Mabibi na mabwana Maalim karidhia serikali ya umoja wa kitaifa. Pamoja na yote Maalim si wa kubeza.
Karibuni kwenye mwendelezo wa tungo hizi waungwana:
Ninaamini Seif kaipigania Zanzibar...
Moja kati ya wizara ambazo kwa kipindi cha kwanza cha awamu ya tano binafsi naona haijaleta mabadiliko basi ni Wizara ya Habari, Sanaa na Michezo chini ya Dr H Mwakyembe na naibu wake Mh Juliana...
Stress ni pale unapompa msichana lift halafu akazimia ndani ya gari yako na humjui wala hujui kwao. Ulimkuta tu njiani ukamsaidia.!
Noma zaidi ni pale unapoamua kumpeleka huyo msichana hospitali...
Nina link itakayokuwezesha kupata nyimbo pendwa za kongo za wasanii wakongwe.na utazidownlod kwa single click tu...yaani haina maelezo au mbwembwe zisizo na sababu..kwa wanaohitaji lakini..kama...
nimetoka kuingalia filamu ya 'Dragons Forever' ya kina Jackie Chan, Sammo Hung na Yuen Biao hivi punde kupitia Rembo tv. dah, nimekumbuka mbali sana........ucheshi, uchangamfu na uhalisia uliopo...
Merry mtoto wa mzee juana kitambo tunajuana, sio juzi wala jana hatujawahi kuzinguana....Zaidi ya kuniamsha hari yakuzidi kufanya...
pindi napo kuchambua hakuna nachotoa zaidi ya mbegu jinsi...
SISTER MURCIA.
NA HEMED MAYUGU.
NO. (01).
Ni sister ambaye alikuwa na upako mkubwa na
inasadikika alikuwa na uwezo wa kuomba chochote
na mungu akamtekelezea. hata kama alikuwa na
njaa yeye...
Kwa ufupi mwaka huu pamoja na kuwa wa mabalaa ila kwa upande wa burudani hasa mziki imesonga kama kawa. Shiriki nasi wimbo zilizobamba sana kwako kwa mwaka huu.
Mimi: Dear God; - DAX
Lyrics;
I...
Unajua kila alfajiri hapa nchini Ujerumani ninafungua kamgahawa kangu; ni kagari nimekafanya mgahawa unaotembea.
Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu...
Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “Shikamoo ” Hata Kama ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili ni bonge moja la Sebene kwa Kila...
Sehemu ya 01
Mtunzi: Ally Katalambula
Ndoa ni kama jumba au ngome yenye siri kubwa, waliopo ndani wanataka kutoka nje na walioko nje wanatamani kuingia ndani. Waliotoka kwa makosa ya kujitakia...
SEHEMU YA 01
Nilikuwa bado kijana na umri wangu ulikuwa wastani wa miaka ishirini na mitano. Sikuwa nimepata elimu ya kutosha baada ya wazazi wangu wote wawili kufariki dunia wakati nikiwa...
Wakuu GT,
Mara kadhaa nimesikia kuhusu shindano hili la Miss Tanzania nilikuwa naomba kufahamishwa faida yake katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kitamaduni.
Pia taifa kuwa na Miss linafaidika...
Simulizi : Bahari Ya Hindi
Sehemu Ya Kwanza (1)
Ilionekana gari moja aina ya Mark II (old model) ya kizamani,ikipaki nje ya geti la kuingilia bandarini….wakashuka watu wawili,,Mwanaume mmoja na...
Daa
Hii movie nimeiona miaka nyuma kidogo sijui inaitwa je,ipo hivi
Kuna mama alikuwa analea watoto, sasa pale kwake kuna maabara flani doctor alikuwa anafanya utafiti,
Kuna siku doctor...