Ndiyo basi tena ulimwengu wa fialmu, kwisha habari yake!

NIMEONA

JF-Expert Member
Aug 4, 2019
3,865
5,683
nimetoka kuingalia filamu ya 'Dragons Forever' ya kina Jackie Chan, Sammo Hung na Yuen Biao hivi punde kupitia Rembo tv. dah, nimekumbuka mbali sana........ucheshi, uchangamfu na uhalisia uliopo humo ukanikumbusha na filamu zingine nyingi za namna hiyo za miaka ya 90 zilizojaa raha na burudani tele.

mawazo yakanileta mpaka kwenye filamu za sasa ambazo zimejaa 'usayansi' mwingi hadi kero...........

jamani, hivi raha ile ya filamu itarudi kweli au ndo basi tena dunia imeshajiendea zake?!!!!

napata tabu sana!!!!!
 
Movies za siku hizi zimejaa graphics sana,ule uhalisia umepotea kabisa,
Zamani ukiwa unatizama movie unajihisi kama kweli na wewe umo ndani ya huo ulimwengu wa filamu unayoitazama ila siku hizi akili inakwambia kabisa kua unaangalia maigizo,filamu za siku hizi hazina power ya kuziteka fikra deep wakati unazitizama.
 
Movies za siku hizi zimejaa graphics sana,ule uhalisia umepotea kabisa,
Zamani ukiwa unatizama movie unajihisi kama kweli na wewe umo ndani ya huo ulimwengu wa filamu unayoitazama ila siku hizi akili inakwambia kabisa kua unaangalia maigizo,filamu za siku hizi hazina power ya kuziteka fikra deep wakati unazitizama.
kabisa mkuu, inapelekea kuchosha sana!
 
sio muvi tu hata mziki wa miaka hiyo ilionekana mizuri sana nahisi kuna sababu ambayo bado hatujaijua coz zipo muvi now ambazo zinachezwa kwa uhalisia km za zamani lkn hazidumu, pia wasanii wa zamani hata wakitoa ngoma kali haidumu km zama zao.
 
picha za siku hizi naona tu ,milipuko lipuko tu, martial art zenyewe mtu anapigana na camera, kelele nyingi,
hakuna uhalisia wa mapigano kama ya bruce van damme etc , ndio maana hata mademu vimbau mbau kinakuwa stering,
 
hakuna fans wa Movie humu nyie ndio mulikuwa angaliangalia bila akili milijawa na utoto

Zamani ujinga ulikuwa mwingi sana ilichagizwa na kuwa hata waangalia movie wajapevuka akili kuijua Dunia wewe Dragon nini sijui unawezaje kuifananisha na MI GHOST PROTOCOL' MI FALLOUT' Olimpus Has Fallen'

13 Hour agent of Beighaz unafananishaje na Maveti

Prison Break' MH nk unafananishaje na upuuzi wa American Ninja

Nina wasiwasi na IQ yako
 
Movies za siku hizi zimejaa graphics sana,ule uhalisia umepotea kabisa,
Zamani ukiwa unatizama movie unajihisi kama kweli na wewe umo ndani ya huo ulimwengu wa filamu unayoitazama ila siku hizi akili inakwambia kabisa kua unaangalia maigizo,filamu za siku hizi hazina power ya kuziteka fikra deep wakati unazitizama.
Mimi ndiyo maana napenda series kama spartacus japo nayo ina graphics za damu ambazo waliziweka intentionally, series kama ya warrior, lakini series sijui za super heroes na franchise za sijui spiderman tupa kule.

Fast na Furious ishapoteza uelekeo kwa sasa inaendeshwa tu na majina ya watu waliomo ila uhalisia wake halisi umepotea, ili kitu nilikuwa naikubali ila kwa sasa big No.
 
hakuna fans wa Movie humu nyie ndio mulikuwa angaliangalia bila akili milijawa na utoto

Zamani ujinga ulikuwa mwingi sana ilichagizwa na kuwa hata waangalia movie wajapevuka akili kuijua Dunia wewe Dragon nini sijui unawezaje kuifananisha na MI GHOST PROTOCOL' MI FALLOUT' Olimpus Has Fallen'

13 Hour agent of Beighaz unafananishaje na Maveti

Prison Break' MH nk unafananishaje na upuuzi wa American Ninja

Nina wasiwasi na IQ yako
sema wewe fala movie zote ulizotaja nnazo kwenye pc...na juzi nilimuazma mtu isije kuwa ni wewe
 
nimetoka kuingalia filamu ya 'Dragons Forever' ya kina Jackie Chan, Sammo Hung na Yuen Biao hivi punde kupitia Rembo tv. dah, nimekumbuka mbali sana........ucheshi, uchangamfu na uhalisia uliopo humo ukanikumbusha na filamu zingine nyingi za namna hiyo za miaka ya 90 zilizojaa raha na burudani tele.

mawazo yakanileta mpaka kwenye filamu za sasa ambazo zimejaa 'usayansi' mwingi hadi kero...........

jamani, hivi raha ile ya filamu itarudi kweli au ndo basi tena dunia imeshajiendea zake?!!!!

napata tabu sana!!!!!
Ww si muangaliaji mzur wa filamu.....
 
Movies za siku hizi zimejaa graphics sana,ule uhalisia umepotea kabisa,
Zamani ukiwa unatizama movie unajihisi kama kweli na wewe umo ndani ya huo ulimwengu wa filamu unayoitazama ila siku hizi akili inakwambia kabisa kua unaangalia maigizo,filamu za siku hizi hazina power ya kuziteka fikra deep wakati unazitizama.
kabisa mkuu, inapelekea kuchosha sana!
Ww si muangaliaji mzur wa filamu.....
kwanini mkuu?
 
hakuna fans wa Movie humu nyie ndio mulikuwa angaliangalia bila akili milijawa na utoto

Zamani ujinga ulikuwa mwingi sana ilichagizwa na kuwa hata waangalia movie wajapevuka akili kuijua Dunia wewe Dragon nini sijui unawezaje kuifananisha na MI GHOST PROTOCOL' MI FALLOUT' Olimpus Has Fallen'

13 Hour agent of Beighaz unafananishaje na Maveti

Prison Break' MH nk unafananishaje na upuuzi wa American Ninja

Nina wasiwasi na IQ yako
haya bhana!
 
sio muvi tu hata mziki wa miaka hiyo ilionekana mizuri sana nahisi kuna sababu ambayo bado hatujaijua coz zipo muvi now ambazo zinachezwa kwa uhalisia km za zamani lkn hazidumu, pia wasanii wa zamani hata wakitoa ngoma kali haidumu km zama zao.
ni kweli aisee!
 
Yan ukiona umesapot uzi huu ujue wew ni mhenga...tunaskiaga wazee wetu wakisifia nyimbo zao za zaman tunawashangaa.mbona nyimbo mbaya hiv mzee anaisifia nin...sasa ukiona hvyo ujue ushaanza kiaga kipind chako na uko kipind kingne...mtoto aliezaliwa 2000 hzo muv zenu za zaman akiangalia anaona znampotezea muda tu
 
Mjomba unaijua budget waliotumia kutengeneza avengers end game??? Watazamaji movie wa sasa hivi sio wale wa seven kids/watoto saba....!!! Watu wanataka vitu extra miles ma butterfly effects.
 
Sio sahihi kutoa maoni ya movie kupitia genre(aina)moja na kufikia hitimisho kuwa movie za wakati huu zimekosa uhalisia.

Kuna genres nane kwenye movie, ambazo ni
  • Action
  • Thriller
  • Drama
  • Comedy
  • Fantasy
  • Horror
  • Mystery
  • Romance
Na katika hizi genres kuna sub zake, kama hiyo uliyoitaja ‘Dragon Forever ‘ sub yake ni Action hybrid genre katika Action comedy.

Labda uanzie hapo kulinganisha movie za kale na za kisasa, pasi kuzijumisha aina zote za movie kwenye kundi moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom