'hellow there................wanajamvi wote natumai ni wazima kabisa,mwenye mawasiliano na ENIKA naomba ani-check PM please nna shida nae muhimu sana kama unamfaham au ni mtu wako wa karibu...
ZA KUTWA MARAFIKI NA NDUGU ZANGU , UMUHIMU WA MALEZI YA MAMA HAYANA MFANO, NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA WAKINA MAMA NA WALEZI WOTE WANAOVAA UHUSIKA WA MZAZI KAMA MAMA WIKI NJEMA KWENU NA...
Zawadi bora kwa mama zetu kutoka kwa dada yetu Aunty Ezekiel (mama Cookie Iyobo)
Katika kuadhimisha siku ya mama duniani, Aunty Ezekiel amekuja na kitu kizuri kama zawadi kwa mama zetu popote...
Wakuu,,kuna background music flani ivi huwa inapigwa kwenye EATV Pale kipindi kikiwa kwa hewa afu wanaenda break asa ndo huwa inapigwa hiyo nyimbo kiduchu,,,ni ngoma flani ivi ya mbele,,, naomba...
Kweli hii dunia kutesa kwa zamu. Yanga ilokuwa inamwaga mipesa kwa usajili wa wachezaj enz hzo Tp Mazembe kashuha bongo tunaambiwa viingilio bure.
Yanga ya siku hizi ni kituko kwa...
Niwape pongezi azam media kwa hiki kipindi, ni kipindi bora kabisa na cha kuvutia, kina uhalisia kabisa wa mziki hasa wa kitanzania kipindi hicho.
Ni "live band" ya nguvu, ni pongeze UTALII BAND...
Husikeni na somo tajwa hapo juu. Haya mashindando ambayo yalikuwa yanahusisha nchi tofauti za afrika mashariki yameishia wapi? Mashindano haya yalikuwa ni burudani murua na yalikuwa yanaonyesha...
ijumaa njema kwa wote tulio weza kuiona.ila leo katika kazi nimeona bora kuwasha tv ofisini nika weka tv moja,kwa hapa jijini ndio tv inayo weza kukupandisha na kukushusha katika tasinia za sanaa...
Kazi yake ya bodaboda, uaminifu, ustaarabu na upole aliokuwa nao kwa wateja wake ndiyo hasa uliomfanya Joakim kuwa na wateja wengi sana katika eneo lake la kazi (Kijiwe kama wengi wanavyoita)...
Movie hii inaitwa Legend of the husband seeker ni hatariii.
Kama mpo tayari niitupie wakuuu naamini hujawai kuiona, mzigo umevuja mastaa kibao wapo
Ebitoke kacheza kama msaidizi mpya wa princess...
Mara baada ya kutrend sana couple ya Ebitoke kumpenda Ben Pol na kisha kujiita "EbiPol" Sasa ni zamu ya Billnass & Nandy mara baada ya kuvuja kwa video yao wakiwa Falagha Mashabiki zao...
Yani wasanii wetu bongo nashindwa elewa sijui ni huku Tanzania au na mbele
Maana MTU anakuja tutangazia kutolewa bikira [emoji15] [emoji15]
Hebu sikia utumbo wa hiki ki Dada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.