Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,814
Yupo clouds now XXL najiulizaga maswali mengi huyu jamaa anaishi maisha gani mbona haonekani kabisa yani maisha yake hayajulikani yalivyo japo kuna tetesi alikuwa anavuta unga lakini now anasikika poa sana na anaoenekana yuko poa ktk maongezi yake
Kuitwa msanii lazima udeal na media au na washikaji zake wasanii hata picha zake za bata na washikaji holaaa...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuitwa msanii lazima udeal na media au na washikaji zake wasanii hata picha zake za bata na washikaji holaaa...!
Sent using Jamii Forums mobile app