habari jamani humu ndani,Samahani naomba analysis ya hii sample ya beat please and please naomba nini cha kuongeza na nini cha kupunguza kwenye hii sample ya hii beat
my regards
Siku chache zilizopita Davido aliachia ngoma kali inayoitwa FIA
Leo tena mkali huyo wa africa ameachia ngoma nyingine kali inaitwa LIKE DAT
Davido mwaka huu tayari ameachia ngoma 6 , huku...
Burudani ya Fiesta ambayo imefadhiliwa na Tigo imefanya vizuri katika Mikoa yote ambayo ilipita pamoja na kuambata na Fursa kwa wale wasiojua neno Fursa hii inatokana hasa na Target costing yaani...
Fiesta ya mwaka huu iliobeba movement ya 100% percent local Artist haitakua imekamilika pasipo kua na msanii wa kimataifa mwenye mchango wake katika bongo flavour hii kuifikisha hapa ilipo na kua...
AIYOLA
SEHEMU.........01
AUTHOR.......MWL.SADALAH
CONT.....0629306194
WHATSAPP........0768552126
Chini ya mti wa muembe, uliokuwa nje kidogo ya kijiji sofu,kata ya kwala,wilaya ya...
jamani iam doing this just for having funny i need very good analysis from very experienced producers kwenye hiyo sample ya beat najua sijaweza intro and outro what i need is the analysis naomba...
Wakuu habarini za manikin? Naombeni msaada wa nyimbo flan ya kitambo kaimba binti flan nsiyemjua ila nakumbuka tu baadhi ya mistar inapoanza, ni kama ifuatavyo
Nikuite jina gani mpenzi, ujue...
Natumaini wadau wa riwaya hamjambo kabisa popote mlipo,
Leo ninawaletea riwaya nzuri kwa ajili yenu, jisomee na kuburudika,
kwa maoni na ushauri/lolote kuhusu kazi zangu za uandishi wa vitabu...
Habari wana jf,
Kama mada inavyojielezea ningependa kushare vitu ambavyo kwa wale tuliokilia dar na kuishi sana huko hatuvujiui. Katika kuishi kwangu sikuwahi kufikiria kuwa unaweza kwenda mikoa...
Katika mitandao na story za watu mitaani katika sekta ya burudani wamekuwa wakijadili na kusifia sana wimbo mpya wa Alikiba "seduce me" kwa kusema ni mzuri na umevunja rekodi sana!
Swali ambalo...
Fainali za mashindano ya 'Miss World' zinafanyika leo nchini China, na Tanzania tunawakilishwa na mrembo Julitha Kabete.
Neno moja kwake kumuombea heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.