Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Jirani msamaria mwema alipiga simu namba 116 Kituo cha Huduma ya Simu kwa Mtoto baada ya kushuhudia tendo la ulawiti katika kituo cha kulelea watoto kilichopo jirani na makazi yake. Aliendelea...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari,nahitaji kufahamu taratibu za kufungua kituo cha michezo kwaajili ya mafunzo ya kung-fu kwa watoto,msaada!! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imenibidi nikumbuke filamu hii ya FIMBO YA MNYONGE maarufu YOMBA YOMBA hasa nikiangalia sinema zetu hizi sasa za wanaojiita 'mastaa' wa bongo movie. ni sinema ya siku nyigi lakini ilikuwa maarufu...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Bongofleva kwa sasa imesheheni wasanii wengi na wakali, kila siku zinatoka nyimbo nzuri na kali zenye ujazo wa haja. Nyingi ya hizo nyimbo huwa na verse kuanzia 2 na kuendelea na huwa hazizidi 4...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
SEHEMU YA 1. Ndege kubwa toka shirika la ndege duniani Qutar ilionekana ikitafuta uelekeo mzuri wa kutua ndani ya uwanja wa kimataifa wa Hamid karzai international airport ndani ya mji wa kabul...
7 Reactions
94 Replies
13K Views
kwa wale wapenzi wa michano mnakumbuka mtambo? jos mtambo toka kigambo- nino? jamaa alikuwa anachana toka kitambo na wimbo wake wa kidhaa dhaa... mbona alikuwa anachana fesh sana? nini tatizo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
RIWAYA: KONSTEBO NGUZU NA: George Iron Mosenya "Nimekosa magoli zaidi ya 9000 katika maisha yangu, nimepoteza mechi zaidi ya 300 katika maisha yangu, niliaminiwa mara 26 kuwa nitaipatia timu...
7 Reactions
70 Replies
9K Views
SEHEMU YA 01-Nyemo Chilongani “Unahitaji kuwa nani baadaye?” lilikuwa swali la kwanza mzee Jackson Gwamaka alimuuliza binti yake aliyeitwa Nandy aliyekuwa akisoma darasa la sita katika Shule ya...
12 Reactions
403 Replies
64K Views
Huu wimbo unaitwa January unaeleza hali halisi ya January ilivyo karibu usikilize Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
902 Views
Sikuwahi kuzipenda muvi za Kihindi ila baada ya kuona trela la muvi iitwayo I, nikaamua kuidownload, imeigizwa mwaka huu, nilitaka kuona inahusu nini. Kiukweli niliipenda mno, hebu ngoja...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Msichana Josie anatarajiwa kuolewa na jamaa aliyeitwa Liam, moyo wake una furaha sana, anapambwa, anajiandaa kwenda kufunga ndoa kanisani. Baada ya dakika kadhaa wanaingia marafiki wa mume...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Muvi moja kali sana. Hebu itafute uone jinsi watoto mapacha saba wanavyoishi maisha ya kujificha tu ndani. Babu wao hakutaka wagundulike kwani wote wangeuawa na kubakizwa mmoja tu. Wakati...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Enzi ya Mwalimu kulikuwa na majengo kumbi maarufu jijini dar... Tukianzia pale Morogoro road na Msimbazi kulikuwa na kumbi maarufu ya wazee waliopigana vita na mkoroni jina la ukumbi ulikuwa...
1 Reactions
5 Replies
975 Views
Nyemo Chilongani Bupe Wowowo Ukiniambia nimuelezee msichana huyu, cha kwanza nitaanza na macho yake. Ni msichana mrembo, asiyeisha hamu hata ukikaa na kumwangalia. Alikuwa na umbo namba nane...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Zanzibar approved now added as Member of association CAF
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeifuatilia sana hii tamthilia ya Huba ambayo inarushwa dstv Kiukweli ni moja ya tamthilia bora kwa sasa kuanzia story,script,production, location plus make ups na effects Upande wa costume...
1 Reactions
10 Replies
8K Views
Kama kawaida yake, Lava Lava aachia ujio mpya kabisa uendalo kwa jina Tukaze Roho DOWNLOAD
0 Reactions
0 Replies
3K Views
SEHEMU YA 01 “Johnson! Naomba unisikilize, nisikilize kwanza,” alisema msichana mmoja, mrembo ambaye kwa kumwangalia, usingekuwa na maswali mengi kwamba alikuwa mmoja wa wasichana ambao baadaye...
4 Reactions
104 Replies
22K Views
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Komred Kheri James (MCC) amewaongoza viongozi na watendaji wa jumuiya hiyo ktk shughuli ya kukabidhi vifaa vipya navya kisasa kwa bendi yao ya Vijana Jazz ikiwa ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau mtakumbuka Msanii Daimond alimhudumia Msanii Hawa kwenda India kwa matibabu.Naamini Msanii Hawa karejea vipi anaendeleaje na afya yake? Tunaomba mwenye taarifa zake atujuze. Sent using...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom