaka kutoka nje kutokana na aibu aliyokuwa ameipata kutokana na kitendo chake cha kuingia chumbani kwa Eddy.
Kitendo kile kiliwaaacha watu na maswali mengi kuliko majibu. Wengi walijiuliza kwa nini aliamua kuingia chumbani kwa kijana yule mgeni.
Mpaka wakati huo alipokuwa amejilaza kitandani hakuwa ameupata usingizi. Nje hakukuwa na habari nyingine, zaidi, watu walikuwa wakipiga stori zake tu.
Kwa asilimia kubwa, wengi walikuwa wameshapata majibu ya kitendo kile kilichotokea. Mtu ambaye aliyeweka kila kitu hadharani alikuwa ni mdogo wake Queen yaani Pat, aliwaambia kile kilichojiri.
Kila aliyeambiwa naye alimwambia mwingine na kuifanya habari hiyo kusambaa kama vile moto wa kifuu. Mbaya zaidi kila mtu alikuwa akihadithiwa naye alimwadithia mwingine kama vile alikuwepo eneo la tukio.
Baba na mama mwenye nyumba walijua kila kitu, wakawa wanamshangaa Eddy kwa jinsi alivyoweza kuduu na wasichana wawili kwa usiku mmoja.
"Hivi huyu kijana ni moto namna hii, kwanza amewezaje ndiyo akiwa na siku mbili kwenye nyumba?" alihoji mama mwenye nyumba.
"Labda ana mashine kiunoni," alisema baba mwenye nyumba kumwambia mkewe.
"Hana mashine chochote mwenzio damu inachemka, unadhani wewe mpaka upigwe hendeli; utakuja kufa shauri yako.
Baba mwenye nyumba alijua kabisa kwamba hicho kilikuwa kijembe chake kutokana na kile kilichotokea alfjari kwa kumnyatia Rehema.
"Ila kwa kweli yule mtoto kaumbika jamani?" naye aliiingiza uchochezi wake.
"Hivi unadhani kama msingeniwahi saa hizi ningekuwa nimeshaandika historia nyingine;" aliendelea kusema baba mwenye nyumba.
"Sawasawa ungekuwa umeandika historia nyingine kwa kuwa tungeikuta maiti yako ikiwa imelala chali pale ukumbini," mama mwenye nyumba aliendeleza vijembe.
"Maiti yangu kivipi?"
"Miye humu ndani unanishindwa, itakuwa kigoli kama yule si angekupeleka mputamputa mpaka ukate roho?"
"Nani anakushindwa, miye? Kama ninakushindwa mbona huwa unahemea juu juu?"
"Nani kakwambia, sihemei juu juu chochote, huwa ninakufurahisha tu ili nawe ujione unaweza kumbe huna ukijuacho;"
"Haya, basi na miye nitaanza mitego yangu kwa yule binti halafu atakuja kukuhadithia kama miye ni moto chini au siyo."
"Binti gani?"
"Si huyo kigoli unayemsema angenifanya kuwa maiti?"
"Thubutu kwanza nina mpango wa kumpa notisi ili ahame hapa nyumbani."
"Yule hawezi kuhama mpaka nitimize ahadi yangu;"
"Atahamaaa;"
"Nakwambia ahamiii
"Nakwambia atahama;" mama mwenye nyumba alishikilia msimamo wake.
***
Wakati wote huo, Queen alikuwa amekaa nyumba ya pili akisukwa nywele zake katika mtindo wa rasta, alikuwa akijisifu kwa ushindi wake wa pointi tatu alioupata usiku wa kuamkia siku hiyo.
Asilimia kubwa ya maongezi yake yalikuwa ni vijembe kwa kwenda mbele, taarab aliimba yeye na kila aina ya kijembe alikuwa akikitoa yeye.
Kitendo chake kilikuwa kama vile kuchukua kombe la dunia, alijiona mjanja kwa kuweza kumteka kijana Eddy kutoka mikononi mwa Rehema.
Wasichana wenzake walikuwa wakimsifu kwa ujanja alioutumia kumwibia bwana Rehema. Pamoja na kujitamba kwake lakini kulikuwa na watu wengine ambao hawakuwa upande wake.
Watu hao walikuwa wakimsikiliza na kumsifia lakini mioyoni mwao walikuwa wakimsema vibaya.
Mmoja wa watu hao alikuwa ni Tabu, ambaye alikuwa upande wa Rehema, aliposikiliza majigambo ya Queen aliamua kuchomoka na kwenda kumfuata Rehema ili amwambie kile kilichojiri.
Tabu, aliangaza huku na kule na kuhakikisha kwamba hakukuwa na mtu aliyemuona wakati akiingia chumbani humo.
Kweli hakuonekana na mtu yeyote, akazama chumbani kwa Rehema bila ya kupiga hodi.
“Eeeh umenishtua…” alisema Rehema aliyekuwa amepitiwa na usingizi na kisha kuhisi kama alinyatiwa na mtu.
Alipomuona Tabu ameingia chumbani kwake akajua kwamba atapata kila kilichojiri nje kwa siku nzima na hata majibu ya maswali yake yatajibiwa hapo.
Alikuwa na uhakika huo kwa kuwa siku zote alikuwa akiamini kwamba Tabu alikuwa ni kibaraka wake, alikuwa akimsaidia kila alipokuwa akihitaji msaada.
“Niambie mdogo wangu?” alisema Rehema kwa shauku huku akifuta machozi yaliyokuwa yakimchiruzika.
“Dada nimekuja…” alisema Tabu kwa sauti ndogo kwa lengo la kutotaka kusikika nje.
“Enhe, nipe mchapo…”
Tabu hakubakisha kitu, akamweleza Rehema kila kitu na kumfanya msichana huyo kubaki mdomo wazi.
“Kwanza yule kijana yupo?”
“Nani Eddy?”
“Eeeh.”
“Hayupo… aliondoka baada ya lile kashehe, tena leo ameondoka bila hata ya kuoga.”
“Kwa hiyo Queen anasema kuwa aliniona nikiwa nimelala wakati akitoka chumbani kwa Eddy?”
“Eeeh, alisema hivyo,” alijibu Tabu kutokana na swali aliloulizwa na Rehema.
“Kuhusu huyu baba mwenye nyumba, hivi ilikuwaje?”
Tabu akaendelea kutiririka kile kilichotokea na kumfanya Rehema aendelee kubaki mdomo wazi.
“Nakushukuru sana mdogo wangu… sasa nimeelewa kila kitu, unajua sikuwa nikijua kilichoendelea,” alisema Rehema na kumtaka Tabu atoke chumbani humo.
Baada ya Tabu kuondoka, Rehema akaanza fikra upya za kutafakari mambo yote yaliyokuwa yakiendelea. Hakupata tabu na baba mwenye nyumba ila aliumizwa na tambo za Queen.
***
Siku hiyo ilikuwa na mambo mawili kwa Eddy, moja lilikuwa ni furaha lakini lingine lilikuwa ni la kumkera.
Jambo kwa kwanza lilimpa sifa kwa marafiki zake, Amour Mohammed na Salim Raha ambao walimsifu kwa ushujaa wake.
“Mwana wee mbaya…!” alisema Raha.
“Sasa hebu twambie nani anayaweza kati yao…?” Amour naye alichombeza.
“Wale mabinti ni wabaya, wote ni wazuri kwenye kindumbwendumbwe ingawaje kila mmoja ana ladha yake,” alisema Eddy.
“Enhee? Hebu tufafanulie unaposema ladha tofauti unamaanisha nini kwa kuwa hukuweka mdomoni…?” Amour aliendelea kuhoji.
“Kweli sijaweka mdomoni lakini ladha ya kitu siyo mpaka uweke mdomoni ila unaweza kuijua hata pale mnapokuwa kwenye mchakamchaka…” alisema Eddy.
“Ndiyo tufafanulie basi…” Raha alikazia.
“Ni ngumu lakini ni rahisi… ni kwamba Rehema ana vitu vingi sana vya utundu tofauti na Queen ila…”
“Vitu kama vipi…” Amour aliuliza
“Ni sawasawa na chakula ambacho kina kila kitu, kachumbari na viungo vingine vyote…”
“Kwa hiyo amekamilika…?” ilikuwa zamu ya Raha kuhoji.
“Yaa amekamilika lakini ana upungufu wake… hawezi kupiga chenga.”
“Na huyo mwingine…?” Amour alitaka kujua.
“Huyo bwana ni fundi wa kupiga chenga, utundu kwa mbali na mjanja ile mbaya si mvivu na wala hakuwa akitegea, sindimba imetimia…” alisema Eddy na kuwafanya wenzake waangue vicheko.
Baada ya kupiga stori, Eddy akawambia wenzake kwamba amepanga asirudi nyumbani alikopanga siku hiyo. Hofu yake ilikuwa ni kuchorwa na watu wa nyumba hiyo pamoja na majirani kwani alijua kwa tabia za uswahilini siku hiyo hadithi ingekuwa ni yake tu.
Hata hivyo, marafiki hao walimtaka akomae na kurudi nyumbani. Pamoja na kumtaka arudi kwake lakini pia walimtaka ‘apige maji’ ili kukata nishai.
“Jamani wale wanawake wataniua miye…”
“Tangu lini jogoo likafa kwa utitiri?” aliuliza Amour na kuwafanya wote wacheke.
“Sikia, twende tukapige kinywaji, kisha ukirudi nyumbani kila mtu utamuona mdogo, hakuna cha nani wala nani?” alisema Raha kwa kujiamini.
Wazo hilo lilimwingia Eddy, pamoja na marafiki zake hao wakaingia baa na kuagiza kinywaji huku wafadhili wakubwa wakiwa ni rafiki zake hao.
***
Usiku ulipoingia hakuna aliyetaka kulala mapema, kila mtu alikaa nje ili kujua ni nini kitakachoendelea, wengi wao walikuwa wakitaka kujua atakachokifanya Eddy.
Je, ataingia chumbani kwa Rehema au atakuwa chumbani kwake na Queen?
Basi, wasichana wote walikuwa wamekaa kwenye kibaraza cha nyumba hiyo kutoka kona moja hadi nyingine, kote walikuwa wametanda wao.
Siyo wao peke yao, pia kulikuwa na majirani ambao nao walikuwa wamefika pale kwa lengo la kutaka kumjua kijana huyo kwa macho yao.
Kwa upande wake Rehema hakuthubutu kutoka nje, alifanya hivyo mara chache sana, tena alisimama kwenye kizingiti cha mlango wa chumba chake na kumwita Tabu na kumuagiza chipsi na mayai.
Muda ulikuwa umekwenda sana, Eddy alikuwa anajivuta kufika katika nyumba aliyokuwa amepanga. Hofu yake kubwa ilikuwa ni kukutana na watu wakiwa nje.
Alikuwa akiijua nyumba ile, mara nyingi mlango ulikuwa haufungwi watu walikuwa wakiingia na kutoka muda wote, hilo lilitokana na ulevi wa baba na mama mwenye nyumba.
Kwa mbali aliwaona watu wachache wakiwa wamelala kibarazani. Kadiri alipoisogelea nyumba hiyo, ndipo alipowana vizuri watu wale.
Wote walikuwa wamelala, kwa haraka haraka aliweza kumuona Queen, hakutaka kumwamsha yeyote kati yao, akanyoosha moja kwa moja hadi chumbani kwake.
Ni wakati alipokuwa akifunga mlango, ndipo Rehema aliyekuwa akitoka nje alipojua kama Eddy amerudi.
Msichana huyo aliushuhudia mlango ukifungwa kwa ndani, akaamini kuwa ulikuwa ni wakati wake muafaka wa kuongea na mvulana huyo.
Akatoka hadi barazani na kuwashuhudia wasichana wote wakiwa wamelala.
Rehema hakutaka kupoteza muda, akazunguka nyuma ya nyumba hiyo kwa kupitia uwani na kwenda usawa wa dirisha la Eddy.
Hapo akasimama na kusikiliza kile kilichokuwa kikiendelea chumbani humo.
Baada ya kupita kama dakika tano, akamsikia Eddy akiwa anakoroma.
“Eddy… Eddy… Eddy…” akaita.
Hakukuwa na dalili za kusikika na mhusika, akaona isiwe tabu, kwa kua nyumba ilikuwa na madirisha ya Kiswahili, Rehema akapenyeza mkono na kufanikiwa kulifungua moja na kumshuhudia Eddy akiwa amelala kwa msaada wa mwanga wa mbaramwezi iliyokuwa ikiangaza mwanga wake.
Hapo akaamini kabisa kwamba akimwita atasikia, Rehema akaanza tena zoezi la kumwita mvulana huyo.
Hata hivyo hakupata jibu, akafikiria njia nyingine, akatoka sehemu ile na kuangaza huku na kule, akafanikiwa kuupata mti ambao ungeweza kumfikia na kumwamsha Eddy.
Akauchukua mti huo na kuupitisha katika tundu kubwa la dirisha, akamgusa nao Eddy.
Akawa anamgusa na mti huku akimwita kwa sauti yake ndogo ambayo hakutaka ifike mbali kwa kuwa alikuwa akijua usiku huo, sauti ilikuwa ikienda mbali sana.
Akaita na kuendelea kuita kwa muda mrefu huku akimsukumiza kwa kutumia mti.
Akiwa ameshakata tamaa, akamuona Eddy akijigeuza, Rehema akatumia nafasi hiyo kuongeza sauti yake na kumgusa kwa nguvu kwa kutumia mti ule.
Hatimaye Eddy akashtuka na kuinuka kitandani, hakuwa akielewa kilichokuwa kikiendelea.
Kutokana na ndoto aliyokuwa akiiota akadhani labda alikuwa amevamiwa na majambazi akataka kupiga kelele, lakini akasita.
Alishangaa kuliona dirisha lake likiwa wazi na kisha akimuona mtu, kwa mawenge ya kutoka usingizini akadhani labda kulikuwa na jambo la kishirikina lililokuwa likifanyika.
Akatuliza akili yake sawasawa na kukaza macho yake dirishani.
“Wewe ni nani?” alihoji kwa hofu.
“Rehema…”
“Rehema gani?”
“Yaani umenisahau mpenzi,” alisema Rehema na kumfanya Eddy aanze kurudisha kumbukumbu yake nyuma.
“Aaah aaah Rehema…” alisema Eddy akiwa amerudiwa na akili zake sawasawa na kutambua ni Rehema gani aliyekuwa pale dirishani.
“Unasemaje?”
“Naomba kuzungumza na wewe, nina mambo muhimu sana…” alisema Rehema.
Eddy akasogea hadi dirisha na kutaka kuzungumza na Rehema palepale.
“Tafadhali mpenzi, nifungulie mlango, nataka kuingia chumbani kwako…” alisema Rehema na kumpa wakati mgumu sana Eddy.
“Kwa nini tusifanye kesho au ni muhimu sana…” alisema Eddy huku akiwa ametawaliwa na hofu kubwa ya kufungua mlango.
Wasiwasi mkubwa wa Eddy ulikuwa ni kwa Queen, alihisi anaweza kujua kama Rehema ameingia chumbani kwake.w
Alijua nyumba hiyo haikuwa na siri hata kidogo. Hata kile kitendo cha Queen kuingia chumbani kwake alijua kuwa kimetokana na maneno ya watu.
Alijua Rehema aliambiwa kuwa Queen alikuwa ameingia chumbani kwake.
“Ni muhimu, nataka kuongea na wewe…” Rehema alisisitiza.
“Hatuwezi kuongea hapahapa?”
“Jamani huoni mazingira haya si mazuri,” alisema Rehema kwa sauti ya mahaba ambayo ilipenya hadi katika moyo wa Eddy.
“Powa…” alisema Eddy na kugeuka kuufuta mlango wa chumba chake ili akaufungue.
Rehema naye akatoka pale aliposisima na kuondoka kurudi ukumbini ili aingie chumbani kwa Eddy.
Eddy alisimama kwa muda mlangoni na kufikiria, kisha akajisemea moyoni ‘liwalo na liwe…” akafungua mlango.
Alipomaliza kuufungua hakusimama tena mlangoni, moja kwa moja akarudi kitandani kwake na kujitupa juu yake.
Rehema naye alipofika, wala hakujibalaguza, akausukuma mlango na kuingia chumbani humo.
Ni wakati alipokuwa akiingia ndipo, kuna mtu aliyekuwa akitokea barazani akiingia ndani, akamuona Rehema akiishia chumbani kwa Eddy.
Mtu huyo akashangaa! Akajiuliza kama Eddy alikuwa amerudi au la. Alipokosa jibu akadhani labda Rehema alikuwa ameachiwa ufunguo.
Rehema alipohakikisha kwamba ameishaingia chumbani humo wala hakutaka kungoja, moja kwa moja alimfuata Eddy pale kitandani alipokuwa amelala na kuanza kumkumbatia.
Eddy hakuwa na ujanja wa kukataa kumpokea Rehema pamoja na kwamba hakutegemea kufanyiwa kitu kama hicho, yeye alihisi kesi kuhusiana na mambo yaliyotokea jana yake usiku ingeanza kisha mambo hayo yangefuata baadaye.
Bila ya kujivunga mtoto wa kike akaanza kumshushia mabusu ya nguvu Eddy, akawa anampandisha morali wake kwa kumshika kila kona ya mwili wake.
Wakati alipokuwa akiyafanya hayo, Rehema alikuwa akisindikiza vitendo hivyo na sauti ya kilio, alikuwa akilia kwa sauti ndogo yenye kusisimua.
Kilio chake kiliongeza hamasa ya kumpagawisha Eddy aliyekuwa amelala na kumwachia msichana huyo afanye anachotaka.
Awali Eddy hakuwa akisikia kile Rehema alichotaka akisikie lakini kadiri muda ulivyoenda ndivyo msichana huyo alivyokuwa akiongeza majonjo ya kumpagawisha.
Ilifika hatua, Eddy alisalimu amri, akaanza kujibu mashambulizi ya Rehema, ilipofika hatua hiyo sasa ikawa kama fujo, wakawa kama wanamichezo wa miereka, wakawa wanazungushana juu ya uwanja ule wa sita kwa sita, mmoja akiwa juu mwingine anakuwa chini, kila mmoja alikuwa akifanya kile anachokijua katika kumpagawisha mwenzake.
Waliendelea hivyo kwa muda mrefu na hatimaye wakawa kama wanaishiwa pumzi, kila mmoja akawa anavuta pumzi za ziada, hamasa ikiwa imewapanda kwa asilimia mia moja.
Bado kilio cha Rehema kilikuwa palepale, alikuwa akilia kwa sauti ndogo kuonesha manung’uniko aliyonayo juu ya Eddy.
“Kwa nini unanifanya hivi?”
aliuliza Rehema huku akisaula viwalo vya mwenzake huyo.
Eddy hakujibu kitu, alikuwa kimya muda wote ingawaje pombe ilikuwa ikianza kumtoka kichwani mwake.
Rehema alipoona kimya wala hakukata tamaa, akaiondoa ‘t- shirt’ aliyokuwa ameivaa Eddy na kuitupa pembeni.
Akawa anatafuta sehemu ambazo zingeweza kumpagawisha zaidi mvulana huyo.
Baada ya muda akaona kama vile alikuwa akichelewa kufikia lengo lake, akaifungua njia ya kuingia ‘ikulu’ kwa kuivuta chini zipu iliyokuwa imeziba njia hiyo.
“Kwa nini unanifanyia hivi?” alirudia tena Rehema huku akimshika askari wa Eddy na kumwingiza katika njia ya kupitishia chakula.
Eddy alizidi kupagawa, kijasho chembamba kikaanza kumvuja.
“Unataka nikufanyie nini…?” bado Rehema aliendelea na maswali lukuki ambayo yalikuwa hayajibiwi na mwenza wake.
Rehema akaona kama vile hatosheki na kile alichokuwa akikifanya, akamwondoa Eddy kiwalo kingine muhimu katika maungo yake.
Akaendelea na zoezi lake hadi pale alipomuona Eddy akiwa mtupu kama alivyotoka katika tumbo la mama yake , naye akainuka na kuondoa vya kwake.
‘Mechi’ ilikuwa ikitaka kuanza, ndipo mlango ulipofunguliwa, mtu aliyefungua mlango aliingia na kuwaona wawili hao kwa msaada wa taa ya ukumbini kwa kuwa mlango aliuacha wazi.
Wote wakatahamaki na kujiuliza nini kilikuwa kikiendelea. Rehema ndiye aliyekumbuka kuwa wakati alipokuwa akiingia mle ndani hakuwa ameufunga mlango.
“Eddy,” sauti ya kike iliita na wote wawili wakaifahamu ni sauti ya nani.
Kama vile haitoshi aliyewaita akageuka na kwenda kuwasha taa na kuwashuhudia wawili hao wakiwa wamejilaza kitandani tayari kwa kuendelea na ngwe ya kupeana burudani.
“Eddy hiki ni nini?” alisema mwanamke huyo ambaye hakuwa mwingine zaidi ya Queen.
Queen alikuwa amesimama mbele yao akiwakodolea macho kama vile askari aliyekuwa amewakuta wahalifu wake.
“Kwa nini unaingilia starehe za watu?” hatimaye Rehema aliweza kupata maneno ya kuonge huku akimwangalia Queen.
“Starehe za watu? Wewe una starehe gani hapa mjini zaidi ya umalaya…?”
“Ndiyo miye ni malaya na wewe ni nini kilichokuleta humu ndani?”
Kauli hiyo ilimkera Queen aliyetoka mzimamzima na kumvaa Rehema pale kitandani, Rehema naye hakukubali akakunjua makucha yake na kumshika Queen kisawasawa.
Wawili hao wakaanza kushika huku wakipigizana kelele, hali iliyowashtua watu wengine waliokuwa katika vyumba vyao.
Watu hao wakaanza kuamka na kutafuta kelele zinapotokea, wakagundua kuwa zilikuwa zikitokea chumbani kwa Eddy.
Waliposikiliza vizuri wakagundua kuwa sauti za wanawake wawili zilikuwa zikijibishana, sauti hizo hazikuwa ngeni masikioni mwao, wakaamua kuvamia chumba hicho.
Je, nini kilifuatia chumbani humo?
 
Chombezo : Majangaaa Mbona Majangaaa !
Sehemu Ya Nne (4)
ote watatu wakashtuka kuona wamevamiwa, Eddy akaanza kutafuta nguo za kujistili hali kadhalika kwa Rehema.
“Kuna nini jamani?” alisema Mwamvua ambaye alikuwa wa kwanza kuingia chumbani humo.
Hakuna aliyemjibu, bali Rehema na Queen waliendelea kuvutana kwa lengo la kushikishana adabu.
Baada ya kuona kile kilichokuwa kikiendelea, Mwamvua akapiga kelele na kuwaita watu wengine ambao walikuwa wameishia mlangoni na kumtanguliza yeye kama chambo.
Nao wakazama chumbani humo na kukuta kimbembe kikiwa kimekolea, Rehema na Queen walikuwa wamevaana na kuangushana chini kila mmoja alikuwa akifoka kivyake vyake.
“Jamani tafadhali jamani, hebu waamulieni…”alisema baba mwenye nyumba ambaye naye alishafika.
“Kuna nini kwani? nyumba hii kila siku majanga…” alisema mama mwenye nyumba.
Kila mmoja kati yao, Rehema na Queen hawakuweza kusema kile kichowafanya wagombane.
“Hebu wewe baba twambie…” baba mwenye nyumba alimgeukia Eddy.
“Hata miye sijui kilichokuwa kikiendelea, nilikuwa nimelala mara wakaja hawa…” alisema.
“Siyo hawa, akaja huyu malaya kutuharibia starehe zetu…” alisema Rehema.
“Malaya mwenyewe…” alijibu Queen na kuwa tayari kujipapatua mikononi mwa watu waliokuwa wamemzuia.
“Eti kweli baba?”
“Ni ni kweli kama nilivyosema, walikuja hawa na kila mmoja alikuja kivyake…” alizidi kujitetea Eddy.
“Hukuwa na miadi nao?” baba mwenye nyumba aliongeza udadisi.
“Nimesema kila mmoja alikuja kwa wakati wake…” alisema Eddy.
“ Nani ni mpenzi wako kati ya hawa wawili…?” mama mwenye nyumba naye hakuwa nyuma katika kuuliza maswali.
“Wote,” alijibu Eddy na kuwafanya watu wote waliokuwa chumbani humo kucheka.
“Hebu sikilizeni nyie mabinti,” alisema baba mwenye nyumba na kuwageukia Rehema na Queen “imekuwaje kuja kugombania kwa mgeni, kwani kuna yeyote mwenye uhusiano naye kati yenu?”.
Hakuna aliyejibu zaidi ya kukodoa macho yao. Baba na mama mwenye nyumba pamoja na wapangaji wengine walikuwa wanakijua kilichokuwa kikiendelea lakini walikuwa wakitaka kupata uhakika kutoka katika vinywa vya wahusika.
“Mbona hamsemi mmekuwa mabubu nini...?” alihoji baba mwenye nyumba.
“Au tuwafungie humu ndani na mwanaume wao, tuwaache waoneshane ujuzi…” alidakia msichana aitwaye Kidawa na kuwafanya watu wote kuangua vicheko.
“Tatizo hawataoneshana ujuzi wa mambo, bali wataoneshana ujuzi wa kupigana…” alisema mama mwenye nyumba na kufutiwa na vicheko vingine.
Baada ya kuonekana kwamba imeshindikana kuwapatanisha chumbani kutokana na watu wengi kufurika ikabidi watolewe nje ili kesi iamuliwe.
Baba mwenye nyumba akapendekeza kesi hiyo ihamie uwani, basi kundi zima likatoka chumbani humo na kwenda uwani kwa ajili ya kusikiliza kesi hiyo.
Minong’ono ilikuwa mingi na kila mmoja alikuwa akisema lake. Pamoja na kuwa ni usiku mrefu lakini majirani nao walishafika na kutaka kujua zogo lile lilikuwa limetokana na nini.
“Jamani kulikoni?” alisema mama Kibena ambaye siku zote alikuwa hapitwi na jambo mtaani pale.
“Wote twendeni uwani…” alisisitiza baba mwenye nyumba huku akitaka Rehema na Queen wasiwekwe karibu.
Watu wote walitii na kwenda uwani ambako kulikuwa kama uwanja mkubwa kama wa mpira kwa ukubwa na watu wakachukua nafasi zao kwa kukaa chini kusikiliza kile kitakachojiri.
Tayari ilishatimu saa tisa za usiku, baba mwenye nyumba akaongoza kikao hicho.
“Hebu niambieni nini kimeendelea, maana nimeshachoshwa na makelele ndani ya nyumba hii…” alisema.
Bado hakuna aliyekuwa tayari kuzungumza chochote, wakabaki wakiangaliana kama vile majogoo yaliyokuwa yamechoka baada ya kupigana kwa muda mrefu.
Katika nafsi zao, Rehema na Queen walijiona wajinga kwa kupigana kisa kikiwa mwanaume lakini kila mmoja bado alikuwa hataki kushindwa.
Pia wakawa wanashindwa kuweka wazi kile kilichotokea kutokana na kukumbwa na aibu, hawakupenda kuonekana kama walikuwa wakigombania mwanaume.
“Huyu mwanaume ndiye atuambie kilichotokea…” alisema mama mwenye nyumba.
“Haya wewe twambie…” alidakia tena baba mwenye nyumba.
Eddy akajiumauma na kisha kuanza kusema kile kilichotokea, alianza kusema siku ya kwanza tu alipoingia ndani ya nyumba hiyo alikuwa amevutiwa na mwonekano wa Rehema.
Kisha akasimulia jinsi alivyokutana na Queen ambaye naye alikuwa hajambo kwa uwezo wake wa majambozi.
Muda wote aliokuwa akihadithia matukio hayo baadhi ya wasichana walikuwa wakicheka na kuingiza vidokezo vya kunogesha stori yake.
“Pasuaaa… pasuaaaa… siku ya kwanza tu umegonga ngoma mbili!.... kweli majangaaa…,” alisema Mwamvita.
Baada ya kumwaga mchele hadharani wakatakiwa wasichana wale nao waseme kile kichotokea, ndipo Rehema alipojikaza na kusema:
“Kama mlivyosikia, nikiwa na mpenzi wangu ndani tukiwa tunakula raha zetu ndipo huyu malaya akatuvamia…”
Nini kiliendelea? Usikose kufuatilia kwenye Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Jumatano ijayo.
Queen hakuvumilia kauli hiyo, akambwatukia Rehema kwa kumtolea tusi kali, ikabidi Rehema naye achoropoke pale alipokuwa amesimama na kumfuata pale alipokuwa amesimama.
“Unanitukania nini sasa…?” alihoji.
“Mdomo,” alijibu Queen.
Mara wakavaana na kuangushana chini, safari hii baba mwenye nyumba akataka waachiwe ili washikishane adabu.
“Waacheni, hakuna kuingilia, wakimaliza kupigana ndipo wataheshimiana…” alisisitiza baba huyo.
Hali ilikuwa mbaya kwa Rehema ambaye alikuwa ameelemewa na kipigo, Tabu hakupendezwa na hali ile lakini hakuwa na budi kunyamaza huku roho ikimuuma.
“Jamani watauana hapa kisha tutapewa kesi,” alisema mwanamke wa jirani na kuwafanya wote washtuke na kuamulia ugomvi huo uliokuwa umepamba moto na kutimua vumbi la uwani.
“Bahati yako ningekuulia mbali…” alijitapa Queen.
“Umue nani wewe kwani umeshaua wangapi…?” Rehema bado alikuwa ngangari katika kujibu huku moyoni akishukuru kwa kuamuliwa ugomvi ule kwa kuwa alikuwa amezidiwa vibaya.
Baba mwenye nyumba akawarudi tena kwa Eddy na kumwambia achague mmoja kati ya wasichana hayo ili kuondoa ugomvi kati yao.
“Mimi nawapenda wote kwa kuwa wote ni wazuri,” alijibu Eddy na kuwafanya watu waendelee kuambulia burudani ya kucheka.
“Acha utani bwana, siye tunataka kuamua ugomvi huu ili tumjue nani ni nani kwako, kwa kuwa ukimchagua mmoja atayemwingilia mwenzake atakuwa mgomvi, haya chagua unamtaka nani?” alisema tena baba mwenye nyumba.
“Siwezi kuchagua, kama nilivyosema mwanzo wote nawapenda…” alijibu tena Eddy.
“Au tumpe notisi mmoja na mwingine abaki…” alisema mama mwenye nyumba.
“Hapana wapewe notisi wote… tena miye nataka niwekewe chumba kimoja ili nihamie huku...” alisema mama Kibena.
“Pasuaaa… pasuaaaa… siku ya kwanza tu umegonga ngoma mbili...kweli majangaaa…,” alisema Mwamvita.
Baada ya kumwaga mchele hadharani wasichana wale nao wakatakiwa waseme kile kichotokea, ndipo Rehema alipojikaza na kusema:
“Kama mlivyosikia, nikiwa na mpenzi wangu ndani tukiwa tunakula raha zetu ndipo huyu malaya akatuvamia…”
QUEEN hakuvumilia kauli hiyo, akambwatukia Rehema kwa kumtolea tusi kali, ikabidi Rehema naye achoropoke pale alipokuwa amesimama na kumfuata Rehema alipokuwa amesimama.
“Unanitukania nini sasa…?” alihoji.
“Mdomo,” alijibu Queen.
Mara wakavaana na kuangushana chini, safari hii baba mwenye nyumba akataka waachiwe ili washikishane adabu.
“Waacheni, hakuna kuingilia, wakimaliza kupigana ndipo watakapoheshimiana…” alisisitiza baba huyo.
Hali ilikuwa mbaya kwa Rehema aliyekuwa ameelemewa na kipigo, Tabu hakupendezwa na hali ile lakini hakuwa na budi kunyamaza huku roho ikimuuma.
“Jamani watauana hapa kisha tutapewa kesi,” alisema mwanamke wa jirani na kuwafanya wote washtuke na kuamulia ugomvi huo uliokuwa umepamba moto na kutimua vumbi la ua huo.
“Bahati yako ningekuulia mbali…” alijitapa Queen.
“Umuue nani wewe kwani umeshaua wangapi…?” Rehema bado alikuwa ngangari katika kujibu huku moyoni akishukuru kwa kuamuliwa kwa kuwa mpinzani wake alikuwa amemdhibiti vibaya.
Hata hivyo, Rehema alikuwa akiamini kuwa alikosea ‘taimingi’ tu na siyo kama alikuwa hamuwezi Queen.
Baba mwenye nyumba akamrudia tena Eddy na kumwambia achague mmoja kati ya wasichana hayo ili kuondoa ugomvi kati yao.
“Mimi nawapenda wote kwa kuwa wote ni wazuri,” alijibu Eddy na kuwafanya watu waendelee kuambulia burudani ya vicheko.
“Acha utani bwana, siye tunataka kuamua ugomvi huu ili tumjue nani ni nani kwako, kwa kuwa ukimchagua mmoja atayemwingilia mwenzake atakuwa mgomvi, haya chagua unamtaka nani?” alisema tena baba mwenye nyumba.
“Siwezi kuchagua, kama nilivyosema mwanzo wote nawapenda…” alijibu tena Eddy.
“Kama ni hivyo waoe wote…” alisema Mwamvita.
“Au tumpe notisi mmoja na mwingine abaki…” alisema mama mwenye nyumba.
“Hapana wapewe notisi wote… tena miye nataka wakipewa notisi nihamie huku na ikiwezekana niingie katika kile chumba anachokaa Rehema...” alisema mama Kibena.
Hali hiyo ilizua zogo kubwa na kuwafanya wapangaji wengine kuwatetea wasichana hao na ili wasipewe notisi.
Wengi wao walipendekeza Eddy ndiye apewe notisi kwa kuwa yeye ndiye chanzo cha matatizo hayo.
“Ikiwezekana huyo mwanaume ndiye apewe notisi kwa kuwa kabla hajahamia katika nyumba hii watu walikuwa wakiishi kwa amani,” alipendekeza Tabu na kuungwa mkono na watu wengi.
Huo ulikuwa ni mtihani mkubwa kwa baba mwenye nyumba kwa kuwa hakuwa na fedha za kumrudishia Eddy kodi yake ya mwaka aliyolipa.
Kikubwa alichokuwa akizingatia ni watu wengi kushindwa kuhamia katika nyumba yake kutokana na mambo mengi ya kiswahili.
Baba huyo anakumbuka jinsi alivyopata tabu kukipangisha chumba alichoingia Eddy kwa kuwa kilikaa zaidi ya miezi sita bila ya kupata mpangaji.
“Hapana hilo niachieni mwenyewe nitaliamua, nafunga mjadala mpaka kesho ndipo nitakapotoa uamuzi wangu,” alisema na kuwataka watu wote wakalale.
Siku mbili zilipita bila ya baba mwenye nyumba kutoa jibu lolote la kile alichokuwa amekiahidi.
Kwa upande mwingine hali ya uhasama kati ya Rehema na Queen ilizidi, kila mmoja alikuwa akitaka kujionesha kwamba yuko karibu na Eddy kuliko mwenzake.
Lengo kubwa kila mmoja alikuwa akitaka kuonesha kuwa yeye ni mshindi. Hivyo mmoja akimpelekea Eddy chai, mwingine alikuwa akihakikisha kwamba anampelekea chakula cha mchana.
Katika kufanya hivyo hawakuwa wakienda wao wenyewe, bali walikuwa wakiwatumia wapambe wao.
Rehema alimtumia mpambe wake Tabu wakati Queen alimtumia mdogo wake Pat, ikatokea siku Tabu naye uvumilivu ukamshinda akawa anataka kujua kile kilichowafanya Rehema na Queen wagombane kwa ajili ya Eddy.
Msichana huyo akataka kuingia katika himaya ya wakubwa zake, akataka kumsaliti mtu aliyekuwa akimshabikia.
Siku hiyo alikuwa ameingia chumbani kwa Eddy kwa lengo la kumpelekea chakula cha mchana, alipoingia ndani akaanza kujisemesha hili na lile.
“Hivi kwa nini unafikia hadi unagombewa na wanawake?” Tabu alimuuliza Eddy.
“Wee bado mdogo huwezi kujua,” Eddy alimjibu kwa kifupi ili kuondoa bughudha mbele yake bila kujua lengo la Tabu.
“Mi mdogo miye?
“Ndiyo, huwezi kujua mpaka ukikua ndipo utajua kwa nini wale walikuwa wakinigombea,” Eddy aliendelea kumjibu.
Bado Tabu hakutosheka na maneno yale yaliyokuwa yakiashiria kitu kingine kabisa tofauti na kile alichokifikiria.
“Watu wengi wananidharau kutokana na umbile langu lakini nataka kukuhakikishia kuwa miye siyo mtoto…” alisema Tabu kurudia kauli yake ya awali.
“Wee bado mtoto tu…” Eddy alisisitiza.
“Wewe nione mtoto lakini usidharau wembemba wa reli, unabeba hata treni…” alisema tena Tabu.
“Kweli?”
Kweli vile…”
Eddy alichukua fursa hiyo kumkagua vizuri msichana huyo, akagundua kitu, msichana huyo alionekana ndiyo kwanza anachipukia katika anga la mapenzi.
Chuchu zake zilikuwa zimechongoka na hipsi zake zilikuwa zikitanuka taratibu, Eddy alifikiria kwamba ukubwani mwake atasumbua kutokana na kuendelea kukua.
Midomo ya binti huyo ilikuwa mipana na kutengeneza vishimo ‘dimples’ pale alipokuwa akitabasamu.
Bado katika akili yake Eddy alijua kwamba anaweza kuwa mtu wa kwanza kuvunja ngome ya msichana huyo, aliamini hivyo kutokana na mwonekano wa binti huyo.
Akazidi kumvutia upande wake na kumhamisha kutoka pale walipokuwa wamesimama, wakasogea hadi katika uwanja wa fundi seremala na hapo akazidi kumpandisha ‘wazimu’ wake.
Eddy alihakikisha anamfanyia binti huyo utundu wote anaoujua, hali hiyo ikawa inamfanya Tabu kupiga kelele za kuashiria kuhamasika na kusisimka huku akipoteza umakini wake.
Eddy alikuwa amempania kumuonesha binti huyo utundu wake wote na kwamba alikuwa jabali katika mambo hayo ya faragha.
Pia, alifanya hivyo huku akiwa na kiu ya kutaka kuondoa kizuizi cha binti huyo kama siyo kupasua ngome kwa mara ya kwanza.
Katika maisha yake ya mapenzi, Eddy hakuwahi kufanikiwa kuipasua ngome ya binti ye yote, hivyo akaweka imani kwamba angeweza kubahatisha kwa Tabu kwa kuwa siku zote alikuwa akikutana na wale wazoefu tu.
Hivyo, alihahakisha anampigisha ‘kwata’ za kutosha Tabu kwa lengo la kumpagawisha binti huyo ambaye alimkadiria kuwa na miaka 19.
Katika hilo alifanikiwa kwa asilimia kubwa kwa kuwa Tabu alianza kubadili mikao na kuzungusha macho kama vile alikuwa akitaka kukata roho.
Mtoto wa watu alichanganyikiwa na kuwa mbendembende kutokana na manjonjo aliyokuwa akioneshwa na Eddy ambaye alihakikisha anapita katika kila idara yake.
Baada ya maandalizi ya mechi hiyo Eddy akapuliza kipyenga na kuzialika timu katikati ya dimba la fundi seremala.
Askari wake akiwa amekasirika zaidi kwa vile alikuwa amevutiwa na mwonekano wa binti yule aliyekuwa bado mbichi.
Macho yaliyojaa uoga na embe sindano zilizokuwa zikivutia zikiwa zimechomoka kama zimetundikwa kifuani mwake.
Kama vile haitoshi, Eddy alivutiwa na harufu ya Tabu ambaye alikuwa na kijasho cha kuonesha kwamba bado hakuwa na uzoefu wa mambo yale.
Jasho lake lilikuwa halikeri katika pua za Eddy, Tabu alikuwa akinukia harufu za kitoto kwa kuwa hakuwa mzoefu wa mambo ingawaje yeye alikuwa akijiona ni mkubwa wa kuweza kufanya kile kilichokuwa kikifanywa na watu wengine wenye jinsia kama yake.
Baada ya kuhakikisha amempagawisha vya kutosha,Eddy alibadilisha somo kumchukua askari wake na kumzamisha kisimani.
Tabu aliachia ukulele mkubwa kiasi ambao ungeweza kusikika nje kama Eddy asingekuwa makini na kuwahi kumziba mdomo.
Ni kama vile alikuwa amejiandaa, mkono huo ukaganda kwenye kinywa cha Tabu kwa muda na alipomuona ametulia aliuachia taratibu huku akihisi kwamba amevunja ngome ya binti huyo.
Tabu hakuendelea kupiga kelele tena, akatulia tuli huku akionesha kukubaliana na kile kilichokuwa kikiendelea kati yake na Eddy.
Baada ya Eddy kumuona ametulia akautoa mkono wake katika mdomo wa Tabu na kushusha macho yake kumwangalia askari wake kama alikuwa amepasua ngome au la.
La hasha haikuwa hivyo, kulikuwa na kila dalili kwamba ngome ilishapasuliwa muda mrefu.
Pamoja na kuona hali hiyo, Eddy wala hakukata tamaa kwa kulikuwa na vitu kadhaa ambavyo alivibaini katika mechi hiyo, kwanza alithibitisha kwamba Tabu hakuwa mtoto bali alikuwa mkubwa mwenzake.
Hivyo mategemeo yake ya kuwa mwanaume wa kwanza wa kukata ‘siri’ au kuvunja ngome ya binti huyo yakatoweka kama mafuta ya samli katika kikaaongo cha moto.
Baada ya kuona nanga yake ikizima majini bila ya kipingamizi.
Kumbe zile kelele za Tabu zilikuwa ni moja ya mbwembwe zake katika kufanikisha na kumpagawisha Eddy ambaye aliyekuwa na matarajio makubwa ya kupasua ngome.
Pamoja na kwamba binti huyo alikuwa tayari ameshaanza mambo hayo mapema lakini kulikuwa na vitu vingine ambavyo Eddy hakukitegemea kabisa kuviona.
Vitu hivyo vikawa faraja kubwa sana kwake, kwanza ni pale alipogundua kwamba Tabu hakuwa ameguswa na watu wengi kwani aliiona tofauti kati ya binti huyo na akina Queen pamoja na mwenzake Rehema.
Kwa kutumia uzoefu wake, aliamini kuwa kama hakuwa mwanaume wa pili kwa Tabu baada ya yule wa kwanza aliyekata utepe basi alikuwa ni wa tatu.
“Kama siyo wa pili, basi nitakuwa wa tatu,” alijisemea kimoyomoyo huku gemu likiendelea.
Imani hiyo ilitokana na mvutano kama ule wa ‘sumaku’ aliokuwa akikumbana nao askari wake mara baada ya kuzama kwenye kisima cha ‘bintani’ huyo.
Aliamini binti huyo hakuwa amechezewa vya kutosha, akaongeza ufundi zaidi ili kumuonesha kwamba hao wengine hakuwa na kitu mbele yake.
Kingine kilichomshtua Eddy ni pale alipoona kwamba mechi ile haikuwa ya upande mmoja, kwani Tabu alikuwa akijibu mashambulizi kwa aina ya pekee.
Hali hiyo ilimfanya kukubaliana na kauli ya binti huyo ambaye mwanzo alimwambia kwamba asidharau wembamba wa reli kwa kuwa unabeba hata treni.
Tabu alikuwa akijua kufanya vitu ambavyo hata wale wengine waliokuwa wamekutana na Eddy hawakuwa wakiweza kuvifanya.
Alionesha uzoefu wake wa kucheza ‘sindimba’ na kumfanya Eddy ainjoyi kwa kiasi kikubwa na kuamini kuwa mechi hiyo ilikuwa ni moja kati ya nzuri alizowahi kucheza katika maisha yake.
Eddy hakuchukua muda mrefu kumaliza raundi ya kwanza, kwa hali ilivyokuwa hakuwa ameridhika kutokana na raundi ile kuisha haraka.
Akataka raundi ya pili ipigwe fasta, haraka akakata rufaa na kuomba raundi ya pili, akilini mwake aliamini kuwa katika raundi hiyo utamu utakolea zaidi.
Kitu kingine kilitokea, akili yake ilicheza sawa na kile alichokuwa akikifikiria kutokana na askari wake kusimama imara na kuwa tayari kwa gemu.
Kwa kasi ya ajabu askari wa Eddy aliweza kusimama imara na kuanza kutimiza jukumu hilo kwa mara ya pili. Hata raundi ya pili haikuchukua muda mrefu.
Eddy alijikuta akiwahi kumaliza kufunga goli la mbali bila ya kutarajia, alishangaa kuona nyavu za timu ya upinzani zikitikisika
Alijua sababu ni uzuri wa kile kitu alichokuwa akila kwa wakati ule. Alihitaji tena raundi ya tatu lakini alikuwa amechelewa, Tabu alishaifuata kufuli yake na kuitia maungoni mwake.
“Vipi?” Eddy alihoji.
“Nimechoka na nataka kuwahi ili nisionekane…” alisema huku akiwa tayari kutoka ndani ya chumba cha Eddy.
“Poa, lakini usimwambie mtu, kisha nataka siku nyingine tutoke hapa, nataka tukakutane sehemu nyingine nzuri, sawa?”
“Sawa,” alijibu Tuma huku akijiandaa kutoka chumbani humo.
Mpaka Tabu anatoka chumbani kwa Eddy alikuwa ameiva macho kwelikweli. Alipotoka tu, uso kwa macho akakutana na Pat ambaye alikuwa akitokea uwani na kuingia chumbani kwa dada yake.
Tabu aliogopa sana, kwa kuwa alikuwa amebadilika na macho yake yamekuwa mekundu, mwili wake ulikuwa umechoka na kama aliyekuwa ametoka kubeba mizigo mizito.
“Tabu,” Pat alisimama na kumwita.
“Abee,” aliitikia.
“Una nini?” aliuliza Pat ambaye alikuwa amejawa na udadisi baada ya kumuona Tabu akiwa katika hali tofauti.
Hata hivyo, Tabu hakutaka kuendelea kumsikiliza Pat, alijifanya kama vile hakumwelewa, ingawaje alishajua kwamba udadisi wa msichana huyo ulikuwa umebaini kitu fulani.
Moja kwa moja Tabu akaamua kuingia katika chumba alichokuwa akilala na wasichana wengine huku akijitahidi kumkwepa Pat.
“Tabu… Tabu… Tabuu…,” aliendelea kuita Pat bila ya mafanikio. Pamoja na kuona kwamba hakuitikiwa, Pat hakukata tamaa akaingia chumbani humo.
Alipoingia akamkuta Tabu akiwa amejitupa kitandani, akamwita tena na tena lakini Tabu alijikausha kimya kama vile alikuwa hamsikii.
“Wee Tabu unaumwa au…?”
Bila ya kugeuka na kumwangalia, Tabu akiitikia kwa kichwa kukubali kwamba alikuwa anaumwa kwa kuwa alishaona Pat alikuwa amemsaidia kumtafutia jibu la kumpa.
“Nini kinakusumbua?”
“Tumbo…” alijibu swali hilo huku mikono yake akiwa ameiviringisha kwenye tumbo lake kuonesha kwamba lilikuwa likimsumbua.
“Pole sana… lakini Tabu mbona nguo yako imejikunja? Na hata nywele zako zimevurugika halafu nimekuona ukitokea katika chumba cha Eddy?” alihoji Pat.
“Haaa hamna kitu…” alijibu Tabu huku akigeuka na kujiweka sawa nywele zake na kujaribu kuikunjua nguo yake iliyokuwa imejikunja.
“Hamna kitu, haiwezekani… kuna kitu… tena angalia macho yako yamekuwa mekundu, hebu niambie ulikuwa ukifanya nini chumbani kwa Eddy?” Pat aliendelea kumkomalia Tabu.
Tayari kengele ya hatari ilikuwa imeshagonga akilini mwa Pat, akahisi kuwa Tabu alikuwa ametoka kugonga shoo na Eddy.
“Kwani wewe unafikiria nini?” alijibu Tabu kwa swali huku akisimama.
“Hee yamekuwa hayo tena… kwani tumbo limepona, hebu niambie basi ulikuwa ukifanya nini chumbani kwa Eddy?” Pat alizidi kumdodosa Tabu.
“Hayakuhusu… kila mtu ana mambo yake, kwa nini unapenda kufuatilia mambo ya watu?”
“Mambo gani niliyofuatilia?”
“Si haya ya kuniuliza kwamba nimetoka kufanya nini chumbabi kwa Eddy kwani wewe unafikiria nimetoka kufanya nini? Mbona miye sijakuuliza huko ulikotoka umetoka wapi?” alisema Tabu kwa hasira.
“Wee niambie tu umetoka kufanya nini?”
“Kumpelekea chakula…?”
“Chakula gani?”
“Kwani wee unajua kuna chakula gani na gani? Nakuomba uelewe kwamba nimetoka kumpelekea chakula…” alisisitiza Tabu.
“Samahani kama nimefuatilia mambo yako, lakini kumpelekea chakula tu ndiyo nguo yako ikunjikekunjike na macho yako yawe mekundu…?”
“Kwani wewe unataka nini, nishakwambia kuwa nimetoka kumpelekea chakula kwa nini huelewi?”
“Kweli umempelekea chakula maana una kila dalili kwamba umepeleka chakula chenye ladha ya nyama ya binaadamu… lakini ole wako dada Queen na Rehema wajue kama umempelekea chakula hicho chenye ladha ya nyama ya binaadamu,” alisema.
“Watafanifanya nini…?”
“Ngoja wajue ndiyo utajua watakufanya nini, wee si unajifanya mwanamke kweli…?”
“Ndiyo mimi ni mwanamke kweli… nina kila kitu ambacho wao wanacho na ninaweza kufanya chochote kile ambacho wao wanaweza kufanya…” alisema Tabu kwa hasira.
“Sawasawa, nimekuelewa…” alisema Pat huku akitoka nje akiwa amehisi kwamba pamoja na Tabu kudai kwamba alikuwa amempelekea chakula Eddy lakini kulikuwa na zaidi ya chakula alipoingia chumbani kwake.
Tabu akarudi kitandani na kujipumzisha kutokana na kile alichokuwa amekifanya na Eddy, huku akiwa na wasiwasi kwamba Pat anaweza kwenda kusambaza maneno hayo kwa watu wengine.
“Shauri yake, kama anataka kwenda kusema mwache aseme… kwani ana ushahidi gani?” alijifariji.
Mara baada ya kutoka nje, Pat akagongana na Eddy akiwa anatoka chumbani kwake, akamwangalia kwa udadisi na kujiuliza mwanaume huyo ana nini mpaka anawapanga foleni wasichana wa nyumba hiyo.
“Shikamoo?” akatoa salamu.
“Marhaba…” Eddy akaitikia huku akifunga mlango wake kuashiria kuwa alikuwa akitoka na kwenda mbali na eneo hilo.
Pamoja na kusalimiana Pat aliendelea kumkodolea macho Eddy kama vile ndiyo kwanza alikuwa akimuona.
Kitendo hicho kilimshangaza Eddy na kujiuliza, kwa nini msichana huyo alikuwa akimwangalia kwa umakini kiasi hicho.
“Vipi mbona unaniangalia hivyo?”
“Aaah, nilikuwa nakuangalia tu,” alijibu Pat huku akiona aibu kwa jinsi alivyoshtukiwa na Eddy.
“Sema unataka tutoke wote nini?”
“Walaaa!” alijibu huku akiumauma vidole vyake vya miongoni.
Eddy alitoka zake huku akimwacha Pat pale ukumbini akiendelea kumwangalia kwa udadisi. Moyoni mwake Pat aliamini kwamba kijana huyo alikuwa na kitu cha ziada kwa wasichana.
“Kwanza mchangamfu halafu amekaa vizuri…” aliwaza moyoni mwake huku akiwa anasumbuliwa na kutaka kujua kama kweli Tabu alikuwa amegonga naye shoo.
Baada ya kutafakari kwa muda, Pat akatoka na kuamua kumfuata tena Tabu chumbani ili kwenda kumuuliza kama kweli alikuwa amevunja amri ya uzinzi na Eddy.
Alipoingia chumbani akamkuta Tabu akiwa bado amelala, akaanza kumwamsha kwa upole tofauti na mwanzo alivyoingia chumbani humo kwa mara ya kwanza na kumwamsha kwa ukali.
Mbali na kufanya hivyo, awali alikuwa akimlazimisha Tabu kuhusu ishu ya kugonga shoo na Eddy, safari hii ilikuwa tofauti.
Tabu alipoamka, Pat akaanza kumuuliza kwa upole ili aweze kujua ukweli, moyoni wivu ulikuwa ukimtafuna kwa kuhisi kuwa amepigwa bao na msichana mwenzake.
“Shoga hebu tuache utani mimi na wewe ni marafiki wa muda mrefu, hebu niambie kile ulichokifanya na Eddy chumbani kwake…” alianza kwa kumbembeleza.
“Wee si umesema unaenda kuwaambia dada Rehema na Queen? Nenda tu miye wala sina wasiwasi…”
“Hebu tuachane na hayo, miye na wewe ni damu damu, yale yamepita shoga’angu maana nimekutana na huyu mwanaume hapo ukumbini, wee acha tu…”
“Unamaanisha nini kwani na wewe unamtaka?”
“Hivi katika akili yako kuna mwanamke ambaye anaweza kukataa kuwa na mwanaume kama yule?” Pat alijibu kwa kuuliza swali.
“Mh! Makubwa.”
“Madogo yana nafuu shoga, hebu niambie basi kama mwenzangu umeshawahi?” alichombeza Tabu.
Tabu hakuweza kumjibu Pat akabaki akicheka na kumfanya Pat kuendelea kuhisi kwamba kulikuwa na ukweli kwa kile alichokuwa akikifikiria ndani ya nafsi yake, hata hivyo hakutaka kujiridhisha kwa hisia tu, akataka kuambiwa ukweli na mhusika.
Akaendelea kumuuliza Tabu ili amwambie kwa mdomo wake kile kilichojiri.
Baada ya kutafakari kwa kina, Tabu akaona hakukuwa na haja ya kumficha, akaamua kumwambia Pat kile kilichojiri chumbani kwa Eddy.
“Yaani shoga wee acha tu,” akaanza kusema huku akijiinua kutoka kitandani na kukaa.
“Mh! Lete habari…” Pat alichombeza huku naye akijiweka sawa kwa ajili ya kupata ukweli kamili.
“Yule mwanamme sijui hata ana nini… maana ghafla tu nilijikuta nikimtamani… lakini alifanya kosa moja tu, alianza kunidharau… pale aliponiambia kwamba miye ni mtoto mpaka nilipomhakikishia kwamba miye ni mkubwa mwenziwe…”
“Kweli…?” alihoji Pat na kumfanya Tabu kuendelea kuhadithia kile kilichotokea kati yake ya Eddy…
“Nilipomhakikishia hivyo, akanifuata pale nilipokuwa nimesimama, ilikuwa ni katikati ya chumba na kunipeleka kwenye uwanja wa fundi seremala.
“Hapo akapitisha mikono yake kwenye nywele zangu na kuzichambua kwa vidole vyake, kisha akachora ramani mwilini mwangu kwa kutumia mikono yake na kunisisimua vya kutosha.
“Kisha akaanza kutumia silaha ya nyoka…” Tabu alisema na kukatishwa na Pat.
“Silaha ya nyoka ndiyo nini Tabu mbona unaniacha kama kishada kinachokwenda halijojo…?”
“Aaah aaah kumbe nilikuwa nakuacha…, pole shoga’angu si unajua inanibidi nitumie lugha ya tafsida, basi namaanisha ile silaha anayoitumia nyoka akitaka kutema sumu yake.””
“Hapo nimekupata ni ulimi…” alisema Pat.
“Yesii, ulimi wake ulipita nyuma kidogo ya shingo yangu na kuzidi kunipandishwa wazimu… nilikuwa nasikia raha kama vile natambaliwa na sisimizi shingoni,” aliendelea Tabu na kumfanya Pat kukaa vizuri ili kupata uhondo zaidi.
“Baada ya hapo akawa anasafiri na ulimi wake kwa kupita kila sehemu aliyoiona inafaa, sehemu ya kuweka kituo kwa muda aliweka na kuendeleza utundu wake.
“Kisha akahamia kwenye embe sindano zangu, akawa anazivuta kwa ndani na kisha kuzitoa nje kwa kutumia njia yake ya kupitishia chakula, weee acha tu… wazimu si wazimu raha si raha, sijui hata nikwambieje…”
“Mh!”
“Alipotoka hapo alipitisha silaha ya nyoka katika maeneo mengine nyeti kwenye maungo yangu na kunifanya nizidi kumchemka kwa hisia kali, akafika hadi kwenye kile kitu ambacho mara baada ya mtoto kuzaliwa baada ya muda huwa kinakatika chenyewe…”
“Nini hicho?”
“Kwani wee hujawahi kusikia kuanguka kwa kitovu cha mtoto…?”
“Aaah nimewahi kusikia shoga…” aliitikia Pat.
“Basi alipofika hapo, mashetani yalitaka kunipanda… nilitamani hata kupiga kelele ili anichie au nipate msaada wa kusaidiwa maana aliniweza kwelikweli…”
“Wee acha utani…” Pat alihoji.
“Kweli vile…” alisisitiza Tabu.
“Mh! Basi makubwa,” Pat aliguna.
Mwili ulinitoka vipele kama vile nilikuwa nikitambaliwa na sisimizi au nilikuwa nikitaka kuugua ugonjwa wa malaria. Alipotosheka akapitiliza hadi kwenye bastola zangu…”
“Halafu… ikawaje…” Pat alijawa na udadisi wa kina wa kutaka kujua kile kilichoendelea.
“Hapo kwenye bastola zangu hakukaa sana, akaenda moja kwa moja kumsalimia bibi kule shambani.”
“Acha utani…?”
“Kweli vile, yule kijana ana heshima kwelikweli… kwani alipofika kwa bibi aliamua kumwamkia kwa heshima zote, alipiga magoti na kumsalimia kwa kuzungumza naye kwa kinywa chake… huku silaha yake ikiwa ni ileile anayoitumia nyoka.”
“Aiseee…” Pat aliropoka bila ya kujijua na kumfanya Tabu ageuke na kumwangalia.
“ Hapo ndipo nilipoanza kusikia kizunguzungu kama siyo kichinachina… nilisi kama vile nataka kukata roho, kuna wakati nilifikiria kama vile sikuwa duniani… kweli dada Rehema na Queen walikuwa wanafaidi…
“Mh! Endelea basi akawa anafanyaje…? Pat alikuwa akitaka kujua uhondo huo aliokuwa akisimuliwa na Tabu jinsi ulivyonoga.
“Wee acha mwanaume pale yupo, alipomaliza kumsalimia bibi wakati huo miye nusu nilikuwa duniani na nusu nilikuwa peponi, nilikuwa kama vile niko ndotoni…”
“Aisee ulifaidi…” Pat alisema.
“Si kidogo, lakini mchezo kamili ulikuwa kwenye shoo yenyewe maana hiyo yote ilikuwa ni kama rasharasha vile vumbi lenyewe lilitimka pale alipoingiza kisu kwenye ala ndipo nilipochoka… kweli nilijiona ni mtoto…,” alisema Tabu.
“Kwa nini,” Pat aliendelea kuhoji.
“Kisu chake kilipoingia kwenye ala nilisikia kama vile mawimbi ya maji yakipiga kisimani, kali mawimbi yenyewe yalikuwa yanafanana na yale ya baharini lakini hayo yalikuwa kama yana mvutano wa umeme, aah Pat wee acha nilipiga kelele,” alisema Tabu.
“Kwa hiyo umemvulia kofia…?”
“Si kidogo hapa unaponiona niko hoi, ulipokuwa ukinisemesha muda ule nilikuwa nakuona kama vile ulikuwa unanizungua tu…” alisema Tabu.
“Kumbe?”
“Eeeh wee acha tu, Eddy anajua kuizungusha funguo katika kufuli kwelikweli…” alisisitiza Tabu na kumfanya Pat kuanza kupatwa na hamu ya kile alichokuwa akifanyiwa mwenzake.
Mpaka kufikia hapo, Pat alikuwa amesha-lowanisha kila nguo iliyokuwa katika maungo yake. Kijasho chembamba kilikuwa kikimvuja kutokana na kile alichokuwa akihadithiwa na Tabu.
Binti huyo naye alikuwa hajiwezi tena, hali yake ilikuwa mbaya akatoka na kwenda msalani ili kujiweka sawa.
Hilo lilitokana na Pat kupagawisha na kile alichokuwa akihadithiwa na Tabu jinsi alivyopiga shoo na Eddy mawazo yake aliyachukua na kujiona kama vile yeye ndiye aliyekuwa msambweni akigonga shoo na mwanaume huyo.
Alifikiria kama kuhadithiwa tu amedata je akikutana na mwanaume huyo itakuwaje? Akaweka wazo kwamba na yeye lazima agonge bonge la shoo na kijana huyo.
Alikuwa amechanganyikiwa kabisa, akajuta kuchelewa kukutana na Eddy, alitamani angekuwa wa kwanza kukutana na mwanaume huyo kabla ya Tabu, Queen na Rehema.
Moyoni alihisi kwamba wenzake hao walikuwa wamefaidi kwelikweli.
Baada ya muda Pat alirejea tena chumbani kwa Tabu na kuanza kuzungumza na msichana huyo na kumwambia msimamo wake kutokana na kile alichokisikia.
“Tabu ndugu yangu, kitu kizuri kula na nduguyo, kuna haja ya miye kupiga shoo na Eddy,” alisema Pat na kumfanya Tabu amshangae.
“Yaani kukuhadithia kidogo tu umedata na unataka kuchonga mzinga, je ningekupa kila kitu ingekuwaje?”
“Kwa hiyo hicho ulichonihadithia ni kidogo? Basi nitamtafuta Eddy anipe kikubwa zaidi maana naona wewe unataka kunibania,” alisema Pat.
“Siyo hivyo, kwanza utaanzaje kumwingia kijana wa watu, kwani unajua kama anakutaka au hakutaki? Nakushangaa sana shoga’angu.”
“Nitajua cha kufanya wala hilo lisikupe shida ninachotaka ni kumtia mikononi mwangu, iwe kwa kujitongozesha au kwa kunitongoza yeye mwenyewe,” alisema Pat kwa kujiamini.
“Miye sitakuwa na tatizo kwa kuwa miye mwenyewe ni mwizi tu, tatizo ni kwa Rehema na Queen wakijua umekwisha, utahama humu ndani…” Tabu alimtisha.
“Kwa hiyo wewe ushajipanga kuhama?”
“Utajuaje?” Tabu alijibu kwa swali na kufanya Pat kuzidi kuchanganyikiwa kama asuke au anyoe.
***
Wakati Pat akiwa na mawazo ya kumwingia Eddy ili aweze kupata kile ambacho roho yake inataka, wakati huo mama mwenye nyumba alikuwa chumbani kwake, alikuwa amemwita mwanaye Mwamvita kwa ajili ya maongezi muhimu.
Mama huyo alikuwa amesubiri muda huo kwa kuwa mumewe ambaye ni baba mwenye nyumba hiyo hakuwepo, alikuwa ameenda kucheza bao nyumba ya jirani.
“Mwamvita mwanangu hivi utakuja kuolewa kweli wewe…?”
“Kwa nini unasema hivyo mama?”
“Nakuona umejikalia tu wakati wenzio wanachangamkia tenda…” alisema mama mwenye nyumba bila ya kufafanua na kumfanya mwanaye atawaliwe na maswali.
“Bado sijakuelewa mama, unamaanisha nini?”
“Utanielewa tu, unaona wenzio wanavyomchangamkia mgeni wewe umejikalia tu huna mbele wala nyuma.”
“Mama unamaanisha kwamba unataka na mimi nimgombee huyu mgeni aliyehamia humu ndani?”
“Siyo umgombee, unatakiwa umchukue kabisa na kummiliki awe wako kabisakabisa…” mama mwenye nyumba alisema.
“Hai mamaaa…”
“Ndiyo hivyo, nataka uache kuhangaika na vibwana vyako uchwara, unatakiwa kuwa na mwanaume kama yule ambaye anaweza hata kuleta kilo ya sukari nyumbani… siyo kile kijamaa chako kinachoitwa Beka… mpaka leo sijakula hata senti yake…” alisema mama mwenye nyumba.
“Mama achana na Beka, sasa hivi niko na Peter ambaye tayari umeshakula pesa yake, kwanza hata Beka umeshakula hela yake, sema umesahau tu…?”
“Labda unikumbushe, lakini hata kama nimekula… ni lini alileta hata nusu kilo ya sukari humu ndani wakati unajua kabisa maisha yetu ni ya mkandamkanda…?” aliendelea kuhoji mama huyo.
“Hilo halijafanyika si kwa kuwa bado hawajanioa… mmoja wao akinioa atafanya hivyo unavyotaka,” alijibu Mwamvita.
“Mmoja wapo akinioa atafanya…,” alisema mama mwenye nyumba huku akimwigiza mwanaye kisha kumwambia:
“Utabaki hivyohivyo, mwanaume yuko humu ndani wewe unahangaika na hao wahuni, wanakuchezea kama ganda la mua.”
“Mama lakini sasa unafika mbali…”
“Sifiki mbali, siku hizi mwanangu watu wanaangalia uwezo wa mwanaume… siyo mapenzi, siye zamani ndiyo tulikuwa tukijali mapenzi, hatima yetu si unaiona?”
“Lakini mama unasema kweli, inaonekana enzi zako ulikuwa unamtii baba kwelikweli…”
“Nakushangaaa wewe una kila kitu halafu unakubali kuchezewa sijui na Beka sijui na nani… shauri yako… mwanaume yuko humuhumu ndani…”
“Sasa unanishauri nifanyeje?” Mwamvita alimuuliza mama yake huku akionekana kuanza kukubaliana na ushauri aliopewa.
“Hilo ndilo jibu, kwani mkoleni tulikupeleka kufanya nini?”
“Akishaingia kwenye kumi na nane, nitajua cha kufanya lakini kabla ya hapo ndiyo nashindwa kwa kuwa namuona yuko na Queen na Rehema…?”
“Usiwe na shaka, wewe jilengeshe na siku zote nataka kukwambia kitu kimoja, mwanaume hana ujanja kwa mwanamke…”
“Ndiyo nifanyeje sasa?” Mwamvita aliendelea kuhoji huku akiwa ameweka masikio yake wazi kuweza kupata elimu hiyo kutoka kwa mama yake.
“Lakini wakati mwingine mama huwa unaona mbali…” alisema Mwamvita akionekana kukubaliana na mawazo ya mama yake. “Msaada mkubwa nitakupa… ukimnasa tu, nitakwambia cha kufanya kisha tutaenda kwa yule mtaalamu wa kule Tandale…” alisema mama mwenye nyumba. “Tukamroge…?” Mwamvita alitahamaki na kuhoji. “Wee mtoto sijui unaishi dunia gani, hivi mpaka leo unadhani mambo huwa yanakwenda hivihivi…?” “Sasa ndiyo mpaka tukamroge?” “Shauri yako, humu ndani kuna mambo ya ajabu kama hujui wee kaa hivyohivyo kama hujazeekea hapahapa, unatoka chumba kile unahamia kile…”
POROMOKA NAYO…
“Dah… kwa hiyo natakiwa kufanya nini mama?” “Unaniuliza miye? N’shakwambia kila kitu…” alisema mama mwenye nyumba huku akiinuka na kupangusa makalio yake na kuondoka akimuacha mwanaye Mwamvita.
“Sijui nifanye nini?” aliwaza Mwamvita huku akianza kutafakari kauli za mama yake. Kauli ambayo ilimsumbua kichwa ni ile ya kumwambia “Humu ndani kuna mambo ya ajabu kama hujui wee kaa hivyohivyo.” “Ina aana hata akina Rehema na Queen wamemroga Eddy? Kama ni hivyo hii si itakuwa vita kubwa!” Baada ya kutafakari kwa muda akaona hakuwa na njia nyingine zaidi ya kujiingiza katika vita ya kumwania mwanaume huyo.
Alijua alikuwa na upinzani na watu wiwili tu, Queen na Rehema, hakuwa akijua kama Tabu na Pat nao walikuwa ni washindani wengine wasiojulikana. Usiku wa siku hiyo Mwamvita akaanza pilikapilika za kumnasa Eddy. Hakutaka watu wengine wajue lakini aliamini kuwa anaweza kuwaambia mashoga zake wawili tu juu ya mpango huo. Mashoga zake hao hawakuwa wengine zaidi ya Pat na Tabu, aliwaamini sana marafiki zake hao kwa kuwa walikuwa ni rika lake na kwamba hawakuwa na ndoto za kuwa na Eddy.
Wakati akipiga hesabu hizo, Pat naye alikuwa akipiga hesabu zake za kumnasa mwanaume huyo, Tabu hali kadhalika alikuwa akiwaza jinsi atakavyoweza kumdhibiti mwanaume huyo asiweze kuangukia katika mikono ya Pat. Kama vile haitoshi, vita ya Rehema na Queen ilikuwa palepale kama wapinzani wakuu wa mchakato huo wa kumwania Eddy.
***
Siku hiyo, Queen alijitahidi hadi akaonana na Eddy uso kwa uso, alichokifanya ni kumuwahi maeneo ya nje ya nyumba hiyo, yaani alikwenda kumfanyia ‘taimingi’ kituoni kabla ya mwanaume huyo hajafika nyumbani na wakazungumza kwa kina. “Sasa pale imeshakuwa balaa, miye naonekana nimeingilia penzi la Rehema,” alisema Queen. “Sasa tufanyeje?” alihoji Eddy. “ Hakuna cha kufanya, ila wewe endelea na mwanamke wako.. miye niache..” “Haiwezekani…” Eddy alisisitiza. “Haiwezekani kwa nini… unajua hata miye nina bwana wangu, lakini nilimweka pembeni kwa sababu yako…” “Kwa hiyo unataka kuniambia nini?” “Nataka kukukwambia kwamba wewe endelea na mwanamke wako na miye niendelee na bwana wangu…” “Halafu miye na wewe?”
“Ndiyo inakuwa adiosi amigo tena…” “Haiwezekani…” alisema tena Eddy. “Miye sioni ugumu wa hilo au ukitaka… lakini hapana ni heri kila mmoja awe na mpango wake.” “Ulikuwa ukitaka kusema nini kwani?” “Nilitaka kusema wewe uwe na mwanamke wako na miye niwe na bwana wangu na tuendelee na uhusiano wetu kwa siri, wewe huruhusiwi kuleta mwanamke mwingine mle ndani na miye siruhusiwi kuleta mwanaume mwingine zaidi ya huyo bwana wangu…” “Halafu miye na wewe tutakuwa tunaduu wapi?” “Nje ya nyumba ile, tukiwa pale kila mmoja akimuona mwenzake ni heshima na adabu kwa kwenda mbele…”
“Utaweza kuvumilia kuniona na Rehema tukitanua?” “Kimpango wako, ila tu asiwepo mwanamke mwingine zaidi ya Rehema, sawa?” “Sawa, nawe usiwe na mwanaume mwingine zaidi ya huyo bwana wako, kwanza sijui hata anaitwa nani? “Muddy…” “Oke, nawe usiwe na bwana mwingine zaidi ya huyo Muddy, sawa?” “Sawa,” alisema Rehema. Wakakubaliana na kila mmoja akarudi katika nyumba wanayoishi akiwa ameridhika na makubaliano yao ambayo waliamua kuyafanya kuwa siri.
***
Eddy aliingia chumbani na kubadilisha nguo, kisha akatoka na kwenda zake msalani kwa lengo la kujisaidia na kisha akaingia bafuni kwa ajili ya kujimwagia maji. Akachota maji yake katika ndoo na kuingia nayo bafuni, akiwa huko akaanza kuoga huku akiwa na raha akiamini kuwa makubaliano yake na Queen yalikuwa ya msingi sana. Akiwa ameshajimwagia makopo kadhaa ya maji na kujipaka sabuni usoni alihisi kitu kikimnyemelea, akashtuka na kuwahi kunawa maji usoni. Alipofumbua macho alishangaa kumuona Pat akiwa bafuni humo. Kwa sauti ya upole huku akihangaika kulitafuta taulo lake ili ajihifadhi akamuuuliza:
“Wewe Pat umefuata nini humu?” “Nimekufuata wewe…” Pat alimjibu akiwa haoneshi wasiwasi wowote kama alikuwa amefanya kitu kibaya. Ndiyo kwanza alikuwa akijiandaa kusaula viwalo vyake ili ajumuike na Eddy katika kuoga. Eddy akavuta kumbukumbu ya mchana wa siku hiyo mara baada ya kutoka kula raha na Tabu, akakumbuka jinsi binti huyo alivyokuwa akimwangalia. “Haya sasa majanga!” akawaza na kushangazwa jinsi ambavyo wasichana wa nyumba hiyo walivyokuwa wanakubali kujitoa sadaka kwake. “Umenifuata kufanya nini?” Eddy alingong’ona tena
Kuja kukuogesha na kukupaka sabuni kisha nikupe raha ambayo hujawahi kuipata sehemu nyingine yoyote,” alijibu Pat kwa sauti ya kunong’ona.
“Huogopi?”
“Niogope nini kwani kuna kitu gani cha ajabu?” Pat alimjibu Eddy kwa kumuuliza swali.
“Huoni kama miye ni mkubwa kwako?”
“Umri ni namba tu lakini kiakili na kimaarifa tunaweza kuwa sawa au miye nikakuzidi…” alisema Pat na kumshangaza zaidi Eddy.
Eddy hakuwa na nguvu ya kuendelea kuuliza maswali zaidi ya kutii kile ambacho Pat alikuwa ameamua kukifanya kwake.
Kitendo bila ya kuchelewa baada ya kumaliza kusaula viwalo vyake, Pat akaichukua sabuni iliyokuwa mikononi mwa Eddy na kuanza kumpaka mwanaume huyo kila sehemu ya mwili wake.
Alianzia chini ya mwili wa mwanaume huyo na kuja juu, alihakikisha sabuni hiyo anaipaka kwa mikogo.
Eddy hakukitegemea kitendo hicho, ila hakuwa na budi kukubaliana na kile alichokuwa akifanyiwa, akachukua taulo na kulitundika mlangoni.
Taratibu bila ya kuwa na haraka, Pat akawa anaipitisha sabuni katika kona zote za mwili wa Eddy huku kijana huyo akimwangalia kwa udadisi mkubwa.
Kwa kufanya hivyo, Pat alikuwa akimpandisha ‘wazimu’ Eddy kwa kuwa sehemu alizokuwa akizipitia ni zile zenye kupagawisha kama siyo kumsisimua mwanaume yeyote mwenye akili timamu na aliyejaliwa urijali.
“Mh!” Eddy aliguna kwa sauti ndogo pale alipoguswa ikulu.
“Unaguna nini?” Pat alimuuliza kwa sauti ileile isiyovuka mipaka ya bafu walilokuwemo.
“Nimefurahi,” alisema Eddy.
“Bado sijakufurahisha,” alijibu Pat huku akiinua macho yake na kumwangalia Eddy ambaye naye alikuwa amebaki akiwa haelewi aanzie wapi kuanzisha mashambulizi.
Kabla hata hawajafika mbali, nje zilisikika sauti za nyayo za mtu zikitembea kuelekea msalani. Eddy akamzuia Pat kufanya kile alichokuwa akikifanya kwa kuhofia kuwa mtu huyo angeweza kuwasikia.
Kwa kasi ya ajabu, Eddy akachukua kopo la maji na kujimwagia ili kutoa ishara kwa mtu aliyekuwa akipita nje kuwa bafuni kulikuwa na mtu aliyekuwa akioga.
Kijana huyo akachukua kopo la maji na kujimwagia ili kutoa ishara kwa mtu aliyekuwa akipita nje kuwa bafuni kulikuwa na mtu akioga.
Akaendelea kujimwagia maji hadi pale mtu aliyeingia msalani alipotoka, hapo ndipo alipomuachia Pat aendelee kufanya utundu wake.
Kwa kuwa walikuwa wamekatizwa stimu, Pat akaamua kuanza upya na kwa spidi, ari na nguvu mpya.
Moja kwa moja akaamua kuukamata usukani na kuanza kuendesha gari mwenyewe, safari hii hakutaka tena kutumia sabuni bali alikuja na staili nyingine kabisa.
Alitumia njia yake ya kupitishia chakula kuweza kumpagawisha Eddy.
Kitendo hicho hakikutegemewa na Eddy hata kidogo, lakini aliamini kuwa Pat alikuwa akijua mambo mengi tofauti na umri wake.
Alionekana alikuwa amejifunza na kujiandaa kwelikweli kuweza kumpagawisha, kwani kitendo alichokuwa akikifanya wakati huo hakikuwa cha kuigiza bali alikuwa akikifanya kwa uzoefu mkubwa.
Pat alikuwa fundi haswa wa ‘kumeza nyoka’ na hakuwa kama wengine ambao huwa wanalamba nyoka kwa kufananisha na ‘ice cream’ kama wengine wanavyosema.
Muda ulikuwa unakwenda kwa kasi, kila mmoja alikuwa na mshawasha na mwenziwe kwa kuwa Eddy naye alishachukua fursa hiyo na kumpagawisha Pat kisawasawa.
“Unapenda kucheza mtindo wa bendi gani?” Pat alimuuliza Eddy.
“Mtindo?” Eddy alishangaa kisha akasema:
“Nyimbo nyingi za siku hizi hazina mitindo na hata kama zina mitindo basi haina umaarufu mkubwa… wee tucheze bora liende tu…”
Pat akaachia kicheko ambacho kilimshangaza Eddy.
“Kwa nini unacheka?”
“Nakushangaa hujui kama tunaweza kucheza Ngololo au Kiduku?”
“Ndiyo inachezwaje hiyo?”
“Basi ngoja tufanye kitu kimoja, miye nitaandika namba saba na wewe uandike namba moja, sawa?”
“Sawa…” moja kwa moja Eddy alielewa kile alichokuwa akikimaanisha Pat. Hata alipochora namba saba mbele yake kwa msaada wa ndoo ya kuogea, yeye hakupata tabu ya kutengeneza namba moja ili kuweza kufurahisha nafsi zao.
Wawili hao walikuwa mzigoni, kila mmoja alikuwa akivuta pumzi zake za mwisho, Eddy alikuwa akipiga kelele na Pat pia.
Wakawa wamejisahau kama walichokuwa wakikifanya kingeweza kusikika nje, wakawa kama vile wako kwenye uwanja usiokuwa na shaka kila mmoja akijiachia kwa raha zake.
Raha zikawazidia zaidi na zaidi, sauti zao zikamvutia mtu aliyekuwa nje ambaye naye usiku huo alikuwa akitaka kuingia bafuni ili akaoge.
Akiwa uani, akanyata taratibu na kuelekea kule ambako kelele hizo zilikuwa zikitokea, kadiri alivyokuwa akisogelea usawa wa bafu ndivyo kelele hizo zikaongezeka.
Akabaini watu waliokuwa bafuni ndiyo waliokuwa wakisababisha kelele zile, akataka kuwajua ni akina nani waliokuwa wakifanya mchezo ule.
Akataka kurudi ndani ili ahakikishe kama watu wote walikuwepo vyumbani mwao lakini alisita kwa kuamini kuwa kitendo chake cha kutoka eneo hilo angeweza kupoteza ushahidi wa karibu zaidi wa kushuhudia tukio hilo kwa macho yake.
Akatafuta upenyo wa kuchungulia bafuni bila ya kupiga kelele, kwa kuwa choo kizima kilikuwa kimejengwa na mabati mabovu aliweza kuona ndani.
Pamoja na kuona michakato ya kugonga shoo ikiendelea lakini hakuweza kuwatambua waliokuwa wakifanya vile.
Aliamini kabisa kwamba watu wale walikuwa wanaishi mle ndani akapania kuwaingilia mle bafuni ili aweze kuwaumbua.
Akasogea hadi katika mlango wa bafuni, hakuwa na shaka kabisa kwamba walikuwa ni watu wawili wakila uroda kwa raha zao.
Mshawasha kama siyo kilarularu kikaanza kumsumbua naye wazimu ukampanda kabisa, akataka kujumuika katika gemu lile bila ya kuwajua wachezaji ni akina nani.
Unataka kujua nini kiliendelea? Usikose kesho wapendwa wangu
 
SEHEMU YA 05



Mtu aliyekuwa akifuatilia sauti hizo hakuwa mwingine zaidi ya Mwamvita ambaye alikuwa amehaha kutaka kujua mahali alipokuwa Eddy kwa wakati huo.
Alichungulia chumbani kwake, akaona taa ilikuwa ikiwaka lakini hakukuwa na dalili za uwepo wake, aliporidhika akaendelea na uchunguzi wake katika chumba cha Rehema nako akaambulia patupu.
Kwa kuwa alikuwa na uhakika kwamba Eddy alikuwa amerudi akasogea hadi katika chumba cha Queen ili kuhakikisha kama alikuwemo humo.
Alipopata jibu kwamba hakuwemo, akatoka hadi uwani ambako aliingia hadi msalani ili kuhakikisha kama Eddy alikuwa huko.
Akiwa msalani ndipo alipoweza kusikia mtu akimwaga maji bafuni, hapo akaamini kwamba mwanaume huyo alikuwa akioga.
Aliporidhika akawa hataki kutoka uwani, akawa anarandaranda ili aweze kumnasa Eddy kwa kuongea naye papohapo lakini alikaa kwa muda mrefu bila ya kuona dalili ya mtu kutoka bafuni.
“Kwa nini hatoki, mbona amechukua kitambo kirefu sana,” aliwaza.
Akiwa anamfikiria mwanaume huyo ndipo alianza kupatwa na wasiwasi kama kule bafuni kulikuwa na usalama wa kutosha, akasogea na ghafla akasikia sauti za watu wakiwa wanapiga shoo.
Hakuweza kuamini mara moja, akaamini kuwa labda kulikuwa na mtu ambaye alikuwa akijichua peke yake lakini hilo lililkuwa gumu kuliamini kadiri alivyokuwa akisogea na kuzifuatilia sauti zilizokuwa zikitoka bafuni.
Akaamini kabisa kwamba kulikuwa na watu wawili, tena wenye jinsia tofauti.
***
Stimu zilikuwa zimewapanda, Eddy na Pat walikuwa katika harakati za kutafuta kilele cha mlima na kila mmoja alikuwa ameongeza spidi zake ili kuwahi kufika kwenye kilele hicho.
Kelele zao zikazidi kuongezeka, walikuwa hawana habari kama kulikuwa na mtu aliyekuwa akikaribia kuwaharibia zoezi lao hilo.
***
Ndipo Mwamvita alipoanza kunyata na kuzifuata kelele hizo ili aweze kubaini kama kweli zilikuwa zikitoka bafuni mle.
Akaufikia mlango wa bafu. Jinsi ya kuufungua mlango wa bafuni kwa mtu aliyekuwa akiujua vyema haikuwa ngumu hata kama mtu huyo alikuwa nje ya bafu hilo.
Ilikuwa ni kazi rahisi sana kwa Mwamvita, kwa kuwa bafu hilo halikuwa limeezekwa kwa juu, hivyo aliingiza mkono wake usawa wa mlango na kuupachua msumari uliokuwa umeuzuia mlango.
Kwa kuwa alikuwa ni mzoefu wa bafu hilo, alijua sehemu ya msumari huo ulipokuwa, hivyo akaupachua na kisha kujitoma ndani.
Alipoingia tu, aliwaona Eddy na Pat wakiwa katika raha zao, kwa msaada wa mwangaza wa mbalamwezi iliyokuwa ikiwaka wakati huo.
Hamadi! Eddy na Pat walishtuka mtu akiingia bafuni humo wakati wakiwa katikati ya starehe.
Mwamvita hakusema kitu alibaki akiwaangalia wawili hao kwa muda huku nao wakisitisha kile walichokuwa wakikifanya.
“Ahiii jamaniiii…” alisema Mwamvita katika hali ya kupagawa na kutawaliwa na kilaruralu.
Pat alijibaraguza na kumwangalia Mwamvita, akawa anajiweka sawa huku uso wake ukionekana kusawajika kwa aibu kutokana na kufanyiwa fumanizi lisilotarajiwa.
“Mnafanya nini huku?” Mwamvita alizungumza kwa sauti ndogo akijifanya kama vile hakuwa akijua kile kilichokuwa kikiendelea.
Hakuna aliyempa jibu, wote walikuwa kimya wakiangaliana kwa staili ya kila mmoja akimtaka mwenzake ndiye azungumze kile walichokuwa wakikifanya.
Kwa upande wake, Eddy alichanganyikiwa zaidi akaona bwawa limeshaingia ruba, akahisi aibu kwa vile alijua tukio lile lingezua gumzo lingine katika nyumba ile.
Akakumbuka makubaliano yake na Queen kwamba asishiriki tendo la ngono na mwanamke mwingine ndani ya nyumba, akajisikia vibaya kwa kuwa safari hii stori itakuwa kubwa kwa kuwa amenaswa bafuni.
“Mnafanya nini?” Mwamvita alirudia kuuliza huku akiwasogelea na kuwaangalia kwa zamu.
Hofu kubwa haikuwa kwa kuwa wamekutwa wakifanya tendo hilo tu lakini kukutwa na mtoto wa mwenye nyumba ilikuwa ni soo kubwa zaidi.
“Mi nilikuwa naogaa… ndiyo…… Eddy akaingia…” aliongopa Pat kwa aibu huku akitaka kutafuta nguo zake ili aweze kujistiri.
“Hapana … haikuwa hivyo…,” Eddy naye alisema.
“Sikieni, sitaki kusikia utetezi wenu, nataka muendelee kufanya kile mlichokuwa mkikifanya la sivyo nitawajazia watu…” Mwamvita aliwapiga mkwara na kumzuia Pat kuvaa nguo zake.
Eddy na Pat waliangaliana tena na kuona kwamba itakuwa ni vigumu kuendelea na zoezi hilo mbele ya mtu mwingine ambaye hakuwepo wakati walipokuwa wakianza kupiga shoo yao.
Mwamvita alishayasoma mawazo yao na kukazia wazo lake la kuwataka wawili hao waendelee pale walipoishia.
“Itakuwa vigumu…” alisema Eddy.
“Hakuna ugumu wowote… sasa hivi nawataka muendelee na miye nitakuwa mwamuzi wa pambano lenu ninawahakikishia kwamba sitamwambia mtu,” alisema.
“Haya…” Pat alikubali.
“Tafadhali sitaki ujanja wowote na kama mtashindwa kufanya hivyo, nitapiga kelele na kuwaita watu…” Mwamvita alizidi kuwatisha.
Eddy na Pat hawakuwa na ujanja, ikawabidi kurudia kile walichokuwa wakikifanya awali ingawaje hawakuwa katika hisia zilezile za mwanzo.
Wazimu wao ulikuwa umeshakatika, hawakuwa na wazimu kama ule wa mwanzo kabisa, ikawabidi wafanya ili mradi kama alivyokuwa akitaka Mwamvita.
Wakajaribu kurudia mtindo uleule, lakini nyoka wa Eddy aligoma kabisa, hakuwa na nguvu, alikuwa ameshalala doro na kukosa nguvu yake.
Mwamvita akawataka waaanzie kwa kupashana miili yao moto ili kuweza kuvuta msisimko upya kwa shingo upande wakafanya hivyo.
Bado, nyoka wa Eddy hakuwa na nguvu, ndipo msichana huyo aliyekuwa amesimama kando yao akachukua jukumu la kumsaidia Pat ili aweze kufanikiwa kumshtua Eddy aweze kurudi sawasawa.
Mwamvita aliishika ‘maiki’ ya Eddy na kuanza kurap kama mwimbaji wa nyimbo za kufokafoka. Kwa mbali hisia za Eddy zikaanza kurejea.
Nyoka wake akaanza kusisimka na kurudia katika hali yake ya kawaida baada ya hofu kumtoka akilini mwake, akaona kuwa mtu aliyewakuta wakiduu alikuwa upande wao.
Hata Pat, akarejea katika hali ya kawaida, akamwomba Mwamvita ampishe ili aendelee kutoka pale alipoishia, ndipo walipoweza kufanya kile walichokuwa wakikifanya mwanzo huku Mwamvita akishuhudia.
Kila kitu kikawa kinakwenda sawasawa, Eddy hakuwa tena na hofu hali kadhalika kwa Pat, gemu likaendelea chini ya usimamizi wa mwamuzi kama siyo refarii Mwamvita aliyekuwa akishuhudia wawili hao wakicheza mechi bila ya kuvaa jezi.
Mwendo ukawa mdundo, hakuna kati yao aliyekuwa akimwogopa tena Mwamvita ambaye awali walikuwa wakimuona kama adui kutokana na kuwabamba wakiwa wanapiga shoo isiyoruhusiwa.
Eddy na Pat walimuona msichana huyo kama mwenzao kwa kuwa aliwapa wazo la kushirikiana nao katika kufanikisha kile walichokuwa wakikifanya ili kuzifurahisha nafsi zao.
Kama ni muziki ulikuwa umekolea na kama ni chombezo lilikuwa limetulia kila kitu kilikuwa ni burudani, raha ndani ya roho.
Pat alikuwa akitoa ushirikiano wa hali ya juu huku akionesha juhudi zake zote tofauti na awali alipoanza zoezi hilo na Eddy.
Kisa cha kufanya hivyo kilikuwa ni kumuonesha Mwamvita kwamba alikuwa fiti katika masuala ya kupiga shoo na hakuwa mtu wa kuburuzwa kama wengine walivyokuwa wakidhani.
Akilini mwake Pat alijua kuwa kama angeonesha ugoigoi katika kupiga shoo hiyo huku Mwamvita akishuhudia ugoigoi wake, basi hali hiyo ingekuwa na madhara kwake kwa njia moja ama nyingine.
Alikuwa akifanya hivyo huku akizingatia kwamba siku zote maisha yana pande mbili, kupatana na kukosa kwani kuna leo na kesho na binadamu anayajua ya leo hayajui ya kesho.
Alijua kwamba kwa wakati huo alikuwa akipatana na Mwamvita lakini kama siku wakitokea kukosana, msichana huyo atamtolea udhaifu wake hadharani.
“Ngoja nimuoneshe ufundi wangu ili tukikosana asije kuninanga mbele za watu,” aliwaza Pat wakati akiwa mzigoni.
Msichana huyo hakutaka kuonekana mzembe ndani ya mchezo huo ambao siku zote ufundi wake ulikuwa ukitegemea jitihada za mchezaji mmoja mmoja.
Mwamvita hakubaki nyuma akawa anamzidishia Pat moto kwa kumshika nido zake huku akizipikicha na wakati mwingine alikuwa akimpetipeti kila pale alipohisi kwamba panaweza kumpandisha mori.
Kweli wazimu ulimpanda, Pat akawa anapanda na kushuka kwa kasi ili kukamilisha jukumu alilokuwa akilifanya na Eddy.
Alikuwa kama yuko vitani, jasho lilimvuja kama siyo kumchuruzika kila pande za mwili wake. Maishani mwake hakuwahi kupania shoo lakini ilimbidi kupania hiyo ili kuweza kulinda heshima yake.
Muziki wake ulikuwa mkubwa, kwani baada ya muda utamu ukakolea zaidi na zaidi, Pat akaanza kuuvutavuta mwili wake na kama vile haitoshi akaanza kupiga kelele huku mwili wake ukisisimka kutokana na hisia zake kupanda maradufu.
Hali hiyo ilimfanya Mwamvita kuwa na kazi ya ziada ya kumtuliza ili kelele zake zisiweze kuvuka mipaka na kuwashtua watu wengine nje ya sehemu hiyo.
Mwamvita alipoona Pat alikuwa akizidisha kupiga kelele akajua kuwa alikuwa akitaka kufikia kwenye kilele cha mlima, hivyo akaongeza jitihada za kumsaidia ili afike kwa raha zake.
Pia, Mwamvita akawa na jukumu lingine la kumziba mdomo Pat kwa kutumia mikono yake ili kuzizuia kelele zake zisiweze kuharibu mambo.
Kwa kufanya hivyo, Mwamvita alifanikiwa kiasi kuzipunguza kelele hizo na kuzifanya zishindwe kufika mbali ingawa wao waliendelea kuzisikia kelele hizo.
Hiyo ilitokana na Pat kuunguruma kama paka aliyekuwa ametoa makucha kumkamata panya aliyekuwa akitaka kuponyoka ili kusalimisha maisha yake.
Hatua ya mwisho ilifika pale, Pat alipozidisha spidi na kutoa meno yake kiasi cha kumng’ata Mwamvita na kisha kuishiwa nguvu na kulegea kama siyo kutepeta kabisa.
Hakufanya hivyo kwa hiari yake bali ni kutokana na kuzidiwa na msukumo wa damu mwilini mwake na kumfanya ajiachie na kujikuta akilazimika kujifunga goli hilo.
Lilikuwa ni goli maridadi lililozidi kumfanya Eddy kuzidisha spidi ili naye aweze kufika juu ya kilele alichokifikia mwenzake.
Haikuchukua muda kijana huyo naye akafuata nyayo za Teddy na kufunga bao kwa kasi ya ajabu.
***
Mara baada ya kukamilisha furaha yake, Eddy alijikuta akivamiwa tena na Mwamvita naye akitaka waingie msambweni.
Eddy hakuwa na budi, kwa shingo upande akawa analazimika kumpa huduma hiyo Mwamvita.
Moyoni mwake alisema: “Kama janga haya sasa ni majanga…” kwa kuwa alikuwa amechoka na alihitaji kuvuta pumzi ili apate nguvu mpya.
Hata hivyo, aliogopa kugoma kutoa huduma hiyo kwa Mwamvita kwa kuhofia kile alichokuwa akikihofia mwanzo wakati msichana huyo alipowakuta yeye na Pat wakicheza segere.
Kwa upande wake, Mwamvita hakujali kama Eddy alikuwa amechoka ama la, kwani naye shetani wake alikuwa ameshampanda na alikuwa akihitaji kitu kimoja tu, kupungwa.
Mwamvita alijua jinsi ya kumrudisha mchezoni Eddy, alimpetipeti kwa dakika kadhaa kisha damu ya kijana huyo ikachemka na mwili wake ukasisimka na kumfanya nyoka wake atutumke na kutaka kummeza chura.
Ulipofika wakati wa nyoka kupewa chakula chake , Mwamvita hakuwa na budi kumruhusu Eddy kuingia katika himaya yake.
Wakati zoezi hilo la Eddy na Mwamvita likiendelea,Pat alikuwa ameshapata nguvu na kugeuka kuangalia kile kilichokuwa kikiendelea kati ya Eddy na Mwamvita, akakumbuka ukarimu wa Mwamvita.
Naye akawa anamsaidia msichana huyo kwa kumpetipeti kama vile alivyokuwa akimfanyia yeye wakati alipokuwa msambweni na Eddy.
***
Wakati huo Rehema alikuwa akitaka kujua sehemu alipokuwa Eddy. Alifanya hivyo baada ya kumuona mwanaume wa Queen ambaye alikuwa amefika muda huo na kuingia chumbani kwa msichana huyo.
Lengo la Rehema lilikuwa ni kutaka kumuonesha Eddy kwamba msichana huyo alikuwa na jamaa yake ili kujihakikishia ushindi wa yeye kummiliki mwanaume huyo.
Rehema alitoka hadi barazani kumtafuta Eddy lakini hakumuona, akafika hadi chumbani kwake lakini pia hakumuona ingawaje aliona dalili za mwanaume huyo kurudi.
Ishara kubwa aliyoiona ni taa ya chumbani kwa Eddy ambayo ilikuwa ikiwaka na kuashiria kwamba alikuwepo, Rehema akatoka hadi uwani na kuangaza huku na kule ili kujiridhisha kwamba labda mwanaume huyo alikuwa ametoka na kwenda msalani.
Akaangaza huku na kule lakini hakumuona Eddy, akasimama hapo na kujiuliza mwanaume huyo alikuwa amekwenda wapi.
Akiwa anatafakari nini cha kufanya, akajisikia haja ya kwenda msalani.
POROMOKA NAYO…
Rehema akawa anaelekea msalani lakini akilini mwake alikuwa akiwaza ni wapi Eddy alipokuwa. Alikuwa na kiu kubwa ya kumuona mwanaume huyu ili amwambie kuhusu Queen kuleta mwanaume mwingine ndani ya nyumba hiyo.
Rehema alihisi kwamba, Eddy akijua kwamba Queen ambaye ndiye mpinzani wake pekee ndani ya nyumba hiyo akimuona mwanaume wa msichana huyo ataamua kuachana naye na yeye atabaki kuwa peke yake.
Akionekana kuwa na mawazo mengi, Rehema alipiga hatua kuelekea msalani, ghafla mbele yake akamuona msichana akitoka msalani.
Kwa kuwa giza lilikuwa limetanda hakuweza kumfahamu kwa haraka, akasimama ili aweze kupishana naye.
Aliposogea, aliweza kumtambua kuwa ni Pat aliyekuwa akitokea upande wa bafuni. Hata hivyo hakuweza kusalimiana naye kwa kuwa alimuona kama adui yake kwa kuwa alikuwa ni mdogo wa Queen.
Rehema akasita kwenda msalani kwa kuingiwa na hofu ukizingitia msalani kwao hakukuwa na taa, akiwa amesimama kwa muda bila ya kuamua cha kufanya mbele yake tena akamuona mtu mwingine akija usawa wake.
Akamwangalia kwa umakini kutaka kumjua kama alikuwa Eddy au nani… alipokaza macho yake vizuri akamtambua kuwa aliyekuwa akitokea kule alikuwa ni msichana.
“Weee nani…?” alimuuliza.
“Mwamvita…”
“Aaaah kumbe wewe…” alisema Rehema na hofu kumtoka kidogo.
Maneno yao yalisikika kwa Eddy aliyekuwa amebaki bafuni kwa kuwa walikuwa wamepanga kwamba awe mtu wa mwisho kutoka bafuni humo baada ya wasichana hao wawili kutoka.
Hata hivyo, Rehema alipatwa na wasiwasi kuona Pat na Mwamvita wakiwa wanatokea bafuni muda huo na kujiuliza kulikoni wawili hao watoke bafuni kwa wakati mmoja.
Aliyaondoa mawazo ya kuwafikiria vibaya na hisia zake zikamwambia kwamba labda walikuwa wakioga pamoja baada ya mmoja wao kuogopa kuoga peke yake.
“Mwamvita…!” aliita Rehema.
“Abee!”
“Nisubiri hapa wakati nikiingia msalani… si unajua kuwa kunatisha kwa kuwa hakuna taa…”
“Sawa…” aliitikia Mwamvita huku moyoni kiroho kikimdunda.
Kwa uwepo wa Mwamvita pale nje, Rehema aliweza kuelekea msalani na alipoingia msalani aliiachia haja ndogo karibu kabisa na mlango.
Akiwa anaendelea kujihudumia alihisi kama kuna mtu amepita kutokea bafuni, awali alihisi ni uoga wake lakini akili yake ikamwambia kuwa kuna mtu ametoka bafuni tena kwa kunyata.
Hakumuona mtu huyo ila hisia zake ndizo zilizomtuma kuamini hivyo, akaziamini ingawaje hakuweza kuacha kumalizia jukumu lililompeleka msalani humo na kumfuatilia mtu huyo.
Alijua tu Mwamvita atamwambia ni nani aliyetoka bafuni kwa kuwa alikuwa amepanga kumuuliza mara baada ya kutoka msalani.
Baada ya kumaliza haja yake akatoka lakini alipofika nje hakumkuta Mwamvita wala kivuli chake.
Akajiuliza kama msichana huyo alikuwa amemdharau au kulikuwa na kitu kinachoendelea ambacho kilimfanya asimsubiri kama alivyomtaka.
“Kama amefanya makusudi atakuwa akimjua mtu aliyetoka bafuni…” aliwaza Rehema akapanga kumfuata Mwamvita na kumuuliza kwa nini aliondoka bila ya kumsubiri.
Rehema akapata wasiwasi mkubwa ndani ya nafsi yake bila ya kujua kile kilichotokea.
Akiwa na wasiwasi wake akaamua kurudi ndani, cha kwanza kumshangaza alipofika usawa wa chumba cha Eddy ni dalili za kuwepo kwa mtu ndani ya chumba hicho.
Aliziona kandambili za mwanaume huyo zilizokuwa zimelowana maji, wasiwasi wake ukaongezeka na kuhisi kwamba huenda Eddy ndiye aliyekuwa mtu wa tatu kutoka bafuni.
Hakutaka kuamini hilo pamoja na kwamba hakutaka kumchukulia dhamana mwanaume huyo, akaamua kugongea mlango ili aweze kuonana naye na ikiwezekana amuulize kabla ya kumvaa Mwamvita.
Eddy alipatwa na wasiwasi pale aliposikia mikono ya kike ikiugonga mlango wake, akawa anajiuliza ni nani.
Kwanza alihisi labda ni mmoja kati ya wale wasichana aliokuwa nao bafuni ndiye aliyekuwa akigonga wake muda huo.
Pili, akahisi kwamba mgongaji angeweza kuwa ni Queen lakini akaliondoa wazo hilo baada ya kukumbuka makubaliano yake na msichana huyo kwamba wasiwasiliane wanapokuwa ndani ya nyumba hiyo.
Tatu akamfikiria Rehema kwamba, angeweza kuwa ni yeye kwa kuwa hakuwa ameonana naye usiku huo.
Hata hivyo, hakutaka kujipa usumbufu wa akili kwa muda mrefu, akaamua kuusogelea mlango na kuufungua.
Macho yake yakagongana na Rehema, haraka akayakwepesha na kuangalia pembeni, kisha akarudi chumbani kwake na kuendelea kufanya kile alichokuwa akikifanya.
Rehema aliingia chumbani humo na moja kwa moja akamsogelea Eddy na kumkumbatia kwa nyuma akipitisha mikono yake kiunoni kwa mwanaume huyo kisha akamwita:
“Baby…!”
“Eeeh!” Eddy aliitikia bila ya kuonesha uchangamfu uliokuwa umezoeleka kati yao.
“Una nini?”
“Sina kitu,” alijitetea Eddy huku akitaka kuvaa bukta yake ya kulalia.
“Hauko kawaida, kuna nini hebu niambie…?” Rehema aliendelea kusema katika hali ya kuonesha kwamba alikuwa akitaka kupata undani wa kile kitu alichokuwa akikitaka.
“N’shakwambia kwamba hakuna kitu…” alisema Eddy kwa ukali kidogo.
Rehema hakukubali akamgeuza Eddy upande wake na kuwafanya waangaliane, kisha akamzuia kuvaa bukta, akamsogeza hadi kwenye uwanja wa fundi seremala.
Bila ya Eddy kutarajia, akiwa amesimama huku akiangaliana na Rehema, msichana huyo akamsukuma kidogo na kumwangusha Eddy juu ya uwanja huo.
Kabla ya Eddy hatajatafakari kitendo cha kuangushiwa dimbani, Rehema akampandia juu yake na kulala juu ya kifua chake na kuhakikisha kwamba nyuso zao zinagusana na macho yao yanaangaliana.
“Nimekutafuta kwa muda mrefu ulikuwa wapi?” Rehema alisema kwa sauti ya upole iliyojaa kila aina ya bashasha za mahaba.
“Nilikuwepo…” Eddy alipoa kidogo
“Wapi?” alisisitiza Rehema na hapohapo akafanya kitu ambacho Eddy hakukitarajia.
Rehema akaushusha mkono wake hadi kwenye ikulu ya Eddy na kugusa msumari.
“Kha! Kwa nini iko hivi?”
“Kwani ikoje?” alisema Eddy huku akitaka kujiondoa chini ya udhibiti wa msichana huyu, kwani alishajua kwamba mambo yatakuwa makubwa kama akiendelea kujilegeza.
“Mbona siku zote haiwagi hivi…?”
“Ikoje?” Eddy aliendelea kuhoji akimtaka Rehema amwambie anahisi msumari wake umekuwaje.
“Hujui?”
“Sijui…” alijibu Eddy
“Mbona inaonekana kama vile umetoka kufanya kazi muda si mrefu?”
“Sikuelewi…” alijitetea Eddy.
“Unaonekana kama vile ulikuwa bafuni…”
“Ndiyo…”
“Lakini mbona nimewaona yule mtoto wa mwenye nyumba na Pat nao wakitoka bafuni?”
“Miye nilitoka kabla yao,” alijitetea Eddy.
“Siyo kweli… miye nilitoka kukuangalia barazani hukuwepo, nikaja chumbani kwako, hukuwepo…nikaenda uani ndipo nilipowaona wao wakitoka kisha nikahisi mtu akitoka bafuni, nadhani ulikuwa wewe…” alisema Rehema.
Moja kwa moja Eddy akatengeneza picha kichwani mwake, akaamini kwamba mwanamke huyo alikuwa sahihi katika maongezi yake.
Lakini siku zote Eddy alikuwa amejifunza kitu kimoja tu, kukataa kitu chochote ambacho kingeweza kumfanya mtu amfikirie vibaya.
“Sasa kama umewaona wao wananihusu nini mimi?”
“Siyo kukuhusu, inawezekana ulikuwa nao bafuni…”
“Umenichoka sasa…” alisema Eddy huku akionesha hasira usoni mwake na kutoka katika mikono ya Rehema, akasimama na kuvaa bukta yake.
Ilimbidi kufanya hivyo ili kuweza kukwepa kuingia msambweni na Rehema kwa kuwa alihisi msichana huyo hakuwa na lingine zaidi ya wivu na kutaka kutimiziwa jambo hilo.
Aidha Eddy alifikiria kwamba asingekuwa na nguvu za kupiga naye shoo kwa kuwa muda mchache alikuwa ametoka kugonga shoo za nguvu.
“Sasa unaenda wapi?” Rehema aliuliza kwa jazba.
“Nitakaaje na wewe ambaye unanihisi vibaya hata kwa vitoto vinavyonuka haja ndogo?”
“Siyo hivyo, nilikuwa nikihisi tu kutokana na mazingira na wewe hujaniambia ulikuwa wapi mpenzi wangu…” Rehema alianza kupunguza wasiwasi wake.
“Sawa ndiyo unihisi na vile vitoto?”
“Basi rudi nikwambie kitu kingine.”
“Kuhusu nini?”
“Kuhusu Queen, roho ya Eddy ikashtuka na kutaka kujua kuhusiana na msichana huyo.
“Kafanya nini?”
“Nilijua lazima hilo hutataka kulisikia tu.”
“Tatizo lako wewe wivu umejaa, unanihisi kila mtu ni halali yangu… ndiyo maana unaniudhi,” Eddy alitengeneza ndita za uongo usoni mwake.
“Basi usikasirike, ni kwamba Queen amekuja na mwanaume wake… wako chumbani kwao…”
“Mimi inanihusu nini?”
“Si mpenzi wako?”
“Mpenzi wa nani? Miye sijawahi hata siku moja kutoka na Queen wewe mawazo yako yanakutuma vibaya,” alisema Eddy na kutoka nje.
Moja kwa moja, Eddy alitoka hadi barazani na kuwakuta Muddy na Queen wakiwa huku baada ya kutoka chumbani kwa msichana huyo.
Queen alipomuona Eddy akafurahi na kuona ni sehemu ya kuweza kuweka mambo yake sawa, akamwita na kumtambulisha kwa Muddy.
“Huyu ni shemejio anaitwa Eddy ni mgeni hapa nyumbani kwetu, anakaa chumba kile cha mwisho...” Queen alitoa utambulisho huo mfupi.
“Sawasawa nimefurahi kukufahamu bwana Eddy…” alisema Muddy.
“Na huyu ni Muddy, ni mpenzi wangu wa muda mrefu sana, hapa katikati alipotea kutokana na kuzuzuliwa na wasichana wa mjini,” Rehema alimtambulisha Muddy kwa Eddy.
“Sawasawa, nami nimefurahi kukufahamu bwana Muddy karibu sana kwetu… ndiyo tumeanza maisha…” alihitimisha Eddy huku akishikana mkono na Muddy.
Wakati hayo yakiendelea Rehema alishatoka ndani na kushuhudia utambulisho huo.
Akabaki akishangaa na kujiuliza maswali mengi kama kweli Queen hajawahi kutembea na Eddy.
Siyo yeye peke yake, hata Pat, Mwamvita na Tabu nao walikuwa barazani hapo wakishuhudia kitendo hicho.
Wote walibaki midomo wazi, wakashangaa kwa nini Eddy anakubali kutambulishwa kwa mwanaume mwenzake.
Wote hao walikuwa na uhakika wa asilimia mia kwamba Eddy alishatembea na Queen, Pat mdogo wake Queen alijua hivyo, Mwamvita alijua hivyo na hata Tabu alilijua hilo.
Mbali na kujua hivyo, wote walikuwa wakijua kwamba tayari walishatembea na mwanaume huyo, maswali yakawavagaa akilini mwao na kushindwa kupata jibu.
Walikuwa wakijiuliza kwamba, Eddy alikuwa akikubali kutoka moyoni au alikuwa akiigiza?
Pamoja na Rehema naye kujua kwamba aliingia katika ugomvi na Queen kwa sababu ya Eddy lakini kidogo alifarijika na kuamini kuwa mwanaume huyo alikuwa mkweli.
Hakuona sababu ya kumhisi Eddy vibaya, aliamini kwamba kama Eddy angekuwa ametembea na Queen asingekubali kutambulishwa kwa mwanaume mwenzake.
Hapohapo Rehema akawa mpole, akafuta mawazo yote mabaya juu ya Eddy.
Akahisi hata kuhusu wale watoto, Pat na Mwamvita zilikuwa ni hisia zake tu.
Akapanga kuondoa tofauti zake na Queen huku akidhamiria kumuomba msamaha kwa ugomvi wao wa siku za nyuma.
“Eddy…” Rehema hakutaka kulaza damu hapohapo akamwita mwanaume huyo.
“Unasemaje?”
“Twende ndani tukaongee,” alisema Rehema huku akimvutia ndani mwanaume huyo. Bila kinyongo Eddy akamfuata kama vile mbwa anavyomfuata chatu.
Kitendo hicho kilimfurahisha sana Queen kwa kuona kuwa ameweza kuwahadaa wote waliokuwa wakimfikiria vibaya juu ya Eddy, akatoka kumsindikiza jamaa yake.
“Samahani mpenzi wangu?” Rehema alijikuta akisema mara baada ya kuingia chumbani na Eddy.
“Samahani ya nini?”
“Kwa jinsi nilivyokuwa nikikufikiria vibaya, naomba unisamehe juu ya Queen..-.”
“Ni hilo tu?” Eddy alihoji
“Na mengine yote nayo naomba unisamehe…” Rehema alijikuta akiwa mtumwa ghafla wa kufuta mawazo yake na kusadiki mawazo ya mtu mwingine.
“Na kuhusu Queen?” Eddy alisema huku akimkazia macho Rehema.
“Hata yeye niko radhi kumuomba msamaha pia…” alisisitiza
“Wala sikijui, hebu nipe utamu shoga…”
“Si nimemkuta Pat na mgeni wakiwa wanakula uroda?”
“Mhhh! Pat au unamsingizia?” alihoji Tabu.
“Nimsingizie kwa nini?”
“Si anajua kama Queen amekula uroda na mgeni kwa hiyo ameamua kula chungu kimoja na dada’ke?”
“Sijui kitu gani kimemfika…?”
“Hebu nipe mchapo ilikuwaje..?” Tabu alitaka kujua zaidi.
“Nilikuwa natoka bafuni, ghafla nikasikia kelele za kimahabati zikirindima upande wa kutokea bafuni… si nikazifuatilia?”
“Enheee…” Tabu akachombeza kutaka kujua zaidi huku roho ikimuuma kwa kuwa alikumbuka kwamba na yeye alikuwa ameshakula uroda na mgeni.
Pia, akakumbuka jinsi Pat alivyomhisi siku alipokuwa akitoka chumbani kwa Eddy, ndani ya nafsi yake akasema kumbe msichana huyo aliamua kumfuatilia Eddy na kwenda kula naye raha bafuni.
“Basi kila nilivyokuwa nikisogea ndivyo kelele zilivyokuwa zikiongezeka…, acha mchezo Pat akiwa mchezoni anajua kulalamika shoga,” alisema Mwamvita kumsifia mwanamke mwenzake.
“Mwanzo nilidhani nilihisi kuna mtu alikuwa akinyongwa nikazama hadi bafuni… nikamkuta Pat kaandika namba saba na mgeni kaandika namba moja nyuma yake…”
“Weee…” Tabu alishtuka.
“Ndiyo nakwambia…”
“Enhee, ukafanyaje au wakafanyaje?” alihoji huku akikaa vizuri.
“Nikawaangalia kwa muda kisha nikawashtua, baada ya hapo wote wakanywea na kama vile walikuwa wamelowana na mvua…”
“Mh ikawawaje?” ushawishi ukamzidi Tabu.
“Pat alikuwa akitaka kujifanya mjanja kwa kujitetea, nikaona isiwe tabu, kwa kuwa jogoo la mgeni lilikuwa limeshanywea, nikaingia mzigoni na kuanza kulipandisha ili liweze kufanya kazi….
“Mtoto wa kike nikachukua usukani na kuanza kumpekecha mgeni ili kumpandisha mori upya, Pat akashangaa, kitu kilipokuwa sawasawa, nikampisha ili aendelee na starehe zake…”
“Na wewe ulitoka nje au ulibaki mle bafuni?”
“Niende wapi wakati miye ndiye niliyekuwa kocha mwenyewe tena…nikakaa na kuangalia mapigo yao.”
“Tobaaa!” alisema Tabu huku akiushangaa uamuzi huo wa Mwamvita.
“Sasa unashangaa nini…?”
“Miye nisingeweza kupiga shoo huku mwanamke mwenzangu akiwa ananiangalia…” Tabu alisema na kuongeza “ Hebu niambie lakini hadi mwisho ikawaje?”
“Ulitaka iweje, alipomaliza raundi yake moja na miye nikaingia kwenye gemu… nikamuonesha jinsi ya kupiga shoo kiutu uzima,” alisema Mwamvita na kuzidi kumshangaza Tabu.
“Ina maana na wewe ukapiga shoo?” Tabu alisema huku akitaka ufafanuzi kutoka kwa Mwavita kwa kuwa alikuwa hajamuelewa kile alichokuwa akikimaanisha. “Unasema?”
“Sirudii kwa kuwa miye sitangazaji matangozo ya vifo shoga…” alisema kwa utani Mwamvita huku macho yake yakiwa makavu.
“ Hivi ulichosema ni kweli au nimekusikia vibaya?” Tabu aliendelea kudadisi.
“Naamini kabisa kwamba masikio yako hayana matatizo, yako sawasawa, utakuwa umenisikia vizuri…”
“Kwamba baada ya Pat kumaliza na wewe ukachukua nafasi yake…?”
“Ndiyo maana yake…” alisema Mwamvita.
Ghafla baada ya kauli hiyo, Tabu akaonekana kukosa raha na kuonesha kama vile hakuwa amependezwa na maneno yake yale lakini Mwamvita akaendelea kushusha mistari yake:
“Basi nikagonga shoo ya nguvu…” Mwamvita alikuwa akiendelea kumwadithia Tabu lakini msichana huyo aligundua tofauti iliyokuwepo wakati walipokuwa wakianza mazungumzo yao na hadi hapo walipofikia.
“Vipi mbona kama vile umekatika stimu gafla, kuna kitu kimekugusa nini…? Maana nakuona huna raha na umekuwa mpole ghafla…?”
“Kuna kitu nataka nikuambie…” Tabu alisema na kuonekana dhahiri kwama alikuwa ameguswa na kitu ambacho hakikumpendeza.
“Kitu gani hicho, Kinahusiana na mambo haya niliyokuadithia au una lingine shoga?”
“Kuhusiana na huyohuyo mgeni…” alisema Tabu kisha kumeza funda la mate.
“Haya mwaga mtama shoga… isiwe na wewe umeshagonga naye shoo?” Mwamvita alisema huku akijiweka sawa na yeye kusikia kile alichokuwa akitaka kukisema Tabu.
“Unajua…” Tabu alianza.
“Sijui…” Mwamvita alimdakia na kumkazia macho kwa umakini mkubwa.
“Acha utani shoga nataka kukuambia kitu cha maana sana maana naiona hatari mbele yetu…”
“Sijakuelewa…” Mwamvita alisema.
“Unajua kama Queen ametembea na mgeni…?”
“najua…” Mwamvita alisema.
“Unajua tena kama Rehema ametembea na mgeni?”
“Hata hilo hakuna asiyejulia, kwa maana hata sasa wako msambweni…” alijibu Mwamvita kwa kujiamini.
“ Hapa unaniambia kuwa Pat ametembea na mgeni…?”
“Siyo Pat peke yake na miye vilevile nilikuwepo na nikashiriki katika tendo lao…” alisema Mwamvita.
“Haya sasa na miye nimetembea na huyo mgeni…” alisema Tabu na kumfanya Tabu kuachama mdomo bila ya kusema kitu kwa muda mrefu.
“Na wewe tayari…?”
“Ndiyo maana yake,” alijibu Tabu kwa unyonge kama mtu aliyekata tamaa.
“Haya sasa Majanga…” alijibu Mwamvita.
“Siyo Majanga tu, ni zaidi ya Majanga… hivi unadhani mmoja wetu akiwa ameathirika hapa inakuwaje, si wote tutaondoka na ugonjwa huu wa Ukimwi?” alihoji Tabu.
“Katika siku zote leo ndiyo umeongea jambo la msingi, sasa tutafanyaje?”
“Hebu tumwite Pat hapa kisha tupange mkakati wa kuweza kuchukua hatua zaidi…” alipendekeza Tabu.
Mwamvita alisimama na kwenda kumwita Pat ili waweze kumweleza kuhusiana na mkakati ambao wanaweza kuupanga kutokana na kuchanganywa na mwanaume huyo.
“Eeeh mnasemaje?” Pat aliuliza baada ya kuitikia wito huo.
Mwamvita akachukua jukumu la kumwambia ukweli wa kile kilichotokea.
sawa nimekubali
*****************
Baada ya muda eddy alitoka chumbani kwake
unaenda wapi eddy.......pat aliuliza
naenda guest............
guest haina jina? pat aliuliza huku amekasirika
haina ua iwe ina jina ww inakuhusu nini?
sawa.......pat alijibu kiunyonge
baada ya muda marafiki zake pat waliingia na kuanza kuwasimulia kilichotokea baina yake na eddy
“Gesti gani?” alihoji Mwamvita.
“Hakunitajia…” alisema.
“Hebu mwangalie ameshatoka?”


ITAENDELEA
 
SEHEMU YA 06


“Zamani…” alijibu Pat.
“Umefanya kosa kubwa sana, unajua hiyo ndiyo ilikuwa sehemu mwafaka ya kuweza kumnasa, tungetengeneza bonge la fumanizi…” alisema Tabu.
POROMOKA NAYO…
Siku zikapita na wakawa wamemkosa kumfumania Eddy akiwa na Queen.
Wasichana hao wakaendeleza umoja wao huo wa kutaka kumfedhehesha Eddy, wakaambiana kwamba wasikubali kumpa uroda na ikitokea mmoja wao akimwingiza kwenye anga zake basi kwa njia yoyote ile awashtue wenzake ili wamfumanie naye.
Makubaliano hayo yakapita bila ya wasiwasi. Jumapili moja, Pat alikuwa amekaa kihasarahasara nyumbani huku akiwa hana cha kufanya na kukosa pa kwenda.
Siku hiyo nyumba ilikuwa nyeupe kila mtu alikuwa amekwenda kwenye mihanjo yake.
Bila ya kutegemea, Pat akiwa anapita ukumbini na Eddy akitoka chumbani wakakutana uso kwa uso.
Pat hakuwa na ili wale lile, Eddy wazimu ulikuwa tayari umeshampanda, akawa anataka kukata kiu yake, hivyo moja kwa moja akalikumbuka lile chombezo liliwahi kuandikwa na Mommadou Keita la Kamata dagaa Piga.
Akili ikamtuma kwamba alikuwa akiweza kupiga shoo ya fastafasta kisha kuambulia ushindi wa goli moja bila ya majibu.
Tayari alishasoma mazingira ya nyumba jinsi ilivyokuwa, wakati akipishana na Pat, ghafla akahama upande wake na kumshika mkono msichana huyo.
Pat hakutaka kugusana na mwanaume huyo akataka kujinasua mkononi mwake lakini hakuweza.
Kila alivyojitahid ili kujichomoa katika mikono ya Eddy, ndivyo mwanaume huyo alivyoendelea kumdhibiti kisawasawa.
Eddy, akaupeleka ulimi wake mdomoni mwa Pat, lakini msichana huyo hakuupokea akaufumba mdomo wake.
Eddy akajua kwamba binti huyo alikuwa amekasirika na hakutaka kufanya vile alivyokuwa akitaka yeye, akaanza kumfanyia utundu wake.
Akamshika kwenye nyonga na kumminya kidogo, Pat akapiga kelele:
“Nini bwanaaa…?” Eddy hakumjibu akaendelea kumminya sehemu nyingine za maungo yake ili kumlainisha.
“Aaaah bwanaaa…!” Pat alisema tena na kumwachia upenyo Eddy kupenyeza ulimi wake kwenye kinywa chake.
Mpaka kufikia hapo, Pat hakuwa na nguvu za kuuzuia ulimi huo, akajikuta akiupokea na kutoa ushirikiano kwa kiwango kikubwa.
Pat aliamini kuwa labda akifanya hivyo, Eddy atamwachia, kumbe haikuwa hivyo mwanaume huyo akazidisha utundu zaidi akahamisha mkono wake wa kuume na kuupeleka kwenye embe sindano ya kushoto ya Pat, akaiminya kidogo.
Taratibu Pat akawa ananyong’onyea kwa kuishiwa nguvu, macho yake yakaanza kubadilika rangi na kuwa mekundu kuliko hata wekundu wenyewe.
Pamoja na kuwa na hali hiyo, bado Eddy hakumuacha, akazidi kumchanganya kwa kuisambaza mikono yake katika maungo ya msichana mmoja.
Hatimaye Pat akajikuta akinogewa na kila alichokuwa akifanyiwa na Eddy, akaanza kulialia kwa kutoa sauti yake halisi ya kike.
Mwanaume huyo akaamua kujiokotea dodo chini ya mwembe na kumshika Pat kisha akamnyanyua na kumwingiza chumbani kwake, wala hakutaka kumpeleka kwenye dimba la fundi seremala, mechi ilihamia mchangani chini ya sakafu kwenye zuria, segere likaanza kuchezwa.
Kukurukakara hizo zikawa zimehamia chumbani humo, Pat akajikuta akiishiwa nguvu kabisaaa, akawa hajitambui kwa machejo aliyokuwa akipewa, hatimaye akajikuta chuma kikoli moto.
Pat akajikuta akiokota mpira wavuni baada ya kufungwa bao la tik-tak na Eddy. Mara baada ya kumaliza ndipo akakumbuka maazimio aliyokuwa amekubaliana na wenzake.
Msichana huyo akaanza kulia, kitendo kilichomshangaza sana Eddy.
“Nini tena, mbona unalia…?”
“Sitaki…!” alisema Pat kwa hasira huku akiutoa mkono wa Eddy maungoni mwake.
“Unalia nini baby?” Eddy aliendelea kuuliza bila ya kujua kile kilichomo kwenye akili ya Pat.
“Wee si umetembea na dada Queen?”
“Kwani siku zote ulikuwa hujui…?” Eddy naye alimuuliza Pat huku akinyanyuka sakafuni na kuchukua taulo kwa ajili ya kwenda kuoga.
***
Mpaka usiku ulipokuwa ukiingia Pat hakuwa na raha hata kidogo na kuamua kwenda kulala mapema hali iliyowashangaza wenzake Tabu na Mwamvita.
Wasichana hao hawakujua kilichomsibu mwenzao, wakaamua kumtafuta mwenzao huyo. Walipompata walimuona akiwa mnyonge sana wakamuhoji kulikoni.
“Sijui yule mwanaume ana dawa…?” alianza kusema Pat.
“Nani tena?” Tabu akauliza.
“Si huyo Eddy…”
“Kafanyaje tena…?” Tabu aliuliza tena na kumfanya Pat ashindwe kusema kitu chochote na kunyamaza kimya hali iliyomtia hofu Mwamvita.
“Au umempa?” alihoji Mwamvita.
Pat wala hakutaka kujibu ila aliangua kilio na kuwafanya wote wapate jibu la swali alilouliza Mwamvita kwamba Pat alikuwa ametoa uroda.
“Ilikuwaje kwani…?” Tabu alidadisi tena.
“Yaani ni vigumu hata kuelezea mazingira yenyewe… ni aibu tu…,” alijitetea Pat kisha akaanza kushusha kisa kizima jinsi kilivyotokea mwanzo hadi mwisho.
“Nawe ulijilegeza tu… mtoto wa kike kama hataki hataki tu hata mwanaume afanye nini…” alisema Mwamvita.
ilipofika usiku eddy alirudi na kuignia chumbani kwake kumbe wakati huo Mama Mwavita nae alikuwa akimsubirti ili ajue utamu wa kijana huyo ..............alipoingia tu eddy chumbani kwake Mama mwavita nae akamfuata chumbani kwake
Haaaaaaa!!!!! na wewe unataka nini?
"Ssshhhhhhh? mama mwavita akamuwekea kidole mdomoni
"njoo nikupe raha za dunia achana na vinuka mkojo
muda huo eddy alikuwa bado anafikiria kwann wanawake wnamshobokea sana ghafla akavutiwa kitandani na lile lijimama na shughuli ikaanza
**************************************
"Ameingia tayari" pat aliwaambia mwavita na tabu
una uhakika" mwavita aliuliza
ndio nina uhakika tena ameingia na mwanamke nadhani atakuwa ni rehema"
basi wewe mwavita anza kuingia ili tujue kama kweli yupo au hayupo halafu sisi tuvamie
sawa" alijibu mwavita na kuvamia chumba
"Mwavita alipoingia chumbani kwa eddy na kukuta eddy akiwa na mama yake wakilisakata pale kitandani
""Haaaaaaahhhhhhhh Eddy
wote walishtuka
Mwavita Alizimia palepale… hali hiyo iliwashtua wenzake nao walipovamia nao hawakuamini kile walikiona mbele yao.
MALIZIA UHONDO HUU…
Mke wa baba mwenye nyumba, mama yake na Mwamvita ndiye aliyekuwa akigonga shoo na Eddy.
Lilikuwa jambo la kushtua na lisilotarajiwa na wasichana wote waliokuwa wakiishi katika nyumba hiyo.
Mama huyo alitoka chumbani kwake na kumuacha baba mwenye nyumba akiwa amelala na kwenda kula uroda na Eddy.
Wasichana wote walipowaona wawili hao walipigwa na bumbuwazi, hawakutaka kuamini kama ni kweli lakini hawakuwa na budi kwa kuwa kila kitu kilikuwa hadharani.
“Haya sasa ni majanga… jamani majangaa,” alisema Rehema ambaye siku zote alikuwa haivi chungu kimoja na mama mwenye nyumba huyo.
Wasichana wengine wakazinduka na kuanza kupiga kelele zilizowafanya majirani na watu wengine kuamka na kudhani labda nyumba hiyo ilikuwa imeingiliwa na wezi.
Kila mtu aliyesikia kelele hizo alitoka chumbani kwake huku akiwa na silaha, aliamini kabisa kwamba hazikuwa kelele za bure.
Mwamvita alikuwa bado amezimia kutokana na kushindwa kustahamili aibu iliyokuwa mbele yake, kutokana na kushuhudia mama yake akigonga shoo na mwanaume aliyekula naye uroda.
Aibu hiyo aliiona kuwa kubwa kuliko ile ya Pat na Queen kutembea na mwanaume mmoja.
Tabu, Rehema, Queen pamoja na Pat waliendelea kupiga kelele na vishindo vya watu kuzifuatilia kelele zao vilikuwa vikisikika.
Machale yakamcheza Eddy akiwa mtupu kama alivyotoka tumboni kwa mama yake, akachomoka kama mshale na kukimbia nje huku akiwakwepa wasichana hao na watu wengine waliofika kufuatilia kasheshe hilo.
Kutokana na kasi yake, hawakuweza kumzuia, alikimbia huku wengine wakimkimbiza kwa nyuma, kabla hajatoka mlango wa mbele akakutana na jirani aliyebeba mchi na kumtwisha nao kichwani, Eddy akaanguka chini na kuzirai.
Baada ya kelele kuwa nyingi baba mwenye nyumba aliyekuwa amelala fofofo chumbani kwake alishtuka, akapapasa kumgusa mkewe lakini hakuwepo.
Akatoka, akauliza kulikoni, akapewa kisa na mkasa mzima, alipomuona mkewe, ghafla naye akaanguka chini na kuzimia.
“Hii nyumba imezidi majanga,” alisema jirani mmoja na kuungwa mkono na wenzie ambao walipendekeza iuzwe.
Eddy, baba mwenye nyumba na Mwamvita walibebwa na kupelekwa hospitali, baada ya kupewa matibabu walizinduka.
Baba mwenye nyumba aliamua kumwandikia talaka mkewe, Eddy aligoma hata kurudi kwenye nyumba hiyo kuchukua vitu vyake, akaamua kwenda kuishi kwa rafiki yake, Salim Raha, Gongo la Mboto akiwa hajui hatma yake.
Hali kadhalika kwa Mwamvita naye aliamua kuhama katika nyumba hiyo ya baba yake kutokana na aibu aliyoipata.
Hakutaka kujua hatma ya afya yake, yuko mtaani anarandaranda na maisha na kuendelea kuwaumiza wengine bila ya kujijua.
Kwa upande wao, Queen, Tabu, Pat na Rehema wakazungumza suala hilo kwa undani.
Queen alisikitika kutambua kama alikuwa akila chungu kimoja na mdogo wake Pat, hali kadhalika kwa Rehema aliumia kufahamu kwamba Tabu naye alikuwa akigonga shoo na Eddy.
Wakachukua jukumu la kwenda kupima afya zao, wakajikuta wameambukiza Ugonjwa wa Ukimwi.
Kila mmoja akajutia kile walichokuwa wakikifanya, wakakubali makosa yao na kuishi kwa matumaini.
Wameamua kuishi pamoja kama ndugu na kuachana na uhasama wao wa zamani.
Kila wakikumbuka maisha yao ya nyuma wanajuta na kusema ulikuwa ni ushamba kugombea mwanaume, lakini pia kila siku wanaimba wimbo wa Majanga ulioimbwa na Snura Mushi.
“Majanga mbona majanganga…”
Mwisho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom