Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,587
Kwako wewe mwenyewe taja madj wako watatu unaona wako kwenye heat kwa sasa ,uwezo wao mkubwa. Pia, wale ambao ni talented pia na hawana nyota/bahati yaani wapo wapo tu. Na pia wale madj ambao ni overrated uwezo wao ni mdogo kuliko wanavyokuzwa.
Mimi kwa kweli DJ D Ommy huwa simuelewi uzuri jamaa anajua kujibrad ndo maana amefika mbali lakini uwezo wake ni kawaida.
Tiririka
Mimi kwa kweli DJ D Ommy huwa simuelewi uzuri jamaa anajua kujibrad ndo maana amefika mbali lakini uwezo wake ni kawaida.
Tiririka