Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimefika jijini Tanga, ni siku nne sasa zimeshapita.Nimepambana na shughuli zilizonileta, na wiki endi hii nataka nikajichanganye na popo wenzangu kwenye Night clubs. Wenyeji wa Tanga tafadhali...
0 Reactions
41 Replies
29K Views
Habari members, kwenye pitapita mtandaoni nimekupta na website ya kusoma hadithi na kuingiza pesa kwa shirikisha watu kujiunga na kupata sh 1200 kwa kila anayejiunga na kulipia sh 3000 kwa siku...
0 Reactions
1 Replies
798 Views
Wakuu ninataka inunue kin'amuzi, lakini sijajua kati ya hivi kipi ni king'amuzi kizuri DSTV AZAM Continental Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wadau tupeane movie kali za mapigano za mwaka huu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Muziki wa dansi hakika Unarejea mdogo mdogo kwenye Hadhi yake kama ilivyokuwa zamani,pamoja na kupotezwa na Wadau ili muziki wa kizazi kipya ushike chati lakini ni faraja kubwa kwa Sisi wafia...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Kuna ile tamthilia ya betrayal ambayo huonyeshwa na azam two kila siku za j3 hadi ijumaa saa 3:30,kuna ule wimbo uliotumika mle ndani nimeupenda sana ila tatizo siujui wa nani....kama kuna mtu...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Naitwa Patrick Ck mwandishi wa simulizi mbali mbali kama vile MISS TANZANIA SERENA BEYOND PAIN BEFORE I DIE PENIELA THE FOOTBALL QUEEN MONICA I DIED TO SAVE PRESIDENT I WAS WRONG TEN CHAPTERS...
7 Reactions
11 Replies
4K Views
Hakuna kitu napenda sana, kama duet songs Hizi chini ni baadhi ya nipendazo, Tupia nawew uzipendazo.
1 Reactions
1 Replies
990 Views
Wakuu kama kuna mtu hajaziona hizi movies basi kwenye ulimwengu wa movies bado sana
1 Reactions
81 Replies
9K Views
Jana NetFlix imetoa taarifa nzuri na mbaya kwa wapenzi wote wa huduma zao. Taarifa mbaya ni kwamba kuna baadhi ya filamu na Tv Shows zitashushwa kwenye tovuti yao na taarifa nzuri ni kwamba Muvi...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Wanaume tuongee ukweli tu! Kwa upande wangu mimi hapo Miss angenisamehe tu! Nitatafuta mwingine
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Jaman wapenzi watazamaji wa vyombo vya habari (TV), Ni kwa nini nyimbo za DIAMOND PLATNUMZ hazipigwi kwenye EATV??. Kiukweli huwa nashindwa kuelewa. Hata kwenye vile vipindi vya "Top Ten na Bongo...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
MBIO ZA SAKAFUNI HUISHIA UKINGONI 1 Ulikuwa ni wakati wa chakula cha usiku. Waziri Mkuu Dastan Lazaro na familia yake ya watoto watatu Vero, Monica na Sofia pamoja mke wake Vicky walikuwa katika...
3 Reactions
42 Replies
9K Views
Kama kuna wadau wa azam TV naomba kuuliza mbona local Chanel za hapa nchini hazipatikani na taarifa za habari hamuoneshi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TU SHARE WEBSITE ZA SERIES ZA ASIA
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ama main character aliyetumia akili sana kwenye series ni MICHAEL SCOLFIELD jamaa alicheza vizuri sana series hii ila hata kwa ujumla mtuzi wa hii series alitumia akili kubwa sana achana na haya...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Mchezaji wa PSG na taifa la Brazil atakuwepo kwenye series ya Kihispania ijulikano Kama 'La casa de papel' au (Money Heist) Ikiwa bado kuna mazungumzo ya kumhamisha Neymar kutoka PSG kurudi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimeona nilete huu Uzi hapa kutokana na movie nlio kua naiangalia sijaielewa kabisa Ati movie imeigizwa maabusu Kuna ubao wa chaki .. he hili Ni kweli?
8 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom