profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,485
- 3,133
tukumbushane zamani kidogo,dsm kukikuwa na kumbi za cinema kama,empress,empire,newchox,avalon,cameo,odeon na drive in,,empress ndo ulikuwa ukumbi wa wajanja,hasa watoto wa ilala,kila jmosi kulikuwa na movie ya usiku mpaka asubuhi,watoto wa mtaani(changudoa)walikuwa wanajaa sana,cameo na odeon zilikuwa za wadosi,avalon na newchox ilikuwa mixer,na drive in,linajieleza lenyewe,,cijui wewe inakukumbusha nini?