fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
Unajua kila alfajiri hapa nchini Ujerumani ninafungua kamgahawa kangu; ni kagari nimekafanya mgahawa unaotembea.
Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu, nikaamua nipaki gari langu aina Fiat ndogo.
Nikashusha spika zangu kubwa mbili nika-play nyimbo ilivo fika nyimbo za Navy Kenzo ( Aika na Nahreel) nikaanza kuona wakicheza wakifurahi nakusogelea kamgahawa changu na kuniomba niwafungie chips na fried chicken, nimeuza almost gunia zima leo.
Bongo wasanii wetu wanajua make good sound music melody
Team Navy
Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu, nikaamua nipaki gari langu aina Fiat ndogo.
Nikashusha spika zangu kubwa mbili nika-play nyimbo ilivo fika nyimbo za Navy Kenzo ( Aika na Nahreel) nikaanza kuona wakicheza wakifurahi nakusogelea kamgahawa changu na kuniomba niwafungie chips na fried chicken, nimeuza almost gunia zima leo.
Bongo wasanii wetu wanajua make good sound music melody
Team Navy