Jos huu Mtambo ulikuwa unakoea wapi ukosefu wa promo?

Jos huu Mtambo ulikuwa unakoea wapi ukosefu wa promo?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,320
Reaction score
23,237
kwa wale wapenzi wa michano mnakumbuka mtambo? jos mtambo toka kigambo- nino? jamaa alikuwa anachana toka kitambo na wimbo wake wa kidhaa dhaa... mbona alikuwa anachana fesh sana? nini tatizo hakuwa ku fly so high ktk michano? mshkaji mi mpaka leo huwa namsikiliza najiuliza alikuwa anakosea wapi? umesikia roho saba? msela kachana kinoma akiwakumbuka machizi kibao kama D Rob n.k ame flow kinyama yaani kwa speed safi kabisa ya km 100 kwa saa. umekisikia kibao cha Unaonaje?

huyu jamaa kizazi cha miaka ya 2000s hawamfahamu.
 
Nimejaribu kudownload HATAKI YouTube haupo. Cjui naupataje
kwa wale wapenzi wa michano mnakumbuka mtambo? jos mtambo toka kigambo- nino? jamaa alikuwa anachana toka kitambo na wimbo wake wa kidhaa dhaa... mbona alikuwa anachana fesh sana? nini tatizo hakuwa ku fly so high ktk michano? mshkaji mi mpaka leo huwa namsikiliza najiuliza alikuwa anakosea wapi? umesikia roho saba? msela kachana kinoma akiwakumbuka machizi kibao kama D Rob n.k ame flow kinyama yaani kwa speed safi kabisa ya km 100 kwa saa. umekisikia kibao cha Unaonaje?

huyu jamaa kizazi cha miaka ya 2000s hawamfahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom