Guys!
Namshukuru Mungu kwa kufanikisha hili. Kitabu cha Dili la Dola Bilioni Nne nimekabidhiwa, kimeprintiwa vizuri mno, nitaanza kazi ya kuwafikishia wasomaji keaho. Nitaanzia Bunju, Tegeta...
Kwanini Mimi
Mtunzi : Daniel John Mtambo
SEHEMU YA KWANZA (I)
Kila Jambo linalokukuta ktk maisha Ni makusudi ya Mungu.
Kijana Moja Aliyeitwa Aizaki John alikua Na elimu ya uhasibu ngazi...
Poleni na mihangaiko wadau wa jukwaa hili.
Miaka ya nyuma TID aliwah kutoa wimbo kuhusu Ukimwi.Kuna mtu anaufahamu jina au mtu mwenye nao anaweza share na sisi hapa.
Umoja na mshikamano ndio nguzo. . . . Majizzo aahidi kuisaidia Clouds Media Group katika kuziba pengo la mkurugenzi wa vipindi marehemu Ruge Mutahaba kioparesheni mbaka pale watakapopata mtu...
Kwa wale ambao wanaona DSTV ni bei sana kwa mwezi njo uku abu dhabi tv network ambayo unanunua dikoda inaitwa Humax yenye kuchukua two smart cards ya barclays kwa ajili ya english premier league...
samahani wadau muda mrefu sana nautafuta wimbo unaitwa CHANDE waliimba band inaitwa TAM TAM au DOUBLE M kama sikosei wakina mwinjuma muumin,Badi bakule, n.k natanguliza shukrani
Huyu jamaa Dude kapewa kipaji na akili nyingi...ni moja kati ya waigizaji waliokuja na mbinu zao na ubunifu wao...wakapotea alafu wakarudi na kasi ya ajabu...huyu mtu yupo vizuri balaa...
Stories...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.