Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Carl Weber inawezekana ni very Amateur katika ulimwengu wa Film na Series. Nliona sana BET wakiitangaza hii Series yenye ushiriki wa Black Americans wengi. Nikashawishika kuipata niitizame...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
siku ya jana msanii diamondplatnumz alijikuta akisikiliza na kutazama ngoma za zamani kutoka kwa msanii Qchief. Iko wazi kuwa Qchief ni msanii pendwa wa diamondplatnumz na hilo mpaka sasa bado...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapa tutakuwa tunajuzana nyimbo kali zilizohits kipindi hicho miaka ya 70s, 80s, 90s Mi naanza na kali hizi Janet Jackson~ That's the way love goes Eve~ Gangsta lovin Santana~ Maria maria...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Ginimbi Dreams nightclub, Club maarufu zaidi jijini Harare. Ni Club iliyochangamka zaidi katika jiji la Harare, Ni club pekee unayoweza kwenda huna kitu na ukarudi mifuko imenona ( Hii ni kwa...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Baada ya msiba wa baba ndugu wote waliondoka na kuitelekeza kabisa familia yetu. Hakuna hata ndugu mmoja aliyeonyesha moyo wa kuendelea kujihusisha kwa namna yoyote na maisha yetu. Mbaya zaidi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa movie. Kuna kampuni ukiona tu nembo yake unakaa kitako vyema unajua hii movie itakuwa kali. Kwangu kampuni kama New line cinema Columbia pictures nazikubali sana. Ipi...
8 Reactions
101 Replies
14K Views
To be totally independent and sufficient Africa, must have peace b'cause wars bring chaos and Babylon thieving interference, cause destructions, poverty and starvation! Tell and teach the children...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Wadau, napenda tushirikishane nyimbo ambazo kila mmoja wetu anaupenda sana, akiisikia anajisikia yupo on top of the world. Nyimbo ambayo ukiisikia moyo wako unafarijika sana, hata kama una hasira...
9 Reactions
417 Replies
84K Views
Kuna series au drama ya kikorea inaitwa The Penthouse ni moja ya drama kali sana iliyotoka hivi karibuni.Kwa sisi tunaopenda kufuatilia series au drama zinazoongelea maisha halisi yetu basi hii si...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Huyu Dj anapiga ngoma kali za dancehall na ragga ila anaboa anaongea muda wote hata kipindi kinakosa ladha kabisa aisee hebu mwambieni mnaomfaham aisee aache mambo ya kizamani apandanishe mangoma...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale wajuzi wa kwaya kura yako Kati ya 1. Nyarugusu 2. Light bearers Wapi the most singer kwaya katika wasabato
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Awiii Uwiii Awoo! ni vilio kila kona. Viiana, wazee nao, alo salama hakuna, Nchi ni maombolezo, mazikoni twapishana. Tumwendee Mungu Baba, yeye ni mwenye rehema. Awali tunakumbuka, virusi...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
MZIMU ULIOREJEA. Sehemu ya 01. Sayid Mwenny. Upepo mkali ulivuma ulioambatana na radi sambamba na mvua kubwa iliyonyesha kwa hasira katikati ya Mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro. Angani...
1 Reactions
49 Replies
13K Views
Ahlamalik Williams has been spotted with 61-year-old Madonna several times in recent months, including one occasion when she twerked in his lap - fuelling rumours that they are a couple. On...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
Kiukweli mimi sikuwa mfuatiliji sana wa hizi tamthilia ila hii tamthilia imenifanya nisikose kutizama TV saa tatu usiku. Na aliyeweka sauti ya mzee Aga ndio kafanya niipende zaidi maana anampatia...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Muziki mzuri unaanzia Studio ambako recording & mixing hufanyila kisha mazishi hufanyika kwenye music system yako hapo nyumbani, bar au kwenye gari. Utajuaje kama unamiliki mziki wenye akili...
12 Reactions
40 Replies
8K Views
Habari. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa huu msemo uende moja kwa moja kwa Sauti Sol kwa kazi bora wanazoachia maana wana consistency nzuri ku-maintain ubora wao. Kwa sasa kuanzia...
3 Reactions
7 Replies
981 Views
Mara nyingi ninapo kaa chini, na kutafakari safari nzima ya maisha yangu, kule Mungu alikonitoa, mpaka hapa aliponifikisha, naishiwa maneno ya kumshukuru. Ndio maana hata sasa ninasema ya kwamba...
9 Reactions
36 Replies
4K Views
Hypochondria Syndrome ..huu ni ugonjwa kwa kua na hofu ya kua mgonjwa !.. Huumwi lakini muda wote unakaa unaamini unadalili za kuumwa ,,ni kama vile uambiwe ni msimu wa tetekuanga na hujawahi...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Najua mjini Hapa hamuwezi kushindwa kunipa maelekezo kuhusu nitakapopatia sticker sijui ndo niziite wallpaper zote na za wasanii kabisa na ikibidi na za wachezaji nibandike kwenye ukuta sehemu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom