historia ya mwanamuziki peter crazy
Mei 19, 2018
peter crazy
peter crazy ni jina la kisanaa la kijana anaeitwa peter msuku ambae ni mwanamuziki wa miondoko ya rap na mwandishi wa nyimbo...
Salaam jana jf
Katika pita pita zangu kwenye youtube nimekutana na hii video ya Katy Perry, ni video ambayo ina matukio mengi na ya kusisimua. Mpaka sasa hivi ina viewers 2.3 billions. Director wa...
Kama unakipaji cha kuimba muziki na unataka kuwa kama, au kuimba na msanii yeyote superstar TANZANIA na AFRICA unaweza kutumia simu yako ya mkononi kujirecord video au audio clips kisha unatag...
WAJANJA WOTE WA MJINI WANAITAZAMA SERIES KALI YA VICHEKESHO VYA 'BAKORA' KUPITIA CHANNEL YAKO PENDWA YA 'BONGO SINEMA' YOUTUBE JE WEWE UNASUBIRI NINI? EBU ANGALIA KISHA UNIPE MAWAZO YAKO KUHUSU...
Dán Phim Cách Nhiệt Nhà Kính Có Ảnh Hưởng Đến Cây Cối Trong Nhà Không
Rất nhiều khách hàng khi đang có ý định dán phim cách nhiệt nhà kính băn khoăn không biết liệu sử dụng phim cách nhiệt có ảnh...
Habari wana jf,hii ni thread maalumu kwa ajili ya wapenzi wote na wafatiliaji wa tamthilia pendwa inayooneshwa na Azam Tv katika channel yake ya Azam 2 kila saa 3 na nusu usiku juma tatu hadi...
Habarini wanajamvi.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza natafuta nyimbo ya zamani enzi hzo inaitwa kivumbi na jasho naomba antumie au ataje jina la band iliyoiimba.
DIAMOND PLATNUMZ - SINIZA
Ni nyimbo ambayo haijatoka rasmi ila ni nzuri sana, aina hii ya Bongo flavour ni muziki halisia wa kitanzania.
Jaribu kuisikiliza hapa na toa maoni yako
Wakuu kuna wimbo nausikia unapigwa sana una mashairi " Walle walle! Tell me!! Tell me !! As you like ooh as you like !! ". Umeimbwa na nani please huu wimbo na unaitwaje ...
USALITI WA KIAPO
Mtunzi – Nea Makala
Sehemu ya 1
+255 713 373731
TONY ni kijana mtanashati na mwenye muonekano maridhawa, tabasamu lake limekuwa likihadaa nyoyo za wasichana wengi. Sauti yake...
leo nilikuwa napekua makabrasha ya zamani ya movie nikaikuta hii movie ya ORIGINAL SIN,Angelina Jolie na Anthony Banderas,bonge moja la joint,kwa ambae hajaiona na anapenda movie kali ajaribu...
Namsikiliza hapa kwenye uchambuzi wa Simba v Kagera ... katumia neno “improvisation”[emoji23][emoji23] kuelezea movement na kitendo alichofanya Kichuya kipindi hiki cha pili. Nachotaka kujua huyu...
The Odessa Classics music festival in June aims to promote Ukraine internationally while highlighting Odesa's credentials as one of the classical music capitals of Eastern Europe. The iconic...
JUMA HIZA
PENZI LILILOSABABISHA MAUTI-01
Based on True Story.
0712988278
Niliamua kufunga pingu za maisha na Julieth kwasababu alikuwa ni mwanamke niliyempenda sana. Alikidhi kila aina ya vigezo...
Hii ngoma sichoki kuisikiliza, imeshiba kila mtu ameonyesha uwezo wake, ama kweli hapa wamekutana wababe, Khaligraph Jones amezoea kuwaonea wasanii anapofanya kolabo ila kwa mara ya kwanza hapa...
Ni kama wiki moja hivi imepita ambapo tundaman amefanya kitu ambacho ni for the first time in TZ music industry, amerelease videos 3 mpya za ngoma zake kwa wakati mmoja. Katik hizo ngoma,binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.