Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Hellow wakuu, Habari za wakati kama huu. Mimi ni mdau mkubwa sana wa zilipendwa za kwa wenzetu huko, ukiniambia watu kama Cool n' the Gang, natking cole, elvis Presley, marvin Gaye, etc. Unakua...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
me zangu hizi hapa 5 nazozipenda kudownload movies, 1.FMOVIES 2. MOVIEWATCHER.TO 3. MYDOWNLOADTUBE.COM 4.YTS.AG 5.GOMOVIES.AT
3 Reactions
65 Replies
11K Views
Wakuu msaada wenu nakubali sana kazi zake
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Salaam,Wakuu, nimeanza na cover za wasanii wa nje naziimba kwa usahihi kabisa mfano. :human nature by mj :Gone too soon by mj :I look to you by witness Houston.Etc Kwa cover za wasanii wa ndani...
0 Reactions
3 Replies
900 Views
Salaam wakuu. Kuna wimbo ulikuwa ufanyike baina ya Chid Benz na 2Pac Shakur. Tumeusubiri kwa hamu kubwa wimbo huu toka kwa wasanii hawa ila nimeona kimya mpaka hii leo. Sasa, nimechukua...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Mambo ya singeli mitaa ya mbagala kwetu hiyo, ni mwendo wa kugombaniwa tuu mpk utoee [emoji39][emoji39][emoji39]
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Redirect
Maisha ya Bongo: Tamthilia Mpya kabisa ya MAISHA YA BONGO Instagram: @maishayabongo.show inaanza kurushwa rasmi Tarehe 22nd May 2017 STAR TV. Tamthilia itarushwa kila siku ya Jumatatu hadi...
1 Reactions
Replies
Views
Habari wakuu...heading ya kukuvuta tu haihusiki ila sijui hiki mtakiitaje kipaji au ni nin maana Wakati mwingine huwa najishangaa haswa pale napokamata kalamu na daftari langu flani hivi...
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Watu waachwe wafanye shughuli zao za kupambana na hali zao na kujiletea maendeleo huko mikoani badala ya kupumbazwa kwa starehe za wapiga dili. Tigo fiesta haina tofauti na mikutano ya siasa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari Wanajamii Forum Mwandishi, Abdallah J. Safari. Leo ngoja niwaletee riwaya moja ambayo kwa hapa kwetu Tanzania inaweza ikatuangazia sana maisha yetu.Riwaya inaitwa Joka la Mdimu. JOKA LA...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Leave comment regarding to what photo say.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nawasalimu nyote, lakini salamu aidi iwafikie nyote mlio wadau wa nyimbo toka Congo. Ninaomba kwa yeyote anayejua Lingala anisaidie kujua Tafsiri au maana ya wimbo wa Ferre Goma -Maboko Pamba...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
"Chawa" maarufu wa Mkoa wa Dar , Bwana "Lemtumboz" alitoa ujumbe kupitia Instagram juu ya onyesho OMARION lililofanyika Elements na kumalizwa kiubabe kabla ya muda uliopangwa. Unadhani hili...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mm Ni Kijana Mwenye Miaka Kumi Na Nane Na Niniakipaji cha kuimba lakin sijapata mdhani wa kunidhamin ili nitoe nyimbo yangu! Kama unataka kunisaidia nisaidie ili nitoe nyimbo ambayo tayari...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau ngoma hiyo hapo tuichek co maneno mengi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wahenga mliokaa maeneo ya Dsm hasa kinondoni,huyu mzee hamuwezi kumsaha.kipindi hicho mtoto km hataki kuoga au kula we mwambie mzee magambo yupo mlangoni utamkuta bafuni anakusubiri na mlango...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Mkali na nguri wa hip hop Tanzania na Africa Mashariki, Juma Nature na Harmorapa watakuwa Kakola Bulyanhulu usiku huu katika ukumbi wa Bar moja maarufu iitwayo Matako Bar mkabala na Bar nyingine...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Nakumbuka nilivyokuwa dogo, wilaya ya moshi mjini huko, kipindi cha Kampeni utasikia nyimbo za vijembe za Mama Minde aliyegombea ubunge Mara kadhaa na kukutana na upinzani mkali wa Ndesa Pesa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Hizi movies huwa ni nzuri sana hasa zile zinazoelezea historia za nchi mbalimbali za Africa kama vile jinsi zilivyo struggle kupata uhuru au kuonyesha jinsi mataifa hayo yalivyokuwa governed...
2 Reactions
39 Replies
7K Views
Bondia muingereza antony joshua maarufu kama (AJ) anaesimama na rekodi yake ya kupigana mapambano 19,na kushinda yte 19 kwa k.o,aliejizolea umaarufu mkubwa kwnye ulimwengu wa boxing baada ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom