Vipi dada mbona umefurahi hivyo?
Ule wa chaka Demus?Kwa mbaaali kama murder she wrote ila hilo la huo wimbo umeweka ni baya
Ndio mbaliziUle wa chaka Demus?
HatariiiHahahaha ngoja niusikilize huo uliotaja
PoaNdio mbalizi
Atakuwa ni "Mr. Vegas" wimbo unaitwa "heads high"
Shukrani mkuu ndio wenyewe aisee.Dah wee noma ,nakupa na like yakoAtakuwa ni "Mr. Vegas" wimbo unaitwa "heads high"
Jaribu halafu unambie kama sio huo niulize tena machale yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Machale yangu huwa hayadanganyi......Shukrani mkuu ndio wenyewe aisee.Dah wee noma ,nakupa na like yako
Niambie tuMachale yangu huwa hayadanganyi......
Au unataka nikwambie kabisa na future yako utaishia wapi, na huko nipo vizuri sana........
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi unipe details muhimu......zitanipa blueprint ya ramani ya future yakoNiambie tu