Musa Simon
Member
- Mar 4, 2017
- 31
- 28
Jaman wapenzi watazamaji wa vyombo vya habari (TV), Ni kwa nini nyimbo za DIAMOND PLATNUMZ hazipigwi kwenye EATV??. Kiukweli huwa nashindwa kuelewa. Hata kwenye vile vipindi vya "Top Ten na Bongo Hits" ambavyo kimsingi hugusa wasanii wengi wakali sijaona. Tatizo nini au anakosea wapi??
Majibu Tafadhali!
Majibu Tafadhali!