Fazz
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 635
- 1,456
Kampuni ya patek phillipe ni kampuni ya saa iliyoundwa miaka ya 1839 kampuni hii iliundwa na manguli wawili wakishirikiana na watu wengine
Waanzilishi wa mwanzo
Antoine patek alikua ni mswiss(wa Switzerland) mwamba huyu alikua anapenda sana mambo ya saa tokea alipokua mdogo akiwa na miaka 16 mwamba huyu alijiunga na jeshi ambapo walienda kupambana mwaka (1830-1831) naye akiwa ni mmja ya mwanajeshi kwenye vita iliujulikana kama Polish russian war au uprising war baada ya vita mwamba huyu nae alipata medali yake ya vita baadaye kidogo vita vilipigwa tena ambapo kundi lao lilipigwa na hawa jamaa wakalazimika kuishi uhamisho I waliingia Ufaransa lakin baadae wakaend kuishi Swetzland kutokana na pressure ya russia
Akiwa Kama mkimbizi mwamba huyu alitafuta mtu wa kushirikiana nae katika kutimiza ndoto ya ndipo alipokutana na kiraka mwingine kwa jina Jien Philippe .Mwamba huyu alikua na kipaji cha kutengeneza saa alikutana na mwamba huyu kwenye mojawapo ya viwanda huko french .Mwamba huyu aliamua kuacha kazi alipokua anafanya na kuungan na patek wakaanzisha kampuni iliyoitwa Patek & Cie. Hiyo ilikua mwaka 1851 kumbuka patrk yy alianzisha kampuni mwaka 1839 akiwa n jesh la mtu mmoja. Baada ya kuungana walianza kutengeneza saa pamoja zikiwa na nakshi za dhahabu na dimond mwaka huo walimtengenezea malikia saa Kali ilkiwa na nakshi za dimond na gold Kampuni ilizidi kukua mpaka mwaka 1871 ilikua imeshatanua matawi ikwpo Ujerumani,Usa ,Italy na nchi nyingine mbalimbali .Mwaka 1877 patek alifariki na kumwcha mwanae akiwa na miaka 20 kuendelea lakini alikataa na kugawa Shea yake kwa masikini.Mwaka 1891jean philippe akiwa na miaka 76 nae aliaga dunia na kumwachia madaraka mwanae mdogo ambaye aliendeleza harakati hi ilikua ni pamoja na kuuza hisa kampuni ilizidi kukua na kukua
Itaendelea
Waanzilishi wa mwanzo
Antoine patek alikua ni mswiss(wa Switzerland) mwamba huyu alikua anapenda sana mambo ya saa tokea alipokua mdogo akiwa na miaka 16 mwamba huyu alijiunga na jeshi ambapo walienda kupambana mwaka (1830-1831) naye akiwa ni mmja ya mwanajeshi kwenye vita iliujulikana kama Polish russian war au uprising war baada ya vita mwamba huyu nae alipata medali yake ya vita baadaye kidogo vita vilipigwa tena ambapo kundi lao lilipigwa na hawa jamaa wakalazimika kuishi uhamisho I waliingia Ufaransa lakin baadae wakaend kuishi Swetzland kutokana na pressure ya russia
Akiwa Kama mkimbizi mwamba huyu alitafuta mtu wa kushirikiana nae katika kutimiza ndoto ya ndipo alipokutana na kiraka mwingine kwa jina Jien Philippe .Mwamba huyu alikua na kipaji cha kutengeneza saa alikutana na mwamba huyu kwenye mojawapo ya viwanda huko french .Mwamba huyu aliamua kuacha kazi alipokua anafanya na kuungan na patek wakaanzisha kampuni iliyoitwa Patek & Cie. Hiyo ilikua mwaka 1851 kumbuka patrk yy alianzisha kampuni mwaka 1839 akiwa n jesh la mtu mmoja. Baada ya kuungana walianza kutengeneza saa pamoja zikiwa na nakshi za dhahabu na dimond mwaka huo walimtengenezea malikia saa Kali ilkiwa na nakshi za dimond na gold Kampuni ilizidi kukua mpaka mwaka 1871 ilikua imeshatanua matawi ikwpo Ujerumani,Usa ,Italy na nchi nyingine mbalimbali .Mwaka 1877 patek alifariki na kumwcha mwanae akiwa na miaka 20 kuendelea lakini alikataa na kugawa Shea yake kwa masikini.Mwaka 1891jean philippe akiwa na miaka 76 nae aliaga dunia na kumwachia madaraka mwanae mdogo ambaye aliendeleza harakati hi ilikua ni pamoja na kuuza hisa kampuni ilizidi kukua na kukua
Itaendelea