Kwa sasa TASNIA ya UIGIZAJI imepiga hatua kubwa sana ukilinganisha na miaka kadhaa nyuma, japo changamoto bado ni nyingi siyo mbaya tutafika tu.
Kuna mambo madogo madogo yanayotukwamisha kufikia...
Wakuu kama kawaida Jana tumeshuhudia miamba mitatu ikiipeperusha bendera ya Tanzania kwenye tuzo hizi kubwa kabisa, miamba hii ni Rayvany mwakyusa, diamond platnumz na dada yetu mzee wa ninogeshe...
Na mimi Sultan Uwezo.
Ninapoizungumzia FILAMU YA NYARA siyo kwamba nimeiandaa mimi la hasha bali nimejaribu kuangalia utofauti uliopo kati yake na nyingine ambazo ambazo mhusika ni MASIKINI...
Nadhani kichwa cha thread kinajieleza,
kwa upande wangu mimi nimejikuta kwa muda mrefu napenda sana miziki/nyimbo kutoka S.A, na hii ni kutokana na upekee wa nyimbo hizo zina ladha ya tofauti...
The Goddess Rosa Ree has come through with another BANGER titled #ThatGal
The Tanzanian female rapper does not seize to amaze us with her versatility and limitless talent.
In this new joint she...
Maendeleo hayana chama......
Mitano tena.....
Tunaisoma NAMBA......
Tanzania is green......
Tutaelewana tu acha tuoneshane Makali.....
Sasa binafsi niliangalia series ya IRIS season 1 kwa...
Kuna drama inaitwa "Memorist" ya huu mwaka 2020 Kama ulipenda Vagabond basi hii utaikubali ni drama inayohusisha akili na pia inangumi storyline yake ni nzuri na yenye mbunifu.
Habari zenu
Mzee wenu nimekaa hapa nasikiliza hawa vijana wenzangu wa enzi hizo..si mnajua tena weekend hii. Ila kiukweli nimeshindwa kung'amua kabisa kati ya hawa wakongwe wa huu muziki ni nani...
Gwala kwa wana Jf wote, matumaini yangu tuwazima wa afya. Kwawaliofikwa na matatizo mbalimbali katika maisha ninaendelea kuwakumbuka kwenye maombi. Just hold tight a little while, our God is...
katika miaka ya tisini hadi 2000 kulikuwa na majarida mbalimbali yaliyokua yakituburudisha sana.Moja ya majarida hayo yalikua kama vile,BONGO,TABASAMU na SANI.Humo ndani kulikua na watunzi wazuri...
1. Penzi pendezo la moyo, kwa uliye mkhiyari
Moyo usemapo ndiyo, na mwili huwa tayari
Kwa jumla yote hayo, ndio pendo hutabiri
ila wewe sikupendi, na wala huna kasoro
2. Nimechora kwenye jiwe...
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu tangu june ilipotakiwa itoke na kuahirishwa mara 2 hatimae kitu kimeanza kutoka rasmi. Tambua tarehe ya ufunguzi katika nchi yako ukaenjoy. Pia itapatikana katika...
Nilipokuwa primary niliusikia nikaupenda sana lakini sikufanikiwa kujua beti zake...
Unaanza hivi
Sasa tunawahesabu, sasa tunawahesabu
Waliokufa kwa tabu
Bila hata matibabu,
wengi hawana...
Wizkid__Ojuelegba🙌🙌🙌
Huu mdundo ulipikwa sana sizani kama Star Boy atakuja kupika mdundo kuuzidi huo.
Ojuelegba the best Wizkid song Ever.
Wangapi Tuliwahi kuusikiliza?
Ukweli hawa jamaa kuna kipindi walijiona wao kama Mungu kwenye burudani Tanzania lakini mahojiano aliyofanya Babu Tale juzi kwenye kipindi cha XXL wamepigwa KO japo walijifanya kutaka kuvuruga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.