Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu,kwa mara nyingine nakuja mbele zenu nikitumai nyote mko salama,rejea kichwa cha habari hapo juu.Nimekuwa nikitumia jina langu halisi katika kuwasilisha mada/hoja na pia kuchangia nyuzi mbali...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Nakumbuka miaka ya 1989-93,nilizamia mbuguni now MERERANI kwenda kusaka TANZANITE, nilishawishika kwenda huko baada ya kuona rafiki zangu niliosoma nao wanaporudi mtaani wakifanya kufuru ya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa masikitiko makubwa leo sisikii kipindi cha Pachanga hapa TBC FM 90.0 MHz (Dsm) Pachanga ni kipindi kinachopiga miziki ya dansi ya ndani ya nchi yetu Tanzania na kimekua msaada mkubwa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza kabisa niwapongeze viongozi makocha na shukraaani za dhati kabisa ziwaendee wachezaji wote wa Simba sc Pili Viongozi Tutengenezeeni sticka rasmi za magari nk zenye maandishi THIS IS SIMBA...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
I am posting this movie, thinking that it will teach, it has many lessons: mistakes, pride,trust, enemy, etc.,
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Manara vs shafii Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Blind fold yourself .. The outside is beautiful but will kill you
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Najua wengi humu ni wadau wakubwa wa Clouds Media Group CMG, Hivyo nimeamua kuanzisha uzi huu uwe mahususi kwa ajili ya wadau waote wa Clouds popote walipo duniani, chochote kile ulichonacho...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu naombeni msaada wa kupewa links za kudownloads horror movies. nataka nidownload hii. The NUN Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nikianza na Muziki,kwa kipindi cha nyuma muziki wa Dansi(ya ukweli) ulikuwa umeshamiri sana nchini kwetu kiasi kwamba enzi hizo redioni ilikuwa ni mwendo wa muziki wa Dansi tu. Kuna baadhi ya...
2 Reactions
183 Replies
60K Views
nipeni wasaanii japo watano wakali wa hiphop tz. kwa wadau 2 mi cmjui ney wa mitego
1 Reactions
75 Replies
25K Views
Kata tiketi yako mapema Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
STRAIKA wa timu ya KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta atatua katika Klabu ya Middlesbrough ya England endapo klabu hiyo ikitoa kiasi cha Euro milioni 6.5 (bilioni 17) ambayo ndiyo thamani ya...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
MAKOSA KIFRIKA KATIKA WIMBO WA PROF JAY “NIKUSAIDIAJE” Nikusaidiaje ni wimbo ulioandikwa na msanii wa bongo flavor anayekwenda kwa jina la prof jay akimshirikisha ferooz ni matumaini yangu wengi...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
SIMULIZI;MAPENZI YA KICHAWI. MTUNZI;RAJA SAIDY. WHATSAPP;0756920739. SMS;0621047841. SEHEMU YA TATU ( 3 ) ILIPOISHIA.... Nilianza kumuachia Mama pole pole kwa kumtega ili aanguke kitandani...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Ninaposikiliza huu wimbo machozi huwa yananitoka. Napenda kuusikiliza muda wote na una niweka karibu na roho mtakatifu. Umebarikiwa mama bikira mama maria ,mama wa mwokozi yesu kristo. Kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tukio la Mawaziri kuapishwa,nimekuta limeisha ila nimekuta ndo Mh.Rais anapiga nao picha,lakini katika niliowaona nimemuona Mzee wa siku nyingi sana aliyewahi kushika nyadhifa mbali mbali katika...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
PENZI LA SHEMEJI sehem ya 1 " Naomba umsindikize shemeji yako tafadhali Jun" alinambia kaka " Haina tatizo kaka" nikamjibu kaka Niliingia chumbani na kuwaza sana namna nitakavyofanya ili...
1 Reactions
14 Replies
23K Views
Back
Top Bottom