Nilipokuwa primary niliusikia nikaupenda sana lakini sikufanikiwa kujua beti zake...
Unaanza hivi
Sasa tunawahesabu, sasa tunawahesabu
Waliokufa kwa tabu
Bila hata matibabu,
wengi hawana...
Wizkid__Ojuelegba🙌🙌🙌
Huu mdundo ulipikwa sana sizani kama Star Boy atakuja kupika mdundo kuuzidi huo.
Ojuelegba the best Wizkid song Ever.
Wangapi Tuliwahi kuusikiliza?
Ukweli hawa jamaa kuna kipindi walijiona wao kama Mungu kwenye burudani Tanzania lakini mahojiano aliyofanya Babu Tale juzi kwenye kipindi cha XXL wamepigwa KO japo walijifanya kutaka kuvuruga...
Habari za kwenu Wana jf?
Msaada tafadhali wa wimbo wa dini jina linaitwa "Unitume Mimi" yani Wanaume kwenye huu wimbo wanaimba kwa sauti kubwa sana harafu ina beat ni hatari,
Shida ni ninapo...
Mfalme mtarajiwa wa Miduara 'Bob Haisa' kutoka Misungwi,Mwanza anatarajia kuachia ngoma yake mpya hivi karibuni akimshirikisha Malkia wa Taarabu asilia 'Bi Shakila' kutoka Dar Es Salaam,ngoma...
Taarabu zilipendwa ujumbe mzito plus mafumbo..kubembelezwa kwa sana yani tulienjoy sana wahenga
MEGAElina
MEGAHujui alacho kuku
MEGANahodha
MEGAMapenzi yananitatiza
MEGANjiwa peleka salamu...
Nimeisikiliza nyimbo ya Huyu jamaa inaitwa TSENA na nilichoshangaa ni kwamba humo ndani kuna Maneno ambayo yanafanana na kiswahili na baada ya uchunguzi wangu mdogo nikagundua jamaa anaongea Lugha...
Wadau na wakubwa zangu heshima kwenu...
Wangapi wanaokumbuka hii product ya kimafia.filamu ya ubabe ,unyama mwanzo mwisho.
Nani anamkumbuka mbabe yule GAry hiroyuki tagawa nyamera la mayakuza...
SIMULIZI:MPENZI JINI.
MTUNZI:LAMECK PETER
SEHEMU YA 1.
...Kwa Jina Ninaitwa KETARO Ilikuwa Ni Mwaka 2015 Nikiwa Na Umri Wa Miaka 21 Nikiwa Nimezaliwa Mwaka 1994.Nilikuwa Ninaishi Na Bibi Yangu...
wimbo gani utakukumbusha mwaka 2020...
We taja tu hata kama....
We taja tu.....
...nimesema we taja tu...
Mabaya..mazuri...yote ni lazima tuyapitie..
2020
Countin down
RIWAYA: MSAKO WA MWEHU
MTUNZI: Badi .M. Bao
MWASILIANO. 0625920847, ( whatsap )
E- mail: badi.bao11@gmail.com
Dar es Salaam
SEHEMU YA KWANZA
SURA YA KWANZA
Idara ya magonjwa ya akili, Hospitali...
Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa.
Wizara ya maliasili na...
1. wimbo wa AKON - DONT MATTER
Huu wimbo huwa unanikumbusha saana rafiki yangu wa kike enzi za chuo alikuwa anaucheza saana kila ukipigwa, so nikiusikia namkumbuka japo kaolewa
2. Wimbo wa Witney...
Ndugu wana JF natumai mu wazima,
Naomba member yoyote aliye na wimbo "LAST TIME WE MADE LOVE" BY TANYA BLOUNT au upload hapa kwenye jukwaa nami nitaudownload maana nimeutafuta huu wimbo kwa...
Nautafuta wimbo wa msanii anayeitwa Clean bandit na Sean Kingston unaitwa,rockabaye
Tafadhali mwenye nao aniwekee hapa maana nimejaribu kugoogle naupata ila nashindwa kuudownload