Kuna habali nimekutana leo katika .kuperooz .hizi ndio bar zinazoongoza kuwa na wateja wengi vijana na wazee kuliko zingine.....
1.Corner bar...hii bar ipo sinza ndiyo bar inayoongoza kuwa na...
Baba wa Msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba, Mzee Saleh Kiba amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospitali ya Taifa Ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Taarifa zaidi za mipango ya...
BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo Next Level Wazee wa Kizigo, imeibomoa bendi ya African Stars Twanga Pepeta kwa kuwachukua wanamuziki Kalala Junior na Khalid Chuma Chokoraa...
Habari za Jioni wadau,
Leo nawaletea mjadala unaendelea katika vyombo vya habari nchini Kenya. Yapata wiki sasa kumekuwepo na mjadala motomoto huko Kenya, wakijadili kutokucheza miziki ya wageni...
INASISIMUA NA KUTISHA ILA INAFUNDISHA
Katika kijiji cha Matare wilaya ya Mugumu
Serengeti, bwana Wambura alikamatwa kwa kesi
ya kusingiziwa na kuhukumiwa kwenda jela
miaka mitatu. Huku nyuma...
Napenda video zake zinafurahisha. Ni actual original videos Ila maneno sio original yaliyozungumzwa kwenye tukio. ni sauti na maneno ambayo yanapandikizwa kwa kuangalia matendo na midomo ya...
Mwanzoni nilivyoisikiliza, nikajua anamdiss video queen, Tunda.
Baada ya kuusikiliza sana, nimekuja kuhisi ni kama anamdiss young dee hasa katika verse ya mwisho.
Je wewe mdau, umeuelwaje wimbo...
Jamani naomba kuuliza huku jukwaani, nina ps 4 yangu haijahackiwa, nataka kununua game online, lakini nchi ya Tanzania haiko kwenye listi. naomba wajuzi wa mambo haya wanisaidie, ukunipa idea mm...
Habari za siku nyingi wakuu wangu...Heri ya mwaka mpya....
Baada ya kipindi kirefu cha kutokuwa hewani leo nimeona tuanze awamu nyingine ya 'Enzi Hizo' ambapo tunapata fursa ya kuzikumbuka nyimbo...
Wakuu, heshima zenu...Naulizia chimbo ninaloweza kupata vinywaji na nyama choma DODOMA.
Chimbo lilipo mitaa ya kati mjini au na maeno ya karibu.
Lililochangamka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu...
Michael Jackson enzi za uhai wake alipata kutoa vibao mbalimbali mojawapo kikiwa ni Liberian Girl ambacho ndani yake kuna maneno adhimu ya lugha ya Kiswahili, Nakutaka pia...
Mshambuliaji wa mabingwa wa kihistoria Tanzania @heritier_ebenezer ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Mwadui Fc kutokana na kuwa na kadi tatu za njano.
Tofauti na inavyosambaa kwenye mitandao ya...
Chikupe kuongeza nguvu Yanga dhidi ya Mwadui Fc kesho
Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili, vinara wa ligi kuu ya Tanzania Bara Yanga kesho wanarejea 'mzigoni' kwa kuumana na Mwadui fc...
KUTOKA NDONDO CUP HADI MAJARIBIO SOUTH AFRICA
.
Ukimuuliza Kelvin Sabato 'Kiduku' Kongwe (jezi namba 7 pichani) kuhusu safari yake ya soka lazima ataitaja Ndondo Cup. Ndio, ukipata fursa hiyo...
-Kamati ya Nidhamu ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) imesema Beki wa kati wa klabu ya Yanga, Andrew Vicent Dante hana kesi ya kujibu kwenye kamati hiyo kuhusu kumpiga kichwa mwamuzi wa mchezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.