Rhumba Member Sep 26, 2018 6 7 Dec 5, 2019 #1 Jana tumepiga pombe hapa home kinoma..tukachinja na mbuzi tukachoma nyama tumekula fresh...Cha ajabu tumeamka asubuhi tumemkuta yule mbuzi yupo hai...ila nimeshangaa mbwa hatumuoni sijui atakuwa wapi...???!
Jana tumepiga pombe hapa home kinoma..tukachinja na mbuzi tukachoma nyama tumekula fresh...Cha ajabu tumeamka asubuhi tumemkuta yule mbuzi yupo hai...ila nimeshangaa mbwa hatumuoni sijui atakuwa wapi...???!
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,634 697,845 Dec 5, 2019 #2 Kaenda kudanga mtaa wa pili Rhumba said: Jana tumepiga pombe hapa home kinoma..tukachinja na mbuzi tukachoma nyama tumekula fresh...Cha ajabu tumeamka asubuhi tumemkuta yule mbuzi yupo hai...ila nimeshangaa mbwa hatumuoni sijui atakuwa wapi...???! Click to expand...
Kaenda kudanga mtaa wa pili Rhumba said: Jana tumepiga pombe hapa home kinoma..tukachinja na mbuzi tukachoma nyama tumekula fresh...Cha ajabu tumeamka asubuhi tumemkuta yule mbuzi yupo hai...ila nimeshangaa mbwa hatumuoni sijui atakuwa wapi...???! Click to expand...