Ni kama wiki moja hivi imepita ambapo tundaman amefanya kitu ambacho ni for the first time in TZ music industry, amerelease videos 3 mpya za ngoma zake kwa wakati mmoja. Katik hizo ngoma,binafsi...
Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory?
Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory?
Kwenye hi sanaa ya muziki huwa sija wai pata ukweri wa kina juu ya haya mambo
.Mutayalishaji alie changia hasa kuukuza muziki huo
.Mwimbaji alie wafungua wasanii wengine ku join revolution hiyo...
kwa mwaka huu wa 2016/2017 Kuna series Kali za kikolea zimetoka mpaka sasa nmeona drama zifuatazo:: legend of blue sea, suspicious partner, missing nine, the Rebel, moon lovers, fight my way na my...
Naombeni msaada wenu wakuu.
Natafuta sana movie za Kihindi za zamani (1940s - 2000s) zenye good quality na subtitles za Kiingereza.
Nimejaribu kuzitafuta naona nakwama. Uungwana ni kuomba msaada...
Kwema humu?
Za Weekennd?
Naombeni msaada, kuna Movie nimei-download thru limetonets, sasa imekuja na lugha ya kihindi na haina subtitle, naombeni msaada jinsi ya kutafuta subtitle na kuipachika...
Zifuatazo ni tracks kumi za Notorious B.I.G ambazo kila siku nikizisikiliza hazichuji masikioni mwangu namm naburudika as if the king is still out there;
Ten Crack Commandments
Get High ft the...
Kwa wale wapenzi was soka kama mnavyojua mwaka huu kule urusi yale mambo yetu yamerejea tena.
Ningependa Uzi huu tubashiri nani atakuwa mbabe dhidi ya wenzake.
Ningependa pia tuweke na sababu...
Kwa Wale wazee wa movie.
Hebu tujuzane movie kali uliyoikubali kuanzia scenes arrangements, location, actors, scenes originality, story originality na vingine vingi.
Kwangu mimi Tangu nianze...
'hellow there................wanajamvi wote natumai ni wazima kabisa,mwenye mawasiliano na ENIKA naomba ani-check PM please nna shida nae muhimu sana kama unamfaham au ni mtu wako wa karibu...
ZA KUTWA MARAFIKI NA NDUGU ZANGU , UMUHIMU WA MALEZI YA MAMA HAYANA MFANO, NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA WAKINA MAMA NA WALEZI WOTE WANAOVAA UHUSIKA WA MZAZI KAMA MAMA WIKI NJEMA KWENU NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.