alexmahone
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 482
- 408
Nimefika jijini Tanga, ni siku nne sasa zimeshapita.Nimepambana na shughuli zilizonileta, na wiki endi hii nataka nikajichanganye na popo wenzangu kwenye Night clubs.
Wenyeji wa Tanga tafadhali nijulisheni Night clubs kabambe, jumamosi ya leo nikabanjuke..
Wenyeji wa Tanga tafadhali nijulisheni Night clubs kabambe, jumamosi ya leo nikabanjuke..