Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni kama wiki moja hivi imepita ambapo tundaman amefanya kitu ambacho ni for the first time in TZ music industry, amerelease videos 3 mpya za ngoma zake kwa wakati mmoja. Katik hizo ngoma,binafsi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory? Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwenye hi sanaa ya muziki huwa sija wai pata ukweri wa kina juu ya haya mambo .Mutayalishaji alie changia hasa kuukuza muziki huo .Mwimbaji alie wafungua wasanii wengine ku join revolution hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa mwaka huu wa 2016/2017 Kuna series Kali za kikolea zimetoka mpaka sasa nmeona drama zifuatazo:: legend of blue sea, suspicious partner, missing nine, the Rebel, moon lovers, fight my way na my...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba mwenye mp3 ya huu wimbo tafadhali au link ya kudownload anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Kwa wale wanazi wa Drama kutoka pande za Korea Kusini. Tembelea uzi huo hapo chini; Drama 10 bora za kihistoria kuhusu JOSEON:
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni msaada wenu wakuu. Natafuta sana movie za Kihindi za zamani (1940s - 2000s) zenye good quality na subtitles za Kiingereza. Nimejaribu kuzitafuta naona nakwama. Uungwana ni kuomba msaada...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Kwema humu? Za Weekennd? Naombeni msaada, kuna Movie nimei-download thru limetonets, sasa imekuja na lugha ya kihindi na haina subtitle, naombeni msaada jinsi ya kutafuta subtitle na kuipachika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale mnao ujua wimbo wa Marehem fanuel sedekia wimbo wake wa manukato, kuna jamaa kauimba kama recorded sikiliza
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Inaitwa Nostalgia.
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Zifuatazo ni tracks kumi za Notorious B.I.G ambazo kila siku nikizisikiliza hazichuji masikioni mwangu namm naburudika as if the king is still out there; Ten Crack Commandments Get High ft the...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi was soka kama mnavyojua mwaka huu kule urusi yale mambo yetu yamerejea tena. Ningependa Uzi huu tubashiri nani atakuwa mbabe dhidi ya wenzake. Ningependa pia tuweke na sababu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi guyz!! Kwani ile league yetu ya wanawake ambayo TFF ilianzisha iliishia wapi, Maana hadi leo sijui a wala z tanzania bhana!!
1 Reactions
2 Replies
783 Views
Kwa Wale wazee wa movie. Hebu tujuzane movie kali uliyoikubali kuanzia scenes arrangements, location, actors, scenes originality, story originality na vingine vingi. Kwangu mimi Tangu nianze...
14 Reactions
461 Replies
54K Views
Ukitaka kuangalia series za kihindi zenye subtitle ya kiingereza unatumia program gan
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Naomba kuuliza dstv wataonesha kombe la dunia?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
mwenye link yeyote itakayonifanya niipate nyimbo ya jose mara chozi la yatima please anipe hii nyimbo naikubali kweli
0 Reactions
5 Replies
4K Views
'hellow there................wanajamvi wote natumai ni wazima kabisa,mwenye mawasiliano na ENIKA naomba ani-check PM please nna shida nae muhimu sana kama unamfaham au ni mtu wako wa karibu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
ZA KUTWA MARAFIKI NA NDUGU ZANGU , UMUHIMU WA MALEZI YA MAMA HAYANA MFANO, NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA WAKINA MAMA NA WALEZI WOTE WANAOVAA UHUSIKA WA MZAZI KAMA MAMA WIKI NJEMA KWENU NA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom