DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 14,227
- 32,028
Poleni na mihangaiko wadau, lakini nina imani kama ushawahi ingia cassino lazima unaijua spin and win au russian roulette na ulishawishika kucheza hii michezo. Yafuatayo ni machache kama tahadhari kwa wadau:
Ukiingia cassino unakua na mungu asilimia 20 na shetani asilimia 80.
Kutoka na pesa kwenye huu mchezo ni bahati, na ukipata pesa lazima utarudi tena kucheza.
Ukienda na pesa ya watu jiandae kurudi patupu.
Kama unapesa nyingi usithubutu kwenda ukisema nachezea elf 10 naondoka, my frend utajuta.
Kutoka ndani ya cassino ni either umekula pesa nyingi au umeliwa zote[emoji23]
Mimi niliwahi pigwa ada na niliirudisha wewe je.
Hayo ni machache juu ya spin and win, hebu tupeni experience wadau.
Ukiingia cassino unakua na mungu asilimia 20 na shetani asilimia 80.
Kutoka na pesa kwenye huu mchezo ni bahati, na ukipata pesa lazima utarudi tena kucheza.
Ukienda na pesa ya watu jiandae kurudi patupu.
Kama unapesa nyingi usithubutu kwenda ukisema nachezea elf 10 naondoka, my frend utajuta.
Kutoka ndani ya cassino ni either umekula pesa nyingi au umeliwa zote[emoji23]
Mimi niliwahi pigwa ada na niliirudisha wewe je.
Hayo ni machache juu ya spin and win, hebu tupeni experience wadau.