Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hizi movie 1.avengers infinity war 2018 2.captain america the winter soldier Zimenivutia sana kama nyingne unafaham yenye maudhui kama yaliopo kweny movie hizo bandika hapa.
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Msanii pendwa wa muziki aina ya afro pop toka pande za Naija Timaya ametuletea ngoma mpya akiwa amemshirikisha Kingkiba ngoma inaitwa Number one inapatikana kwenye EP inayoitwa Chulo vibes hapa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Tumechelewa lakini bado hatujachelewa, mambo yanazini kunoga Otoman Empire, Basi hii ni Thread yetu maalum wa kupashana kinachoendelea kwenye Tamthilia hii inayorushwa na kituo cha Azam media kila...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Hebu tujikumbushe The way Back, music ulipokuwa ukibamba na watu kuuza kazi zao.
1 Reactions
29 Replies
13K Views
1. Jack Ryan > Kuipata nenda google andika Jack Ryan season 1 index (ukitumia operamin ni rahisi zaidi) 2. Ghoul > Kuipata nenda google andika Ghoul season 1 index (operamini ni rahisi zaidi) 3...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Naomba kujuzwa mahali ilipo WASAFI FM hapa dar, nackia ipo mbezi beach ila sijajua mbezi sehemu gani Nahitaji nipeleke ngoma yangu pale. Thanks
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huu wimbo ameutoa siku kama sita zilizopita , full kumsifia mwanaume anayemkuna sawa sawa.. Wangapi wamemwelewa huyu kwenye hii staili mpya anayoimba Wimbo Huo Huu Hapa:
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Kuna wimbo mmoja wa Diamond Sound unaitwa nadhani Valentine. Nimeutafuta sana sijaupata wadau, mwenye link please anaweza kushare hapa. Nakumbuka baadhi ya lyrics kama:” Jumamosii eeeeeeh...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Hellow habari zenu Nimeanza kujifunza kutengeneza beat miezi kama mitatu iliyopita nimetengeneza beat kadhaa zikiwemo hizi ebu nipeni ushauri wenu kitu gani kinamiss kufanya beat ikawa poa zaidi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wandugu. kuna tamthilia flani ya kichina inarushwa tbc imetafsiriwa kwa kiswahili....please naomba alie na hii series tuwasiliane...niko tayari kuchangia gharama kidogo..akipenda.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wapenzi wa muziki nadhani mnamkumbuka kijana wetu mwimbaji Wazir Sonyo .Ninaomba kujua yuko wapi na je anaendeleza kipaji chake cha uimbaji au ndio kapotea? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Siku Zote Mtu Anayefanya Mazoezi Katika Fani Yoyote Huishia Kuwa Bora Zaidi!. Sio siri hili kabila katka kuimba wanaimba, na wanafanya matamasha ambayo ni local, lakini kama mtu uko kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba Niulize hili jambo la kuomba Saini kwa watu maarufu kama wasanii au wachezaji na watu wengine hua ni kwa maana gani au lengo gani naomba nijulishwe. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
985 Views
Miaka yetu sisi tunasikiliza music pure, genuine not contaminated. Huwa nakumbuka mbali sana kiasi natamani nisikie na wenzangu kama walikuwa na zama kama hizi. Siku zote najiuliza. Wakati...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Kiufupi inahusu mwalimu wa chemistry alie na familia ya mke na watoto wawili gafla anagundulika ana kansa,,anajua amebakiwa na maisha mafupi, sasa anatafuta njia ya kuifanya familia yake ibaki na...
14 Reactions
85 Replies
11K Views
xpau.se wamebadili domain yao.Mwenye mpya naomba Anisaidie.wapenda movie wenzangu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
768 Views
UTANGULIZI Kila mafanikio yaonekanayo kwa kwa mtu kuna nyakati ngumu mtu huyo alizopitia mpaka kufikia hapo. Katika nyakati hizo ngumu mtu anazopitia ili kufikia mafanikio yake, kuna changamoto...
2 Reactions
62 Replies
11K Views
Huwa nausikia sana ila nashindwa kuju ni wa nani nidownload.Ukiusikiliza huwezi sikia hata neno moja ,na utadhani ni beat tu ila background ni wtoto wanapiga kelele Wazoefu walionielewa nautafuta...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Jamani, nini faida ya onyesho hili kwa taifa letu la leo, utamaduni wetu na vizazi vijavyo?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom