Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Asante Kante,mchango wako katika dakika 45 hautasahaulika.Nenda na njano ila NYEUSI yako rangi itawachoma milele.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ZIFAHAMU SIFA ZA WASHIRIKI MISS TANZANIA KWA MWAKA HUU. Washiriki wote katika ngazi zote za mashindano watakuwa wasichana tu wenye Sifa zifuatazo; umri wa kati ya miaka 18 hadi miaka 24(mshiriki...
1 Reactions
103 Replies
21K Views
1. Baila by Diamond Platnumz Ft Miri Ben-Ari 2.Totoa by Aslay 3. Kiki ni Gigy by Gigy money Ft Whozu& Sanja 4.Nadekezwa by Mbosso 5. Banana by Dogo Janja Ni hayo tu kwa leo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za hapa jamvini, Naombeni yeyote mwenye wimbo wa Jastin Kalikawe unaosema "usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa yako mwenyewe" aniwekee hapa.] Nawasilisha.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nilikuwa nimekaa zangu pande flani mara akaja dada akauliza "Iv walioenda kupokea ndege wamesharudi? Maana mume wangu simuoni" Nimjibuje? @ Entertainment
1 Reactions
5 Replies
707 Views
Hakuna msanii anaweza kuwashinda hawa jamaa kwa michano na free style ni wakali sana hata kwa kuwasikiliza huwezi kujutia bahat yao mbaya watanzania hatuupi mziki wa hip hop kiapaumbele one mzee...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Wakuu! Kuna ile staili ya wachina wanashevu nywele mbele then nywele za nyuma wanazisuka zinakua kama nywele moja! Basi naomba tu share movie yoyote ile ambayo wameweka nywele kwa style hiyo.. Hua...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kuna wimbo wa 20% sijalijua jina lake bado, Ila anaanza kuimba maneno Haya "Nimeajiriwa Kwenye ajira niliyojiajiri, Na nasifiwa utendaji wangu wa kazi ni mzuri ..." Kisha churus yake anaimba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Aliyeandaa tamasha la Werrason Mwanza ala za uso ‘sileti tena msanii Mwanza’ Weekend hii mkoani Mwanza muandaaji wa Tamasta la Werrason amekula za uso baada ya mashabiki kuingia mitini katika...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Haya kwa wale matomaso chekini hii BEFORE and AFTER.
0 Reactions
2 Replies
950 Views
Vanessa Mdee na Barnaba wakitumbuiza jukwaani. Vanessa na Jux wakiperform Mtwara. Ni rasmi kuwa wasanii wa Tanzania, Vanessa Mdee na Juma Jux wanakua mfano wa kuigwa katika safari ya...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Mimi si shabiki wa skendo zako ila ni shabiki mkubwa wa mziki mzuri kitu ambacho umefanya kwenye wimbo huu congratulations kwa kweli!. Bonge la trap, hakika umeitendea haki beat umebadilika na...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
1.Malela,malela malela...maalela malela wangu namtafutax2 Mara ya kwanza nilisikia upo Kigoma...maalela malela wangu namtafuta alinikimbia mara ya mwisho tulionana mara baada ya kuishiwa
2 Reactions
27 Replies
7K Views
Ghafla nimezikumbuka nyimbo za jeshini, enzi zileee "safari ya mamaa naiombea baraka, safari ya mamaa naiombea baraka, nilimwambia mama, kwa heri nakwenda, kulijenga taifa langu la leo, hiyooo...
3 Reactions
71 Replies
24K Views
Habari ndugu zangu' Naomba msaada wa anayefahamu kuhusu soko la bongo movie kwa nchi za kenya na Rwanda, nina Movie na pia na mpango wa kutengeneza nyingi sana hivyo ningependa kujua soko likoje...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Miezi kadhaa tokea ameachia hii nyimbo nimekuwa nikiiskiliza mara kwa mara bila kuchoka, kitu nlichokigundua Huyu kijana ana Talent ya kipekee, na hii nyimbo ni nzuri sana Nyimbo hii...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Unakuta most of american Hollywood movies unakuta kuna sex action zimewekwa yaani watu wakifanya ngono hadharani mbele ya kamera Na hali wakijua wanaonekana Na wazazi wao Na Ndugu. Nafikiri hii...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Hivi karibuni Katibu mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Bwn. Mngereza alitoa kauli na onyo kwa wasanii wa kizazi kipya kuwa waangalifu na kufuata sheria za nchi bila kukiuka maadili ya...
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Audio Mpya ya Kwake LAVA LAVA, Wimbo Unaitwa "NIMEKUCHAGUA" DOWNLOAD HAPA AUDIO : Lava Lava - Nimekuchagua | DOWNLOAD Mp3 SONG - MTIKISO ENTERTAINMENT
0 Reactions
0 Replies
14K Views
Back
Top Bottom