bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,099
TAIFA LA MOYO WA SHETANI.
NA..............HEMED MAYUGU.
NO................(01).
WHATSAPP.......0755577488.
SHARE NYINGI NDIYO FURSA YA KUIFURAHIA KILA
SIKU.
NAOMBA KU-SHARE KWA WINGI.
Ilikuwa tarehe mbili ya mwezi wa tano mwaka 2007
Sehemu nyingine zote za inchi ya Tanzania na mikoa
yake pamoja na wilaya zake karibu zote zilikuwa na
hali ya kawaida sana. Lakini siku hio kwa upande
wa Ukerewe ilikuwa ni tofauti kabisa, Siku ambayo
asubuhi ilionekana ina mawingu mazito ya mvua,
radi zikimulika kila mara huku zikiambatana na
miungurumo. Lakini hali hio ilibadilika ghafla na
kuwashangaza watu wanaoishi katika kisiwa hicho.
Hakuna ambaye aliamini kama mawingu yale ya
mvua yameshindwa kusababisha kunyesha kwa
mvua. Basi miyoni mwao walibaki na neno moja tu.
Huu ni muujiza wa mungu, neno hilo ndilo lilikuwa
tiba kwao. Kwa jinsi hali ilivyokuwa ya ajabu kila
mtu aliogopa kabisa kabisa, wengine wakisema
kabisa kuwa lazima watu tungepoteane kama mvua
ile ingenyesha. Anga ilikuwa imetanda wingu zito
jeusi ndi.....wingu hilo kwa hakika ilikuwa zito sana,
yaani hata watu walikuwa wakitoka wawili inje
ilikuwa si rahisi kuonana bila mwanga. Ndani watu
waliwasha vibatari vyao, chemli zao ili kupata
kuonana, wenye simu walikuwa washazima simu
zao wakiiofia hali hio kuwaletea madhara makubwa.
Kiujumla ni hali ambayo ilitisha sana. Lakini hali
ilipobadilika ghafla kila mmoja ilimpasa amshukuru
mungu kwa hofu walio kuwa nayo.
Ingawaje watu wengine walikuwa na hofu miyoni
mwao pindi hali ile ikiwepo lakini kwa wanaume
watano. Junanne, Said, faustini, Manyege na Mgusi
wao walifurahi sana kutokea kwa hali hio. Miyoni
mwao walijisemea kabisa kuwa tayari tumefanikisha
kile ambacho tunaenda kukifanya, hali ile ilikuwa ni
kiashilia kwao cha mafanikio ya jambo lao. Baada
ya hali ile kubadilika wanaume wale, ambao
walikuwa na familia zao walipigiana simu wakutane
kwa mganga wao wakafanya maswala yao. Kweli
hawakuchelewa wakawa wamefika kwa mganga
wao. Walipofika kwa mganga yule alicheka sana
baada ya kuwaona, kicheko cha mganga yule
mwanzo walikipokea hata wao nao wakacheka kwa
kuzania kuwa anacheka kwasababu tukio ambalo
aliwambia kuwa ni kiashilia tosha kwao limefanyika.
Lakini wao walikata ghafla kucheka baada ya
kumuona mganga yule aliyejulikana kwa jina la
TURUMANYWA kuendelea kucheka na kucheka huku
akichanganya na kukoroma. Kitendo hicho kila
mmoja alikishangaa, wote kwa pamoja wakajishauli
wakimbie wamuache mganga yule peke yake
wakizani labda anaenda kufa. Kwani hata mapovu
yalianza kumtoka mganga yule.
Wanaume wale wote kwa pamoja wakiwa katika
matayarisho ya kukimbia, mara walisikia sauti
ikitoka pasiko julikana huku ikiwasemesha. Sauti ile
ya ajabu kabisa hawakuwahi kuisikia hata mara
moja katika maisha yao. Ilikuwa ni sauti ya pekee
na ya kuchanganya. sauti ile ilikuwa imegawanyika
katika sauti karibu za kila rika. Ilikuwa ikibadilika
baada ya sekunde kadhaa na nyingine inaingia.
Nikisema kila rika namaanisha. Ilikuwa inabadilika
mara ya mtoto, mara ya kijana mara ya mzee mara
ya bibi mara ya mwanamke mara ya Baba mtu
mzima. Sauti ili iliyokuwa inatoka kusiko julikana
ilianza kwa kuyaita majina yao, Halafu ikaendelea na
kusema.
"Jumanne, Mgusi, said, faustini na manyege. Ha ha
ha ha! Msiniogope kabisa msiniogope. Nimekuja
kuwapa sharti la mwisho ili kuweza kuzichukua
dhahabu na Utajiri wenu katika pango la moyo
wangu. Sharti langu ni hili, naombeni kwa pamoja
mkamtafute bint mwenye umri wa miaka kumi na
mitano; bint ambaye ni bikra kabisa, bint huyo
mtamchukua mvuke naye maji mpaka kwenye
kisiwa changu, kisiwa ambacho ndimo kuna pango
la dhaabu na Utajiri mwingine mkifika pale kila
mmoja kwa nafasi yake, ahakikishe anamwingililia
bint yule kisha mtamuua kwa kumkata kichwa,
damu yake mmwage kwenye mfuniko wa shimo la
Utajiri na mwili wake mtauwacha pangoni hapo.
Mkishafanya hivyo basi shimo lile litafunguka na
kila mmoja hatajizolea Utajiri wa madini anayo
yataka" sauti ile ya ajabu ilimaliza kwa kusema
maneno "kwaheri nawatakia mafanikio mema"
Baada ya sauti ile kukatika pale pale na mganga
Turumanywa ambaye kipindi sauti ile ikisikika toka
kusikojulikana yeye alikuwa kimya kama kafumbwa.
Mganga yule Aliwauliza wanaume wale.
"Je mmeelewa mlicho ambiwa?"
"Ndiyo tumeelewa. Lakini mbona sharti gumu sana
mganga wetu. Huwezi kubadilisha?"Mgusi aliongea.
"Hapana, vijana hata ikiwa vipi ni ngumu kisiwa
chenye pango la mali huwa akifunguki bila sharti
hilo. Hio tu ndio huwa kafara ya pale na mkisha
maliza basi mtapata Utajiri wa kutosha mnaweza
kujikuta mnakuwa matajiri kuliko wote duniani, ninyi
shida zitawaisha kabisa" mganga alisema.
Baada ya kuambiwa maneno yale, wanaume wale
wote kwa pamoja waliaga kuondoka kutoka kwa
mganga yule nguli kurudi majumbani kwao. Njiani
walikuwa wakiulizana ni wapi watampata bint
ambaye umri wake ni miaka kumi na mitano halafu
bikra ili wamtowe kafara katika kisiwa cha shimo la
dhaabu. Kisiwa ambacho kilikuwa ni kidogo kama
kiwanja kimoja cha mpila wa mguu, kisiwa
ambacho nacho kimo ndani ya ziwa Victoria,
kimepakana kabisa na kisiwa hicho cha Ukerewe.
Wakiwa katika majadiliano yao, Jumanne alisema.
"Jamani mimi nina mtoto wa Dada yangu pale
nyumbani kwangu, umri wake ni miaka hio hio bila
shaka lazima atakuwa bikra" baada ya kusema hivyo
wenzake wote wakamgeukia na kumwangalia. Kisha
Manyege akauliza.
"Jumanne we unataka tukamtoe mtoto wa dada
yako?"
"Unazani manyege tutafanya nini, huu ni Utajiri
mwenyewe unajua hali ya sasa" baada ya kusema
hivyo wote walimtamaza kwa muda kama
wanatafakari jambo. Kwakuwa wote kwa pamoja lao
lilikuwa moja, walikubaliana jumanne akamchukue
mtoto wa dada yake, wakamtoe kafara. Alikuwa ni
bint mzuri ambaye alikuwa kwa jumanne kwa ajili ya
shule na haikuwa kama alijileta, jumanne
mwenyewe ndiye alimuomba kwa dada yake kuwa
aende asomee kwake kwakuwa mazingira ya
nyumbani kwa Dada yake ambaye alikuwa anakaa
maeneo ya kazilakanda Ukerewe ndani ndani kabisa
huko, kielimu yalikuwa si mazuri kwasababu
yalikuwa kijijini sana. Jumane alikuwa akiishi
mrutunguru alimchukua bint yule mdogo bado akiwa
yuko darasa la tano na kumwamishia mrutunguru
kuendelea na masomo yake. Bint yule kwa jina
alitwa Fatuma. Fatuma kweli kama mjomba wake
alivyokuwa anasema alikuwa na umri wa miaka
kumi na nitano pia alikuwa ni Bikra kabisa. Kwa
kipindi hicho fatuma alikuwa anasoma kidato cha
pili.
Baada ya makubaliano yao kukamiliaka watu wale
walimwachia jukumu jumanne aje awakabizishe
mtoto wa dada yake wakamtoe kafara katika kisiwa
cha pango la dhahabu ama wenyewe walikiita
kisiwa cha Shetani. Kisiwa ambacho usiku taa
zilikuwa zikiwaka lakini mchana kulikuwa hakuna
dalili kama huwa kuna mtu wala watu wanaoishi
katika kisiwa hicho kidogo. Kweli kilikuwa ni kisiwa
cha kusitajaabisha kweli kweli, na hakuna ambaye
alikuwa anaijua historia ya kisiwa hicho cha
maajabu ndani ya kisiwa cha Ukerewe. Kwa
asiyeijua Ukerewe mpenzi msomajia nayo pia ni
kisiwa ambacho kimo ndani ya ziwa Victoria,
Ukerewe nayo imegawanyika kivisiwa siwa.
Kikiwemo kisiwa cha Ukara, Goziba na kisiwa cha
Isizu Irugwa pamoja na Ukerewe yenyewe hivyo
vyote ndivyo vinaunda wilaya moja ya Ukerewe.
Mbali na visiwa hivyo ndani ya ziwa hilo hilo la
victoria huwa kuna tuvisiwa twingi, twingine tukiwa
kama mlima ya mawe imejaa mapango. Tuvisiwa
hivyo huwa havikaliwi na watu, kwasababu hata
eneo la kujenga nyuma havina bali ni mawe mawe
tu na mapango ya kutisha. Katika visiwa hivyo
humo ndimo kuna kisiwa hicho cha Shetani.
Ambacho kilikuwa na maajabu ya peke yake.
Baada ya kuachiwa jukumu la kuhakikisha
wanamchuku fatuma. Wakamtoe kafara katika
kisiwa hicho cha pango la dhaabu na Utajiri
uliokuwa umejaa madini ya kila aina, Jumanne
alianza kufanya process za kumshawishi Fatuma
kwa kumdanganya kuwa siku moja atamtoa auti
kwenda mwanza kwa ajili ya kulitembelea na
kuliona jiji hilo. Kama ujuavyo kawaida ya mtoto
akiahidiwa jambo zuri yeye huwa analivalia njuga
kweli kweli. Kwa bahati mbaya zaidi ilikuwa
nikipindi cha likizo. Fatuma alikuwa akimng'ang'aniz
a mjomba wake ampeleke Mwanza akapaone.
Muda huo tayari jumanne alikuwa kaisha wataalifu
wenzake kuwa tayari mambo yashakuwa mazuri
kwa ajili ya kumchukua Fatuma kumpeleka
kumfanyia upuuzi wa kumbaka kwanza kisha
kumchinja kama mbuzi ili tu wapate Mali kutoka
katika kisiwa cha Shetani.
******
Hatimaye siku walizo kuwa wamepanga kumpeleka
fatuma katika kisiwa hicho zilitimia. Jumanne aliaga
nyumbani kwa mkewe kistaarabu kuwa anampeleka
Fatuma Mwanza akapaone angarau kwa siku saba
za wiki, huko mwanza angeishi kwa Mjomba wake
na Jumanne mwenyewe. Bila kujua hata kuelewa
mkewe aliyekuwa anajulikana kwa jina la Restuta
alikubaliana na alichokisema mumewe. Walitoka
nyumbani asubuhi kwa kudai wanaiwahi meli ya
Asubuhi kwenda mwanza. Fatuma akiwa hajui na
mjomba wake walisonga kwenda Nansio, ambako
ndiko kuna kivuko cha meli kutoka Ukerewe kwenda
mwanza. Walipofika Nansio mjomba alimdanganya
mjomba wake kuwa meli imeisha waacha, kwahio
alitafuta gest ili walale kesho asubuhi waamkie
kwenye meli iwapeleke mwanza. Fatuma bila
kukataa kwasababu ajui chochote kilicho nyuma ya
pazia naye alikubali. Kumbe ndio usiku huo huo
walikuwa wamepanga na Rafiki zake kwenda
kumfanyia unyama wa kutisha bint yule. Ilikuwa
mida kama ya saa nne usiku, pale kwenye guest
ilikuja tax mjomba akamwambia bint yake kuwa
waende wakatembee tembee katika mitaa ya
Nansio. Kwa udogo wake akijua kabisa mjomba
wake anamjali fatuma aliongozana na mjomba wake
kutoka ndani ya nyumba ya kulala wageni. Safari
yao haikuwa mbali walielekea upande wa pili wa
mitaa hio ya nansio mitaa ambayo kulikuwa na
mitumbwi mingi ya wavuvi na kukiwa amna mtu
kabisa ziwani kwa muda huo, tayari rafiki zake na
jumanne yaani Mgusi, manyege, faustini na Said
Walikuwa washauandaa mtumbwi wao. Kwa ajili ya
kwenda katika kisiwa hicho. Walipofika pale ziwani
dereva Tax ambaye pia walikuwa wamemuahidi
malipo makubwa aliondoka na kuwaacha ingawaje
dereva yule alikuwa ajui ni nini kinaenda kufanyika
lakini malipo aliyopewa ya pesa yalikuwa ni
makubwa. Mazingira yale fatuma alishindwa
kuyaelewa ikambidi amuulize mjomba.
"Mjomba na huku usiku na giza hili tumekuja
kufanya nini?"
"Huku, kuna upepo mzuri we usikii?"Mjomba
alisema.
"Upepo mzuri sawa mjomba lakini mimi naisi baridi
sana. Ningeomba turudi nikalale"
Bado wakiwa katika mazungumzo yale mwanga wa
tochi ulionekana ukiwamulika, fatuma aliogopa sana
kuona vile, lakini mjomba wake akamwambia
asiogope. Kumbe tayari walikuwa ni marafiki zake
washaingia kwa lengo lao walilokuwa
wamerikusudia.
"Fatuma mama hawa ni rafiki zangu, sasa wanaboti
hapa twende wao watatufikisha mwanza" mjomba
alimdanganya bint wa dada yake. Lakini fatuma
alianza kutilia mashaka safari hio.
"Hapana mjomba tuache tusubili meli kesho saiv
usiku ni vibaya"
"Hapana, mimi natakiwa nifike kule napema kuna
maswala furani nayafuatilia"
Mjomba alisema, kisha akamvuta fatuma kuelekea
kwenye boti iliyokuwa imeandaliwa.
"Lakini mjomba vitu tumeacha gest?"
Fatuma aliuliza kwa wasiwasi kabisa bint wa watu.
"Usijali tutavikuta tukirudi pale ni kwa rafiki yangu
sana.
Baada ya kusema hivyo mjomba alimpakiza Fatuma
kwenye boti kwa kushirikiana na wenzake, fatuma
akiwa kabisa na wasiwasi, Mapigo ya moyo
yakimuenda mbio alikaa tu kwenye boti, moyoni
akijivunia mjomba wake. Kumbe mjomba kaisha
kuwa shetani si mjomba anaye mjua. Boti ilianza
safari kuelekea kisiwa cha pango la madini au
kisiwa cha Shetani.
NA..............HEMED MAYUGU.
NO................(01).
WHATSAPP.......0755577488.
SHARE NYINGI NDIYO FURSA YA KUIFURAHIA KILA
SIKU.
NAOMBA KU-SHARE KWA WINGI.
Ilikuwa tarehe mbili ya mwezi wa tano mwaka 2007
Sehemu nyingine zote za inchi ya Tanzania na mikoa
yake pamoja na wilaya zake karibu zote zilikuwa na
hali ya kawaida sana. Lakini siku hio kwa upande
wa Ukerewe ilikuwa ni tofauti kabisa, Siku ambayo
asubuhi ilionekana ina mawingu mazito ya mvua,
radi zikimulika kila mara huku zikiambatana na
miungurumo. Lakini hali hio ilibadilika ghafla na
kuwashangaza watu wanaoishi katika kisiwa hicho.
Hakuna ambaye aliamini kama mawingu yale ya
mvua yameshindwa kusababisha kunyesha kwa
mvua. Basi miyoni mwao walibaki na neno moja tu.
Huu ni muujiza wa mungu, neno hilo ndilo lilikuwa
tiba kwao. Kwa jinsi hali ilivyokuwa ya ajabu kila
mtu aliogopa kabisa kabisa, wengine wakisema
kabisa kuwa lazima watu tungepoteane kama mvua
ile ingenyesha. Anga ilikuwa imetanda wingu zito
jeusi ndi.....wingu hilo kwa hakika ilikuwa zito sana,
yaani hata watu walikuwa wakitoka wawili inje
ilikuwa si rahisi kuonana bila mwanga. Ndani watu
waliwasha vibatari vyao, chemli zao ili kupata
kuonana, wenye simu walikuwa washazima simu
zao wakiiofia hali hio kuwaletea madhara makubwa.
Kiujumla ni hali ambayo ilitisha sana. Lakini hali
ilipobadilika ghafla kila mmoja ilimpasa amshukuru
mungu kwa hofu walio kuwa nayo.
Ingawaje watu wengine walikuwa na hofu miyoni
mwao pindi hali ile ikiwepo lakini kwa wanaume
watano. Junanne, Said, faustini, Manyege na Mgusi
wao walifurahi sana kutokea kwa hali hio. Miyoni
mwao walijisemea kabisa kuwa tayari tumefanikisha
kile ambacho tunaenda kukifanya, hali ile ilikuwa ni
kiashilia kwao cha mafanikio ya jambo lao. Baada
ya hali ile kubadilika wanaume wale, ambao
walikuwa na familia zao walipigiana simu wakutane
kwa mganga wao wakafanya maswala yao. Kweli
hawakuchelewa wakawa wamefika kwa mganga
wao. Walipofika kwa mganga yule alicheka sana
baada ya kuwaona, kicheko cha mganga yule
mwanzo walikipokea hata wao nao wakacheka kwa
kuzania kuwa anacheka kwasababu tukio ambalo
aliwambia kuwa ni kiashilia tosha kwao limefanyika.
Lakini wao walikata ghafla kucheka baada ya
kumuona mganga yule aliyejulikana kwa jina la
TURUMANYWA kuendelea kucheka na kucheka huku
akichanganya na kukoroma. Kitendo hicho kila
mmoja alikishangaa, wote kwa pamoja wakajishauli
wakimbie wamuache mganga yule peke yake
wakizani labda anaenda kufa. Kwani hata mapovu
yalianza kumtoka mganga yule.
Wanaume wale wote kwa pamoja wakiwa katika
matayarisho ya kukimbia, mara walisikia sauti
ikitoka pasiko julikana huku ikiwasemesha. Sauti ile
ya ajabu kabisa hawakuwahi kuisikia hata mara
moja katika maisha yao. Ilikuwa ni sauti ya pekee
na ya kuchanganya. sauti ile ilikuwa imegawanyika
katika sauti karibu za kila rika. Ilikuwa ikibadilika
baada ya sekunde kadhaa na nyingine inaingia.
Nikisema kila rika namaanisha. Ilikuwa inabadilika
mara ya mtoto, mara ya kijana mara ya mzee mara
ya bibi mara ya mwanamke mara ya Baba mtu
mzima. Sauti ili iliyokuwa inatoka kusiko julikana
ilianza kwa kuyaita majina yao, Halafu ikaendelea na
kusema.
"Jumanne, Mgusi, said, faustini na manyege. Ha ha
ha ha! Msiniogope kabisa msiniogope. Nimekuja
kuwapa sharti la mwisho ili kuweza kuzichukua
dhahabu na Utajiri wenu katika pango la moyo
wangu. Sharti langu ni hili, naombeni kwa pamoja
mkamtafute bint mwenye umri wa miaka kumi na
mitano; bint ambaye ni bikra kabisa, bint huyo
mtamchukua mvuke naye maji mpaka kwenye
kisiwa changu, kisiwa ambacho ndimo kuna pango
la dhaabu na Utajiri mwingine mkifika pale kila
mmoja kwa nafasi yake, ahakikishe anamwingililia
bint yule kisha mtamuua kwa kumkata kichwa,
damu yake mmwage kwenye mfuniko wa shimo la
Utajiri na mwili wake mtauwacha pangoni hapo.
Mkishafanya hivyo basi shimo lile litafunguka na
kila mmoja hatajizolea Utajiri wa madini anayo
yataka" sauti ile ya ajabu ilimaliza kwa kusema
maneno "kwaheri nawatakia mafanikio mema"
Baada ya sauti ile kukatika pale pale na mganga
Turumanywa ambaye kipindi sauti ile ikisikika toka
kusikojulikana yeye alikuwa kimya kama kafumbwa.
Mganga yule Aliwauliza wanaume wale.
"Je mmeelewa mlicho ambiwa?"
"Ndiyo tumeelewa. Lakini mbona sharti gumu sana
mganga wetu. Huwezi kubadilisha?"Mgusi aliongea.
"Hapana, vijana hata ikiwa vipi ni ngumu kisiwa
chenye pango la mali huwa akifunguki bila sharti
hilo. Hio tu ndio huwa kafara ya pale na mkisha
maliza basi mtapata Utajiri wa kutosha mnaweza
kujikuta mnakuwa matajiri kuliko wote duniani, ninyi
shida zitawaisha kabisa" mganga alisema.
Baada ya kuambiwa maneno yale, wanaume wale
wote kwa pamoja waliaga kuondoka kutoka kwa
mganga yule nguli kurudi majumbani kwao. Njiani
walikuwa wakiulizana ni wapi watampata bint
ambaye umri wake ni miaka kumi na mitano halafu
bikra ili wamtowe kafara katika kisiwa cha shimo la
dhaabu. Kisiwa ambacho kilikuwa ni kidogo kama
kiwanja kimoja cha mpila wa mguu, kisiwa
ambacho nacho kimo ndani ya ziwa Victoria,
kimepakana kabisa na kisiwa hicho cha Ukerewe.
Wakiwa katika majadiliano yao, Jumanne alisema.
"Jamani mimi nina mtoto wa Dada yangu pale
nyumbani kwangu, umri wake ni miaka hio hio bila
shaka lazima atakuwa bikra" baada ya kusema hivyo
wenzake wote wakamgeukia na kumwangalia. Kisha
Manyege akauliza.
"Jumanne we unataka tukamtoe mtoto wa dada
yako?"
"Unazani manyege tutafanya nini, huu ni Utajiri
mwenyewe unajua hali ya sasa" baada ya kusema
hivyo wote walimtamaza kwa muda kama
wanatafakari jambo. Kwakuwa wote kwa pamoja lao
lilikuwa moja, walikubaliana jumanne akamchukue
mtoto wa dada yake, wakamtoe kafara. Alikuwa ni
bint mzuri ambaye alikuwa kwa jumanne kwa ajili ya
shule na haikuwa kama alijileta, jumanne
mwenyewe ndiye alimuomba kwa dada yake kuwa
aende asomee kwake kwakuwa mazingira ya
nyumbani kwa Dada yake ambaye alikuwa anakaa
maeneo ya kazilakanda Ukerewe ndani ndani kabisa
huko, kielimu yalikuwa si mazuri kwasababu
yalikuwa kijijini sana. Jumane alikuwa akiishi
mrutunguru alimchukua bint yule mdogo bado akiwa
yuko darasa la tano na kumwamishia mrutunguru
kuendelea na masomo yake. Bint yule kwa jina
alitwa Fatuma. Fatuma kweli kama mjomba wake
alivyokuwa anasema alikuwa na umri wa miaka
kumi na nitano pia alikuwa ni Bikra kabisa. Kwa
kipindi hicho fatuma alikuwa anasoma kidato cha
pili.
Baada ya makubaliano yao kukamiliaka watu wale
walimwachia jukumu jumanne aje awakabizishe
mtoto wa dada yake wakamtoe kafara katika kisiwa
cha pango la dhahabu ama wenyewe walikiita
kisiwa cha Shetani. Kisiwa ambacho usiku taa
zilikuwa zikiwaka lakini mchana kulikuwa hakuna
dalili kama huwa kuna mtu wala watu wanaoishi
katika kisiwa hicho kidogo. Kweli kilikuwa ni kisiwa
cha kusitajaabisha kweli kweli, na hakuna ambaye
alikuwa anaijua historia ya kisiwa hicho cha
maajabu ndani ya kisiwa cha Ukerewe. Kwa
asiyeijua Ukerewe mpenzi msomajia nayo pia ni
kisiwa ambacho kimo ndani ya ziwa Victoria,
Ukerewe nayo imegawanyika kivisiwa siwa.
Kikiwemo kisiwa cha Ukara, Goziba na kisiwa cha
Isizu Irugwa pamoja na Ukerewe yenyewe hivyo
vyote ndivyo vinaunda wilaya moja ya Ukerewe.
Mbali na visiwa hivyo ndani ya ziwa hilo hilo la
victoria huwa kuna tuvisiwa twingi, twingine tukiwa
kama mlima ya mawe imejaa mapango. Tuvisiwa
hivyo huwa havikaliwi na watu, kwasababu hata
eneo la kujenga nyuma havina bali ni mawe mawe
tu na mapango ya kutisha. Katika visiwa hivyo
humo ndimo kuna kisiwa hicho cha Shetani.
Ambacho kilikuwa na maajabu ya peke yake.
Baada ya kuachiwa jukumu la kuhakikisha
wanamchuku fatuma. Wakamtoe kafara katika
kisiwa hicho cha pango la dhaabu na Utajiri
uliokuwa umejaa madini ya kila aina, Jumanne
alianza kufanya process za kumshawishi Fatuma
kwa kumdanganya kuwa siku moja atamtoa auti
kwenda mwanza kwa ajili ya kulitembelea na
kuliona jiji hilo. Kama ujuavyo kawaida ya mtoto
akiahidiwa jambo zuri yeye huwa analivalia njuga
kweli kweli. Kwa bahati mbaya zaidi ilikuwa
nikipindi cha likizo. Fatuma alikuwa akimng'ang'aniz
a mjomba wake ampeleke Mwanza akapaone.
Muda huo tayari jumanne alikuwa kaisha wataalifu
wenzake kuwa tayari mambo yashakuwa mazuri
kwa ajili ya kumchukua Fatuma kumpeleka
kumfanyia upuuzi wa kumbaka kwanza kisha
kumchinja kama mbuzi ili tu wapate Mali kutoka
katika kisiwa cha Shetani.
******
Hatimaye siku walizo kuwa wamepanga kumpeleka
fatuma katika kisiwa hicho zilitimia. Jumanne aliaga
nyumbani kwa mkewe kistaarabu kuwa anampeleka
Fatuma Mwanza akapaone angarau kwa siku saba
za wiki, huko mwanza angeishi kwa Mjomba wake
na Jumanne mwenyewe. Bila kujua hata kuelewa
mkewe aliyekuwa anajulikana kwa jina la Restuta
alikubaliana na alichokisema mumewe. Walitoka
nyumbani asubuhi kwa kudai wanaiwahi meli ya
Asubuhi kwenda mwanza. Fatuma akiwa hajui na
mjomba wake walisonga kwenda Nansio, ambako
ndiko kuna kivuko cha meli kutoka Ukerewe kwenda
mwanza. Walipofika Nansio mjomba alimdanganya
mjomba wake kuwa meli imeisha waacha, kwahio
alitafuta gest ili walale kesho asubuhi waamkie
kwenye meli iwapeleke mwanza. Fatuma bila
kukataa kwasababu ajui chochote kilicho nyuma ya
pazia naye alikubali. Kumbe ndio usiku huo huo
walikuwa wamepanga na Rafiki zake kwenda
kumfanyia unyama wa kutisha bint yule. Ilikuwa
mida kama ya saa nne usiku, pale kwenye guest
ilikuja tax mjomba akamwambia bint yake kuwa
waende wakatembee tembee katika mitaa ya
Nansio. Kwa udogo wake akijua kabisa mjomba
wake anamjali fatuma aliongozana na mjomba wake
kutoka ndani ya nyumba ya kulala wageni. Safari
yao haikuwa mbali walielekea upande wa pili wa
mitaa hio ya nansio mitaa ambayo kulikuwa na
mitumbwi mingi ya wavuvi na kukiwa amna mtu
kabisa ziwani kwa muda huo, tayari rafiki zake na
jumanne yaani Mgusi, manyege, faustini na Said
Walikuwa washauandaa mtumbwi wao. Kwa ajili ya
kwenda katika kisiwa hicho. Walipofika pale ziwani
dereva Tax ambaye pia walikuwa wamemuahidi
malipo makubwa aliondoka na kuwaacha ingawaje
dereva yule alikuwa ajui ni nini kinaenda kufanyika
lakini malipo aliyopewa ya pesa yalikuwa ni
makubwa. Mazingira yale fatuma alishindwa
kuyaelewa ikambidi amuulize mjomba.
"Mjomba na huku usiku na giza hili tumekuja
kufanya nini?"
"Huku, kuna upepo mzuri we usikii?"Mjomba
alisema.
"Upepo mzuri sawa mjomba lakini mimi naisi baridi
sana. Ningeomba turudi nikalale"
Bado wakiwa katika mazungumzo yale mwanga wa
tochi ulionekana ukiwamulika, fatuma aliogopa sana
kuona vile, lakini mjomba wake akamwambia
asiogope. Kumbe tayari walikuwa ni marafiki zake
washaingia kwa lengo lao walilokuwa
wamerikusudia.
"Fatuma mama hawa ni rafiki zangu, sasa wanaboti
hapa twende wao watatufikisha mwanza" mjomba
alimdanganya bint wa dada yake. Lakini fatuma
alianza kutilia mashaka safari hio.
"Hapana mjomba tuache tusubili meli kesho saiv
usiku ni vibaya"
"Hapana, mimi natakiwa nifike kule napema kuna
maswala furani nayafuatilia"
Mjomba alisema, kisha akamvuta fatuma kuelekea
kwenye boti iliyokuwa imeandaliwa.
"Lakini mjomba vitu tumeacha gest?"
Fatuma aliuliza kwa wasiwasi kabisa bint wa watu.
"Usijali tutavikuta tukirudi pale ni kwa rafiki yangu
sana.
Baada ya kusema hivyo mjomba alimpakiza Fatuma
kwenye boti kwa kushirikiana na wenzake, fatuma
akiwa kabisa na wasiwasi, Mapigo ya moyo
yakimuenda mbio alikaa tu kwenye boti, moyoni
akijivunia mjomba wake. Kumbe mjomba kaisha
kuwa shetani si mjomba anaye mjua. Boti ilianza
safari kuelekea kisiwa cha pango la madini au
kisiwa cha Shetani.