Wapi unaiweka karata yako ( Joshua vs Ruiz, Dec 7th. The Clash of the Dûnes)? Haitokuwa kazi rahisi. Kwani wote wako fiti mnooo.. Ila pambano hili Ruiz anaingia na confidence wakati Joshua...
BADO NAKUPENDA SANA:08 aliendelea kupiga huku akinikera kwani ile simu yake ilipokua ikiingia niliisikia milio masikioni kwangu, lakini sikujali niliendelea kuongea na Hansy tena kwa amani zote...
BADO NAKUPENDA SANA:07
ili nipoteze muda, nikakuta voice note yaani ujumbe wa sauti kutoka kwa aliyekuwa mpenzi wangu "usinifanyie hivyo mama sahau yaliyopita au nikopeshe basi. "Safari hii...
BADO NAKUPENDA SANA :06
anafanya mishe gani maana alikuwa hashauriki kifupi mtu wa kuchagua kazi,
Nilipokuwa sijamjibu alisema "mama, umeninunia mwanao, Nisamehe basi na wewe siunajua mimi...
BADO NAKUPENDA SANA :05
Sikutaka kubishana sana na Hansy, nilikubali na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana ilinibidi niage, nilitembea hatua chache akaniita kwa unyonge "Ney. " Nami nilisimama na...
Najaribu kufuatilia show ya Wasafi Festival grand finaly, what I see jamaa bado wana long way to go.
Kuna matchup na Fiesta maana hata arrangement yao ni hovyo plus wasanii wao wengi ni wale Old...
Rayvanny wa I Love You sio yule wa Kwetu na Natafuta Kiki.
Mbosso wa Ate sio yule wa Hodari na Maajabu.
Lavalava wa Tekenya sio yule tulomzoea wa mapini makali kama Bora Tuachane na Niuwe.
Hivi...
Wimbo maalumu kwa wapendanao. Mtag yoyote umpendae hapa. Wa kwangu nita mtag mwishoni kabisa mwa comments zote
I Love You – Rayvanny Lyrics, Letra:
Ilikuwa safari ndefu yenye mateso
Machozi...
Kwa wale wote die hard fans wa Konde Boy,Konde Gang aka Jeshiiiii kwanza cheers....
Yakiwa yamebaki masaa machache kabla ya dunia ya bongo fleva haijashuhudia kichupa kikali cha kufungia...
Habari za wikiendi wanaforum.
Kwa wenzangu tunaopenda kwenye kurelax night club wikiendi.Naomba kufahamishwa nightclub zenye strippers ( Hottest sex dancing babies kwenye box).
Please let me...
Msanii Alikiba amefanya tamasha lake la Alikiba Unforgettable Tour, ambalo ni sehemu ya kuazimisha miaka yake 17 kwenye muziki, na ameanza Tabora usiku wa kuamkia leo Desemba 1, 2019 kwenye uwanja...