Ndiyo nimemuona jana, nimecheka sana. Hii clip imenichekesha kichizi.
Ndiyo nimemuona jana, nimecheka sana. Hii clip imenichekesha kichizi.
Kwamba Wakuvwanga nae ni mtoto wa mzee Mwapongo? 😂😂😂Mdogo wake wakuvwanga, jirani yangu rafiki yangu kiukweli yupo fresh hata life la kitaa tu hamuwezi maliza dakika hajakuchekesha.
Kazi ni kwako.Kwamba Wakuvwanga nae ni mtoto wa mzee Mwapongo?
Acha kudanganya watu mkuu
Mbona una changanya mafaili mzee. Mdogo wake wakuvwanga yupi tena.Mdogo wake wakuvwanga, jirani yangu rafiki yangu kiukweli yupo fresh hata life la kitaa tu hamuwezi maliza dakika hajakuchekesha.
Unamjua yupi..Mbona una changanya mafaili mzee. Mdogo wake wakuvwanga yupi tena.
Wadogo zake wakuvanga nawa jua 3 wa kiume.
Sasa mmoja hapo ni comedian na huwa anafanya na brother wake clips nyingine. Huyo mdogo wake alikuwa anasimamia mashamba ya wakuvwanga kipindi fulani morogoro.Wadogo zake wakuvanga nawa jua 3 wa kiume.
Sasa mmoja hapo ni comedian na huwa anafanya na brother wake clips nyingine. Huyo mdogo wake alikuwa anasimamia mashamba ya wakuvwanga kipindi fulani morogoro.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app