Kwangwaru inavyotamba; clouds, Efm, East Africa wanajisikiaje? Hawaipigi redion ila noma

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,527
habari wadau..

tunajua wcb ina uhasama na redio na tv karibu zote kubwa.. na hawapigi nyimbo zao nowdays..

kwa ngwaru imetoka kipindi ambacho wameshazuiliwa nyimbo zao kupigwa...

nashangaa imesambaa sana mitaani na kupigwa kila sehemu.. sio boda boda, sio harusini, sio club wala wapi.. kwa haraka haraka ndio hit song inayoongoza kila sehemu kipindi hiki..

ingekuwa enzi zile hakuna bifu namba moja kila redio top 10 au chat ingekuwa kwa ngwaru bila majungu...

swali nalojiuliza.. wale wasiopiga wanajisikiaje pale top 20 namba moja anashika nandy mfano huku nyimbo yake hata mtangazaji haijui jina wala mstari yake kazaa... na hapo hapo kila anapoenda anasikia kwa ngwaru tu...

hivi wanajisikiaje?
 
Capturej.PNG
Efm watoe, jamaa ngoma za WCB wanazipiga sana tena sana na hata juzi Babutale alikuwa anamtania Majizo baada ya Lulu kupewa kifungo cha nje.
 
nyimbo ni nzuri yaani nimeisilikiliza baada ya kuona hii post, ila kuna matusi mengi,hivyo basi hii nyimbo ni mbaya
 
Wajisikiaje kwa mfano? Kwan wasipopigaa yupi anapata hasara??as longer as kila mmoja anafaidika kivyake basi kilaa mtu akae na chake usihisie kuwa clouds au sijui eatv watajisikiaa vibayaa hell no kila kampuni ina target yake na kutokupigwa kwa wimbo haimanishi kuwa lengo halitafikia so kwa point yako wao wanaona kawaida kwa sababu wcb lengo lao limetimiaa na kwa upande wa redio nao wanatimiza malengo yao na sio lazima wapige hizo nyimbo ndo lengo litimie..........

Harmo na diamond popote watakachofanya lazima kitasambaaa popote
So my opinion hamna anayepta hasara btn wcb wala cmg
Cha muhimu ni ww kujitafakar na maisha yako wale tayari wanamaisha yao ww ndo uwaze na kuwazuaa ufanye nn na ww ukae kwenye ramani otherwise nakutakiaa siku njema!!
 
Kuishusha WCB ni sawa na kuutoboa mlima kwa peni wataunda timu zao mwisho watajifunga wenyewe ila WCB itabaki imesimama upige usipige mtaani wanakubalika
 
Wajisikiaje kwa mfano? Kwan wasipopigaa yupi anapata hasara??as longer as kila mmoja anafaidika kivyake basi kilaa mtu akae na chake usihisie kuwa clouds au sijui eatv watajisikiaa vibayaa hell no kila kampuni ina target yake na kutokupigwa kwa wimbo haimanishi kuwa lengo halitafikia so kwa point yako wao wanaona kawaida kwa sababu wcb lengo lao limetimiaa na kwa upande wa redio nao wanatimiza malengo yao na sio lazima wapige hizo nyimbo ndo lengo litimie..........

Harmo na diamond popote watakachofanya lazima kitasambaaa popote
So my opinion hamna anayepta hasara btn wcb wala cmg
Cha muhimu ni ww kujitafakar na maisha yako wale tayari wanamaisha yao ww ndo uwaze na kuwazuaa ufanye nn na ww ukae kwenye ramani otherwise nakutakiaa siku njema!!
True say..kama hakuna aliyepata hasara,then hakuna effect yoyote..nyimbo yenyewe matusi matupu
 
Efm, clouds fm na EATV hawana uhusiano wala urafiki ila wote kwa pamoja wamemsusa Chibu,

Management ya Chibu inapaswa kujitathmini naamini tatizo liko kwao kama mameneja na wala sio tatizo la Chibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom