Mabibi na mabwana Maalim karidhia serikali ya umoja wa kitaifa. Pamoja na yote Maalim si wa kubeza.
Karibuni kwenye mwendelezo wa tungo hizi waungwana:
Ninaamini Seif kaipigania Zanzibar mara zote katika namna ambayo hawapo wazanzibari wanaoweza kujinasibu zaidi yake.
Asili ya uzi huu ilikuwa mwendelezo wa huu mwingine:
Naomba kutoa hoja.
Cc: Senzighe wa Senzighe
Karibuni kwenye mwendelezo wa tungo hizi waungwana:
Ninaamini Seif kaipigania Zanzibar mara zote katika namna ambayo hawapo wazanzibari wanaoweza kujinasibu zaidi yake.
Asili ya uzi huu ilikuwa mwendelezo wa huu mwingine:
Shairi: Aikael Mbowe, Freeman Mwamba wa Tanzania
Ameunguruma Simba, Nchi imetetemeka Manyang'au yamevimba, Aibu imewashika Yalijiona miamba, Ile isiyovunjika Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini Hawa watu waonevu, Ni watu waso na soni Matendo yao uovu, Na ghiliba za shetani Mipango yao mibovu, Kaivunja Freemani Hongera sana Mbowe, Wewe ni...
www.jamiiforums.com
Naomba kutoa hoja.
Cc: Senzighe wa Senzighe