Si uliniambia wajaaaaaaaaaaaaa................

Si uliniambia wajaaaaaaaaaaaaa................

MB Dog fundi aisee.. ila Majani nyoko.

Uzuri zamani muziki ulikua haujashikiliwa na watu wachache. Huku TMK, huku MB na Tip Top, Mandojo & Domo, Jide, watu wa Bolingo nao si haba, Dah. Kwote kulikua lit.
 
aisee 2006 upo darasa la kwanza halafu unakuja humu kujibizana na watu wa miaka ya 60
Sasa watu wa miaka ya 60 wana nini? Km kitu ambacho naweza kujibizania, sijali watu wa miaka ya 30 wala 20, napita nao hivi khaaaah. [emoji3][emoji3][emoji3]
 
std 1 unajua nini zaidi ya kukojoa nyuma ya nyumba kdg std 5-7
Huhuhuh std 5 ilikua 2010, wakati huo nipo buzzy na nyimbo za mbele huko. Sio hapa tena lol [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom