Top 3 ya Ma-DJ wako wakali ni ipi?

Its Pancho

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
14,185
22,587
Kwako wewe mwenyewe taja madj wako watatu unaona wako kwenye heat kwa sasa ,uwezo wao mkubwa. Pia, wale ambao ni talented pia na hawana nyota/bahati yaani wapo wapo tu. Na pia wale madj ambao ni overrated uwezo wao ni mdogo kuliko wanavyokuzwa.

Mimi kwa kweli DJ D Ommy huwa simuelewi uzuri jamaa anajua kujibrad ndo maana amefika mbali lakini uwezo wake ni kawaida.

Tiririka
 
Nilichogundua madj wengi bongo scratch inaficha udhaifu wao wa beat matching yaani beat per minute..ukiifahamu hiyo vizuri.
Utaweza kupiga session yako nzima bila scratch hata kidogo na watu wakaelewa
BPM ni tamu inaonesha ufundi wako ulipo
 
Back
Top Bottom