Carl Weber inawezekana ni very Amateur katika ulimwengu wa Film na Series. Nliona sana BET wakiitangaza hii Series yenye ushiriki wa Black Americans wengi.
Nikashawishika kuipata niitizame...
siku ya jana msanii diamondplatnumz alijikuta akisikiliza na kutazama ngoma za zamani kutoka kwa msanii Qchief.
Iko wazi kuwa Qchief ni msanii pendwa wa diamondplatnumz na hilo mpaka sasa bado...
Hapa tutakuwa tunajuzana nyimbo kali zilizohits kipindi hicho miaka ya 70s, 80s, 90s
Mi naanza na kali hizi
Janet Jackson~ That's the way love goes
Eve~ Gangsta lovin
Santana~ Maria maria...
Ginimbi Dreams nightclub, Club maarufu zaidi jijini Harare. Ni Club iliyochangamka zaidi katika jiji la Harare, Ni club pekee unayoweza kwenda huna kitu na ukarudi mifuko imenona ( Hii ni kwa...
Baada ya msiba wa baba ndugu wote waliondoka na kuitelekeza kabisa familia yetu. Hakuna hata ndugu mmoja aliyeonyesha moyo wa kuendelea kujihusisha kwa namna yoyote na maisha yetu.
Mbaya zaidi...
Kwa wale wapenzi wa movie.
Kuna kampuni ukiona tu nembo yake unakaa kitako vyema unajua hii movie itakuwa kali.
Kwangu kampuni kama
New line cinema
Columbia pictures nazikubali sana.
Ipi...
To be totally independent and sufficient Africa, must have peace b'cause wars bring chaos and Babylon thieving interference, cause destructions, poverty and starvation! Tell and teach the children...
Wadau, napenda tushirikishane nyimbo ambazo kila mmoja wetu anaupenda sana, akiisikia anajisikia yupo on top of the world. Nyimbo ambayo ukiisikia moyo wako unafarijika sana, hata kama una hasira...
Kuna series au drama ya kikorea inaitwa The Penthouse ni moja ya drama kali sana iliyotoka hivi karibuni.Kwa sisi tunaopenda kufuatilia series au drama zinazoongelea maisha halisi yetu basi hii si...
Huyu Dj anapiga ngoma kali za dancehall na ragga ila anaboa anaongea muda wote hata kipindi kinakosa ladha kabisa aisee hebu mwambieni mnaomfaham aisee aache mambo ya kizamani apandanishe mangoma...
Awiii Uwiii Awoo! ni vilio kila kona.
Viiana, wazee nao, alo salama hakuna,
Nchi ni maombolezo, mazikoni twapishana.
Tumwendee Mungu Baba, yeye ni mwenye rehema.
Awali tunakumbuka, virusi...
MZIMU ULIOREJEA.
Sehemu ya 01.
Sayid Mwenny.
Upepo mkali ulivuma ulioambatana na radi sambamba na mvua kubwa iliyonyesha kwa hasira katikati ya Mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Angani...
Ahlamalik Williams has been spotted with 61-year-old Madonna several times in recent months, including one occasion when she twerked in his lap - fuelling rumours that they are a couple.
On...
Kiukweli mimi sikuwa mfuatiliji sana wa hizi tamthilia ila hii tamthilia imenifanya nisikose kutizama TV saa tatu usiku.
Na aliyeweka sauti ya mzee Aga ndio kafanya niipende zaidi maana anampatia...
Muziki mzuri unaanzia Studio ambako recording & mixing hufanyila kisha mazishi hufanyika kwenye music system yako hapo nyumbani, bar au kwenye gari.
Utajuaje kama unamiliki mziki wenye akili...
Habari.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa huu msemo uende moja kwa moja kwa Sauti Sol kwa kazi bora wanazoachia maana wana consistency nzuri ku-maintain ubora wao.
Kwa sasa kuanzia...
Mara nyingi ninapo kaa chini, na kutafakari safari nzima ya maisha yangu,
kule Mungu alikonitoa, mpaka hapa aliponifikisha, naishiwa maneno ya kumshukuru.
Ndio maana hata sasa ninasema ya kwamba...
Hypochondria Syndrome ..huu ni ugonjwa kwa kua na hofu ya kua mgonjwa !..
Huumwi lakini muda wote unakaa unaamini unadalili za kuumwa ,,ni kama vile uambiwe ni msimu wa tetekuanga na hujawahi...
Najua mjini Hapa hamuwezi kushindwa kunipa maelekezo kuhusu nitakapopatia sticker sijui ndo niziite wallpaper zote na za wasanii kabisa na ikibidi na za wachezaji nibandike kwenye ukuta sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.