Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari zenu kila mmoja samahani naulizia kikundi cha kujifunza sanaa ya maigizo kinacho patikana maeneo ya mikocheni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SIMULIZI;NAACHA UCHAWI. MTUNZI;RAJA SADY. WHATSAPP;0756920739. SMS;0621047841. SEHEMU YA KWANZA ( 01 ) ANZA NAYO.... Napenda kuwasimulia kisa hichi ili nanyinyi wenye mipango ya kuwa wachawi...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nani alie na zile volume za Colombo,ni miziki ambayo ilikuwa ikitoka kwa volume kama kuna mwenye nayo ile volume 2 anisaidie. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Nyimbo mpya kabisa alikiba akishirikiana Timaya msanii kutoka Nigeria To be honest alikiba anajua jamani, ngoja nikuache usikilize mwenyewe kwenye link hapo chini. Sent using Jamii Forums...
4 Reactions
31 Replies
8K Views
  • Poll Poll
Kwa wale wenzangu wapenzi wa miziki ya lingala,naomba view zenu.Mimi binafsi ninawakubali sana hawa wasanii wote wawili kiasi ninashindwa kuamua yupi zaidi.Naomba mtazamo wako,nani mkali zaidi...
1 Reactions
79 Replies
27K Views
tukumbushane zamani kidogo,dsm kukikuwa na kumbi za cinema kama,empress,empire,newchox,avalon,cameo,odeon na drive in,,empress ndo ulikuwa ukumbi wa wajanja,hasa watoto wa ilala,kila jmosi...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Niliona uzi humu kuwa mwanaume unaanzaje kuangalia Sultan kama sio tabia za kike, ikanibidi nicheke kwanza na kumuona yule aliyeleta ule uzi na waliokuwa wanamsupport hawana akili timamu na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa ambae hajui mkasa huu upo hivi: Team inayoshiriki ligi kuu ya uingereza cardiff city ilikubaliana transfer ya mchezaji wa nantes ya ufaransa Emiliano Sala. Mazungumzo yote yalikamilika mpaka...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale walowahi kuangalia kipindi cha straight talk Africa cha Shaka Ssali Ile soundtrack kipindi kinapoanza na kuisha ni ya nyimbo gani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukisikiliza hii nyimbo kuanzia mpangilio wa sauti, ala zake zilivyopigwa humo ndani,namna walivyokuwa wanapishana humo ndan Bob Marley na Lauryn Hill na namna mashairi yalivyopangiliwa humo ndani...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
habari ndugu kama kuna mtu anajua location sehem wanauza Cd movie or series latest hapa ambazo hazitafsiriwa na hawa madj kwa hapa dar es salaam Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni movie iliyozinduliwa september mwaka huu ikiwa na maudhui na muendelezo wa Conjuring, kama wewe ni muoga kaa mbali.
4 Reactions
218 Replies
41K Views
Habari wakuu, Nasikitika kusema kwamba BIKO SPORTS HAWAKO FAIR. Mtu akijisajili kwao hakuna namna ya ku unsubscribe kupata notifications pale kwenye website yao. Wamekuwa wanatuma sana message...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Kwa wale wapenzi wa salsa tukumbushane enzi za hawa jamaa.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ukisikiliza mziki wa Lucky Dube vizuri utagundua kamshinda Bob Marley kwa vitu vingi,sauti,beats,ingawa kiujumbe wanafanana,ila mziki wa Lucky Dube unavutia zaidi ukisikiliza. Nadhani Bob Marley...
12 Reactions
132 Replies
33K Views
NILIOLEWA NA JINI BILA YA KUTARAJIA 1: Ilikuwa kwenye mida ya saa mbili usiku wakati tumekaaa kwaajili ya chakula cha usiku. Wakati nakula simu yangu ikaita kuangalia mpigaji ni mpenzi wangu Sam...
1 Reactions
8 Replies
58K Views
Wakuu....ni channel gani ya startimes unaipenda? mimi naipenda sana st plus (startimes plus nambari 119) Hata wakiondoa channels zote hii wakiiacha sina tatizo.......naipenda sn maana ni series...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Mtunzi Juma hiza 01 Suzani alikuwa amejifungia chumbani kwake, wakati huo alikuwa akilia kwa uchungu. Hakutaka kuamini kile kilichokuwa kimetokea katika maisha yake.Mkononi mwake...
9 Reactions
92 Replies
11K Views
Tunalipia pesa nyingi ila tunaona channel chache,kwanini hamtaki kufanya utaratibu wa kuturudishia channel za nyumbani na pia muongeze channel za movie,music,wrestling badilikeni Sent using Jamii...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom