Ngoma gani inakukumbusha jambo flani?

Ngoma gani inakukumbusha jambo flani?

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,709
Reaction score
35,712
1. wimbo wa AKON - DONT MATTER
Huu wimbo huwa unanikumbusha saana rafiki yangu wa kike enzi za chuo alikuwa anaucheza saana kila ukipigwa, so nikiusikia namkumbuka japo kaolewa
2. Wimbo wa Witney Houston - I'll Always love you
Unanikumbusha demu wangu wa enzi za A-level alipewa dedication na aliyekuwa mpenzi wangu
3. Wimbo wa Notorious B.I.G - Sky is the Limit
unanikumbusha mchizi wangu Robby (R.I.P) alikuwa akiupenda sana

Kibwagizo cha R.T.D katika kipindi cha MAMA NA MWANA - by Debora Mwenda Kikipigwa hunitumi popote (Kila jumamosi)


Ngoa gani inakukumbusha kitu?

tiririka
 
1. You sang to me- inanikumbusha boyfriend wangu wakati nipo O’level ye alikua mtangazaji redio fulani basi ilikua ni lazima aupige kabla kipind hakijaisha 😂

2. Love portion- unanikumbusha my Uni crush

3.I know who i am - unakikumbusha rafiki yangu alinambia atataka aje kunitunza siku ya send off yangu, but amefariki (R.I.P) kabla hata sijasendiwa off🤦🏽‍♀️
 
Omi- Cheerleader,demu aliuwa hajau ngoma ni ya nani,nilimsaidia nikamwandikia mpaka na lyrics,Alikuja kuwa msela wangu kinoma mpaka alikuja kuwa demu wangu.

kadhaa(nonini) na Party dont stop(Camp Mulla)-Nilitengeneza marafiki(hasa hasa wale wa form 4) kibao kwa kuwa nilimeza lyrics za hawa jamaa.


Roll up(Whiz khalifa):Sikuwa na smartphone kipindi ngoma inatoka ,kwahiyo niigundua EATV wanapenda kuipiga mida ya ya sa 10 mpaka 12,nikawa nikirudi home nategee hii mida.
 
1. You sang to me- inanikumbusha boyfriend wangu wakati nipo O’level ye alikua mtangazaji redio fulani basi ilikua ni lazima aupige kabla kipind hakijaisha 😂

2. Love portion- unanikumbusha my Uni crush

3.I know who i am - unakikumbusha rafiki yangu alinambia atataka aje kunitunza siku ya send off yangu, but amefariki (R.I.P) kabla hata sijasendiwa off🤦🏽‍♀️
SAIVI USHASUKUMIWA NJE??"SEND OFF" 😉
 
Back
Top Bottom