Chindo man story ya bar Tumbonii

Chindo man story ya bar Tumbonii

cheetah255

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2017
Posts
1,382
Reaction score
2,416
Tupitie verse ya legendary wa hip-hop kutoka Arusha best story teller raper ov all the time umbwa mzee......nyang'au


Ilikua Manchester bar mida ya saa tisa
Machiz wanapiga deal kwenda kuliza
Ikaibuka rav4 ndani imejaa masniper
Bar ikazungukwa watu wakatekwa kama... mara kaachini
Mkwasi amezunguka kila kona
Raiaaa kule ndani hawakukujua kama wangepona
Akataitiwa mikono akapigwa bangili
Mchiz ni broo akaanza kudai wakili
Akili ya jela na mtaa mara mbili
Walikua wanatime oneten ya halfgame na dili
Akashikwa shatikaptula mpka kwenye pira
Tumbonii vijana maabusu aliuwawaa
Akaingizwa kwenye ndinga kwa mahojiano zaidi
Wakampeleka usa walipopelekwa magaidi
Maojiano yanafanyika mchiz aliteswa sana
Akapigwa sink ya mbavu laki bado aka bana
Wazee wakaona anapoteza muda wao
Rober rii man hizo rober za mbao
Taarifa ikapelekwa kwa ndugu wa Tumbonii
Alikutwa akiwa na matundu ya risasi tumboni.


Tumbonii alikua nyapara wa jela ya Arusha..
Tumbonii nyamera ambaye huwez kumrusha...
Tumbonii bizness man Jiji zima..
Tumbonii dakika za mwisho wazee walimzima....
 
Kingkola ni nyoko
Mkuu king kola alikua mtata hasa akitimba viavia na metropol lazima mtajua yupo ndani ya nyumba.
Story zote ni za ukweli binafsi nilipata kumuona nyokaa,Tumbonii na brother yake safarii pia donii aliye imbwa kwenye ngoma ya mjeshi huyu donii bado yupo hai alikua ni member wa watengwa skuiz mchiz kaaribiwa sana na madawa.
 
Kingkola ni nyoko
Alimkosa mtu kichwa akaingia kwenye pool..
Palee tanzanite kapoull..
Ukipigana nae mwangalie sana usoni..
Ataruka kichwa bila kutegemea ukiwa huoni..
Vichwa vyake nivibaya niulize mi nyang'au..
 
Mkuu king kola alikua mtata hasa akitimba viavia na metropol lazima mtajua yupo ndani ya nyumba.
Story zote ni za ukweli binafsi nilipata kumuona nyokaa,Tumbonii na brother yake safarii pia donii aliye imbwa kwenye ngoma ya mjeshi huyu donii bado yupo hai alikua ni member wa watengwa skuiz mchiz kaaribiwa sana na madawa.
Mkuu donii sikuhizi teja nilikuwa sijui
 
Mkuu king kola alikua mtata hasa akitimba viavia na metropol lazima mtajua yupo ndani ya nyumba.
Story zote ni za ukweli binafsi nilipata kumuona nyokaa,Tumbonii na brother yake safarii pia donii aliye imbwa kwenye ngoma ya mjeshi huyu donii bado yupo hai alikua ni member wa watengwa skuiz mchiz kaaribiwa sana na madawa.
Donii alishaacha madawa longtime sana na siku si mingi sana amefariki R.I.P mkali wa miondoko huru
 
tumboni jela aliishi kibabe sana ,yani yupo jela lakini anaingiza ela kama kawaida jela na uraini
 
Mkuu king kola alikua mtata hasa akitimba viavia na metropol lazima mtajua yupo ndani ya nyumba.
Story zote ni za ukweli binafsi nilipata kumuona nyokaa,Tumbonii na brother yake safarii pia donii aliye imbwa kwenye ngoma ya mjeshi huyu donii bado yupo hai alikua ni member wa watengwa skuiz mchiz kaaribiwa sana na madawa.
Donii alifariki mwaka huu mwezi wa tatu (May his soul rest in power) sijui nawezaje kuweka hizi nyimbo humu nnazo zote kwenye simu! Kuhusu King Kola (R.I.P) nlikuwa nyoka wake alikuwa ananituma sana viatu (njumu)akiwa anachezea waya mkali miaka hyo ya late 90's nkiwa shule ila ngwengwe haina baunsa ikambeba.....
Ktk wababe wa kipindi kile amebaki Idii Mkuluu, Elijah baunsa
 
Donii alifariki mwaka huu mwezi wa tatu (May his soul rest in power) sijui nawezaje kuweka hizi nyimbo humu nnazo zote kwenye simu! Kuhusu King Kola (R.I.P) nlikuwa nyoka wake alikuwa ananituma sana viatu (njumu)akiwa anachezea waya mkali miaka hyo ya late 90's nkiwa shule ila ngwengwe haina baunsa ikambeba.....
Ktk wababe wa kipindi kile amebaki Idii Mkuluu, Elijah baunsa
Aisee donii amefariki R.I.P mara ya mwisho nilimuona triple A alishinda shindano la freestyle alaf akadakwa na wazee kabla hajashuka stage.
 
Donii alifariki mwaka huu mwezi wa tatu (May his soul rest in power) sijui nawezaje kuweka hizi nyimbo humu nnazo zote kwenye simu! Kuhusu King Kola (R.I.P) nlikuwa nyoka wake alikuwa ananituma sana viatu (njumu)akiwa anachezea waya mkali miaka hyo ya late 90's nkiwa shule ila ngwengwe haina baunsa ikambeba.....
Ktk wababe wa kipindi kile amebaki Idii Mkuluu, Elijah baunsa
Mkuu, unao na ule wimbo wa kichka cha nondo wa Bonta
 
Back
Top Bottom